BUNGE SPORTS CLUB WAINYUKA BONGO FLEVA CRDB PAMOJA BONANZA

MATUKIO KATIKA PICHA.


Mchezo wa nusu fainali kati ya Bunge dhidi ya Bongo Fleva. Mchezo huo umetamatika Kwa ushindi wa timu ya Bunge wa mikwaju ya Penati 4 Kwa 3 baada ya sare ya goli 1-1 katika dakika 30.
Ni @crdbbankplc Pamoja Bonanza ndani ya uwanja wa Jamhuri.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *