SPIKA DKT. TULIA AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA UONGOZI WA SILENT OCEAN

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson (Mb), amekutana na kufanya mazungumzo na Wawakilishi wa Kampuni ya Silent Ocean waliofika Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma leo Juni 16, 2022 kwa lengo la kujitambulisha na kuelezea shughuli wanazozifanya ikiwemo usafirishaji wa mizigo kutoka nje ya nchi ikiwemo China, Dubai, Uturuki na Marekani Kuja Tanzania.

Kutoka kushoto kwenda Kulia ni Mhe. Spika mwenyewe Dkt. Tulia akifuatiwa na wawakilishi wa Kampuni hiyo Ndg. Mohamed Kamilagwa, Mkuu wa Kitengo cha Masoko na Uhusiano wa Kibiashara akifuatiwa na Rachel Sindbard, Mkuu wa Kitengo cha Huduma Kwa Wateja, Kishki Yahya Mkuu wa Kitengo cha Habari na Matangazo pamoja na Ramadhan Mwanza, Afisa Masoko.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *