SPIKA DKT. TULIA AZINDUA BONANZA LA MICHEZO LA UHAMASISHAJI SENSA

Zanzibar.

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mlezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mikoa ya Kaskazini na Kusini Unguja, Mhe. Dkt. Tulia Ackson (Mb), leo Julai 26, 2022 ameshiriki matembezi na kuzindua Bonanza la Michezo la uhamasishaji wa Sensa ya Watu na makazi katika Jimbo la Nungwi Zanzibar lililofanyika katika Viwanja vya Vidimni.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *