NSSF YAZINDUA WIKI YA HUDUMA WA WATEJA KWA KISHINDO

Ofisi ya Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) Mkoa wa Geita imezindua wiki ya huduma kwa wateja 2022 kwa kishindo yenye kauli mbiu “ Huduma bora ; Kipaumbele chetu ambapo kwa mwafanyakazi wa NSSF Geita walijumuika na wateja waliofika ofisini hapo kusherekea kwa pamoja wiki ya huduma kwa wateja

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *