SPIKA DKT. TULIA AKABIDHI HUNDI YA TSH.50,000,000 KUPITIA TAASISI YA TULIA TRUST

Spika wa Bunge la Tanzania ambaye pia ni Mbunge wa Mbeya Mjini, Dkt. Tulia Ackson kupitia taasisi ya Tulia Trust amekabidhi hundi ya Tsh: 50,000,000/- ikiwa ni mkopo wa masharti nafuu kwa kikundi cha umoja wa wakata tiketi za magari Uyole Jijini Mbeya (UWAT UYINTE GROUP).

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *