DENDEGO AWATAKA WAKURUGENZI KUBUNI VYANZO VYA MAPATO

Mkuu wa mkoa wa Iringa Halima Dendego amewataka wakurugenzi wa halmashauri mkoani humo kubuni vyanzo vya mapato na kuboresha vyanzo vilivyopo ili kuwezesha halmashauri kuweza kuongeza uwezo wa kujitegemea kwa mapato ya ndani ya halmashauri.

Amesema hayo wakati akizungumza na watumishi wa mkoa mara baada ya kukabidhiwa ofisi na aliyekuwa mkuu wa mkoa huo Queen Sendiga ambaye amehamishiwa mkoa wa Rukwa

Mkuu wa mkoa wa Iringa Halima Dendego amewataka wakurugenzi wa halmashauri mkoani Humo kubuni vyanzo vya mapato na kuboresha vyanzo vilivyopo ili kuwezesha Halmashauri kuweza kuongeza uwezo wa kujitegemea kwa mapato ya ndani ya halmashauri.

Amesema hayo wakati akizungumza na watumishi wa mkoa mara baada ya kukabidhiwa ofisi na aliyekuwa mkuu wa mkoa huo Queen Sendiga ambaye amehamishiwa mkoa wa Rukwa

Dendego amesema ni vyema kila mkurugenzi kuweka mkakati wakuwa na chanzo kingine cha mapato ili kusaidia kuwahudumia wananchi katika nyanja mbalimbali.

Dendego amesema ni vyema kila mkurugenzi kuweka mkakati wakuwa na chanzo kingine cha mapato ili kusaidia kuwahudumia wananchi katika nyanja mbalimbali.

Amesema hayo wakati akizungumza na watumishi wa mkoa mara baada ya kukabidhiwa ofisi na aliyekuwa mkuu wa mkoa huo Queen Sendiga ambaye amehamishiwa mkoa wa Rukwa

Dendegoamesema ni vyema kila mkurugenzi kuweka mkakati wakuwa na chanzo kingine cha mapato ili kusaidia kuwahudumia wananchi katika nyanja mbalimbali.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *