TAARIFA YA MAFUNZO YA UONGOZI YALI

Naibu Katibu Mkuu UVCCM Taifa- Bara, Ndugu Mussa Mwakitinya (MNEC) apokea taarifa rasmi ya Mafunzo ya Uongozi ya YALI- Mandela Washington Fellowship 2022 aliyoshiriki Ndugu Victoria Mwanziva Katibu wa Uhamasishaji na Chipukizi wa UVCCM Taifa.

Taarifa hii inaelezea mafunzo ya YALI- MWF na mrejesho mzima wa ushiriki wake na namna ambavyo taasisi na vijana wa Chama Cha Mapinduzi wanaweza kunufaika na uwakilishi huu, na namna ya kuziendea fursa mbalimbali za Kimataifa.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *