SPIKA DKT. TULIA AIBUKA MSHINDI MBIO ZA MITA 100 BONANZA LA CRDB

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson (Mb), ameibuka mshindi kwenye mbio za mita 100 zilizoshirikisha Viongozi Wanawake wakati wa tamasha la *CRDB Bank Pamoja Bonanza* katika Uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma leo Juni 25, 2022.Katika mbio hizo walishiriki Mawaziri, Naibu Mawaziri, Wabunge na viongozi kutoka benki ya CRDB.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *