SPIKA DKT. TULIA ASHIRIKI ZOEZI LA UCHAGUZI MKUU WA VIONGOZI WA (CCM).

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati kuu CCM taifa na Mbunge wa Mbeya Mjini, Mhe. Dkt. Tulia Ackson leo tarehe 1 Oktoba, 2022 ameshiriki zoezi la uchaguzi mkuu wa Viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ngazi ya Wilaya ya Mbeya Mjini.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *