HOTUBA YA BAJETI KUU YA SERIKALI MWAKA WA FEDHA 2022/2023

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO,
MHESHIMIWA DKT. MWIGULU LAMECK
NCHEMBA MADELU (MB), AKIWASILISHA
BUNGENI MAPENDEKEZO YA
SERIKALI KUHUSU MAKADIRIO
YA MAPATO NA MATUMIZI KWA
MWAKA 2022/23
14 Juni 2022 Dodoma

1
I. UTANGULIZI

  1. Mheshimiwa Spika, naomba kutoa hoja
    kwamba Bunge lako Tukufu lipokee, lijadili na
    kukubali kupitisha Makadirio ya Mapato na
    Matumizi ya Serikali kwa mwaka 2022/23. Bajeti
    hii inawasilishwa kwa mujibu wa Ibara ya 137 ya
    Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya
    mwaka 1977, ikisomwa pamoja na Kifungu cha 23
    (3) cha Sheria ya Bajeti, Sura 439 pamoja na
    Kifungu cha 124 (4) cha Kanuni za Kudumu za
    Bunge, Toleo la Juni 2020.
  2. Mheshimiwa Spika, pamoja na hotuba hii
    ninawasilisha vitabu vinne vinavyoelezea kwa kina
    Bajeti ya Serikali. Kitabu cha Kwanza ni
    Makadirio ya Mapato; Kitabu cha Pili ni Makadirio
    ya Matumizi ya Kawaida kwa Wizara, Idara
    Zinazojitegemea na Wakala wa Serikali; Kitabu
    cha Tatu ni Makadirio ya Matumizi ya Kawaida kwa
    Sekretarieti za Mikoa na Mamlaka za Serikali za
    Mitaa; na Kitabu cha Nne ni Makadirio ya Matumizi
    ya Maendeleo kwa Wizara, Idara zinazojitegemea,
    Wakala wa Serikali, Sekretarieti za Mikoa na
    Mamlaka za Serikali za Mitaa. Aidha, Muswada wa
    Sheria ya Fedha wa mwaka 2022 pamoja na
    Muswada wa Sheria ya Matumizi ya Serikali wa
    mwaka 2022 nayo ni sehemu ya bajeti hii.
    2
  3. Mheshimiwa Spika, makadirio ya Bajeti ya
    Serikali kwa mwaka 2022/23 yameandaliwa kwa
    kuzingatia nyaraka na miongozo mbalimbali
    ikiwemo: Mpango wa Tatu wa Maendeleo wa Taifa
    wa Miaka Mitano 2021/22 – 2025/26 ambao
    umeandaliwa kwa kuzingatia Dira ya Taifa ya
    Maendeleo 2025; Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya
    mwaka 2020; Dira ya Maendeleo ya Afrika
    Mashariki 2050; Ajenda ya Maendeleo ya Afrika
    2063; Malengo ya Maendeleo Endelevu 2030;
    Mwongozo wa Ushirikiano wa Maendeleo; na
    makubaliano mengine ya kikanda na kimataifa
    ambayo Tanzania imeyaridhia.
  4. Mheshimiwa Spika, napenda kumshukuru
    Mwenyezi Mungu kwa kunijalia afya njema na
    kuniwezesha kusimama mbele ya Bunge lako
    Tukufu kuwasilisha Bajeti ya Serikali kwa mwaka
    2022/23. Kwa namna ya pekee nitumie fursa hii
    kumshukuru sana Mheshimiwa Samia Suluhu
    Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
    Tanzania kwa kuendelea kuniamini katika
    dhamana hii ya kuongoza Wizara ya Fedha na
    Mipango.
    3
    II. MWENENDO WA MAPATO NA MATUMIZI
    2021/22
    Mwenendo wa Mapato
  5. Mheshimiwa Spika, katika bajeti ya mwaka
    2021/22, Serikali ilitarajia kukusanya jumla ya
    shilingi trilioni 37.99 kutoka katika vyanzo vyote
    vya ndani na nje ambapo hadi Aprili 2022, kiasi
    cha shilingi trilioni 29.84 kimekusanywa.
    Mchanganuo wa mapato yaliyopatikana hadi
    Aprili 2022 ni kama ifuatavyo:
    (i) Mapato yaliyokusanywa kupitia Mamlaka
    ya Mapato Tanzania (TRA), yalikuwa ni
    shilingi trilioni 17.20, ambapo lengo la
    mwaka ni shilingi trilioni 21.78;
    (ii) Mapato yasiyo ya kodi yalifikia shilingi
    trilioni 2.03, ambapo lengo la mwaka ni
    shilingi trilioni 3.05;
    (iii) Mapato ya Halmashauri yalifikia shilingi
    bilioni 759.0, ambapo lengo la mwaka ni
    shilingi bilioni 863.9;
    (iv) Misaada na mikopo yenye masharti
    nafuu kutoka kwa Washirika wa
    Maendeleo ilifikia shilingi trilioni 3.93,
    sawa na asilimia 92.0 ya lengo la mwaka
    la shilingi trilioni 4.27;
    (v) Mikopo kutoka vyanzo vya ndani ilifikia
    4
    shilingi trilioni 4.12, ambapo lengo la
    mwaka ni shilingi trilioni 4.99; na
    (vi) Mikopo yenye masharti ya kibiashara
    ilifikia shilingi trilioni 1.81, ambapo lengo
    la mwaka ni kukopa shilingi trilioni 3.05.
    Mwenendo wa Matumizi
  6. Mheshimiwa Spika, katika kipindi cha Julai
    2021 hadi Aprili 2022, jumla ya shilingi trilioni
    29.40 zimetolewa kwa ajili ya matumizi ya
    kawaida na maendeleo. Katiya kiasi hicho, shilingi
    trilioni 18.79, zilitolewa kwa ajili ya matumizi ya
    kawaida ambazo zinajumuisha shilingi trilioni
    6.73 kwa ajili ya mishahara, shilingi trilioni 4.79
    Matumizi Mengineyo na shilingi trilioni 7.27
    kugharamia deni la Serikali. Jumla ya shilingi
    trilioni 10.61, sawa na asilimia 74.1 ya lengo la
    mwaka zimetolewa kwa ajili ya utekelezaji wa
    miradi ya maendeleo. Kiasi hiki hakijumuishi
    baadhi ya fedha zilizopelekwa moja kwa moja
    kwenye utakelezaji wa miradi (D-fund). Fedha hizi
    zitajumuishwa kwenye hesabu za Serikali
    mwishoni mwa mwaka wa fedha pindi taratibu za
    kihasibu zitakapokamilika.
    5
    Tathmini ya Uhimilivu wa Deni la Serikali
  7. Mheshimiwa Spika, hadi Aprili 2022, deni la
    Serikali lilikuwa shilingi trilioni 69.44, sawa na
    ongezeko la asilimia 14.4 ikilinganishwa na
    shilingi trilioni 60.72 Aprili 2021. Kati ya kiasi
    hicho, deni la ndani ni shilingi trilioni 22.37, sawa
    na asilimia 32.2 na deni la nje ni shilingi trilioni
    47.07, sawa na asilimia 67.8. Kati ya deni la nje,
    deni lenye masharti ya kibiashara ni shilingi
    trilioni 14.27, sawa na asilimia 30.3. Hivyo,
    sehemu kubwa ya deni la nje ni mikopo yenye
    masharti nafuu.
  8. Mheshimiwa Spika, tathmini ya uhimilivu
    wa deni la Serikali iliyofanyika Novemba 2021 kwa
    mujibu wa Sheria ya Mikopo, Dhamana na
    Misaada Sura 134 ilionesha kuwa viashiria vya
    deni la Serikali viko ndani ya wigo unaokubalika
    kimataifa katika kipindi cha muda mfupi, wa kati
    na mrefu. Katika Tathmini hiyo, viashiria
    vinaonesha kuwa: uwiano wa thamani ya sasa ya
    deni la Serikali kwa Pato la Taifa ni asilimia 31.0
    ikilinganishwa na ukomo wa asilimia 55; uwiano
    wa thamani ya sasa ya deni la nje kwa Pato la
    Taifa ni asilimia 18.8 ikilinganishwa na ukomo wa
    asilimia 40; na uwiano wa thamani ya sasa ya
    deni la nje kwa mauzo ya nje ni asilimia 142.4
    6
    ikilinganishwa na ukomo wa asilimia 180.
    Tathmini ya Kukopesheka kwa Nchi (Credit
    Rating)
  9. Mheshimiwa Spika, katika mwaka
    2021/22, zoezi la tathmini na ukadiriaji wa
    kukopesheka kwa nchi (credit rating) ambalo
    lilisimama hapo awali lilianza tena kupitia benki
    ya Citibank ambayo ilikuwa mshauri wa Serikali.
    Hadi kufikia mwezi Mei 2022, Serikali imefikia
    hatua za mwisho za kukamilisha taratibu za
    ununuzi ambapo imefanikiwa kuchagua kampuni
    mbili ambazo zinatambulika kimataifa na kupitia
    mikataba yao. Aidha, Serikali inaendelea na
    mazungumzo na kampuni hizo pamoja na
    kuandaa takwimu mbalimbali ambazo zitatumika
    katika zoezi la tathmini na ukadiriaji wa
    kukopesheka. Serikali inategemea kukamilisha
    zoezi hili ndani ya mwaka 2022/23. Naomba
    nichukue fursa hii kuziomba taasisi za Serikali, za
    binafsi na benki zitakazopata nafasi ya kuhojiwa
    na wataalamu wa Kampuni hizo kutoa ushirikiano
    kwa kuzingatia maslahi mapana ya nchi.
    Kukamilika kwa zoezi hili kutatuwezesha
    kuongeza wigo wa wakopeshaji kwa Serikali na
    makampuni binafsi hususan katika masoko ya
    mitaji ya kimataifa (International Capital Markets).
    7
    III. BAJETI YA MWAKA WA FEDHA 2022/23
  10. Mheshimiwa Spika, Bajeti ya Serikali kwa
    mwaka 2022/23 ni ya pili katika utekelezaji wa
    Mpango wa Tatu wa Maendeleo wa Taifa wa Miaka
    Mitano 2021/22 – 2025/26 wenye dhima ya
    “Kujenga Uchumi Shindani na Viwanda kwa
    Maendeleo ya Watu”. Aidha, dhima kuu ya bajeti
    ya mwaka 2022/23 kama ilivyokubaliwa na nchi
    wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki ni
    “Kuongeza Kasi ya Kufufua Uchumi na
    Kuimarisha Sekta za Uzalishaji kwa ajili ya
    Kuboresha Maisha”. Katika utekelezaji wa dhima
    hiyo kwa mwaka 2022/23 kipaumbele kitakuwa
    katika sekta za uzalishaji zikiwemo Kilimo,
    Mifugo, Uvuvi, Nishati, Uwekezaji na Biashara.
    Lengo la Serikali ya CCM inayoongozwa na
    Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan Rais wa
    Jamhuri ya Mungano wa Tanzania na Mwenyekiti
    wa CCM ni kujenga uchumi, kukabiliana na
    umasikini pamoja na ukosefu wa ajira hasa
    kwa vijana.
    Shabaha za Uchumi Jumla
  11. Mheshimiwa Spika, kutokana na mambo
    yaliyozingatiwa katika uandaaji wa bajeti hii,
    shabaha za uchumi jumla katika kipindi cha
    8
    mwaka 2022/23 ni kama ifuatavyo:
    (i) Ukuaji wa Pato Halisi la Taifa kufikia
    asilimia 4.7 mwaka 2022 na asilimia 5.3
    kwa mwaka 2023;
    (ii) Kuendelea kudhibiti kasi ya mfumuko wa
    bei na kuhakikisha kuwa unabaki
    kwenye wigo wa tarakimu moja ya
    wastani wa asilimia kati ya 3.0 hadi 7.0
    katika muda wa kati;
    (iii) Mapato ya ndani kufikia asilimia 14.9 ya
    Pato la Taifa mwaka 2022/23;
    (iv) Mapato ya kodi kufikia asilimia 11.7 ya
    Pato la Taifa mwaka 2022/23; na
    (v) Kuwa na akiba ya fedha za kigeni kwa
    kiwango cha kukidhi mahitaji ya uagizaji
    wa bidhaa na huduma kutoka nje kwa
    kipindi kisichopungua miezi minne (4);
    IV. MAMBO MUHIMU KWA MWAKA WA FEDHA
    2022/23
  12. Mheshimiwa Spika, nchi zote duniani
    zinapita kwenye athari kubwa za UVIKO 19 na
    vita kati ya Urusi na Ukraine iliyoanza Februari
    2022 ambayo imeendelea kuleta athari katika
    mataifa mbalimbali duniani ikiwemo Tanzania
    kutokana na mwingiliano wa shughuli za
    kiuchumi na kijamii. Madhara ya UVIKO-19,
    9
    yamekuwa na makali zaidi baada ya uchumi
    kuanza kurejea, kwa kuwa nchi zilikuwa katika
    “lockdown” na nyingine kupunguza uzalishaji wa
    bidhaa. Uchumi unaporejea katika hali ya
    uzalishaji mataifa yote yanahitaji bidhaa ambazo
    ziliachwa kuzalishwa hivyo kusababisha
    upungufu. Kungali hali iko hivyo, vita kati ya
    Urusi na Ukraine imeongeza upungufu wa bidhaa
    kwa kuathiri uzalishaji na mnyororo wa
    usambazaji. Kwa mujibu wa Shirika la Chakula
    Duniani, nchi za Urusi na Ukraine ni kati ya nchi
    zenye uzalishaji na uuzaji mkubwa wa mazao
    mbalimbali ikiwemo ngano, mafuta ya kula na
    shayiri.
  13. Mheshimiwa Spika, nchi ya Urusi ni ya pili
    katika uzalishaji wa gesi asilia na bidhaa za
    mafuta ya petroli duniani. Kadhalika, nchi ya
    Ukraine ni miongoni mwa nchi zinazozalisha
    mafuta ya alizeti kwa wingi duniani. Kufuatia
    madhara haya ya vita, ni dhahiri kuwa uchumi na
    gharama za maisha duniani hazitabaki
    zilivyokuwa awali. Ndio maana Mheshimiwa
    Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya
    Mungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM
    ameelekeza bajeti hii ya Serikali ijikite kuchukua
    hatua za kutoa unafuu kwa wananchi na kufufua
    10
    uchumi. Bajeti hii itatilia mkazo Sera za Mapato,
    Sera za matumizi, kujali ufanisi (Value for
    Money), mapambano ya vitendo vya rushwa na
    kuwekeza kwenye Sekta za uzalishaji ili
    kutengeneza ajira kwa vijana.
    Mikakati ya kuongeza Mapato Mwaka
    2022/23
  14. Mheshimiwa Spika, nawapongeza Mamlaka
    ya Mapato Tanzania na taasisi zingine
    zinazokusanya mapato na maduhuli ya Serikali.
    Tumepiga hatua kubwa kwenye makusanyo ya
    ndani. Hadi Aprili 2022, ukusanyaji wa mapato ya
    kodi na yasiyo ya kodi ikijumuisha mapato ya
    Mamlaka za Serikali za Mitaa umefikia shilingi
    trilioni 19.99, sawa na asilimia 93.3 ya makadirio
    ya kukusanya shilingi trilioni 21.42 katika kipindi
    hicho. Kati ya kiasi hicho, mapato ya kodi
    yamefikia shilingi trilioni 17.20, sawa na asilimia
    94.5 ya lengo la kukusanya shilingi trilioni 18.2,
    mapato yasiyo ya kodi yamefikia shilingi trilioni
    2.03, sawa na asilimia 81.2 ya lengo la kukusanya
    shilingi trilioni 2.5 na mapato ya Mamlaka za
    Serikali za Mitaa yamefikia shilingi bilioni 759.0,
    ikiwa ni asilimia 104.8 ya lengo la kukusanya
    shilingi bilioni 724.1 katika kipindi hicho.
    11
  15. Mheshimiwa Spika, pamoja na mafanikio
    hayo, bado kuna vitendo vya rushwa kwenye
    ukusanyaji wa mapato, hasa kwenye kodi kubwa,
    mapato ya Mamlaka za Serikali za mitaa na ardhi.
    Kuna mapato ya Serikali yanaingia kwenye mifuko
    ya watu binafsi. Hii inafanyika kwa kukadiria
    viwango vya juu ili katika majadiliano ya kwenda
    kwenye kodi stahiki kinapunguzwa kiasi chini ya
    kile kinachostahili na kilichopunguzwa kinaingia
    mifuko binafsi. Serikali imeshapokea taarifa
    kadhaa za matukio ya aina hii na inaendelea
    kulifuatilia kwa umakini sana jambo hili. Wale
    wanaokataa kutoa rushwa ndio wanaoonewa
    zaidi, ndio wanaobambikwa makadirio yasio halisi
    kwa kuwakomoa, ndio wanaotishiwa kufilisiwa.
    Jambo hili halikubaliki. Nitoe rai jambo hili
    liachwe mara moja. Tuache utaratibu wa kufanya
    majadiliano (bargaining) kwenye kulipa kodi.
    Watumishi wa umma wanaokusanya kodi na
    maduhuli ya Serikali wanaowaomba
    wafanyabiashara wawapunguzie wanachotakiwa
    kulipa ili kisichoingia serikalini wapate wao
    wanafanya makosa ya uhujumu uchumi.
    Kadhalika wapo wafanyabiashara na wauza
    maduka wanaowaambia wananchi “nikupe bei ya
    risiti ya TRA au bila risiti”, na bei ile isiyo na risiti
    inakuwa ndogo kuliko bei ya risiti ili
    12
    kuwashawishi wakwepe kulipa mapato ya Seriakili
    na wao wenyewe wabaki na kodi ya Serikali. Huu
    ni uhujumu uchumi. Naagiza vitendo hivyo
    vikome mara moja na ambaye hataacha atakutana
    na mkono wa sheria.
  16. Mheshimiwa Spika, nitoe rai kwa
    watanzania wote kulipa kodi wanayostahili kulipa,
    wala wasiogope vitisho, na wala wasidhanie kuwa
    kuna wakati watakulipizia kisasi, toa taarifa ofisi
    ya TAKUKURU iliyo karibu nawe, ama toa taarifa
    Idara ya Usalama wa Taifa iliyo karibu nawe.
    Watumishi wa aina hiyo watakaobainika
    hutawakuta tena ofisi za umma, wala
    hatutawahamisha, Tutawafukuza kazi.
    Mheshemiwa Rais anachukizwa sana na ukosefu
    wa maadili na uaminifu wa baadhi ya watumishi
    wa umma. Asitokee anayedhani ana haki sana ya
    kuwa mtumishi wa umma, hii ni dhamana tu.
    Wala asitokee anayedhani vijana wahitimu wa
    kitanzania walioko mtaani na hawana kazi
    akadhani hawana haki ya kuwa watumishi wa
    umma. Tunao uwezo wa kupangua safu nzima ya
    utumishi wa umma na tukapanga safu mpya ya
    vijana hawa walioko mtaani. Kwenye uadilifu na
    uaminifu, hata tusibabaishane, Tutawakamata,
    Tutawashitaki na Tutawafunga. Lazima
    13
    tukomeshe kabisa vitendo vya rushwa kwenye
    mapato na matumizi.
  17. Mheshimiwa Spika, mambo mengine
    tunayotarajia kuyafanya kwenye sera ya mapato
    ni kuimarisha matumizi ya mifumo ya TEHAMA
    katika kufanya makadirio ya kodi kwa
    wafanyabiashara wadogo ambao hawana uwezo
    wa kutunza kumbukumbu na kutengeneza
    hesabu za biashara zao (Presumptive Regime),
    kuwekeza kwenye matumizi ya teknolojia ili
    kurahisisha uwasilishaji wa ritani za kodi
    kielektroniki (electronic filing) na ulipaji kodi kwa
    wakati; Kuimarisha Mfumo wa Serikali wa
    Kielektroniki wa Ukusanyaji wa Mapato (GePG) na
    kuhimiza malipo ya Serikali kutumia Namba ya
    Kumbukumbu ya Malipo; na kuimarisha mifumo
    ya usimamizi katika Mashirika, Taasisi za Umma
    na Wakala za Serikali ili kuongeza ufanisi na
    kuhakikisha gawio na michango stahiki
    inawasilishwa kwa wakati. Ili kukuza mchango wa
    sekta binafsi katika kukuza uchumi, kutoa ajira
    na kuongeza mapato, Serikali inapanga kuendelea
    kuboresha mazingira ya kufanya biashara na
    kuipa nafasi zaidi sekta binafsi. Aidha, Serikali
    imepanga kuendeleza uanzishwaji wa vituo vya
    pamoja vya utoaji huduma ili kuwezesha huduma
    14
    muhimu zinazohitajika katika kuanzisha na
    kufanya biashara kupatikana sehemu moja.
    Mkakati wa Kubana Matumizi
  18. Mheshimiwa Spika, Sera za matumizi katika
    mwaka 2022/23 zitakuwa za kubana na kuondoa
    matumizi yasiyo ya lazima. Katika kutimiza azma
    hiyo, Serikali inatarajia kudhibiti ununuzi na
    matumizi ya magari kwa kuzingatia Waraka wa
    Rais na.1 wa mwaka 1998 kuhusu hatua za
    kubana matumizi ya Serikali na Waraka wa Mkuu
    wa Utumishi wa Umma Na. 2 wa mwaka 2021
    kuhusu utaratibu wa kutumia magari, aina na
    stahili za magari kwa viongozi katika utumishi wa
    umma ili kubana matumizi. Baadhi ya maeneo
    yenye gharama kubwa sana kwa serikali ni
    Ununuzi wa magari, Ununuzi wa mafuta ya
    uendeshaji, Ununuzi wa vipuri na matengenezo.
    Tunapanga kuchukua hatua za muda mfupi na za
    muda mrefu. Lazima, matumizi ya Serikali na
    matumizi ya watumishi wa umma yote yaakisi
    ugumu wa maisha wanayopitia wananchi wetu
    kufuatia athari za majanga hususan ya UVIKO-19
    ili fedha zinazopatikana zifanye mambo muhimu
    hapa nchini. Hatua za muda mfupi
    zitakazochukuliwa ni kupunguza safari za ndani
    na nje, kukata fedha za ununuzi usio wa lazima,
    15
    kupunguza ukubwa wa uwakilishi kwenye
    mikutano ya ndani na nje, na tutapimiana mafuta
    ya magari ya Serikali kila mwezi kufuatana na
    shughuli za lazima. Utaratibu huu unatumika
    kwa wabunge, na hawajaacha kufanya shughuli
    majimboni mwao, BOT wanapimiwa, baadhi ya
    Taasisi za UN wanapimiwa. Namwelekeza Mlipaji
    Mkuu wa Serikali afanye uchambuzi wa wastani
    wa mahitaji ya mafuta kufuatana na aina ya
    majukumu, ulazima wa majukumu na ngazi
    katika utumishi.
  19. Mheshimiwa Spika, kwa upande wa hatua
    za muda wa kati na muda mrefu, napendekeza
    Serikali kubadili kabisa utaratibu uliopo kwa
    kuwakopesha magari watumishi wenye hadhi ya
    kuwa na gari la Serikali wawe na magari yao
    wenyewe, wafanye matengenezo wenyewe,
    wanunue vipuri wenyewe na masuala ya mafuta
    yaangaliwe kwa utaratibu utakaoonekana unafaa.
    Kwa sasa Serikali ina magari zaidi ya 15,742,
    pikipiki 14,047 na mitambo 373 na inatumia
    zaidi ya shilingi 558,453,134,226.05 kwa mwaka
    kwa ajili ya ununuzi wa magari, ununuzi wa
    mafuta ya uendeshaji, ununuzi wa vipuri na
    matengenezo ambapo kwa sasa ni zaidi ya shilingi
    bilioni 500. Ukiondoa vyombo vya ulinzi na
    usalama pamoja na Mahakama, upande wa
    16
    Serikali wabaki viongozi wakuu wa Wizara,
    Mashirika, wakala, mikoa, wilaya na Miradi
    ambao wasimamizi watakuwa eneo la mradi (site)
    muda mwingi ambapo kwenye makundi haya
    hawatazidi watano kwa taasisi, wengine wote
    wenye stahili ya gari la Serikali wakopeshwe,
    watumie magari yao, watasimamia vizuri
    matumizi, matengenezo, mafuta na vipuri.
    Tutaondoa utaratibu uliozoeleka, dereva na
    gari anapitishwa chini, bosi anapanda ndege
    mpaka Mwanza au Mbeya kutoka Dar es Salaam
    na kurudi hivyo hivyo. Kuna utafiti wa siri
    ulifanywa, kwa siku moja yalibainika magari ya
    Serikali yaliyotoka Dodoma kwenda Dar es
    Salaam yalikuwa 132, na yaliyokuwa yanatoka
    Dar es Salaam yakipishana kuja Dodoma
    yalikuwa 76, na mengine 8 yalikuwa
    yamepinduka. Je kwa mwezi ni gharama kiasi
    gani?
  20. Mheshimiwa Spika, kwa utaratibu huo
    gharama za matumizi ya magari serikalini
    zitakuwa takribani shilingi 50,508,038,843.09.
    Zaidi ya shilingi billion 500 zitaokolewa na
    kuelekezwa kwenye ununuzi wa dawa muhimu
    hospitalini, kutoa mikopo kwa wanafunzi
    wanaosoma vyuo vya kati, na kutekeleza miradi ya
    maendeleo. Tumezidi kupenda ubosi, magari
    17
    makubwa kwa kila mtu serikalini, matumizi
    ya starehe, wakati katika nchi yetu bado
    kuna watu wanapata shida kupata mlo
    mmoja. Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan,
    Rais wa Jamhuri ya Mungano wa Tanzania
    ameielekeza Wizara ya Fedha na Mipango
    ifanyie kazi jambo hili la kuelekeza fedha
    kwenye matumizi ya msingi tu. Jambo hili
    halitaathiri mtumishi bali litafanyika gradually,
    yaani by phasing out, yaani tunabadilisha kadri
    watu wanavyopanda kustahili kukopa na
    kutokuajiri madereva kadri wanavyostaafu na
    kadri maafisa wanavyohamia skimu za kukopa.
    Madereva wengine watabaki kwa viongozi, magari
    ya miradi ya site, na magari ya pool. Mtoto wa
    Dereva sio lazima naye aje awe dereva.
  21. Mheshimiwa Spika, sambamba na hayo,
    Serikali itaachana na mfumo wa sasa wa Ununuzi
    wa Umma (Transactional Procurement) ambao
    umeshindwa kuleta tija kwa kuwa msingi wake
    mkubwa ni ulinganishaji wa zabuni
    zilizofunguliwa badala ya bei za bidhaa na
    huduma ambazo tunazijua. Mara nyingi bei hizi za
    ununuzi zimekuwa kubwa kuliko zile zilizopo
    sokoni kwa jumla na hata rejareja (wholesale and
    retail) na ingekuwa tunanunua kwa ajili ya
    18
    nyumbani kwetu au kwa ajili ya kampuni zetu
    tusingekubali bei hizo. Napendekeza kuwa,
    ununuzi wa umma uwe wa kimkakati (Strategic
    Sourcing) kwa kuzingatia ukubwa wa ununuzi wa
    Serikali na sekta ya umma kwa ujumla
    (Economies of Scale) pamoja na uwiano na
    mfanano wa bidhaa na huduma zinazotumika
    serikalini na sekta ya umma yaani synergies. Sasa
    Serikali ni moja, bidhaa zinafanana, hata ofisi
    zilizoko mkoa mmoja, ila inatokea kila mmoja
    anakuwa na bei zake licha ya bidhaa kufanana.
  22. Mheshimiwa Spika, katika kudhibiti
    matumizi, Serikali imepanga kufanya maboresho
    katika mfumo wa ununuzi wa umma ili
    kuhakikisha ununuzi wa umma unakuwa wenye
    tija na unaoendana na ubora na thamani ya
    fedha. Tutaendelea kuboresha Mfumo wa
    Kielektroniki wa Ununuzi wa Umma (TANePS)
    ikiwemo kuweka ukomo wa bei za bidhaa na
    huduma zinazotumika serikalini ili kudhibiti
    matumizi ya fedha za Serikali; Wizara ya Fedha na
    Mipango itahakikisha kuwa, bei zote za bidhaa na
    huduma zinazotumika sokoni kwa jumla na
    rejareja (Price Catalogue) zinaingizwa kwenye
    mfumo wa TANePS na kuwa kikomo (limit) cha bei
    zitakazotumika Serikalini. Hii itasaidia
    19
    kuhakikisha kwamba mfumo wa TANePS
    hauruhusu watoa huduma na wakandarasi au
    wauza bidhaa wanaotoa bei zilizo zaidi ya soko
    kupata zabuni (tender) kwenye sekta ya umma.
  23. Mheshimiwa Spika, katika kutekeleza hatua
    hii, Wizara ya Fedha na Mipango itatoa Waraka
    wa Hazina kuelekeza idara na taasisi nunuzi
    kununua bidhaa zinazofanana kwa bei ya kikomo.
    Endapo kutakuwa na ulazima wa kununua
    magari kwa wingi, Serikali itafanya mazungumzo
    na Toyota Tanzania na Japan (kwa njia za
    kidijitali) ili kufanya makubaliano ya jumla
    (framework agreement) yatakayowezesha Serikali
    kupata bei nafuu kama ilivyo kwa mashirika
    makubwa ya kimataifa kama vile UNDP. Hii
    itasaidia kuokoa fedha katika ununuzi wa magari
    pamoja na vipuri. Zoezi hili litafanywa na Wizara
    ya Fedha na Mipango kwa kushirikiana na Wizara
    ya Ujenzi. Fedha zitakazookolewa kutokana na
    hatua hizi Serikali itazielekeza katika ujenzi
    wa vyuo vya ufundi kwenye Wilaya zetu kwa
    ajili ya watoto wetu.
  24. Mheshimiwa Spika, napendekeza matumizi
    ya mifumo ya TEHAMA iwe chaguo namba moja
    katika utekelezaji wa shughuli za Serikali ili
    kubana matumizi. Kuanzia mwaka ujao wa fedha
    20
    ofisi za serikali zianze paperless operations kwenye
    shughuli zake. Kila shughuli zifanyike kwa
    mtandao, mbona Bunge mmeweza? Kumbi za
    Mikoa na Wilaya zote ziwe na miundombinu ya
    mikutano ya njia ya Mtandao (Virtual Meeting).
    Hata wabunge mtaweza kushiriki vikao vya
    Mabaraza ya Madiwani mkiwa Dodoma au hata
    nje ya nchi. Utaratibu wa kuitana Wakuu wa
    Mikoa nchi nzima, Wakuu wa Idara, Wakuu wa
    Wilaya, Wakurugenzi Watendaji wa Halmashauri,
    na magari kwa nchi nzima na umbali wote kuja
    kukaa mahali na kusikiliza ni mzigo kwa walipa
    kodi. Tumekopa fedha kwa ajili ya mkongo wa
    taifa, tunalipa deni, ila tunatumia gharama kubwa
    kwa kufanya kazi manually. Mheshimiwa Rais
    anajenga chuo kikubwa cha TEHAMA, lakini
    tunaogopa TEHAMA. Tunataka kufuta usemi wa
    “Government works on papers” Sasa tunasema
    “Government works on records”. Tumeongea na
    Wizara ya Kisekta kama alivyoelekeza
    Mheshimiwa Rais kujadili utekelezaji wa jambo
    hili, Wizara tafuteni mtu wa kusimika hiyo
    mitambo kila Wilaya. Eti mkurugenzi anakuja
    tokea Wialaya ya pembezoni gharama yote ile eti
    ameleta barua, au anakuja kutoa ufafanuzi, au
    wanakuja nchi nzima kwenye kikao ila anaongea
    mmoja kwa uwakilishi.
    21
  25. Mheshimiwa Spika, kuhusu ufanisi katika
    Miradi ya Maendeleo, Mheshimiwa Rais
    ameelekeza kuangalia upya taratibu za ununuzi
    na thamani ya fedha kwenye Miradi ya Maendeleo.
    Taarifa ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu
    za Serikali – CAG ilionesha bado kuna dosari
    katika matumizi ya Serikali hususani kwenye
    ununuzi mkubwa na miradi ya maendeleo.
    Serikali imefuatilia eneo hili na kugundua mfumo
    wa kufanya ukaguzi wa taratibu za ununuzi
    (Compliance Audit) na wa kifedha (Financial
    Audit) ina upungufu. Yapo mazingira ya taratibu
    zote kufuatwa katika ununuzi, sheria zote za
    ununuzi kufuatwa, na hatua zote za ukaguzi
    kufuatwa lakini fedha ya umma kuibiwa. Hii
    inatokana na baadhi ya watumishi wa umma
    wasio waaminifu kupanga njama na
    wafanyabiashara wasio wazalendo kupandisha bei
    za bidhaa kwenye zabuni na kujipangia hata huyo
    aliyeshindania kwa kiwango cha chini anakuwa
    mbali na bei ya soko au gharama halisia.
  26. Mheshimiwa Spika, kwenye mchezo wa aina
    hii, wanafuata sheria ya ununuzi, wanafuata
    taratibu za kumchagua aliyeshinda bei ya chini,
    ila kwa kuwa hiyo iliyoshindaniwa kwa bei ya
    chini ni ya chini tu ikilinganishwa na wazabuni
    22
    wengine ambapo zabuni imefanywa kwa njama
    basi bei hizo zinakuwa juu sana ikilinganishwa na
    bei za bidhaa hizo hizo kwa bei ya soko. Hawa ni
    watu wanaoiba japo wamezingatia sheria.
    Serikali itaendelea kumjengea uwezo CAG ili
    kumwezesha kukagua thamani ya fedha kwenye
    miradi yote mikubwa (Value for Money) na
    kufanya ukaguzi kwa wakati ili kukabiliana na
    tatizo hili. Mheshimiwa Spika, napendekeza
    kumwongezea fedha Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu
    wa Hesabu za Serikali (CAG) ili apate watumishi
    wa kutosha kwa kuajiri na kuwahamisha
    watumishi kutoka idara yoyote ya Serikali na
    kuwajengea uwezo kwa mafunzo na weledi wa
    ukaguzi wa thamani ya fedha ili kuweza
    kukabiliana na tatizo hili. Mheshimiwa Spika,
    Serikali itafanyia marekebisho Sheria ya Ununuzi
    wa Umma ili kuziba mianya inayotoa fursa ya
    miradi kutekelezwa bila kujali thamani ya fedha
    (Value for Money) kama alivyoelekeza
    Mheshimiwa Samia Suluhu Hassani, Rais wa
    Jamuhuri ya Mungano wa Tanzania.
  27. Mheshimiwa Spika, Serikali itaendelea
    kuimarisha vitengo vya ukaguzi wa ndani kwa
    kuvijengea uwezo wa kitaaluma na kuongeza idadi
    ya watumishi katika fani mbalimbali kama vile
    TEHAMA, uhandisi, ukadiriaji majenzi, wakemia,
    23
    wanasheria na fani nyingine ili kuondokana na
    dhana ya wakaguzi wa ndani kuwa na taaluma ya
    fedha pekee. Aidha, Serikali itafanya marekebisho
    ya Kanuni za Fedha za Umma kwa kuziwezesha
    Kamati za Ukaguzi kuwa na wajumbe wa nje
    watatu ikiwemo Mwenyekiti wa Kamati ya Ukaguzi
    ili kuongeza uhuru na ufanisi wa kamati za
    ukaguzi kupitia Muswada wa Sheria ya Fedha wa
    Mwaka 2022. Pamoja na mambo mengine,
    marekebisho ya Kanuni hizo yatazitaka Kamati za
    Ukaguzi kuwasilisha taarifa za ukaguzi wa ndani
    kwa Mkaguzi wa Ndani Mkuu wa Serikali kila robo
    mwaka.
  28. Mheshimiwa Spika, Serikali itafanya
    tathmini ya muundo na majukumu ya Idara ya
    Mkaguzi wa Ndani Mkuu wa Serikali ikiwemo
    kufanya stadi ya kujifunza kutoka nchi nyingine
    zenye Idara ya Mkaguzi wa Ndani Mkuu Serikali
    kama Tanzania ili kuangalia muundo unaostahili
    na kukidhi mahitaji ya Idara hiyo kutekeleza
    majukumu yake kwa uhuru na ufanisi. Vilevile
    napendekeza Mkaguzi wa Ndani Mkuu wa
    Serikali kuwa na fungu lake (Independent Vote)
    pamoja na kuongeza idadi ya wakaguzi wa ndani
    ili kuimarisha na kuboresha ufanisi katika
    utendaji. Napendekeza kuanzia mwaka wa fedha
    24
    2022/23 taarifa za wakaguzi wa ndani zipelekwe
    moja kwa moja kwa Internal Auditor General (IAG)
    kama alivyoelekeza Mheshimiwa Rais wakati
    anapokea taarifa ya CAG. IAG atakuwa
    anawasilisha taarifa hizi kwenye Baraza la Kazi
    chini ya Mheshimiwa Waziri Mkuu ili kila Waziri
    wa kisekta aweze kupokea hoja zinazomhusu,
    kuzifanyia kazi na kuchukua hatua za kinidhamu.
    Wakaguzi wa ndani wa ofisi mbalimbali watatoa
    msaada na ushauri kwa maafisa masuhuli husika
    ila taarifa zote ziende kwa IAG na nakala
    zipelekwe kwa viongozi walio juu ya maafisa
    masuhuli. Kwenye ngazi za Halmashauri, nakala
    ziende kwa wenyeviti, mamea na wakuu wa
    Wilaya; kwa Sekretarieti za Mikoa, nakala ziende
    kwa Mkuu wa mkoa; Kwa wizara, nakala ziende
    kwa mawaziri; na kwa taasisi, mashirika na
    wakala, nakala ziende kwa wenyeviti wa Bodi.
  29. Mheshimiwa Spika, kuna wakati inatokea
    tunaona miradi ikikamilika, fedha zote zikiwa
    zimetumika lakini miradi ikiwa chini ya viwango,
    jengo au mradi unakamilika ungali bado
    unanukia rangi lakini ukiwa umetapakaa nyufa
    kila kona, sementi na tofali zikiwa ni mchanga.
    Katika kukabiliana na hali hiyo, Serikali
    inamwelekeza IAG pamoja na vitengo vya ukaguzi
    25
    wa ndani kuanza kufanya Technical Audit badala
    ya (Financial Audit) peke yake na kuanza kufanya
    ukaguzi kwa wakati (Real Time Audit) na ukaguzi
    wa mifumo (Systems Audit) ili kupunguza
    uwezekano wa upotevu fedha kupitia mifumo ya
    ukusanyaji au matumizi mabaya ya fedha za
    umma.
  30. Mheshimiwa Spika, kwenye eneo la
    usimamizi wa fedha za umma, Serikali
    itahakikisha kuwa Sheria ya Fedha za Umma
    SURA 348 inasimamiwa na kutekelezwa ipasavyo
    na pale itakapotokea sheria na taratibu za
    usimamizi wa fedha zimekiukwa ikiwa ni pamoja
    na kushindwa kujibu hoja zilizotolewa na Mdhibiti
    na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali pamoja
    na hoja za wakaguzi wa ndani, Afisa Masuuli wa
    Fungu husika pamoja na Maafisa wake wa chini
    watachukuliwa hatua kulingana na Kanuni za
    fedha zinazohusiana na adhabu (Surcharge and
    Penalties) za mwaka 2005. Baadhi ya hatua hizo
    ni pamoja na kuwakata mshahara kati ya asilimia
    5 hadi 30 kwa mwezi kulingana na uzito wa kosa
    waliloshiriki kulitenda na kupendekeza kwa
    Mamlaka zao za nidhamu, kuvuliwa wadhifa
    alionao au kuondolewa dhamana ya kuwa Afisa
    Masuuli wa fedha za Fungu husika.
    26
  31. Mheshimiwa Spika, kwa upande mwingine,
    Serikali imetoa mwongozo wa ufuatiliaji na
    tathimini (Monitoring Evatuation) yaani (M&E),
    na sasa inaandaa Sera ya M&E, na baadae Sheria
    ya M&E. Mheshimiwa Samia Suluhu Hassani,
    Rais wa Jamhuri ya Mungano wa Tanzania
    anakerwa sana na udhaifu uliopo katika eneo la
    M&E serikalini. Eneo hili litaongezewa rasilimali
    watu na fedha na litapewa malengo yanayopimika.
    Pamoja na hayo, napendekeza kuanzia mwaka
    ujao wa fedha taarifa za M&E ziwasilishwe kwenye
    Baraza la Kazi chini ya Mheshimiwa Waziri Mkuu.
  32. Mheshimiwa Spika, Vitendo vya Rushwa
    vinasababisha utekelezaji wa miradi kuwa chini
    ya viwango kwa kuwa fedha zilizopangwa kwenda
    kwenye mradi mingine zinachepushwa na kwenda
    kwenye mikono ya watumishi wasio wazalendo.
    Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan Rais
    wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
    amelikemea vikali jambo hili. Watu wanapanga
    kuanzia wakati wa maandalizi ya bajeti,
    wanafuatilia mchakato wote, siku ikipitishwa na
    Bunge wanakesha wakishangilia bajeti yao
    imepita, mradi unaposainiwa wanaanza kugawana
    fedha kabla ya utekelezaji wa mradi. Serikali
    itaendelea kuimarisha Technical Audit, Value
    27
    for Money Audit na Real Time Audit katika
    mwaka ujao wa Fedha. Aidha, Serikali
    haitawanyima fedha wananchi wa halmashauri
    yoyote kwa sababu ya hati chafu, wala
    haitarudisha fedha kwenye Mfuko Mkuu kwa
    sababu hazijatumika kutokana na sababu za
    uzembe wa baadhi ya watumishi wa umma.
    Wananchi hawahusiki na hati chafu.
    Tutawabaini wazembe, Tutawakamata,
    Tutawashitaki na Tutawafunga.
  33. Mheshimiwa Spika, watumishi wa umma ni
    kiungo muhimu sana katika maendeleo ya nchi.
    Mikataba yote inaingiwa na watumishi wa umma;
    ununuzi wowote wa Serikali unafanywa na
    watumishi wa umma; miradi yote ya Serikali
    inatekelezwa na watumishi wa umma; na mapato
    yote yanakusanywa na watumishi wa umma.
    Wananchi waliwasomesha watumishi wa umma
    kwa kujinyima, wamewaamini wakusanye na
    kutumia kodi zao kwa kuwapa huduma. Bado
    kuna vitendo vingi kwenye utumishi wa umma
    vinavyopunguza ufanisi katika Taifa lao. “Wage
    bill” yetu ni kubwa kuliko viwango vinavyotakiwa
    kiuchumi na wakati huo huo ikama hazijatimia na
    kila mtaa tuna kijana anatafuta kazi. Hii ina
    maana kuna watu wanalipwa bila kufanya kazi au
    28
    wanalipwa bila kuwa na ufanisi kazini.
  34. Mheshimiwa Spika, imezoeleka kwa mfano
    Makatibu Wakuu, Manaibu, Wakuu wa Mikoa,
    Wakuu wa Wilaya, Wakurugenzi Watendaji wa
    Halmashauri, Makatibu Tawala wa Wilaya,
    wakurugenzi, wakuu wa taasisi mbalimbali,
    wakuu wa idara mbalimbali tangu uhuru
    wakitenguliwa huendelea kulipwa mshahara ule
    ule sawa na aliyeko kazini mpaka anastafu.
    Unaweza kukuta nchi ina Wizara 25 ila ina
    Makatibu Wakuu 50 au zaidi, au Halmashauri
    184 lakini kuna wakurugenzi 300 au zaidi na
    hivyo hivyo kwa nafasi nyingine. Wengine
    wamesabaisha upotevu na hasara kwa Taifa, wote
    wanaendelea kuwabebesha mzigo watanzania na
    wanaziba nafasi ya ajira mpya kwa vijana kwa
    kulipwa mshahara wa nafasi walizotolewa.
    Napendekeza yeyote aliyetokea kwenye nafasi yake
    ya kuteuliwa akitolewa akabaki kwenye utumishi
    wa umma arejee pia kwenye mshahara wake wa
    zamani ili kuwapunguzia watanzania mzigo wa
    kuwalipa watu waliokaa benchi huku wakiziba
    nafasi za vijana wapya kuajiriwa. Mambo haya
    hayavutii lakini lazima tuambizane ukweli.
    Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan, Rais wa
    Jamhuri ya Muungano wa Tanzania anakerwa
    29
    kuona fedha nyingi zinakwenda kwenye matumizi
    ya kawaida
  35. Mheshimiwa Spika, napendekeza mashirika
    yote ya umma yenye kufanya kazi kwa misingi ya
    kibiashara yafanye kazi kwa ufanisi na faida. Yale
    yasiyofanya kazi kibiashara tutayapima kwa
    namna wanavyowezesha uchumi kuchangamka
    na jinsi wanavyoimarisha huduma wanazozitoa
    kwa jamii. Mashirika mengi ni mzigo kwa Serikali
    kwa kutegemea ruzuku kutoka serikalini ili
    yajiendeshe. Kwa nchi zilizoendelea, mapato
    makubwa ya Serikali yanatoka kwenye mashirika
    yake ili kuwapunguzia mzigo maskini wa kulipa
    kodi ili ziendeshe mashirika hayo lakini pia
    kupunguzia Serikali kutegemea kukusanya fedha
    kutoka kwa watu maskini. Napendekeza wakuu
    wote wa mashirika ya umma wafanyiwe usaili kwa
    ushindani. Napendekeza nafasi zianze kutangazwa
    punde nafasi ikiwa wazi ili wenye sifa wajitokeze
    na wafanyiwe usaili na iwe hivyo hivyo kwa bodi.
    Wenye sifa ndio wafanyiwe upekuzi kufanyiwa
    uteuzi na kupewa mkataba wenye malengo
    yanayopimika. Mashirika na taasisi zingine,
    bodi na Menejimenti zimezidisha urafiki sana
    na wanaendesha ofisi kirafiki, hakuna
    uwajibikaji wa kutosha, hii inakiuka misingi ya
    30
    mashirika kuwa na bodi za wakurugenzi. Hii
    inasababisha watu wakikabidhiwa shirika la
    umma wanageuza ni mali yao au duka.
  36. Mheshimiwa Spika, natambua kuna
    maeneo yatakayogusa sheria na kanuni
    mbalimbali, Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan
    ametuelekeza isiwepo sheria yoyote
    inayotumika kama kikwazo cha kuwaletea
    watanzania ufanisi. Serikali, itafanyia
    marekebisho Sheria mbalimbali na kanuni
    zitakazoguswa na maelekezo ya mheshimiwa Rais
    yanayolenga kuongeza ufanisi Serikalini. Najua
    maswala ya udhibiti wa matumizi, udhibiti wa
    vitendo vya rushwa, udhibiti wa uzembe, udhibiti
    wa ununuzi usiozingatia thamani ya fedha (value
    for money) yanagusa maslahi ya watu na
    yatanifanya niwe unpopular Finance Minister, na
    hata siku nikitoka kwenye nafasi hii marafiki
    watakaoona nilikwamisha dili zao potelea mbali
    watabaki wananchi wa Iramba ambao huwa
    wanabaki nami hata nikiwa nje ya uwaziri.
    Mheshimiwa Rais amenielekeza niyafanyie kazi
    maeneo haya ya mapato na matumizi ya nchi,
    nami nitayasimamia, nawaomba waheshimiwa
    wabunge tumuunge mkono mheshimiwa Rais
    wetu, hii ni nia njema ya kuwakwamua
    31
    watanzania kwenye umasikini.
    Sekta za Uzalishaji
  37. Mheshimiwa Spika, kuhusu Sekta za
    Uzalishaji na Ajira kwa Vijana, Taifa letu ni
    Taifa la Vijana, (wastani wa miaka 18). Miaka ya
    sitini, miaka ya sabini na miaka ya themanini
    vijana walikuwa wanahudumia wazee na watoto.
    Njia ilikuwa rahisi kwa wahitimu wakitafutwa
    wangali masomoni wachague wanataka kwenda
    kufanya kazi taasisi gani. Hali haiko hivyo sasa.
    Kwa sasa, wazee ndio wanahudumia vijana na
    watoto wao. Ni kawaida sasa kukuta mzee wa
    kijijini au mstaafu akiwahudumia vijana
    wahitimu. Uwiano huu sio mzuri kwa Taifa letu
    kuwa na nguvu kazi kubwa ambayo haiko kazini
    licha ya uwekezaji mkubwa uliowekwa katika
    sekta za uzalishaji. Mipango yetu sasa na Sera
    zetu sasa lazima zijibu mahitaji ya vijana wa
    Tanzania.
    Sekta ya Kilimo
  38. Mheshimiwa Spika, katika kuwekeza
    kwenye sekta za uzalishaji na zinazotengeneza
    ajira kwa vijana, Serikali ya CCM inayoongozwa
    na Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan, Rais wa
    32
    Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeongeza
    bajeti ya Kilimo kutoka shilingi billion 294 hadi
    shilingi bilioni 954 na itaendelea kuongezeka kila
    mwaka. Lengo la Serikali ni kuhakikisha kuwa
    sekta ya kilimo inakua kwa zaidi ya asilimia 10
    ifikapo mwaka 2030. Bajeti ya mwaka 2022/23 ni
    msingi muhimu kufikia lengo kuu hilo. Malengo
    mengine ni kujitosheleza kwa mahitaji ya chakula
    ndani ya nchi na kuuza nje ya nchi, kuongeza
    thamani ya mauzo ya mazao nje ya nchi kutoka
    dola za Marekani bilioni 1.2 hadi zaidi ya dola za
    Marekani bilioni 5 ifikapo mwaka 2030 ili
    kuongeza uhimilivu wa deni la Taifa. Serikali
    inakusudia kuongeza mauzo ya Mazao ya Bustani
    (Horticulture) kutoka dola za Marekani milioni
    750 kwa mwaka hadi dola za Marekani bilioni 2
    mwaka 2030.
  39. Mheshimiwa Spika, ili kupunguza umaskini
    kwa watanzania, Serikali ya CCM inayoongozwa
    na Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan inalenga
    kutengeneza ajira kwa vijana na wanawake zaidi
    ya milioni 3 katika sekta ya kilimo ifikapo mwaka
  40. Hii itafanyika kwa kuongeza eneo la
    umwagiliaji kufikia hekta 8,500,000, sawa na
    asilimia 50 ya eneo lote linalolimwa nchini ifikapo
  41. Serikali kupitia Wizara ya Kilimo itatekeleza
    33
    Schemes ndogo za umwagiliaji kote nchini.
    Tunataka vijana watoke mjini kuelekea kwenye
    mashamba ya umwagiliaji kwa kujenga
    miundombinu ya umwagiliaji ikiwemo ujenzi wa
    mabwawa ya kuvunia maji ya mvua. Tuna Ziwa
    Victoria, Ziwa Tanganyika, Ziwa Nyasa na mito
    mikubwa, kama Malagarasi, Ruvuma, Rufiji,
    Mara, Pangani, Ruvu nk, haya maji tutayatumia
    kwenye skimu za Umwagiliaji. Kwa ardhi, maji na
    watu tulio nao, ni jambo la aibu kwa Tanzania
    kulia shida ya ngano, shida ya mafuta ya kula
    kwa sababu ya vita vya Ukraine na Urusi, sisi
    tunayo fursa ya kuilisha Afrika, Ulaya na Asia
    katika baadhi ya mazao.
  42. Mheshimiwa Spika, Serikali inakusudia
    kuongeza idadi ya mashamba makubwa (Block
    Farms/Commercial Farms) kutoka 110 mwaka
    2020 hadi 10,000 mwaka 2030 na kufanya
    mwelekeo wa uzalishaji wa kilimo kuwa cha
    kibiashara. Kwa kilimo cha michikichi, tuache
    kung’ang’ania mchikichi mmoja mmoja kila
    familia, Mkoa wa Kigoma ndio kitovu cha
    Michikichi na upanuzi utafuata mikoa ya
    Tabora, Katavi, Pwani, Geita na Kagera.
    Wakulima wawezeshwe kuunganisha mashamba
    ili yawe mashamba makubwa (plantations). Kila
    34
    mmoja anakuwa mmiliki ili itengenezwe
    miundombinu ya pamoja. Hivyo ndivyo
    tunavyoweza kuitikisa dunia. Kwa alizeti hivyo
    hivyo. Serikali inatarajia kufanya tathmini ya
    kupunguza au kuhamisha mifugo michache
    iliyopo katika ranchi ya Kongwa ili hekta karibu
    elfu 38 zitumike kwa kilimo cha alizeti na kiwanda
    kikubwa kuliko vyote Afrika Mashariki. Aidha,
    eneo la Mtanana ambapo huwa tunasumbuka
    kuweka madaraja pale maji yanapokata barabara
    tuweke Bwawa kubwa ili bonde lote liwe la
    “outgrowers” wa alizeti.
  43. Mheshimiwa Spika, mpaka sasa Tanzania
    hatujajitosheleza kwa vitu vingi tu ambavyo tuna
    uwezo wa kuzalisha. Bidhaa nyingi tunazoagiza
    kutoka nje tuna uwezo wa kuzizalisha hapa, hizo
    ni ajira za vijana wa kitanzania ambazo tumewapa
    vijana wa mataifa tunakoagiza bidhaa. Serikali
    imekusudia kuhakikisha upatikanaji wa malighafi
    kwenye viwanda vya kuongeza thamani ya mazao
    na bidhaa za kilimo kufikia asilimia 100 ifikapo
    2030, na kuongeza uzalishaji wa mazao ya kilimo
    kupitia kilimo cha umwagiliaji kutoka asilimia 10
    hadi asilimia 50. Mafuta ya alizeti yale ni mengi tu
    yakipangwa pembezoni mwa barabara,
    machungwa, mananasi, ni mengi tu yakipangwa
    35
    pembezoni mwa barabara, ukiweka viwanda vya
    masaa 24 kwa siku 7, vya kuwafanya vijana
    wafanye kazi kwa zamu (shift), viwanda
    vitawashwa wiki tatu tu, upungufu wote wa
    malighafi ni ajira za vijana tunazozikosa.
    Sekta ya Mifugo
  44. Mheshimiwa Spika, idadi ya mifugo hapa
    nchini ni takriban ng’ombe milioni 35.3; mbuzi
    milioni 25.6; na kondoo milioni 8.8; kuku milioni
    92.8; na nguruwe milioni 3.2. Hata hivyo,
    mchango wa sekta hii kwenye fedha za kigeni
    bado mdogo, na mchango wa kubadilisha maisha
    ya wafugaji bado ni mdogo. Licha ya idadi hiyo ya
    mifugo, viwanda vyetu vilivyopo Rukwa, Longido,
    Kibaha, na Mwanza havina malighafi, na wakati
    huo huo tuna vijana hawana ajira. Sababu kubwa
    ni utofauti wa malengo kati ya mfugaji na mwenye
    kiwanda. Malengo ya wafugaji wengi tulionao siyo
    ya kibiashara, anafuga ili idadi iongezeke, hana
    mpango na kiwanda. Mheshimiwa Spika, ndugu
    zangu wa usukumani hata ng’ombe akivunjika
    mguu anafungwa POP, hata akiwa na shughuli ya
    kifamilia hachinji ng’ombe wa zizini, anakwenda
    kununua mnadani. Wale wa kwenye zizi wote
    wana majina, chitamakuwi, maagulya,
    nshoshawiye na majina ya shangazi, mjomba,
    36
    bibi, hawachinjwi halafu mwenye kiwanda
    anaweka kiwanda kutokana na takwimu tu za
    mifugo katika mkoa huo.
  45. Mheshimiwa Spika, Wizara ya Mifugo na
    Uvuvi imeongezewa ukomo wa bajeti kwa kiasi
    cha shilingi bilioni 100. Kati ya kiasi hicho,
    shilingi bilioni 40 ni za sekta ya mifugo na shilingi
    bilioni 60 ni za sekta ya uvuvi. Hivyo, bajeti ya
    Wizara ya Mifugo na Uvuvi imeongezeka kutoka
    shilingi 168,252,007,000 hadi kufikia shilingi
    268,252,007,000. Kati ya fedha hizo, Shilingi
    92,050,824,000 ni kwa ajili ya Sekta ya Mifugo na
    shilingi 176,201,183,000 ni kwa ajili ya sekta ya
    uvuvi. Ongezeko hilo la bajeti linalenga
    kuimarisha sekta ya mifugo ili ufugaji uwe wa
    kisasa zaidi na wenye tija (modernization). Katika
    mwaka 2022/2023, Serikali itaimarisha
    mashamba ya kuzalisha mitamba ya Sao Hill,
    Kitulo na Mabuki kwa kuyapatia ng’ombe wazazi
    na vitendea kazi, ikiwemo matrekta matatu (3) na
    vifaa vyake. Aidha, Serikali itanunua madume ya
    mbegu 366 kwa ajili ya kuboresha mbari za
    mifugo; na itazalisha mitamba 3,500 na
    kuisambaza kwa wafugaji. Serikali inakusudia
    kuongeza uzalishaji wa vyakula ambapo mpaka
    sasa uzalishaji wa vyakula vya mifugo
    37
    umeongezeka kutoka tani 1,200,000 mwaka
    2020/2021 hadi tani 1,380,000 mwaka
    2021/2022.
  46. Mheshimiwa Spika, Serikali ya CCM
    inayoongozwa na Mheshimiwa Samia Suluhu
    Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
    Tanzania na Mwenyekiti wa CCM inakusudia
    kuanzisha vituo nane (8) vya kukuza ujuzi wa
    vijana (Youth Incubation Center) kwa kuanzia na
    wanufaika takriban 1000 kwa ajili ya vijana
    watakaofanya kazi ya kunenepesha ng’ombe na
    kuuza kwenye viwanda hivi vinavyokosa malighafi.
    Serikali imepanga kutumia mitambo ya kuchimba
    mabwawa kwa ajili ya wafugaji wadogo wadogo.
    Aidha, napendekeza Wizara inayohusika na
    mifugo itunge kanuni za kukusanya na kulinda
    fedha kwa kila Wilaya kwa makundi ya mifugo
    yanayozidi mia moja kwa ajili ya ujenzi wa
    miundombinu. Mheshimiwa Spika, Serikali
    inaendelea kuhamasisha uwekezaji zaidi katika
    viwanda vya kuchakata na kusindika nyama kwa
    ajili ya soko la ndani na nje ya nchi hususani nchi
    za Mashariki ya Kati ambapo kwa sasa kuna
    machinjio na viwanda 24 vinavyokidhi vigezo vya
    kuuza nyama nje ya nchi ambapo vitano kati ya
    hivyo vimeanza kufanya mauzo nje ya nchi.
    38
    Viwanda vya kutengeneza bidhaa za ngozi vina
    uwezo wa kuzalisha jozi 2,855,600 za viatu kwa
    mwaka. Kwa upande wa maziwa, idadi ya viwanda
    vya kusindika maziwa nchini imeongezeka kutoka
    99 mwaka 2020/2021 vilivyosindika lita milioni
    75.9 hadi viwanda 105 mwaka 2021/2022
    vilivyosindika lita milioni 77.6 ikiwa ni ongezeko la
    asimilia 2.3
    Sekta ya Uvuvi
  47. Mheshimiwa Spika, katika mwaka 2021,
    sekta ya uvuvi ilikua kwa asilimia 2.5 na
    ilichangia asilimia 1.8 kwenye Pato la Taifa.
    Aidha, sekta ya uvuvi inatoa ajira kwa watanzania
    takriban milioni 4.5 katika mnyororo mzima wa
    thamani ambapo ajira za moja kwa moja kwa
    wavuvi ni 194,804 na wakuzaji viumbe maji ni
    31,998. Serikali imepanga: Kuanza ujenzi wa
    bandari ya uvuvi katika eneo la Kilwa Masoko –
    Lindi; ununuzi wa meli mbili (2) za uvuvi katika
    Ukanda wa Uchumi wa Bahari; ununuzi wa vifaa
    vya kuvutia samaki (Fish Aggregate Device –
    FADs); ununuzi na usambazaji wa boti 250 za
    kisasa za aina ya fibre kwa vyama vya ushirika wa
    wavuvi; kuendelea na ufufuaji wa Shirika la Uvuvi
    Tanzania – TAFICO; kuwajengea uwezo wataalamu
    wa uvuvi; kuimarisha Wakala wa Elimu na
    39
    Mafunzo ya Uvuvi – FETA; kuimarisha Taasisi ya
    Utafiti wa Uvuvi Tanzania – TAFIRI; kukamilisha
    ujenzi wa mialo ya kupokelea samaki ya Igabiro,
    Mbamba Bay na Chifunfu na kujenga masoko sita
    (6) ya samaki kwenye maeneo mbalimbali ya
    kimkakati; kukarabati kituo cha ulinzi na
    usimamizi wa rasilimali za uvuvi cha Bukoba;
    kununua boti mbili (2) kwa ajili ya utalii wa
    baharini; ujenzi na ukarabati wa vituo vya ukuzaji
    viumbe maji; na kuimarisha shughuli za
    ufuatiliaji na tathmini ya miradi ya sekta ya uvuvi
    ili kuhakikisha mradi unatekelezwa kama
    ulivyopangwa.
    Sekta ya Fedha
  48. Mheshimiwa Spika, sekta ya fedha
    imeendelea kutoa mikopo kwa wafanyabiashara
    na uchumi. Pamoja na juhudi hizo, kumekuwepo
    na wafanyabiashara wasiolipa mikopo yao kwa
    wakati na kupelekea kudhoofisha ustawi wa
    mabenki na ustawi wa uchumi kwa ujumla. Hadi
    kufikia Machi 2022, mikopo chechefu ilikuwa
    asilimia 8.12. Hiki ni kiwango kikubwa sana
    ikilinganishwa na vigezo vilivyowekwa na Benki
    Kuu ya Tanzania. Jambo hili linasababishwa na
    ukopaji usiozingatia kanuni na unaohusisha
    ukosefu wa weledi na uaminifu wa baadhi ya
    40
    watumishi wa benki. Unakuta mtu amekopa
    mabenki zaidi ya matano na kote hajalipa.
    Akidaiwa anabakia kuonesha ufundi wa kujificha,
    baadae akichoka kujificha anakimbilia
    mahakamani. Tuache utapeli unatuchafulia nchi
    na unapozesha uchumi, “Ukikopa Lipa”. Nitoe rai
    kwa vyombo vya dola na vyombo vya sheria kuwa
    wakali kwenye utapeli wa aina hii.
  49. Mheshimiwa Spika, niwapongeze sana
    wanawake, taarifa za kitafiti nilizopewa
    zinaonesha wanawake wengi wanajitahidi
    kurejesha mikopo kwa uaminifu. Hata mikopo ya
    familia kama imekopwa na wanawake, mingi
    huwa inafanya kazi iliyokusudiwa na hivyo
    inarejeshwa kwa uaminifu kuliko iliyokopwa na
    wanaume wengi ambao huwa hawarejeshi.
    (Niweke sawa, Niliposema wanaume wengi ni
    ukimwondoa Makamu wa Rais na Waziri Mkuu).
    Tujenge utaratibu wa kukopa kwa kuzingatia
    kanuni, uwezo wa kulipa na tujenge utaratibu wa
    kurejesha mikopo kwa uaminifu ili kuimarisha
    sekta ya fedha na kukuza uchumi. Kwa upande
    mwingine, wako baadhi ya watumishi wa mabenki
    wasio waaminifu kwa kushirikikiana na madalali
    wao wanapenda kutamani dhamana za wateja
    wao na kutafuta wateja wa kununua dhamana za
    wateja wangali wameshalipa zaidi ya asilimia tisini
    41
    ya deni. Tena wanauza dhamana kwa kiwango cha
    chini ukilinganisha na thamani ya dhamana
    iliyowekwa. Jambo hili linawatia umaskini
    watanzania. Nitoe rai kwa vyombo vya ulinzi na
    usalama kufuatilia kwa karibu kila inapofanyika
    minada kwa madalali wa dhamana na bandarini.
    Sekta ya Nishati
  50. Mheshimiwa Spika, mafanikio tuliyoyapata
    katika sekta ya nishati ni pamoja na kuendelea
    kutekeleza: Mradi wa Kufua Umeme wa Maji wa
    Julius Nyerere – MW 2,115 ambapo hadi Aprili
    2022 utekelezaji umefikia asilimia 60.22; miradi
    ya Kupeleka Umeme Vijijini – REA; mradi wa
    ujenzi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika
    Mashariki (East African Crude Oil Pipeline –
    EACOP) kutoka Hoima, Uganda hadi Tanga,
    Tanzania; na mradi wa kusindika na kuongeza
    kasi ya usambazaji gesi asilia. Aidha, Serikali
    imeendelea kuwashirikisha wazawa ambapo
    shughuli za uendeshaji wa mitambo ya
    uchakataji, usafirishaji na usambazaji wa gesi
    asilia unafanywa na watanzania.
  51. Mheshimiwa Spika, katika sekta ya nishati,
    Serikali itaendelea kutekeleza miradi mbalimbali
    ya uzalishaji, usafirishaji na usambazaji umeme.
    42
    Kwa mwaka 2022/23, Serikali ya CCM
    inayoongozwa na Mheshimiwa Samia Suluhu
    Hassan, Rais wa Jamhuri ya Mungano wa
    Tanzania na Mwenyekiti wa CCM itaendelea na
    utekelezaji wa mradi mkubwa wa Kuimarisha
    Gridi ya Taifa (National Grid Stabilization
    Project) kwa lengo la kuimarisha upatikanaji wa
    umeme wa uhakika nchini pamoja na kutekeleza
    miradi ya nishati vijijini kupitia Wakala wa Nishati
    Vijijini (REA). Miradi mingine itakayotekelezwa
    inahusisha Ruhudji (MW 358), Kinyerezi I –
    Extension (MW 185), Rusumo (MW 80) na Kikonge
    (MW 300). Aidha, Serikali itaendelea kujenga njia
    za mzunguko pete (ring circuit) ili kuzuia upotevu
    wa umeme kwa kuwezesha umeme kupita njia
    mbadala pale miundombinu inapopata hitilafu.
    Miradi ya njia ya umeme wa msongo
    itakayoendelea kutekelezwa ni pamoja na kV 400
    Rufiji – Chalinze – Dodoma na Chalinze –
    Kinyerezi; kV 400 Singida – Arusha – Namanga; kV
    400 North – West Grid Extension (Iringa – Mbeya –
    Sumbawanga – Mpanda – Kigoma – Nyakanazi);
    pamoja na kujenga miundombinu ya umeme kwa
    ajili ya SGR.
  52. Mheshimiwa Spika, Serikali itakamilisha
    43
    uunganishaji wa mikoa miwili yaani Kigoma na
    Katavi kwenye Gridi ya Taifa. Mradi wa Nyakanazi
    – Kakonko – Kasulu – Kigoma KV33 unaojengwa
    na Mkandarasi Sinotech, Mradi wa Nyakanazi –
    Kigoma KV 400 Mkandarasi yuko site kwa
    gharama ya dola za Marekani milioni 168, fedha
    zipo! Kadhalika mradi wa kufua umeme wa
    Malagarasi mw 49.5 fedha tayari zipo kwa ajili ya
    mradi huo. Serikali itaendelea na miradi mikubwa
    miwili pia ya kuunganisha umeme kutokea
    Sumbawanga – Katavi – Kigoma na ule wa Tabora
    – Katavi – Kigoma. Mheshimiwa Spika, kwa
    upande wa Mkoa wa Katavi, tayari mkandarasi
    yuko site ukianza na ujenzi wa sub station Ipole
    Sikonge, Inyonga wenye thamani ya bilion 124.
    Napenda niwahakikishie wananchi wa mikoa hiyo
    kuwa umeme wa Grid ya Taifa utafika kama
    alivyoeleza Waziri wa Nishati. Wabunge wa Kigoma
    na wabunge wa Katavi mliokuja kuweka kambi
    Wizara ya Fedha na Mipango mkifuatilia ahadi ya
    Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan Rais wa
    Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, mtarudi
    mikoani kwenu mkiwa mashujaa na mtatembea
    kifuambele.
    Ujenzi na Uchukuzi
    44
  53. Mheshimiwa Spika, hadi Aprili 2022, ujenzi
    wa Reli ya Kati kwa Kiwango cha Kimataifa – SGR
    kwa kipande cha Dar es Salaam – Morogoro (km
    300) umefikia asilimia 96.54; na kipande cha
    Morogoro – Makutupora (km 422) asilimia 85.02.
    Aidha, Serikali imesaini mkataba wa ujenzi wa
    SGR kwa kipande cha tatu cha kutoka
    Makutopora mpaka Tabora (km 368) wenye
    thamani ya shilingi trilioni 4.4. Serikali iko katika
    hatua za mwisho ya kusaini mktaba wa kipande
    cha Tabora – Isaka (km 163) (dola za Marekani
    milioni 695.7). Serikali imeanza mchakato wa
    kutafuta mkandarasi kwa kipande cha Tabora –
    Kigoma km 514 (dola za Marekani bilioni 2.1)
    na kipande cha Uvinza – Malagarasi – Msongati
    – Gitega – Kindu (DRC)
  54. Mheshimiwa Spika, Serikali imekamilisha
    ujenzi wa jumla ya kilometa 216.26 za barabara
    kuu na kilometa 34.8 za barabara za mikoa kwa
    kiwango cha lami. Aidha, kilometa 307.41 za
    barabara za mikoa zilikarabatiwa kwa kiwango
    cha changarawe. Vilevile, Serikali imeanza ujenzi
    wa barabara ya mzunguko wa nje – Outer Ring
    Road (km 112.3) katika Jiji la Dodoma pamoja na
    kuendelea na upanuzi wa njia nane wa barabara
    ya Kimara – Kibaha (km 19.2). Kadhalika, Serikali
    45
    imekamilisha ujenzi wa madaraja ya Tanzanite
    (Dar es Salaam), Kiyegeya (Morogoro), na Ruhuhu
    (Ruvuma) na kuendelea na ujenzi wa madaraja
    ikijumuisha daraja la J.P Magufuli (Kigongo –
    Busisi, Mwanza) ambalo ujenzi umefikia asilimia
    40.2, Kitengule, Kagera (asilimia 90) na Wami,
    Pwani (asilimia 72.9). Serikali pia imeendelea na
    ukarabati wa viwanja vya ndege vya Songea,
    Mtwara, Iringa, Musoma na Songwe.
  55. Mheshimiwa Spika, Serikali ya CCM
    inayoongozwa na Mheshimiwa Samia Suluhu
    Hassan Rais wa Jamhuri ya Mungano wa
    Tanzania na Mwenyekiti wa CCM itaweka
    msisitizo katika ujenzi wa barabara za kufungua
    fursa za kiuchumi na zile za kuunganisha
    Tanzania na nchi jirani kwa utaratibu wa EPC + F
    ikiwemo (1) barabara za Kidatu – Ifakara – Lupilo
  • Malinyi – Londo – Lumecha (Songea), (km 499);
    (2) Handeni – Kibirashi – Kibaya – Kwa Mtoro –
    Singida (km 460); (3) Karatu – Mbulu – Haydom –
    Sibiti River – Lalago – Maswa (Simiyu) (km 389);
    (4) Daraja la Juu la Magomeni-Jangwani-Fire-Bibi
    Titi (5) Kibaha – Mlandizi – Chalinze – Morogoro
    Expressway (km 158); (6) Igawa – Songwe –
    Tunduma (Expressway) (km 218.0), ambazo
    zitawekewa road toll pamoja na daraja la
    46
    Tanzanite kwa kuwa lina sifa zote za kufanya
    hivyo. Serikali itamalizia barabara
    zinazounganisha Mikoa ambayo wakandarasi
    wako kazini ikiwepo Tabora – Kigoma na
    Nyakanazi – Kigoma na kuweka kipaumbele
    kwenye kujenga barabara muhimu za kiuchumi
    kama Barabara ya Makongorosi-Itigi – Mokiwa,
    Mafinga-Mtwango-Nyololo – Mgololo, Kahama –
    Nyang – wale – Geita na nyinginezo.
  1. Mheshimiwa Spika, Serikali ya awamu ya
    sita imeonesha dhamira ya dhati ya kuboresha
    bandari ili kurahisisha shughuli za kiuchumi za
    usafirishaji kwa njia ya maji na uvuvi katika kina
    kirefu cha bahari. Katika kufanikisha hilo,
    Serikali imendelea na miradi ya ujenzi, upanuzi
    na ukarabati wa miundombinu ya bandari zilizopo
    katika ukanda wa Bahari ya Hindi. Miradi hiyo ni
    pamoja na: kukamilika kwa ujenzi wa gati
    maalumu la kuhudumia meli za magari (RoRo),
    yadi ya kuhudumia makasha pamoja na
    kuboresha gati namba 1 – 7 katika Bandari ya Dar
    es Salaam; kusainiwa kwa mkataba na
    mkandarasi China Harbour Engineering Co. Ltd
    kwa ajili ya ujenzi wa bandari ya Uvuvi, Kilwa
    Masoko – Lindi; kukamilika kwa ujenzi wa gati
    moja lenye urefu wa mita 300; kuendelea na
    47
    ujenzi wa uzio na sakafu ngumu katika eneo la
    mita za mraba 75,807 katika Bandari ya Mtwara;
    na kukamilika kwa uongezaji wa kina kwenye
    lango la kuingia meli kutoka mita nne (4) hadi
    mita 13 pamoja na kuweka vifaa vya kuongoza
    meli katika Bandari ya Tanga. Aidha, Serikali
    inaendelea na majadiliano na wawekezaji
    watakaowekeza kwenye Eneo Maalum la
    Uwekezaji Bagamoyo hususani katika miradi ya
    msingi mitatu (3) ambayo ni: Bandari ya kisasa
    (Modern Seaport Component); Sehemu ya Kanda
    Maalum kwa ajili ya mizigo na usafirishaji
    (Logistics Park); na Sehemu ya Mji wa Viwanda
    (Port side Industrial City).
  2. Mheshimiwa Spika, katika mwaka 2021/22,
    Serikali ilikamilisha ujenzi wa chelezo cha
    kujengea na kukarabati meli katika Bandari ya
    Mwanza pamoja na ukarabati wa meli za New
    Butiama Hapa Kazi Tu na New Victoria Hapa Kazi
    Tu. Aidha, serikali imeendelea na ujenzi wa meli
    mpya ya MV Mwanza Hapa kazi Tu yenye uwezo
    wa kubeba abiria 1,200 na tani 400 za mizigo,
    ambapo ujenzi umefikia asilimia 66. Mheshimiwa
    Spika, katika mwaka 2022/23, Serikali inatarajia
    kujenga meli mpya: moja (1) katika Ziwa Victoria;
    mbili (2) katika Ziwa Tanganyika; na moja katika
    48
    Bahari ya Hindi. Aidha, Serikali itaendelea na
    ujenzi wa meli ya MV. Mwanza katika ziwa
    Victoria pamoja na ukarabati wa Meli za MV
    Umoja, MT Sangara, MV Liemba – Ukerewe, MT.
    Nyangumi na boti moja (1) ya mwendokasi (Sea
    Warrios) – Ziwa Tanganyika. Aidha, Serikali
    itafanya ukaguzi wa kina wa Meli ya MV
    Mwongozo katika Ziwa Tanganyika pamoja na
    kuendelea kufungua mifumo ya TEHAMA katika
    vituo vya Maziwa makuu (Victoria, Tanganyika na
    Nyasa).
  3. Mheshimiwa Spika, Serikali inaendelea
    kutekeleza mpango wa kuboresha Shirika la
    Ndege Tanzania ambapo katika kipindi cha
    mwaka 2021/22 Serikali imepokea ndege tatu (3).
    Kati ya hizo, ndege mbili (2) ni aina ya Airbus
    A220 300 na ndege moja ni aina ya Dash 8 Q400.
    Vilevile, Serikali imefanya malipo ya awali ya
    ununuzi wa ndege mpya tano (5) ambazo ni ndege
    mbili (2) aina ya Boeing 737-9, ndege moja (1) aina
    ya De Havilland Dash 8-Q400, ndege moja (1) aina
    ya Boeing 787-8 Dreamliner, na ndege moja (1) ya
    mizigo aina ya Boeing 767-300F.
  4. Mheshimiwa Spika, uboreshaji wa viwanja
    vya ndege unaendelea katika maeneo mbalimbali
    nchini. Katika kutekeleza hilo, Serikali imesaini
    49
    mkataba kwa ajili ya ujenzi wa Kiwanja cha Ndege
    cha Kimataifa cha Msalato awamu ya kwanza
    itakayohusisha ujenzi wa njia ya kuruka na kutua
    ndege pamoja na jengo la abiria. Aidha, Serikali
    imekamilisha upanuzi wa njia ya kutua na
    kuruka ndege na kufungwa kwa mfumo wa
    kuongoza ndege katika Kiwanja cha Ndege cha
    Dodoma; pamoja na usanifu na kuendelea na
    maandalizi ya ujenzi wa jengo la abiria katika
    Kiwanja cha Ndege cha Mwanza. Viwanja
    vinavyoendelea kufanyiwa ukarabati na ujenzi ni
    viwanja vya ndege vya Songea (asilimia 96),
    Mtwara (asilimia 89), Iringa (asilimia 44.65),
    Songwe (asilimia 95) na Musoma (asilimia 10).
    Vilevile, Serikali inaendelea kufanya maandalizi ya
    ujenzi na upanuzi wa viwanja vya ndege vya
    Shinyanga, Kigoma, Tabora na Sumbawanga
    vitakavyogharimu Euro milioni 50 sawa na shilingi
    bilioni 136.85.
    Elimu, Sayansi na Teknolojia
  5. Mheshimiwa Spika, Serikali imewezesha
    ujenzi wa madarasa 15,000 katika shule za
    sekondari na vituo shikizi na mabweni 50 kwa ajili
    ya wanafunzi wenye mahitaji maalum. Ujenzi wa
    miundombinu hii umewezesha wanafunzi wote
    907,803 waliofaulu mtihani wa darasa la saba
    50
    mwaka 2021 kupata nafasi ya kuanza kidato cha
    kwanza Januari 2022 bila kusubiri chaguo la pili.
    Kadhalika, Serikali imekamilisha maboma 560 ya
    vyumba vya madarasa katika shule za sekondari
    kutokana na tozo za miamala ya simu ambapo
    shilingi bilioni 7.0 zilitolewa; Aidha, Serikali
    imetoa mikopo yenye thamani ya shilingi bilioni
    569 kwa wanafunzi 177,777 wa elimu ya juu.
  6. Mheshimiwa Spika, katika mwaka 2022/23
    Serikali itaenda kutekeleza mradi wa “Higher
    Education for Economic Transformation” (HEET)
    wenye thamani ya dola za Marekani milioni 425.
    Mradi huu utahusisha ujenzi wa miundombinu
    katika vyuo vikuu mama na katika mikoa kadhaa
    ambayo haina vyuo vikuu ikiwemo Lindi, Kagera,
    Rukwa, Katavi, Manyara na kukamilisha ujenzi
    wa Institute of Marine Science Zanzibar na kujenga
    chuo kipya cha TEHAMA Dodoma.
  7. Mheshimiwa Spika, Serikali imeendelea
    kugharamia programu ya elimumsingi bila ada
    ambapo hadi Aprili 2022, jumla ya shilingi bilioni
    244.5 zilitolewa. Mheshimiwa Samia Suluhu
    Hassan Rais wa Jamhuri ya Mungano wa
    Tanzania na Mwenyekiti wa CCM ameguswa sana
    na watoto kukatisha masomo kwa ajili ya sababu
    mbalimbali. Miongoni mwa sababu
    51
    zinazosababisha kukatisha masomo ni umaskini
    wa kipato kwenye familia zetu, mimba za utotoni,
    mwamko duni wa elimu kwa baadhi ya jamii na
    utoro na wale wasioendelea kufuatana kwa
    mujibu wa sheria (Ufaulu). Ili kukabiliana na
    utoro (drop out) wa wanafunzi wanaotoka
    familia maskini, bado tuna watoto
    wanaoshindwa kumudu mahitaji ya lazima licha
    ya kuwepo kwa programu ya elimu bila malipo na
    hivyo wanasaidiwa na wabunge, madiwani na
    wengine kuchangiwa na wasamaria wema.
    Napendekeza kuanzisha dirisha maalum
    (Special Fund) kupitia TASAF itakayosaidia
    watoto wanaotokea familia maskini. Kwa msingi
    huo napendekeza kuanza na bilion 8 kwa ajili ya
    watoto masikini watakaopatikana kwenye
    database ya TASAF na taarifa za wabunge na
    madiwani.
  8. Mheshimiwa Spika, ili kukabiliana na
    mimba za utotoni, Serikali itaendelea kujenga
    mabweni kwenye maeneo hatari kwa watoto wa
    kike. Aidha, ili kutoa fursa kwa watoto
    wasioendelea na vidato na vyuo, Serikali
    itaendelea kuimarisha elimu ya ufundi hususan
    katika vyuo vya kati kwa lengo la kuwajengea
    uwezo wa kujiajiri ama kuajiriwa. Mpaka sasa
    52
    Wilaya 77 zina vyuo vya Ufundi VETA kati ya
    Wilaya 138 nchini kote. Tuna mikoa 25 ina Vyuo
    vya Ufundi kati ya mikoa 26. Bado mkoa wa
    Songwe hauna kabisa Chuo cha VETA na
    wabunge wa mkoa wa Songwe wamekuwa
    wakishinda Ofisini wakifuatilia ahadi waliopewa
    na Mheshimiwa Rais. Bado kuna wilaya 36
    ambazo hazina vyuo wala vyuo vya Mkoa.
    Napendekeza kutoa bilioni 100 kwa ajili ya ujezi
    wa vyuo vya ufundi kwa Mkoa wa Songwe na
    wilaya 36 ambazo hazina vyuo ili kufanya wilaya
    zote 138 kuwa na chuo cha Ufundi (VETA).
    Waheshimiwa wabunge, Huyo ndio SAMIA.
  9. Mheshimiwa Spika, kwa sasa wanafunzi wa
    kidato cha tano ni takriban 90,825 na kidato cha
    sita ni 56,880. Mahitaji ya fedha ni shilingi
    10,339,350,000. Ili kuwapunguzia gharama
    watoto hao kama Mheshimiwa Rais alivyoielekeza
    Wizara, napendekeza kufuta ADA kwa
    wanafunzi wa kidato cha tano na sita. Kwa
    hatua hiyo, Elimu bila Ada ni kuanzia shule za
    msingi mpaka kidato cha sita. Serikali
    itajipanga kuangalia namna ya kusaidia vyuo vya
    kati kadiri hali ya uchumi itakavyotengemaa.
    Nani kama SAMIA? Nani kama Mama? Nani kama
    CCM? CCM ni Na. 1.
    Sekta ya Afya
    53
  10. Mheshimiwa Spika, katika mwaka 2021/22,
    Serikali imewezesha ujenzi, upanuzi na ukarabati
    wa miundombinu ya afya ikiwemo: majengo 66 ya
    wagonjwa mahututi – ICUs; majengo 100 ya
    dharura – EMDs; nyumba 150 kwa ajili ya
    watumishi wa Afya; Hospitali za Rufaa za Mikoa 7
    na hospitali maalum 1 (Mirembe); na vituo vya
    Afya 304 ili kuboresha huduma ya mama na
    mtoto. Aidha, Serikali imetoa ruzuku ya shilingi
    bilioni 23.32 kwa Mamlaka za Serikali za Mitaa ili
    kukamilisha ujenzi wa maboma 564 ya zahanati.
    Serikali pia imeendelea na ujenzi wa hospitali 99
    na kuanza ujenzi wa hospitali mpya 28. Vilevile,
    Serikali imewezesha ujenzi wa vituo vya afya 234
    kwa kutumia tozo ya miamala ya simu yenye
    thamani ya shilingi bilioni 86.0.
  11. Mheshimiwa Spika, Serikali inaendelea
    kuimarisha huduma za afya kwa kuboresha
    huduma za uchunguzi wa magonjwa ambapo hadi
    sasa katika hospitali zetu mbalimbali kuna jumla
    ya mashine 11 za CT scan, mashine 7 za MRI na
    mashine 105 za digital X Ray zinazofanya kazi.
    Kati ya hizo, mashine 42 za digital X Ray zipo
    katika hospitali za ngazi ya taifa, kanda na
    maalumu na rufaa za mikoa na mashine 63 zipo
    katika hospitali zilizo chini ya OR-TAMISEMI.
    54
    Serikali itaendelea kutoa kipaumbele katika eneo
    hili ambapo ununuzi zaidi wa vifaa vya uchunguzi
    wa magonjwa umekamilika na vifaa hivyo
    vitasimikwa katika hospitali na taasisi zetu
    mbalimbali. Vifaa ambavyo vimeshaagizwa ni
    pamoja na, MRI 4; CT “Scan 31; Digital X Rays”
    130; mini angio suite moja na “Echo Cardiography”
  12. Aidha, Serikali inaendelea na usimikaji wa vinu
    ya kuzalisha na kujaza hewa tiba ya oksijeni
    ambapo hadi sasa vinu 13 vimesimikwa katika
    hospitali zetu mbalimbali na hivyo kusogeza
    huduma za kitabibu kwa wananchi.
  13. Mheshimiwa Spika, Serikali ya CCM
    inayoongozwa na Mheshimiwa Samia Suluhu
    Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
    Tanzania na Mwenyekiti wa CCM itaendelea
    kuboresha sekta ya afya kwa kujenga, kukarabati
    na kupanua miundombinu ya kutolea huduma za
    afya ikiwemo: Ujenzi wa Hospitali Maalum ya
    Mama na Mtoto Jijini Dodoma; kuanza ujenzi wa
    Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Magharibi;
    kukamilisha ujenzi wa Hospitali (5) za Rufaa za
    Mikoa katika Mikoa mipya ya Katavi, Geita,
    Njombe, Songwe na Simiyu; na kukamilisha
    upanuzi wa hospitali nane (8) za Rufaa za Mikoa.
    Aidha, Serikali itaendelea kuboresha huduma za
    55
    matibabu ya ubingwa bobezi katika Hospitali ya
    Taifa na Kanda kwa kuimarisha miundombinu na
    ununuzi wa vifaa na vifaa tiba katika Taasisi ya
    JKCI, Hospitali za Rufaa za Kanda za Chato,
    Mtwara, KCMC, Bugando na Mbeya.
    Sekta ya Maji
  14. Mheshimiwa Spika, Mheshimiwa Rais wetu
    amewezesha kukamilika kwa miradi 303 ya maji
    vijijini na miradi 40 mijini ikiwemo miradi
    mikubwa ya Misungwi, Orkesumet, ChalinzeMboga na Longido; kuongezeka kwa kiwango cha
    upatikanaji wa huduma za maji nchini kutoka
    asilimia 72.3 vijijini na 86 mijini mwaka 2020/21
    hadi asilimia 74.5 vijijini na 86.5 mijini;
    kuimarika kwa usimamizi wa rasilimali ya maji
    kwa kuendelea kutambua, kuweka mipaka na
    kuhifadhi vyanzo 178 vya maji pamoja na
    kuandaliwa kwa mipango ya utunzaji wa maeneo
    ya vidakio vya maji katika mabonde yote nchini.
  15. Mheshimiwa Spika, Serikali pia
    imekamilisha taratibu za ununuzi wa seti 25 za
    mitambo ya kuchimba visima ambayo
    itasambazwa kwa kila mkoa isipokuwa Dar es
    Salaam; seti 5 za mitambo ya ujenzi wa mabwawa
    ambazo zitapelekwa kwenye kila kanda; na seti 4
    56
    za vifaa vya utafiti wa maji chini ya ardhi.
    Mitambo hii inatarajiwa kupokelewa mwishoni
    mwa mwezi Juni, 2022. Aidha, mnamo tarehe 6
    Juni 2022, Serikali ilisaini mikataba ya
    kusambaza maji kwa miji 28, ambazo ni fedha za
    mkopo wenye thamani ya dola za Marekani milioni
    500 kutoka Exim bank – India. Kati ya fedha hizi,
    dola milioni 35 zitatekeleza miradi ya maji
    Zanzibar.
    Sekta ya Mali Asili na Utalii
  16. Mheshimiwa Spika, Aprili mwaka huu,
    Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan, Rais wa
    Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, alizindua
    filamu ya “The Royal Tour” ambayo imelenga
    kuonesha uwezo na fursa zilizopo Tanzania katika
    sekta ya utalii na uwekezaji. Hivyo, kupitia Bunge
    hili, napenda kuendelea kuwakaribisha diaspora
    wa Tanzania na wawekezaji kutoka kona zote za
    dunia kuja kutalii na kuwekeza katika fursa za
    uwekezaji zilizopo nchini kwani Tanzania tuna
    “JAMBO LETU” kwenye kuinawirisha sekta
    binafsi katika uwekezaji. Tumejipanga na
    kujizatiti kuifanya Tanzania kuwa “KITOVU na
    MFANO” wa sehemu ya uwekezaji salama,
    haraka, rahisi, wenye tija na manufaa kwa pande
    zote. Kufuatia ziara hiyo kwenye kanda za utalii
    57
    Tanzania, tayari booking zimejaa mpaka Desemba
    2022 kwenye maeneo mengi. Naomba kutoa wito
    kwa wawekezaji wote kuwa, Tanzania
    kumenoga, milango iko wazi, njooni muwekeze
    kwa maslahi mapana ya pande zote.
    Sekta ya Madini
  17. Mheshimiwa Spika, chini ya uongozi wa
    Serikali ya Awamu ya Sita, mchango wa sekta ya
    madini umeongezeka kutoka asilimia 6.7 mwaka
    2020 hadi asilimia 7.2 mwaka 2021 ambapo
    ukuaji huu uliifanya sekta hii kushika nafasi ya
    tano miongoni mwa sekta nyingine za kiuchumi
    nchini. Aidha, kasi ya kukua kwa shughuli za
    madini hapa nchini imekuwa ikiendelea
    kuongezeka ambapo katika mwaka 2021, sekta ya
    madini ilikua kwa asilimia 9.6 ikilinganishwa na
    ukuaji wa asilimia 6.7 mwaka 2020, na hivyo
    kuwa ya tatu miongoni mwa sekta nyingine kwa
    kiwango cha ukuaji katika kipindi hicho.
    Mwenendo huu wa ukuaji wa sekta umetokana na
    ongezeko la uwekezaji uliofanyika kupitia
    uchimbaji mkubwa, wa kati na mdogo nchini.
    Lengo la Serikali ni kuona sekta ya madini
    inachangia asilimia 10 ya Pato la Taifa ifikapo
    mwaka 2025 kama ilivyoainishwa katika Dira ya
    Taifa ya Maendeleo 2025.
    58
  18. Mheshimiwa Spika, kwa upande wa
    wachimbaji wadogo kushiriki uchumi wa madini,
    Serikali imezihamasisha taasisi za fedha na benki
    nchini kutoa mikopo kwa wachimbaji hao ili
    kuwawezesha kukua na kufanya uchimbaji wenye
    tija. Baadhi ya benki ikiwemo NMB, NBC, CRDB
    na KCB zimeridhia na kuanza kutoa mikopo
    ambapo jumla ya shilingi bilioni 36 zimekopeshwa
    kwa wachimbaji hao. Hizi ni miongoni mwa juhudi
    ambazo Serikali imezifanya ili kuhakikisha
    wachimbaji wadogo wanakua na kufikia hadhi ya
    kiwango cha kati na hatimaye wakubwa,
    wanashiriki uchumi wa madini na kuchangia
    katika Pato la Taifa. Aidha, kufuatia Serikali
    kuendelea kuwawezesha wachimbaji wadogo,
    mchango wao katika maduhuli ya Serikali
    umeongezeka hadi kufikia takriban asilimia 40 ya
    maduhuli yote. Kutokana na mchango wao,
    Serikali itaendelea kuwawezesha ili waendelee
    kuchangia zaidi katika uchumi wa Taifa.
  19. Mheshimiwa Spika, Serikali kupitia Taasisi
    ya Jiolojia Tanzania – GST imeweza kufanikisha
    ugani wa jiolojia kwa asilimia 96 ya nchi nzima,
    ugani wa jiofizikia kwa skeli ndogo (Low
    Resolution) asilimia 100 na skeli kubwa (High
    59
    Resolution) asilimia 16 na ugani wa jiokemia
    asilimia 25 ya nchi nzima. Kupitia tafiti hizo
    Serikali imefanikiwa kugundua maeneo mapya
    yenye rasilimali madini na kuyatangaza kwa lengo
    la kuvutia uwekezaji mkubwa. Baadhi ya
    rasilimali zilizogunduliwa katika kipindi cha
    mwaka mmoja uliopita ni pamoja na dhahabu
    (Malinyi – Morogoro na Liwale – Lindi), gesi ya
    helium (Masware – Babati na Ziwa Natroni –
    Arusha), chokaa na feldispa (Kiteto – manyara),
    chokaa (Mkalama – Singida).
  20. Mheshimiwa Spika, migodi mikubwa iliyopo
    kama GGML, Bulyanhulu North Mara na mgodi
    mpya wa Kabanga Nikeli na Nyanzaga imetokana
    na taarifa za awali za jiolojia zilizofanywa na GST
    miaka ya nyuma. Kutokana na mafanikio hayo,
    Serikali itaendelea kuiwezesha GST ili iweze
    kufanya utafiti zaidi wa jiofizikia kwa skeli kubwa
    (High Resolution) kwa lengo la kufikia asilimia 65
    kutoka asilimia 16 iliyopo sasa. Manufaa
    yanayotarajiwa ni pamoja na; Uwezekano wa
    kuanzishwa kwa migodi mipya ambayo itachangia
    Pato la Taifa kupitia sekta ya madini; ukuaji wa
    sekta mtambuka ambazo hutegemea sana sekta
    ya madini kama vile kilimo, ujenzi na maji;
    uanzishwaji wa viwanda vinavyotegemea
    60
    upatikanaji wa malighafi za madini kama vile
    viwanda vya saruji, mbolea na marumaru; na
    kuongezeka kwa ufahamu zaidi wa jiolojia ya nchi
    na hivyo kuchochea shughuli za utafiti na
    uchimbaji wa madini ambao utachangia katika
    maendeleo ya Taifa.
  21. Mheshimiwa Spika, kila mtanzania mwenye
    umri wa zaidi ya miaka 18 na mwenye kipato
    anatakiwa kulipa kodi. Ili kutimiza amza hiyo,
    Serikali inakusudia kutoa namba ya utambulisho
    wa mlipakodi (TIN) kwa kila mtanzania mwenye
    umri wa kuanzia miaka 18 au zaidi. Kwa kuwa
    utaratibu wa usajili wa namba ya utambulisho wa
    Taifa (NIDA) unamtaka kila mwananchi mwenye
    umri wa miaka 18 au zaidi kujisajili NIDA,
    napendekeza kuwa wale wote wenye NIDA kwa
    sasa (wanaofikia milioni 19 nchi nzima) wapatiwe
    namba ya TIN na itumike kwenye miamala yote
    inayofanyika katika ununuzi na mauzo
    yanayofanyika ndani ya nchi. Kila mwenye namba
    ya mlipakodi atapata makadirio yake kwa njia ya
    simu na kulipa kodi husika kwa njia ya mtandao.
  22. Mheshimiwa Spika, vijana wetu wa
    bodaboda wanapata shida kufuata leseni yalipo
    makao makuu ya mkoa, yaani mtu atoke Mererani
    61
    kwenda Babati makao mkuu ya mkoa wa
    Manyara, atoke Kakonko kufuata leseni Kigoma,
    atoke Wilaya ya mwisho kule mpakani na Lindi,
    Mtwara na Ruvuma kufuata leseni Morogoro ili
    hali taarifa zake zote ziko kwenye kitambulisho
    cha NIDA. Napendekeza taarifa zilizopo kwenye
    kitambulisho zitumike kutengeneza leseni,
    akishakufuzu ajiandikishe atoe namba yake ya
    NIDA, TRA na Jeshi la Polisi wafanye kazi ya
    kuoanisha taarifa na wamtumie mhusika leseni
    yake kwa simu. Aidha, napendekeza wananchi
    wote wenye namba ya utambulisho wa mlipakodi
    (TIN) wapeleke ritani za kodi Mamlaka ya Mapato
    Tanzania kwa mwaka mara moja. Utaratibu huu
    utachachua utamaduni wa kulipa kodi miongoni
    mwa Watanzania na hivyo kuiongezea Serikali
    mapato yatokanayo na sekta ambazo hazichangii
    kwenye makusanyo ya Serikali kwa sasa licha ya
    kuwa na mchango mkubwa kwenye Pato la Taifa
    kama vile sekta za mifugo, kilimo, uvuvi na
    nyinginezo.
    Bunge
  23. Mheshimiwa Spika, Serikali inatambua uzito
    wa majukumu ya Bunge na hivyo itaendelea
    kuhakikisha kwamba Bunge linawezeshwa
    kifedha na kujengewa uwezo ili kuongeza ufanisi
    62
    katika utekelezaji wa majukumu yake ya msingi
    ya kutunga sheria, kushauri na kusimamia
    Serikali. Kwa kulitambua hilo, katika mwaka wa
    fedha 2022/23, Bunge limeongezewa kiasi cha
    shilingi bilioni 5 kwa ajili ya matumizi mengineyo
    ili kuwezesha utekelezaji wa majukumu yake
    ikiwemo kuwajengea uwezo wabunge ili waweze
    kuisimamia vizuri Serikali. Serikali pia
    imeongeza bajeti ya mfuko wa Jimbo ili
    kuwawezesha wabunge kushiriki kikamilifu
    kwenye shughuli za kuchochea maendeleo
    katika majimbo yao. Serikali itahakikisha kuwa
    fedha kwa ajili ya shughuli za Bunge zinatolewa
    kwa wakati. Aidha, Serikali itaendelea kutoa
    ushirikiano kwa Bunge lako Tukufu kwa kulipatia
    taarifa zote muhimu zinazohitajika na kwa wakati
    ikiwepo taarifa za kila robo mwaka za kitengo cha
    Tathmini na Ufuatiliaji ili ziwasaidie wabunge
    wanapofanya ziara za kukagua miradi kama
    nilivyopendekeza awali.
    Utawala Bora
  24. Mheshimiwa Spika, kwa upande wa
    mahakama, Serikali itaendelea kuimarisha
    usimamizi wa mifumo ya haki na utoaji haki kwa
    kuendelea kuwezesha mhimili wa Mahakama
    kuongeza kasi ya kusikiliza mashauri na hivyo
    63
    kupunguza mrundikano wa mashauri
    mahakamani. Aidha, Serikali imeendelea
    kuboresha miundombinu ya utoaji haki kupitia
    ujenzi na ukarabati wa miundombinu ya
    mahakama ikiwa ni pamoja na kuimarisha
    matumizi ya TEHAMA hususan mfumo wa
    mkutano mtandao na mfumo wa kielektroniki wa
    usimamizi na uendeshaji wa mashauri.
    Utekelezaji wa masuala haya unalenga kuboresha
    ufanisi wa mahakama na kufanya usimamizi wa
    mahakama kuwa wa kisasa zaidi na hivyo
    kuwawezesha wananchi kupata haki sawa na kwa
    wakati.
  25. Mheshimiwa Spika, katika mwaka 2022/23,
    Serikali itaendelea kugharamia utekelezaji wa
    shughuli mbalimbali katika Ofisi ya Mwanasheria
    Mkuu wa Serikali zinazolenga katika utoaji haki
    kwa wananchi na kupambana na rushwa.
    Shughuli zitakazotekelezwa ni pamoja na ujenzi
    wa vituo jumuishi vya utoaji haki na kutafsiri
    sheria ambapo kiasi cha shilingi bilioni 5.7
    zimeongezwa kwenye bajeti ya awali. Aidha,
    Serikali imeongeza kiasi cha shilingi bilioni 20
    kwenye bajeti ya Ofisi ya Mwendesha Mashtaka
    wa Serikali kwa ajili kugharamia mashahidi wa
    makosa ya jinai na ujenzi wa vituo jumuishi vya
    64
    utoaji haki.
    Ulinzi na Usalama
  26. Mheshimiwa Spika, katika mwaka 2021/22,
    Serikali kupitia majeshi yetu imeendelea
    kudumisha amani na usalama nchini na hivyo
    kuwezesha watanzania kutembea kifua mbele na
    kutekeleza shughuli mbalimbali za kijamii na
    kiuchumi bila wasiwasi. Aidha, Serikali
    imeendelea kuimarisha ushirikiano wa kiulinzi na
    kijeshi na nchi mbalimbali na tunaamini kuwa
    vyombo vyetu vya ulinzi na usalama vitaendelea
    kutimiza wajibu wake wa kulinda mipaka na
    amani ya nchi yetu kwa moyo wa kizalendo na
    hivyo kuzidi kuimarisha mazingira ya amani na
    utulivu ya kuvutia biashara na uwekezaji. Katika
    mwaka 2022/23, Serikali itaendelea kuviimarisha
    na kuvijengea uwezo vyombo vya ulinzi na
    usalama ili kuendelea kutekeleza wajibu wake
    kwa weledi na uzalendo.
  27. Mheshimiwa Spika, sambamba na zoezi la
    anuani za makazi linaloendelea, Serikali
    itaimarisha shughuli za usalama ngazi ya kaya ili
    kujidhatiti na aina mpya ya uhalifu ambao
    tumeusikia kwa baadhi ya majirani zetu.
    Utaratibu huo ni pamoja na kuhakikisha viongozi
    65
    wa mitaa na shehia wanahusika kwenye
    upangishaji wa nyumba za kuishi ili kila nyumba
    ya kupanga itumie mkataba wa Serikali ya
    vijiji/mitaa uliopigwa muhuri wa ofisi ya
    vijiji/mitaa husika. Kadhalika, mauziano ya mali
    zisizohamishika lazima zihusishe uongozi wa
    Serikali husika hata kama wahusika wana
    mawakili binafsi ila viongozi wa serikali za
    vijiji/mitaa wawe na taarifa za mambo
    yanayoendelea katika maeneo yao.
    Uhusiano wetu na Washirika wa Maendeleo
  28. Mheshimiwa Spika, jitihada za kuimarisha
    ushirikiano na Washirika wa Maendeleo pamoja
    na mataifa mbalimbali duniani zinazofanywa na
    Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan,
    zimewezesha kusainiwa kwa mikataba ya misaada
    na mikopo mbalimbali. Baadhi ya mikataba ya
    miradi iliyosainiwa ni pamoja na: Uboreshaji wa
    Umiliki wa Ardhi; kuboresha Elimu ya Msingi; na
    mradi wa Maboresho ya Mahakama ili kusogeza
    huduma za Mahakama karibu na wananchi.
    Aidha, baadhi ya mikataba ya miradi
    inayotarajiwa kusainiwa ni pamoja na: Mradi wa
    Kufungamanisha Uchukuzi ambao una lengo la
    kuboresha na kuunganisha njia kuu za barabara
    na viwanja vya ndege vya mikoa (TanTIP); na
    66
    Mpango Kabambe wa Kuboresha na Kuimarisha
    Takwimu – TSMP II.
  29. Mheshimiwa Spika, Serikali inakamilisha
    majadiliano ya upatikanaji wa mkopo nafuu
    kutoka Benki ya Dunia wenye thamani ya dola za
    Marekani milioni 500, sawa na shilingi bilioni
    1,167. Aidha, Serikali imefikia makubaliano ya
    kupata mkopo nafuu wenye thamani ya shilingi
    bilioni 2,567, sawa na dola za Marekani bilioni 1.1
    kupitia dirisha la Extended Credit Facility (ECF)
    chini ya Shirika la Fedha la Kimataifa – IMF.
    Mkopo huo wa IMF utatolewa kwa awamu saba
    katika kipindi cha miezi 40 kuanzia Julai 2022
    hadi Julai 2025. Fedha hizo zitaelekezwa katika
    kuimarisha sekta za uzalishaji, huduma za jamii
    pamoja na kuboresha mazingira ya ufanyaji
    biashara na uwekezaji na kuinua sekta
    zilizoathiriwa na vita ya Ukraine na Urusi.
    Maslahi ya Watumishi wa Umma na Wastaafu
  30. Mheshimiwa Spika, tuzo ya watumishi
    wachapakazi na wazalendo ni ipi? Matunda ya
    utumishi wa kujitoa na uadilifu wa watumishi hao
    ni yapi? Lakini Je, ni nani wa kuyatambua na
    kuyapa thamani halisi mambo hayo? Sauti zenye
    maswali haya zilitawala masikio ya Mheshimiwa
    67
    Mama yetu mwenye usikivu, unyenyekevu na
    anayejali, na hatimaye maswali haya yamejibiwa
    na kalamu yenye mamlaka ya Mheshimiwa Rais
    wetu kwa kuridhia nyongeza ya kima cha chini
    cha mshahara kwa asilimia 23.3 kwa watumishi
    wa umma. Kwa kuendelea kuonesha kujali na
    kuthamini utumishi wa umma, Mheshimiwa
    Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya
    Mungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM
    amefanya maboresho kwenye viwango vya posho.
    Aaminie katika wema na kujali, hutenda na
    kuuishi wema. Hivyo, Mheshimiwa Rais wetu ni
    mfano sahihi wa maneno haya katika jambo hili.
    Watumishi wa Umma wanauliza Nani kama
    Mama Samia? na wanasema Asante sana
    Mama!
  31. Mheshimiwa Spika, Serikali itaendelea na
    jitihada za kulipa madai ya Watumishi wa Umma
    pamoja na kupandisha madaraja watumishi
    wanaostahili. Tutaendelea kuboresha mazingira
    ya kazi na maslahi yao kadri uchumi wa nchi
    utakavyoruhusu bila kuathiri makundi mengine
    ya wananchi, huduma mbalimbali pamoja na
    utekelezaji wa miradi ya maendeleo. Katika
    kuhakikisha maslahi ya wastaafu wetu
    waliotumikia Taifa hili kwa uzalendo, uadilifu na
    68
    bidii kubwa wananufaika na michango
    waliyochangia katika mifuko ya hifadhi ya jamii,
    Serikali sikivu ya Mama yetu imeridhia kuongeza
    malipo ya mkupuo kwa wastaafu kufikia asilimia
    33 badala ya asilimia 25 iliyopendekezwa mwaka
    2018.
  32. Mheshimiwa Spika, Serikali itaendelea na
    mikakati mbalimbali ya kulipa madeni ya mifuko
    ya hifadhi ya jamii. Katika mwaka 2021/22,
    Serikali ilitoa hatifungani maalumu yenye
    thamani ya shilingi trilioni 2.18 kwa ajili ya kulipa
    deni la Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi
    wa Umma – PSSSF linalohusu michango ya
    watumishi waliokuwa kwenye utumishi kabla ya
    mwaka 1999. Mwaka 2022/23, Serikali itaendelea
    na uhakiki wa madeni ya mifuko ya hifadhi ya
    jamii na kulipa deni stahiki. Lengo ni kuhakikisha
    watumishi wanalipwa kwa wakati mafao yao mara
    baada ya kustaafu pamoja na pensheni zao za kila
    mwezi.
    Mazingira ya Biashara ndogo na Sekta Binafsi
  33. Mheshimiwa Spika, katika kuhakikisha
    azma ya Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan,
    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya
    69
    kuwapanga, kuwasimamia, kuwalinda na
    kuwawezesha wafanyabiashara wadogo inafikiwa,
    Serikali itaendelea na jitihada mbalimbali za
    kuhakikisha wajasiriamali hao wadogo
    wanaboreshewa mazingira ya kufanyia biashara.
    Aidha, Serikali itaendelea kuwatambua na
    kuwaunganisha na Taasisi za fedha ili waweze
    kupata mikopo nafuu. Vilevile, Serikali itaendelea
    kutenga maeneo na ujenzi wa miundombinu kwa
    ajili ya wajasiriamali wadogo. Katika kuhakikisha
    utatuzi wa changamoto za machinga unakuwa
    shirikishi, Mheshimiwa Rais ameahidi kutoa
    shilingi milioni 10 kila mkoa kwa ajili ya
    kuimarisha uongozi wa machinga pamoja na
    ujenzi wa ofisi za machinga. Aidha, napendekeza
    kufanya mgao mpya wa mapato ya ndani ya
    halmashauri kama ifuatavyo: Asilimia 10 ya
    mapato ya vyanzo vya Halmashauri, napendekeza
    asilimia 5 iwe kwa ajili ya miundombinu na
    masoko ya machinga; asilimia 2 kwa vijana;
    asilimia 2 wanawake; na asilimia 1 kwa wenye
    ulemavu. Aidha, Serikali imetenga shilingi bilioni
    45 kwa ajili ya kuendelea na ujenzi wa
    miundombinu na mtaji kwa machinga ambapo
    kila mkoa, machinga walioko kwenye maeneo
    yaliopangwa wawe na revolving fund ya shilingi
    bilioni 1 kwa utaratibu utakaowekwa .
    70
  34. Mheshimiwa Spika, katika kuongeza jitihada
    za kurasimisha sekta isiyo rasmi ili inufaike na
    kuwa sekta rasmi, Serikali imepanga kuweka
    mazingira rafiki ya kisheria na kikanuni katika
    usajili na uendeshaji wa biashara, kuharakisha
    usajili wa biashara kwa kuhakikisha usajili
    unakamilika ndani ya siku moja iwapo muombaji
    amekidhi masharti yanayohitajika, kuongeza
    upatikanaji wa mikopo kwa biashara
    zinazorasimishwa, kuongeza upatikanaji wa
    huduma kama miundominu ya biashara, mafunzo
    teknolojia na masoko. Vilevile, Serikali imepanga
    kuongeza vituo atamizi vya kukuza biashara na
    maeneo maalumu ya viwanda.
  35. Mheshimiwa Spika, kwa kutambua
    mchango wa sekta binafsi katika uwekezaji,
    Serikali imeendelea kuboresha mazingira ya
    uwekezaji na biashara nchini kupitia utekelezaji
    wa Mpango wa Kuboresha Mazingira ya Biashara
    Nchini ili sekta binafsi iweze kushiriki kikamilifu
    katika kukuza uchumi wa nchi. Mwaka 2021/22,
    Serikali kwa kushirikiana na sekta binafsi
    ilishiriki majadiliano ya kutatua changamoto
    zinazoikabili sekta hiyo katika kufanya biashara
    katika masoko ya nchi mbalimbali ikiwemo Kenya
    ambapo vikwazo visivyo vya kikodi 42 kati ya 64
    71
    vimepatiwa ufumbuzi. Hali hiyo iliwezesha ustawi
    wa biashara baina ya Tanzania na Kenya. Aidha,
    kupitia Sheria ya Fedha 2022/23, Serikali
    inapendekeza kufanya maboresho ya jumla ya
    maeneo 19 ya sheria mbalimbali ili kuboresha
    zaidi mazingira ya biashara na uwekezaji kama
    nitakavyoeleza baadae.
  36. Mheshimiwa Spika, Serikali imeendelea
    kuratibu ushiriki wa watanzania katika miradi ya
    kimkakati na uwekezaji unaofanyika hapa nchini
    (Local Content) ambapo jumla ya ajira 72,395 za
    moja kwa moja na zisizo za moja kwa moja
    zilizalishwa katika mwaka 2021. Vilevile, miradi
    ya kimkakati ilitoa kandarasi ndogo ndogo kwa
    kuingia mikataba na kampuni 2,019 za
    watanzania kwa huduma za chakula, ulinzi,
    biashara, bidhaa za ujenzi kama vile saruji,
    nondo, kokoto, mchanga, kampuni za usafiri,
    kampuni za bima na kampuni za mafuta.
    Kadhalika, Serikali imeweka mikakati ya
    kuhakikisha kuwa na mikataba ya uwekezaji
    inasomana na sheria za kodi kwa ajili ya kutatua
    changamoto ya kutotekelezeka kwa baadhi ya
    miradi ya uwekezaji kutokana na kukinzana na
    sheria za kodi.
    Ubia wa Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPP)
    72
  37. Mheshimiwa Spika, katika utekelezaji wa
    miradi ya PPP, jumla ya miradi mitano (5) ipo
    katika hatua ya ununuzi wa mbia. Aidha,
    napenda kuliarifu Bunge lako Tukufu kuwa Mradi
    wa Mabasi Yaendayo Haraka Awamu ya Kwanza
    umepata mbia wa uendeshaji ambapo hatua
    inayofuata ni majadiliano na mbia husika. Hatua
    hii itaongeza ufanisi wa uendeshaji na utoaji wa
    huduma na mradi huu utakuwa mradi wa
    kielelezo uliopitia hatua zote zinazotakiwa kwa
    mujibu wa Sheria ya PPP, Sura 103. Upatikanaji
    wa wabia katika miradi ya PPP utaleta ahueni
    katika bajeti ya Serikali na hivyo kuwezesha
    kuongeza rasilimali fedha katika maeneo mengine
    na hivyo kuwaletea maendeleo watanzania.
    Serikali itaendelea kufanya tathmini ili kuboresha
    na kuipa nafasi sekta binafsi kushiriki katika
    kutekeleza miradi ya Serikali kwa mfumo wa Ubia
    na hivyo Serikali kujikita zaidi katika kuweka
    mazingira wezeshi na kuboresha huduma za
    kijamii.
  38. Mheshimiwa Spika, ili kuhakikisha kuwa
    kunakuwa na mazingira wezeshi ya uwekezaji na
    ufanyaji biashara nchini, Serikali itaendelea
    kutekeleza Mpango wa Kuboresha Mazingira ya
    Kufanya Biashara kwa kuimarisha miundombinu
    wezeshi ya usafirishaji na nishati; kuhakikisha
    73
    uhimilivu wa viashiria vya uchumi jumla; na
    kuwianisha tozo na ada mbalimbali zinazotozwa
    na Wizara na Mamlaka za Udhibiti kwa lengo la
    kupunguza na kurahisisha ulipaji wake na
    kuzifuta baadhi ya tozo na ada za kero. Aidha,
    mwaka 2022/23, Serikali itaendelea kufanya
    marekebisho ya viwango vya kodi, tozo na ada
    zinazotozwa chini ya sheria mbalimbali.
    Marekebisho hayo yanalenga kuchochea kasi ya
    ukuaji wa uchumi, hususan katika sekta ya
    viwanda, uwekezaji na biashara pamoja na
    kuongeza ajira, mauzo nje, mapato na akiba ya
    fedha za kigeni. Vilevile, katika kuepusha
    malimbikizo ya marejesho ya Kodi ya Ongezeko la
    Thamani – VAT na kupunguza mzigo wa madai ya
    fedha kutokana na ucheleweshaji wa marejesho
    kwa sekta binafsi, Serikali itaanza mchakato wa
    kuhakiki marejesho ya VAT kwa njia ya
    kielektroniki kuanzia mwaka 2022/23.
    Sensa ya Watu na Makazi
  39. Mheshimiwa Spika, kipaumbele kingine
    katika bajeti ya mwaka 2022/23 ni ugharamiaji
    wa Sensa ya Watu na Makazi inayotarajiwa
    kufanyika tarehe 23 Agosti 2022. Ili kuwezesha
    zoezi hili muhimu, Serikali imetenga jumla ya
    shilingi bilioni 400.9. Aidha, napenda kutumia
    74
    nafasi hii kupitia Bunge lako Tukufu kuhimiza
    wananchi wote kutoa ushirikiano siku hiyo hasa
    ukizingatia zoezi hili ni jukumu la kila mtu.
    Ushiriki wetu utaiwezesha Serikali, Mashirika
    Yasiyo ya Kiserikali na sekta binafsi kupata
    takwimu sahihi zitazokuwa msingi wa kuandaa,
    kutekeleza na kutathmini sera na mipango
    mbalimbali ya maendeleo katika nchi yetu.
    Lugha ya Kiswahili
  40. Mheshimiwa Spika, lugha ya kiswahili ndio
    lugha ya Taifa, ndio lugha ya ofisini, ndio lugha ya
    pili kwa watoto wa vijijini na lugha ya kwanza kwa
    watoto waliowengi wa sasa, ndio lugha ya msingi,
    ni lugha ya Bunge, na nikiwa Waziri wa Katiba na
    Sheria nilileta mapendekezo kuifanya kuwa lugha
    ya Mahakama na lugha ya hukumu. Aidha,
    Kiswahili ni lugha ya Jumuiya ya Afrika Mashariki
    (EAC) ambapo tumeipeleka wenyewe, ikiwa ni
    pamoja na Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa
    Afrika (SADC) na Umoja wa Afrika (AU). Vilevile,
    UNESCO wameitambua na watakuwa
    wanaiadhimisha tarehe 7 Julai kila mwaka. Hii
    ndiyo lugha yetu, kwa nini usaili wa mtoto wa
    kitanzania anapotafuta kazi unafanyika kwa lugha
    ya Kingereza? Yaani afisa kilimo, afisa mifugo,
    mtumishi wa Serikali anakazi ya kuhudumia
    75
    watanzania tunapima akili zake kwa kupima
    kingereza chake kwa ajili ya nini? Napendekeza
    saili zote zifanyike kwa Kiswahili, na kumbi zote
    za mikutano na ofisi za Serikali ziwe na vifaa vya
    kutafsiria lugha za kigeni na watafsiri ili tuweze
    kuienzi lugha yetu ya Taifa.
    Sekta ya Michezo
  41. Mheshimiwa Spika, Serikali itarejesha
    bahati nasibu ya taifa kwa utaratibu wa kutumia
    Sekta Binafsi. Sambamba na hiyo Serikali kupitia
    Bodi ya Michezo ya kubahatisha, TRA na Sekta
    Binafsi wataanza kuendesha bahati nasibu kwa
    kupitia risiti za EFD ili kuchochea wananchi
    kudai risiti wanaponunua bidhaa. Aidha, Serikali
    itatumia sehemu ya Mchango wa Wajibu wa
    Kampuni kwa Jamii (Corporate Social
    Responsibity) kwa kiwango kisichozidi asilimia 2
    kwa ridhaa ya Waziri mwenye dhamana ya
    masuala ya fedha ili kuendeleza michezo nchini
    ambapo makampuni yataruhusiwa kukitambua
    kiasi hicho kwenye mapato yanayostahili kutozwa
    kodi. Nitumie nafasi hii kuwahakikishia
    watanzania kuwa tutaweka nyasi bandia kwenye
    viwanja vitano kwa kuanzia Mwanza, Arusha,
    Tanga, Dodoma na Mbeya ili kukuza mchezo hapa
    nchini. Katika mwaka wa fedha wa 2022/2023
    76
    msamaha wa kodi kwenye nyasi bandia na vifaa
    ambata vyake utakwenda mpaka ngazi ya
    Halmashauri. Nitumie fursa hii kuzipongeza timu
    zetu za Serengeti Girls na Tembo Warriors
    zilizokata tiketi za kuiwakilisha nchi kwenye
    mashindano ya Dunia. Niitakie kila la heri timu
    yetu ya Taifa Stars ambayo bado iko kwenye
    kampeni za kutafuta tiketi ya mashindano ya
    kimataifa.
    Mkakati wa Uchumi wa Buluu
  42. Mheshimiwa Spika, uchumi wa buluu kwa
    hapa Tanzania siyo jambo jipya kwani shughuli
    mbalimbali zimekuwa zikifanyika katika maeneo
    yenye fursa hizi za kiuchumi. Katika maeneo
    hayo, fursa za uwekezaji zinazopatikana ni za
    uvuvi wa samaki, ufugaji wa samaki, madini ya
    chumvi, utafutaji wa gesi na mafuta, kilimo cha
    mwani, utalii wa fukwe, usafiri na usafirishaji,
    utunzaji wa mazingira, na kilimo cha umwagiliaji.
    Hata hivyo, licha ya kuwepo kwa fursa nyingi
    katika eneo hili, bado mchango wake katika
    uchumi ni mdogo ikilinganishwa na uwezo uliopo.
    Hii ni kutokana na kukosekana kwa mfumo
    madhubuti wa kuongoza na kuelekeza uvunaji na
    matumizi endelevu ya rasilimali hizo kwa manufaa
    ya kizazi cha sasa na vijavyo. Mheshimiwa Spika,
    77
    sekta zilizoko katika eneo hili hazijawa na uratibu
    mzuri na kila moja inajifanyia shughuli zake bila
    utaratibu maalum na ushirikishaji wa kutosha wa
    wadau katika tasnia hii. Kama fursa hizo
    zingetumika kikamilifu, zingeweza kuwa
    kichocheo cha kukua kwa uchumi, chanzo cha
    chakula na ajira, msingi wa maendeleo ya
    kiuchumi na kijamii, kukuza viwanda, kupunguza
    umaskini na kuongeza mapato ya Serikali.
  43. Mheshimiwa Spika, kufuatia umuhimu wa
    sekta hii, Serikali inakamilisha maandalizi ya
    Mkakati wa Uchumi wa Buluu ili kutambua
    mchango wa sekta hiyo katika uchumi na ikiwa ni
    sehemu ya utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya
    CCM ya mwaka 2020, Ibara ya 27. Mkakati huo
    unaandaliwa kwa njia shirikishi inayohusisha
    wadau wa sekta ya umma, sekta binafsi,
    washirika wa maendeleo na jamii kwa ujumla.
    Mheshimiwa Spika, shughuli nyingi zinazofanywa
    katika sekta za uchumi wa buluu ni biashara.
    Hivyo, sekta binafsi inatarajiwa kuwa na jukumu
    muhimu katika kufadhili mkakati huo. Serikali
    itajikita zaidi katika kujenga mazingira wezeshi ili
    kuvutia uwekezaji wa sekta binafsi. Fedha za
    Serikali zitaelekezwa maeneo ambayo sekta binafsi
    ina hamu ndogo ikiwa ni pamoja na miundombinu
    78
    wezeshi, kuweka mifumo ya kisera, kisheria na
    kitaasisi ya usimamizi na matumizi endelevu ya
    rasilimali hizo kwa manufaa ya kizazi cha sasa na
    vijavyo.
    Mikakati ya Kupunguza Makali ya Maisha kwa
    Mwananchi
  44. Mheshimiwa Spika, Serikali itachukua
    hatua za makusudi ili kupunguza makali ya
    maisha kwa mwananchi yaliyotokana na athari za
    vita. Hatua zitakazochukuliwa kukabiliana na
    hali hiyo ni kama ifuatavyo: kuhusu ongezeko la
    bei za mafuta ya petroli: Serikali imepunguza
    tozo mbalimbali zilizokuwa kwenye ukokotoaji wa
    bei ya nishati ya mafuta. Aidha, Serikali imetoa
    ruzuku ya shilingi bilioni 100 kwa ajili ya
    kupunguza bei za nishati ya mafuta hapa nchini.
    Vilevile, Serikali inachukua hatua nyingine katika
    suala hili ikiwemo: kuendelea kutoa ruzuku kwa
    ajili ya kupunguza bei ya nishati ya mafuta;
    kuruhusu watu wenye uwezo wa kuleta mafuta
    kwa bei nafuu; kuanzisha mfuko wa kuhimili
    ukali wa bei za mafuta (Fuel Price Stabilization
    Fund) baada ya bei za mafuta kutulia katika soko
    la dunia; kuanzisha hifadhi ya mafuta ya
    kimkakati (National Strategic Petroleum Reserve);
    na kuanzisha upokeaji wa mafuta katika ghala
    79
    moja (Single Receiving Terminal – SRT).
  45. Mheshimiwa Spika, kuhusu ongezeko la
    bei za mafuta ya kula: Serikali itaweka mikakati
    ya kikodi ili kutoa unafuu wa uagizaji wa mafuta
    ghafi ya kula kwa wachakataji wa ndani kwa lengo
    la kuongeza uzalishaji, kupunguza bei ya bidhaa
    hiyo na kuongeza ajira. Aidha, Wakala wa Taifa
    wa Uzalishaji na Uendelezaji wa Mbegu za Kilimo
    imesafisha na kusambaza kwa wakulima tani
    2,000 za mbegu za alizeti zenye thamani ya
    shilingi bilioni 5.84 kwa utaratibu wa ruzuku kwa
    ajili ya kuongeza uzalishaji wa mafuta ya kula
    ambapo wastani wa tani 400,000 za alizeti na tani
    100,000 za mafuta zinatarajiwa kuzalishwa.
    Vilevile, Wakala umezalisha mbegu-miche ya
    michikichi 121,292 ili kuongeza uzalishaji wa
    mafuta ya michikichi. Hatua hizi kwa pamoja
    zitasaidia kuongeza upatikanaji wa mafuta na
    hatimaye kupunguza kasi ya kupanda kwa bei.
    Napendekeza kutoza kodi ya ongezeko la
    thamani kwa kiwango cha sifuri kwenye mafuta
    ya kula yanayozalishwa nchini.
  46. Mheshimiwa Spika, kuhusu ruzuku ya
    mbolea: Wote tunatambua umuhimu wa kilimo
    80
    katika uchumi wetu na maendeleo ya wananchi.
    Sekta hii inakabiliwa na changamoto mbalimbali
    ikiwemo mabadiliko ya tabianchi, tija ndogo
    pamoja na athari zinazoikumba dunia hivi sasa
    kutokana na vita kati ya nchi za Urusi na
    Ukraine. Katika kuongeza tija na uzalishaji wa
    sekta hii na kumpunguzia mzigo mkulima,
    Serikali imejipanga kutoa unafuu wa upatikanaji
    wa pembejeo ikiwemo mbolea, zana za kilimo,
    viuatilifu, mbegu bora na kuimarisha kilimo cha
    umwagiliaji. Katika kuongeza uzalishaji na
    upatikanaji wa mbolea nchini, Serikali itatoa
    ruzuku ya mbolea na kuvipa kipaumbele viwanda
    vya ndani vya mbolea katika matumizi ya chokaa
    ili kupunguza gharama za uzalishaji.
    Napendekeza kutoza kodi ya ongezeko la
    thamani kwa kiwango cha sifuri kwenye
    mbolea inayozalishwa nchini. Kiwango hiki
    kitahusu tu wazalishaji wa mbolea. Kadhalika,
    napendekeza kupunguza tozo ya mrahaba
    kwenye madini ya kuzalisha nishati na mbolea
    viwandani.
  47. Mheshimiwa Spika, Serikali inachukua
    hatua hizi zote ili kupunguza makali ya maisha
    kwa watanzania. Serikali imekubali kupunguza
    mapato yake ili mwananchi au mtanzania apate
    81
    unafuu. Ruzuku kwenye nishati ni kwa ajili ya
    wananchi siyo kwa ajili ya makampuni.
    Wafanyabiashara tusitumie majanga kujinufaisha
    kwa gharama ya kuwaumiza wananchi kwa
    kutengeneza faida kubwa kuliko kipindi cha
    majanga. Kipindi cha matatizo ya kiuchumi kila
    mmoja anatakiwa kubadili makadirio yake ya
    kiuchumi. Tunatoa ruzuku ili kupunguza
    gharama za uzalishaji na hivyo, kuleta unafuu
    kwa mwananchi. Naelekeza mamlaka zote
    zinazosimamia sekta za huduma wasimamie
    haki za wananchi ili azma ya Mheshimiwa
    Samia Suluhu Hassan ya kumpa nafuu
    mtanzania iweze kuwanufaisha watanzania.
    82
    V. MABORESHO YA MFUMO WA KODI, ADA,
    TOZO NA HATUA NYINGINE ZA MAPATO
  48. Mheshimiwa Spika, kuanzia kipindi cha
    mwaka 2019/20, Dunia imepita kwenye
    changamoto kubwa ya kiuchumi kufuatia kuenea
    kwa janga la UVIKO-19 na baadaye kuzuka kwa
    vita ya Urusi na Ukraine Februari 2022. Hii
    imeathiri si tu upatikanaji wa bidhaa muhimu
    katika soko la Tanzania lakini pia imesababisha
    mfumuko wa bei, kupanda kwa gharama za
    maisha na kuathiri ukuaji wa uchumi nchini.
    Athari za kiuchumi zilizoanza kujitokeza ni
    pamoja na kupungua kwa uzalishaji viwandani na
    mashambani kulikosababishwa na changamoto ya
    upatikanaji wa malighafi muhimu za viwandani na
    kilimo kama vile ngano, mbolea na mafuta ghafi.
    Hatua za mapato kwa mwaka 2022/23 zinalenga
    “Kuongeza kasi ya Kufufua Uchumi na Kuimarisha
    Sekta za Uzalishaji kwa ajili ya Kuboresha Maisha
    ya Watanzania”.
  49. Mheshimiwa Spika, kwa kuzingatia maelezo
    hayo, napenda kuwasilisha mapendekezo ya
    kufanya marekebisho ya mfumo wa kodi, ikiwemo
    baadhi ya viwango vya kodi, tozo na ada
    zinazotozwa chini ya Sheria mbalimbali na
    83
    kurekebisha taratibu za ukusanyaji na usimamiaji
    wa mapato ya Serikali. Marekebisho haya
    yamezingatia dhamira ya Serikali ya kuendelea
    kuwa na mfumo wa kodi ambao ni tulivu na wa
    kutabirika. Vilevile, marekebisho yanatarajiwa
    kujibu maswali na kukidhi kiu ya jamii ya
    Watanzania yakilenga kuchachua shughuli
    mbalimbali za uzalishaji mali ndani ya nchi kwa
    kuweka mkazo katika sekta za kimkakati kama
    vile kilimo, ufugaji na uvuvi, miundombinu ya
    umeme, uchukuzi na usafirishaji na sekta za
    kijamii za elimu na afya ili kuboresha uzalishaji,
    kukuza uchumi jumla, kukuza ajira na hatimaye
    kupunguza ukali wa maisha ya wananchi. Aidha,
    hatua hizi zinalenga kuimarisha usimamizi,
    ukusanyaji wa mapato ya ndani ya nchi na
    kudhibiti upotevu wa mapato ya Serikali.
    Marekebisho yanayopendekezwa yanahusu sheria
    zifuatazo:
    (a) Sheria ya Kodi ya Ongezeko la Thamani,
    SURA 148;
    (b) Sheria ya Kodi ya Mapato, SURA 332;
    (c) Sheria ya Ushuru wa Bidhaa, SURA 147;
    (d) Sheria ya Usimamizi wa Kodi, SURA 438;
    (e) Sheria ya Fedha za Serikali za Mitaa, SURA
    290;
    84
    (f) Sheria ya Mfuko wa Fidia kwa
    Wafanyakazi, SURA 263;
    (g) Sheria ya Madini, SURA 123;
    (h) Sheria ya Korosho, NAMBA 18;
    (i) Sheria ya Usafirishaji Bidhaa Nje ya Nchi,
    SURA 196,
    (j) Sheria ya Posta na Mawasiliano ya
    Kielektroniki, SURA 306;
    (k) Sheria ya Bima, SURA 394;
    (l) Sheria ya Magari ya Kigeni, SURA 84;
    (m) Sheria ya Benki Kuu ya Tanzania, SURA
    197;
    (n) Sheria ya Usimamizi wa Forodha ya
    Jumuiya ya Afrika Mashariki ya mwaka
    2004;
    (o) Utekelezaji wa Mpango wa Kuboresha
    Mfumo wa Udhibiti wa Biashara (Blueprint)
    kwa kurekebisha Ada na Tozo mbalimbali;
    na
    (p) Marekebisho madogo madogo katika
    baadhi ya Sheria za Kodi na Sheria
    nyingine mbalimbali.
    (a) Sheria ya Kodi ya Ongezeko la Thamani,
    SURA 148
  50. Mheshimiwa Spika, napendekeza kufanya
    85
    marekebisho kwenye Sheria ya Kodi ya Ongezeko
    la Thamani, Sura 148 kama ifuatavyo:
    (i) Kutoa msamaha wa Kodi ya Ongezeko la
    Thamani kwenye miti ambayo
    haijachakatwa (standing tree). Lengo la
    hatua hii ni kuchochea ukuaji wa sekta ya
    misitu, kuongeza ajira na kuwa na
    usimamizi endelevu wa rasilimali za misitu.
    Hatua hii itapunguza mapato ya Serikali
    kwa kiasi cha shilingi milioni 8,814. Hata
    hivyo, mapato yatakayoongezeka
    kutokana na ukuaji wa sekta ya misitu
    na mnyororo wake wa thamani ni
    shilingi milioni 16,125 na hivyo kuleta
    ongezeko katika sekta hii kwa kiwango
    cha shilingi milioni 7,311;
    (ii) Kusamehe Kodi ya Ongezeko la Thamani
    kwenye malighafi zinazotumika kuzalisha
    mitungi ya gesi zinazotambulika kwa HS
    Code 7229.90.00, 3810.90.00, 3401.19.00,
    7904.00.00, 4016.93.00, 8481.10.00 na
    8309.90.90. Lengo la hatua hii ni kuwapa
    unafuu wazalishaji wa mitungi ya gesi na
    kulinda viwanda vya ndani. Aidha,
    msamaha husika utatolewa baada ya
    86
    mzalishaji kusaini Mkataba wa Utekelezaji
    (Performance Agreement) na Serikali;
    (iii) Kufanya marekebisho kwenye Sheria ya
    Kodi ya Ongezeko la Thamani ili kutambua
    mikopo mbadala inayofuata misingi na
    taratibu zilizo nje ya sekta ya fedha kwa
    asili yake ishughulikiwe sawa sawa
    (treated) na mikopo inayotolewa na benki
    katika utaratibu wa kawaida. Lengo la
    hatua hii ni kuchachua ukuaji wa bidhaa
    nyingine zenye lengo la kuchochea ukuaji
    wa biashara na uchumi na kuweka usawa
    katika ulipaji kodi;
    (iv) Kutoza Kodi ya Ongezeko la Thamani kwa
    Kiwango cha asilimia 0 kwenye bidhaa za
    mafuta ya kula yanayozalishwa nchini kwa
    mwaka mmoja ili kuleta unafuu wa bei ya
    mafuta ya kula iliyopanda kutokana na
    mdororo wa uchumi;
    (v) Kutoza Kodi ya Ongezeko la Thamani kwa
    kiwango cha sifuri kwenye mbolea
    inayozalishwa nchini kwa mwaka mmoja.
    Kiwango hiki kitahusu tu wazalishaji wa
    mbolea tu. Lengo la hatua hii ni kuleta
    87
    unafuu kwa wakulima hasa katika kipindi
    hiki cha mdororo wa uchumi duniani;
    (vi) Kufanya marekebisho kwenye Sheria ya
    Kodi ya Ongezeko la Thamani ili kumpa
    Waziri mwenye dhamana ya masuala ya
    Fedha, mamlaka ya kusamehe Kodi ya
    Ongezeko la Thamani kwa wawekezaji
    mahiri maalumu baada ya kuidhinishwa
    na NISC kwa mujibu wa kifungu cha 20(8)
    cha Sheria ya Uwekezaji SURA, 38 pamoja
    na kupata ridhaa ya Baraza la Mawaziri.
    Lengo la hatua hii ni kufanikisha
    maendeleo ya sekta ya uwekezaji nchini na
    kuondoa mgongano wa kisheria kuhusu
    utoaji wa vivutio vya ziada vya kikodi kati
    ya Sheria ya Uwekezaji na Sheria ya Kodi
    ya Ongezeko la Thamani;
    (vii) Kufanya marekebisho kwenye Kifungu cha
    11 (10) cha Sheria ya Kodi ya Ongezeko la
    Thamani ili kuhusisha bidhaa za mtaji
    zinazotambulika kwa heading 87.16 na HS
    Code 8701.20.90 kwenye bidhaa za mtaji
    (capital goods) zinazostahili kupata
    ahirisho la Kodi ya Ongezeko la Thamani
    (VAT deferment). Lengo la hatua hii ni
    88
    kupunguza gharama za uwekezaji na
    kuchochea maendeleo ya viwanda nchini;
    (viii) Kutoa msamaha wa Kodi ya Ongezeko la
    Thamani kwenye vifaa vya kupima kiwango
    cha maji na unyevunyevu kwenye udongo
    (chameleon sensor reader) zinazotambulika
    kwa HS Code 9026.10.00, kifaa cha
    kupima kiasi kilichochukuliwa na udongo
    hasa katika eneo la mizizi ya mmea
    (wetting front detectors) kinachotambulika
    kwa HS Code 9031.80.00, kifaa cha
    kupima kiwango cha chumvi katika maji
    (electronic conductivity meter)
    kinachotambulika kwa HS Code
    9027.80.00, na kifaa cha kupima kiwango
    cha naitrojeni katika hali ya naitreti
    (nitrate test strips) kinachotambulika kwa
    HS Code 9027.90.00. Lengo la hatua hii ni
    kukuza utafiti na kuendeleza sekta ya
    kilimo kwa ukuaji endelevu pamoja na
    kuongeza tija. Msamaha utatolewa baada
    ya kupata uthibitisho wa Waziri mwenye
    dhamana ya masuala ya kilimo ili
    kuhakikisha msamaha husika unatumika
    kwa manufaa ya wakulima na si
    vinginevyo. Hatua hii inatarajia kupunguza
    89
    mapato ya Serikali kwa kiasi cha shilingi
    milioni 2,995;
    (ix) Kusamehe Kodi ya Ongezeko la Thamani
    kwenye vyandarua vinavyotumika katika
    uzalishaji wa mbogamboga na maua (Agronet) vinavyotambulika kwa HS Code 56.08.
    Lengo la hatua hii ni kukuza sekta ya
    kilimo na kuongeza tija kwenye uzalishaji;
    (x) Kutoa msamaha wa Kodi ya Ongezeko la
    Thamani kwenye vifaa vya kupima kiwango
    cha unyevunyevu (moisture meter)
    vinavyotambulika kwa HS Code
    9003.18.00, kifaa cha kupima kiwango cha
    mvua iliyonyesha (rain gauge for weather
    stations) kinachotambulika kwa HS Code
    9023.00.90, kifaa cha kupima hali ya
    alkaline na tindikali (PH meters)
    kinachotambulika kwa HS Code
    3822.00.90; kifaa cha kuzalisha
    miche/mbegu kwa chupa (tissue culture
    equipment) kinachotambulika kwa HS Code
    8419.89.60; na kifaa cha kupima uwezo wa
    kuvutika (tension meters)
    kinachotambulika kwa HS Code
    9031.80.00. Lengo la hatua hii ni
    90
    kuboresha utabiri wa hali ya hewa,
    kufahamisha mipango sahihi na
    kupunguza hatari zinazohusiana na
    kutokuwa na uhakika wa hali ya hewa na
    hali ya udongo. Msamaha utatolewa baada
    ya kupata uthibitisho wa Waziri mwenye
    dhamana ya masuala ya kilimo ili
    kuhakikisha msamaha husika unatumika
    kwa manufaa ya wakulima na si
    vinginevyo. Hatua hii inatarajia kupunguza
    mapato ya Serikali kwa kiasi cha shilingi
    milioni 1,634.52;
    (xi) Kusamehe Kodi ya Ongezeko la Thamani
    kwenye magari yenye jokofu (refrigerated
    trucks) yanayotambulika kwa HS Code
    8704.21.90, 8704.22.90, 8704.23.90,
    8704.31.90, 8704.32.90, 8704.90.90 na
    vyumba vya ubaridi (cold rooms)
    vinavyotambulika kwa HS Code 9406.10.10
    na 9406.9010. Hatua hii inalenga kuzuia
    mazao kuharibika baada ya mavuno na
    kuchochea kilimo cha kisasa. Msamaha
    utatolewa baada ya kupata uthibitisho wa
    Waziri mwenye dhamana ya masuala ya
    kilimo na au Waziri mwenye dhamana ya
    masuala ya mifugo na uvuvi ili
    91
    kuhakikisha msamaha husika unatumika
    kama ilivyokusudiwa na si vinginevyo.
    Hatua hii inatarajia kupunguza mapato ya
    Serikali kwa kiasi cha shilingi milioni
    3,744.47;
    (xii) Kusamehe Kodi ya Ongezeko la Thamani
    kwenye malighafi za kutengeneza mbolea
    zinazotambulika kwa HS Code 2528.00.00,
    2710.99.00 na 3505.20.00 na mashine za
    kutengeneza mbolea zinazotambulika kwa
    Sura (Chapter) 84 na 85 ya Kitabu cha
    Ushuru wa pamoja wa Forodha wa Afrika
    Mashariki. Hatua hii inalenga kutoa
    unafuu kwa wazalishaji wa mbolea na
    kuvutia uwekezaji nchini. Msamaha
    utatolewa baada ya kupata uthibitisho wa
    Waziri mwenye dhamana ya masuala ya
    viwanda ili kuhakikisha msamaha husika
    unatumika kwa manufaa ya wazalishaji wa
    mbolea na si vinginevyo. Hatua hii
    inatarajia kupunguza mapato ya Serikali
    kwa kiasi cha shilingi milioni 139;
    (xiii) Kusamehe Kodi ya Ongezeko la Thamani
    kwenye vanila ya kijani isiyochakatwa
    inayotambulika kwa HS Code 0905.10.00
    92
    ili kuleta usawa na mazao mengine
    yasiyochakatwa ambayo husamehewa Kodi
    ya Ongezeko la Thamani. Hatua hii
    inalenga vanilla isiyochakatwa kutoka nje
    ya nchi kuingizwa na kuchakatwa hapa
    nchini na hivyo kuongeza ajira na fedha za
    kigeni. Vanila inayolimwa hapa nchini
    haitoshelezi mahitaji ya kiwanda cha
    kuchakata zao hili. Hatua hii inatarajia
    kupunguza mapato ya Serikali kwa kiasi
    cha shilingi milioni 38;
    (xiv) Kusamehe Kodi ya Ongezeko la Thamani
    kwenye kamba za katani zinazozalishwa
    nchini. Lengo la hatua hii ni kukuza zao la
    katani na kuongeza ajira;
    (xv) Kutoa msamaha wa Kodi ya Ongezeko la
    Thamani kwenye mtindi (yoghurt) na
    maziwa yanayozalishwa kwa joto la juu na
    kudumu kwa muda mrefu (UHT Milk).
    Hatua hii inalenga kuwawezesha
    wazalishaji wa ndani kushindana kikanda
    na kimataifa, kuongeza ajira na kuboresha
    maisha ya watu. Hatua hii inatarajia
    kupunguza mapato ya Serikali kwa kiasi
    cha shilingi milioni 480;
    93
    (xvi) Kusamehe Kodi ya Ongezeko la Thamani
    kwenye vifungashio vya maziwa (dairy
    packaging materials) vinavyotambulika kwa
    HS Code 3923.30.00, 4819.10.00,
    4819.20.00 na 4819.20.90. Hatua hii
    inalenga kutoa unafuu kwenye sekta ya
    maziwa nchini na kuwawezesha wazalishaji
    wa ndani kushindana kwenye masoko ya
    kikanda na kimataifa. Hatua hii inatarajia
    kupunguza mapato ya Serikali kwa kiasi
    cha shilingi milioni 1,197;
    (xvii)Kusamehe Kodi ya Ongezeko la Thamani
    kwenye hereni za mifugo za kieletroniki (ear
    tag) zinazotambulika kwa HS Code
    3926.90.90, meza za kuwekea hereni za
    mifugo (Automatic Turning Table/ Ear tag
    supporting table) zinazotambulika kwa HS
    Code 8207.30.00, Ear tag Applicators
    zinazotambulika kwa HS Code 8456.90.00
    na Lessor beam Machines zinazotambulika
    kwa HS Code 9402.90.90. Lengo la hatua
    hii ni kuleta ufanisi katika utambuzi,
    usajili na ufuatiliaji wa mifugo nchini.
    Hatua hii inatarajia kupunguza mapato ya
    Serikali kwa kiasi cha shilingi milioni
    794;
    94
    (xviii) Kusamehe Kodi ya Ongezeko la Thamani
    kwenye vifaa vya machinjio (stunning box)
    vinavyotambulika kwa HS Code 8438.50.00
    na Skinning & dehiding pulling machines
    zinazotambulika kwa HS Code 8453.10.00.
    Hatua hii inalenga kuhamasisha ukuaji wa
    sekta ya mifugo, kuongeza ubora wa nyama
    na ngozi na kuhakikisha kuwa viwanda vya
    ndani vinapata malighafi za kutosha.
    Msamaha utatolewa baada ya kupata
    uthibitisho ya Waziri mwenye dhamana ya
    masuala ya mifugo na uvuvi ili
    kuhakikisha msamaha husika unatumika
    kama ilivyokusudiwa na si vinginevyo.
    Hatua hii inatarajia kupunguza mapato ya
    Serikali kwa kiasi cha shilingi milioni
    331.95;
    (xix) Kusamehe Kodi ya Ongezeko la Thamani
    kwenye mbegu za malisho zinazotambulika
    kwa HS Code 1209.25.00 (pasture grass
    seeds); HS Code 1209.21.00 (pasture
    legume seeds), HS Code 1209.29.00
    (Pasture multiple tree seeds and pasture
    cuttings and rhizomes and stolons). Hatua
    hii inalenga kuhakikisha upatikanaji wa
    95
    mbegu za malisho za kutosha na kukuza
    sekta ya mifugo;
    (xx) Kufanya marekebisho kwenye Kipengele
    cha 18 cha Sehemu ya Kwanza ya Jedwali
    la Msamaha ili kuhusisha vifaa na mashine
    zinazotumiwa na vyombo vya ulinzi na
    usalama (military and armed forces). Lengo
    la hatua hii ni kupunguza gharama za
    ununuzi wa mashine na vifaa husika na
    kuimarisha mfumo wa ulinzi na usalama
    nchini. Msamaha utatolewa baada ya
    kupata uthibitisho wa Waziri mwenye
    dhamana ya masuala ya ulinzi na usalama
    ili kuhakikisha msamaha husika
    unatumika kwa manufaa ya vyombo vya
    ulinzi na usalama na si vinginevyo;
    (xxi) Kusamehe Kodi ya Ongezeko la Thamani
    kwenye vifaa na mitambo ya hali ya hewa
    vinavyoingizwa na Mamlaka ya Hali ya
    Hewa Nchini (TMA). Hatua hii inalenga
    kuimarisha mifumo ya utendaji kazi kwa
    kutumia vifaa vya kisasa kutabiri hali ya
    hewa kwa ajili ya mipango sahihi na
    usalama wa Taifa;
    96
    (xxii) Kusamehe kodi ya Ongezeko la Thamani
    kwenye nyavu za kuvulia (fishing net)
    zinazotambulika kwa HS Code 3926.09.10;
    ndoano (fishing hooks) zinazotambulika
    kwa HS Code 9507.20.00; na kamba za
    kufungia ndoano (fishing lines)
    zinazotambulika kwa HS Code 9507.90.00
    na 9507.30.00. Lengo la hatua hii ni
    kukuza wavuvi wadogo na kuchochea
    ukuaji wa Sekta ya Uvuvi;
    (xxiii) Kufanya marekebisho ya Sheria ya Kodi ya
    Ongezeko la Thamani, SURA 148 ili
    kuiwezesha Serikali kukusanya Kodi ya
    Ongezeko la Thamani katika biashara
    mtandao (digital services) bila kuathiri
    uwajibikaji chini ya Sheria ya Kodi ya
    Mapato, SURA 332. Aidha marekebisho
    haya yanalenga kurahisisha utaratibu wa
    usajili wa walipakodi wanaotoa huduma za
    kidijitali bila ya kuwa na makazi hapa
    nchini (simplified registration). Hatua hii
    inalenga kwenda sambamba na mwamko
    wa shughuli za kibiashara duniani
    zinazofanyika kwa njia ya mtandao. Hatua
    hii inatarajiwa kuiongezea Serikali mapato
    ya shilingi milioni 34,240;
    97
    (xxiv) Kufuta msamaha wa Kodi ya Ongezeko la
    Thamani kwenye simu janja za Mkononi
    (Smartphones) HS code 8517.12.00,
    vishikwambi (Tablets) HS Code 8471.30.00
    au 8517.12.00 na Modemu HS Code
    8517.62.00 au 8517.69.00 kwa kuwa
    msamaha husika haujawezesha
    kupatikana kwa bidhaa hizo muhimu kwa
    bei nafuu kwa walengwa na badala yake
    unawanufaisha wafanyabiashara. Hatua hii
    inalenga kuiongezea Serikali mapato kiasi
    cha Shilingi milioni 33,705; na
    (xxv) Kufuta msamaha wa Kodi ya Ongezeko la
    Thamani kwenye huduma za kukodi ndege
    (air charter services) kwani huduma hizi
    hutolewa kibiashara kama huduma za
    kukodi vyombo vingine vya usafiri ambazo
    kisheria hulipiwa Kodi ya Ongezeko la
    Thamani. Hatua hii inatarajiwa kuongeza
    mapato ya Serikali kwa kiasi cha shillingi
    milioni 36,545.
    Hatua zote za Kodi ya Ongezeko la Thamani
    kwa ujumla wake zinatarajiwa kuongeza
    mapato ya Serikali kwa kiasi cha shilingi
    milioni 87,523.
    98
    (b) Sheria ya Kodi ya Mapato, SURA 332
  51. Mheshimiwa Spika, napendekeza kufanya
    marekebisho kwenye Sheria ya Kodi ya Mapato,
    Sura 332 kama ifuatavyo:
    (i) Kufanya marekebisho kwenye Jedwali la
    Kwanza la Sheria ya Kodi ya Mapato ili
    kuweka kiwango cha asilimia 3.5 kwa
    walipakodi wenye mauzo yanayozidi shilingi
    milioni 11,000,000 lakini yasiyozidi shilingi
    milioni 100,000,000/= kwa mwaka
    (Presumptive Regime) kwa lengo la kuweka
    uwazi na kurahisisha makadirio na ulipaji
    wa kodi. Hatua hii itaongeza ulipaji kodi wa
    hiari na hivyo kuongeza mapato ya Serikali
    ambayo yanatarajiwa kuongezeka kwa
    shilingi milioni 60,413.37. Sambamba na
    pendekezo hili, inapendekezwa kufanya
    maboresho kwenye mifumo ya Mamlaka ya
    Mapato Tanzania ili kuwezesha malipo
    kufanyika kwa njia ya simu;
    (ii) Kufanya marekebisho kwenye Sheria ya
    Kodi ya Mapato ili kubainisha kuwa mikopo
    mbadala iliyoidhinishwa na Benki Kuu ya
    Tanzania inayotolewa na benki kwa wateja
    wake ambayo inahusisha ununuzi na uuzaji
    99
    wa mali anazozihitaji mteja kwa faida
    inayowekwa juu ya gharama ya mali ni sawa
    na mikopo mingine ya kawaida. Hatua hii
    haimwondolei muuzaji wajibu wa kulipa
    kodi ya ongezeko la mtaji kwa mujibu wa
    Sheria katika muamala wa mauzo ya mali
    kwa mteja wa benki aliyenunua mali hiyo
    kupitia utaratibu wa mkopo mbadala. Lengo
    la hatua hii ni kuhakikisha kuwa
    Watanzania wote wanaweza kupata mikopo
    katika taasisi za fedha ikijumuisha wale
    ambao hawakubaliani na utaratibu wa riba;
    (iii)Kufanya marekebisho kwenye Kifungu cha
    10 cha Sheria ya Kodi ya Mapato ili kumpa
    Waziri mwenye dhamana ya masuala ya
    Fedha mamlaka ya kusamehe kodi ya
    mapato kwa wawekezaji mahiri maalumu
    baada ya kuidhinishwa na NISC kwa mujibu
    wa kifungu cha 20(8) cha Sheria ya
    Uwekezaji Sura ya 38, pamoja na kupata
    ridhaa ya Baraza la Mawaziri. Lengo la
    hatua hii ni kufanikisha maendeleo ya sekta
    ya uwekezaji nchini na kuondoa mgongano
    wa kisheria kuhusu utoaji wa vivutio vya
    ziada vya kikodi kati ya Sheria ya Uwekezaji
    na Sheria ya Kodi ya Mapato;
    100
    (iv) Kufanya marekebisho kwenye Sheria ya
    Kodi ya Mapato ili kuondoa msamaha wa
    kukata Kodi ya Zuio kwenye malipo ya
    upangishaji nyumba, vyumba na majengo
    ya biashara. Lengo la hatua hii ni
    kuwezesha wapangaji kukusanya kodi ya
    zuio kwenye pango na kuiwasilisha
    Serikalini. Aidha, Kamishna Mkuu wa
    Mamlaka ya Mapato ataingia makubaliano
    ya uwakala na OR – TAMISEMI juu ya
    usimamizi na ukusanyaji wa kodi hii;
    (v) Kusamehe Kodi ya Ongezeko la Mtaji
    kwenye uhamishaji wa haki na taarifa za
    madini kwenda kwenye Kampuni za Ubia
    zinazoundwa baina ya Serikali na
    wawekezaji na uhamishaji wa hisa (Free
    Carried Interest) kutoka Kampuni ya Ubia
    kwenda kwa Serikali. Hatua hii inalenga
    kusaidia Serikali kutekeleza majukumu
    yake ya kimkataba na kuhakikisha kuwa
    uhamishaji na ubadilishaji wa haki na
    taarifa za madini unafanyika kwa wakati;
    (vi) Kusamehe Kodi ya Ongezeko la Mtaji
    kwenye hisa ambazo Serikali imepata
    kupitia Msajili wa Hazina. Lengo la hatua hii
    101
    ni kutatua changamoto zilizopo na
    kuhakikisha kuwa zoezi la ubadilishaji
    umiliki wa hisa hizo linafanyika kwa wakati;
    (vii) Kusamehe kodi ya zuio kwenye Kuponi za
    Hati Fungani za Makampuni na Manispaa
    (Coupon for corporate and municipal bond).
    Pendekezo hili linalenga kuongeza vyanzo
    mbadala vya kugharamia miradi ya
    maendeleo (alternative financing);
    (viii) Kupunguza kiwango cha kodi ya zuio
    kwenye tasnia ya filamu kwa malipo
    yanayofanyika kwenda kwa watoa huduma
    wa nje ya nchi kutoka asilimia 15 hadi
    asilimia 10. Lengo la hatua hii ni kukuza
    tasnia ya filamu na kuchochea uhamishaji
    wa ujuzi kwenye tasnia hiyo kwa lengo la
    kuongeza ajira na kuboresha maisha;
    (ix)Kutoza Kodi ya Mapato ya asilimia 2 kwenye
    malipo yanayofanywa kwa watoa huduma za
    kidijitali wa kigeni. Lengo la hatua hii ni
    kuongeza wigo wa kodi na kuzingatia
    kanuni za usawa za kodi. Hatua hii
    inatarajia kuongeza mapato ya Serikali kwa
    kiasi cha shilingi milioni 4,889.35;
    102
    (x) Kutoza Kodi ya Zuio kwa kiwango cha
    asilimia 2 kwenye malipo ya wachimbaji
    wadogo wa madini (Small Scale Miners).
    Hatua hii inalenga kuweka utaratibu
    maalum wa utozaji kodi kwa wachimbaji
    hao na kutatua changamoto zilizopo kwenye
    ukusanyaji kodi katika sekta hiyo. Hatua hii
    inatarajia kuongeza mapato ya Serikali kwa
    kiasi cha shilingi milioni 37,290.40;
    (xi)Kutoza kiwango cha mfuto (flat rate) cha
    shilingi 3,500,000 ikiwa ni kodi ya mapato
    inayopaswa kulipwa kwa kila magari ya
    mizigo na mabasi ya abiria kwa mwaka.
    Lengo la hatua hii ni kuongeza uwazi katika
    makadirio ya kodi baina ya Mamlaka ya
    Mapato Tanzania na walipakodi, kuweka
    mfumo wa kodi unaotabirika na kuongeza
    mapato ya Serikali. Hatua hii inatarajiwa
    kuiongezea Serikali mapato yanayokadiriwa
    kuwa shilingi milioni 141,052;
    (xii) Kuanzisha utaratibu wa kutoza kodi ya
    awali ya mapato (advance income tax) ya
    shilingi 20 kwa lita kwa wafanyabiashara
    rejareja wa mafuta ya petroli nchini
    itakayokusanywa na waingizaji wa mafuta
    103
    hayo kwa jumla na kulipwa Serikalini.
    Lengo la hatua hii ni kurahisisha ulipaji
    kodi ya mapato kwenye vituo vya mafuta na
    kupunguza gharama za matumizi hususan
    karatasi za kutolea risiti za kielektroniki;
    Hatua hii inatarajiwa kuiongezea Serikali
    mapato yanayokadiriwa kuwa shilingi
    milioni 59,820.
    Hatua hizi za Kodi ya Mapato kwa ujumla
    wake zinatarajiwa kuongeza mapato ya
    Serikali kwa kiasi cha shilingi milioni
    102,593.
    (c) Sheria ya Ushuru wa Bidhaa, SURA 147
  52. Mheshimiwa Spika, Kwa mujibu wa Sheria
    ya Ushuru wa Bidhaa kifungu cha 124(2),
    marekebisho ya viwango maalum vya ushuru wa
    bidhaa (specific duty rates) kwa bidhaa zote zisizo
    za petroli yanaweza kufanyika kila mwaka ili
    kuviwianisha na mfumuko wa bei na viashiria
    vingine vya uchumi jumla. Hata hivyo, kutokana
    na biashara za bidhaa hizi kuzorota kutokana na
    athari za kiuchumi zilizosababishwa na kupanda
    bei kwa bidhaa za mafuta, napendekeza
    kutokufanya mabadiliko ya viwango maalum
    104
    vya Ushuru wa Bidhaa kwa bidhaa zote zisizo
    za petroli. Aidha, hatua hii inazingatia kiwango
    kikubwa cha mfumuko wa bei nchini na azma ya
    Serikali ya kujenga uchumi wa viwanda, na hivyo
    kuhamasisha uwekezaji kwenye sekta ya viwanda,
    kuvilinda na hatimaye kukuza ajira na mchango
    wa sekta hiyo kwenye pato la Taifa.
  53. Mheshimiwa Spika, napendekeza pia
    kufanya marekebisho ya Ushuru wa bidhaa
    kwenye bidhaa zifuatazo:
    (i) Kupunguza ada ya leseni kwa wazalishaji na
    waingizaji wa bidhaa zinazotozwa Ushuru
    wa Bidhaa kutoka shilingi 500,000/= hadi
    shilingi 300,000/=. Hatua hii inalenga
    kuwapa unafuu wazalishaji na waingizaji wa
    bidhaa hizo pamoja na kusaidia kurejesha
    ukuaji wa Sekta baada ya athari za UVIKO19 na athari zinazotokana na msukosuko
    wa kiuchumi duniani. Hatua hii inatarajiwa
    kupunguza mapato ya Serikali kwa shilingi
    milioni 77.4. Utaratibu wa ukusanyaji wa
    kodi kwenye vitenge unafanywa na
    Kamishna wa Mamlaka ya Mapato Tanzania
    chini ya Sheria ya Pamoja ya Ushuru wa
    105
    Forodha ya Jumuiya ya Afrika Mashariki ya
    mwaka 2004;
    (ii) Kusamehe Ushuru wa Bidhaa kwenye
    vifungashio vya maua, matunda, na
    mbogamboga vinavyotambulika kwa HS
    Codes 3923.29.00 (puneet, plastic cryovac
    bags, modified atmosphere packaging – MAP
    bags, plastic sleeves, perforated bags, poly
    packaging bags), HS Code 3921.12.90 (cling
    firm), HS Code 3902.90.00 (plastic liners).
    Lengo la hatua hii ni kuwapunguzia
    gharama wazalishaji wa matunda,
    mbogamboga na maua, na kuongeza
    usafirishaji wa bidhaa hizo nje ya nchi na
    hivyo kuongeza fedha za kigeni. Hatua hii
    inatarajia kupunguza mapato ya Serikali
    kwa kiasi cha shilingi milioni 653.12;

(iii) Kutoza ushuru wa bidhaa wa shilingi 700
kwa kilo ya bidhaa za sukari (sugar
confectionery) zinazoingizwa kutoka nje ya
nchi na shilingi 500 kwa kilo ya bidhaa za
sukari zinazozalishwa hapa nchini
zinazotambuliwa kwa HS Code 1806.31.00,
1806.32.00, 1806.90.00, (chokoleti),
1905.31 (biskuti) na 1704 (chingamu).
106
Viwango tofauti vinapendekezwa ili kulinda
viwanda vya ndani. Hatua hii inatarajia
kuongeza mapato ya Serikali kwa shilingi
milioni 34,453.87; na
(iv)Kutoza Ushuru wa Bidhaa kwenye betri za
maji (Lead-acid battery) kwa kiwango cha
asilimia 5 zinazotambuliwa kwa HS Code
8507.10.00, na 8507.20.00. Hatua hii
inalenga kupunguza madhara ya mazingira
yanayosababishwa na matumizi ya bidhaa
hizo. Hatua hii inatarajiwa kuongeza
mapato ya Serikali kwa shilingi milioni
1,864.85;
Hatua hizi za Ushuru wa Bidhaa kwenye
bidhaa zisizo za petroli kwa ujumla wake
zinatarajiwa kuongeza mapato ya Serikali kwa
kiasi cha shilingi milioni 50,292.
(d) Sheria ya Usimamizi wa Kodi, SURA 438

  1. Mheshimiwa Spika, Napendekeza kufanya
    marekebisho kwenye Sheria ya Usimamizi wa
    Kodi, SURA 438 ili kumrejeshea Waziri mwenye
    dhamana ya masuala ya Fedha na Mipango
    mamlaka ya kusamehe riba na adhabu baada ya
    107
    kushauriwa na Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya
    Mapato Tanzania. Lengo la hatua hii ni kuondoa
    changamoto zilizopo katika kutoa misamaha hii
    na kurahisisha upunguzaji au uondoaji wa riba
    na adhabu ya madeni. Aidha, Waziri mwenye
    dhamana ya Fedha na Mipango atatoa utaratibu
    wa utoaji wa misamaha hii kwa njia ya kanuni au
    kwa namna atakavyoona inafaa.
    (e) Sheria ya Fedha za Serikali za Mitaa,
    SURA 290
  2. Mheshimiwa Spika, napendekeza kufanya
    marekebisho kwenye Sheria ya Fedha za Serikali
    za Mitaa kama ifuatavyo:
    (i) Napendekeza Kufanya marekebisho kwenye
    Sheria ya Fedha za Serikali za Mitaa, SURA
    290 ili kugawanya asilimia 10 ya mapato ya
    ndani ya Halmashauri katika utaratibu
    ufuatao: asilimia 5 ipelekwe kwenye
    miundombinu na masoko ya machinga,
    asilimia 2 kwa ajili ya mikopo kwa vijana,
    asilimia 2 kwa ajili ya wanawake na asilimia
    1 kwa ajili ya watu wenye ulemavu. Lengo la
    hatua hii ni kuendeleza juhudi za Serikali ya
    Awamu ya Sita zinazolenga kuwawekea
    miundombinu wajasiriamali wadogo ili
    108
    kuhakikisha wanapata maeneo ya kufanyia
    biashara kutokana na mikopo wanayopata;
    (ii) Aidha, Halmashauri zihakikishe kuwa
    zinafanya tathmini ya vyanzo vya mapato
    kabla ya kuingia mikataba ya uwakala wa
    mapato kutoka kwenye vyanzo husika na
    kuhakikisha kwamba kiasi
    kinachokusanywa kinaendana na uwezo wa
    chanzo hicho. Sambamba na hilo naelekeza
    kuwa fedha zote zinazokusanywa kwa njia
    ya Point of Sale (POS) zinazojulikana kama
    mapato ghafi zihamishiwe benki katika
    kipindi kisichozidi siku saba kutokea
    kukusanywa kwa mapato hayo na
    Halmashauri zihakikishe kuwa fedha
    zinazokusanywa kwenye Halmashauri za
    Serikali za Mitaa zinahasibiwa kikamilifu;
    (iii) Kusamehe Ushuru wa Mazao kwenye mbegu
    (seeds). Hatua hii inalenga kuwapa unafuu
    wakulima na kuongeza tija kwenye
    uzalishaji mazao mbalimbali;
    (iv)Kupunguza Ushuru wa Mazao ya misitu
    (forest produce cess) kutoka asilimia 5 hadi
    asilimia 3. Lengo la hatua hii ni kupunguza
    109
    gharama kwa wafanyabiashara wa mazao ya
    misitu na kukuza sekta ya misitu;
    (v) Kufanya marekebisho kwenye Kifungu cha
    16(7) cha Sheria ya Fedha za Mamlaka za
    Serikali za Mitaa Sura 290 ili kubainisha
    kwamba Makampuni/Taasisi/Biashara/
    Watu binafsi wanaotakiwa kulipa Ushuru
    wa Huduma (service levy) kwenye
    Halmashauri moja wanatakiwa kulipa
    Ushuru wa Mazao (produce cess) kwenye
    Halmashauri nyingine ambako wananunua
    mazao ya kilimo au mazao mengine. Lengo
    la mapendekezo hayo ni kuhakikisha
    kwamba kila Halmashauri inanufaika na
    shughuli za kiuchumi zinazotekelezwa
    kwenye eneo lake la utawala ili kuwezesha
    utoaji wa huduma bora kwa jamii; na
    (vi)Kufanya marekebisho kwenye Kifungu cha
    16 ili kumpa Waziri mwenye dhamana ya
    Serikali za Mitaa mamlaka ya kuandaa
    Kanuni za ugawaji mapato yatokanayo na
    Ushuru wa Huduma kwenye
    Makampuni/Taasisi/Bishara/Watu binafsi
    wanaotekeleza shughuli zao kwenye
    Halmashauri zaidi ya moja. Kifungu hiki
    110
    kitamwezesha Waziri mwenye dhamana na
    Serikali za Mitaa kutoa Mwongozo wa
    ugawaji wa mapato hayo kwa Halmashauri
    husika kulingana na hali halisi.
    (f) Sheria ya Mfuko wa Fidia kwa
    Wafanyakazi, Sura 263
  3. Mheshimiwa Spika, napendekeza kufanya
    marekebisho kwenye Sheria ya Mfuko wa Fidia
    kwa Wafanyakazi kwa kupunguza kiwango cha
    mchango kwa sekta binafsi kutoka asilimia 0.6
    inayotozwa sasa hadi asilimia 0.5 ya mapato ghafi
    ya wafanyakazi. Lengo la hatua hii ni kuleta
    usawa katika uchangiaji kati ya wafanyakazi wa
    sekta binafsi na wa umma.
    (g) Sheria ya Madini, SURA 123
  4. Mheshimiwa Spika, napendekeza kufanya
    marekebisho kwenye Sheria ya Madini, Sura 123
    kama ifuatavyo:
    (i) Kupunguza kiwango cha mrabaha kutoka
    kwenye makaa ya mawe yanayotumika
    kama malighafi ya kuzalisha nishati
    viwandani kutoka asilimia 3 hadi asilimia 1.
    Lengo la hatua hii ni kupunguza gharama za
    111
    uzalishaji viwandani, kuchochea uwekezaji
    zaidi na kukuza ajira;
    (ii) Kupunguza kiwango cha kutoza mrabaha
    (royalty) kutoka asilimia 6 hadi asilimia 4
    kwa dhahabu inayouzwa kwenye vituo vya
    kusafishia madini (refinery centres). Lengo la
    hatua hii ni kuhakikisha kuwa vituo
    vilivyoanzishwa nchini vinapata malighafi ya
    kutosha kwa ajili ya kusafisha na hatimaye
    kuongeza ajira na mapato ya Serikali;
    (h) Sheria ya Korosho, Namba 18
  5. Mheshimiwa Spika, napendekeza kufanya
    marekebisho kwenye Sheria ya Korosho ili mapato
    yatokanayo na tozo ya kusafirisha korosho ghafi
    nje ya nchi yagawanywe kama ifuatavyo: asilimia
    50 ipelekwe Wizara ya Kilimo kwa ajili ya ruzuku
    ya pembejeo na Mfuko wa Kilimo (ADF); na
    asilimia 50 ipelekwe mfuko mkuu wa Serikali.
    Lengo la hatua hii ni kuchochea maendeleo ya
    Sekta ya kilimo na kusaidia upatikanaji wa
    rasilimali fedha kwa ajili ya ruzuku na tafiti.
    112
    (i) Sheria ya Usafirishaji Bidhaa Nje ya Nchi,
    SURA 196
  6. Mheshimiwa Spika, napendekeza kufanya
    marekebisho kwenye Sheria ya Usafirishaji Bidhaa
    Nje kwa kuanza kutoza tozo ya asilimia 30 au dola
    za kimarekani 150 kwenye shaba chakavu (copper
    waste) zinazotambulika kwa HS Code 7204 na
    vyuma chakavu (scrap metals) zinazotambulika
    kwa HS Code 7404. Lengo la hatua hii ni kulinda
    viwanda vya ndani na kuhakikisha upatikanaji wa
    malighafi kwenye viwanda husika. Hatua hii
    inatarajiwa kuongeza mapato ya Serikali kwa
    shilingi milioni 2,446.
    (j) Sheria ya Mifumo ya Malipo ya Taifa,
    SURA 437
  7. Mheshimiwa Spika, napendekeza kufanya
    marekebisho kwenye Sheria ya Mifumo ya Malipo
    ya Taifa kwa kupunguza tozo ya muamala kutoka
    kiwango kisichozidi shilingi 7,000 hadi kiwango
    kisichozidi shilingi 4,000 katika kila muamala wa
    kutuma au kutoa pesa. Punguzo hili ni sawa na
    asilimia 43 ya kiwango cha sasa. Sambamba na
    hilo, napendekeza kuongeza wigo wa tozo hiyo ili
    kuhusisha miamala yote ya kielektroniki. Lengo la
    113
    hatua hii ni kupunguza makali ya maisha kwa
    mtanzania hasa katika kipindi hiki cha
    changamoto kubwa ya kiuchumi na kuweka
    usawa katika utozaji wa tozo hiyo.
    (k) Sheria ya Bima, SURA 394
  8. Mheshimiwa Spika, napendekeza kufanya
    marekebisho kwenye Sheria ya Bima kwa
    kuongeza wigo wa bima ya lazima (mandatory
    insurance) kwa kujumuisha masoko ya umma,
    majengo ya biashara, bidhaa zote zinazoagizwa
    kutoka nje, vyombo vya baharini na vivuko. Hatua
    hii inalenga kuimarisha ushirikishwaji wa kifedha
    (financial inclusion) na kuongeza matumizi ya
    bima.
    (l) Sheria ya Magari ya Kigeni, SURA 84
  9. Mheshimiwa Spika, napendekeza kufanya
    marekebisho kwenye Sheria ya Magari ya Kigeni,
    SURA 84 ili kupunguza tozo ya magari yanayozidi
    ekseli 3 kutoka dola za kimarekani 16/100 km
    hadi dola za kimarekani 10/100 km. Lengo la
    hatua hii ni kuwianisha utozaji wa viwango vya
    tozo hizo katika ukanda wa EAC, SADC na
    COMESA.
    114
    (m) Sheria ya Benki Kuu ya Tanzania,
    SURA 197
  10. Mheshimiwa Spika, napendekeza kufanya
    marekebisho kwenye Sheria ya Benki Kuu ya
    Tanzania kwa kuweka kiwango cha ukomo wa
    Serikali kukopa kuwa kiasi kisichozidi asilimia 18
    ya mapato ya ndani yaliyoidhinishwa katika
    mwaka husika badala ya kiwango cha sasa cha
    moja ya nane ya mapato ya ndani yaliyokusanywa
    katika mwaka uliotangulia. Lengo la hatua hii ni
    kuwianisha kiwango husika na nchi nyingine za
    Jumuiya ya Afrika Mashariki pamoja na
    kuiwezesha Serikali kutekeleza Bajeti yake.
    (n) Sheria ya Forodha ya Jumuiya ya Afrika
    Mashariki ya mwaka 2004
  11. Mheshimiwa Spika, kikao cha Mawaziri wa
    Fedha wa Jumuiya ya Afrika Mashariki
    kilichofanyika tarehe 13 Mei, 2022 Mombasa
    Kenya, kilipendekeza kufanya marekebisho ya
    Viwango vya Pamoja vya Ushuru wa Forodha
    (EAC-Common External Tariff) kwa mwaka wa
    Fedha 2022/23. Mapendekezo hayo yanalenga
    kuongeza kasi ya kufufua uchumi na kuimarisha
    Sekta za uzalishaji kwa ajili ya kuboresha maisha.
    115
  12. Mheshimiwa Spika, mapendekezo ya
    Mawaziri wa Fedha ya kufanya marekebisho
    kwenye Viwango vya Pamoja vya Ushuru wa
    Forodha yanahusisha hatua mpya na
    zinazoendelea ambazo zimekuwa zikitekelezwa
    katika Mwaka wa Fedha 2021/22. Hatua hizo ni
    kama zifuatazo:
    (i) Mapendekezo ya hatua mpya za Viwango
    vya Ushuru wa Forodha ni kama
    ifuatavyo: –
    (a) Kuongeza Ushuru wa Forodha kutoka
    asilimia 25 hadi asilimia 35 au dola za
    Marekani 1.5 kwa kila mita moja ya
    mraba (square meter) kutegemea
    kiwango kitakachokuwa kikubwa kwa
    mwaka mmoja kwenye bidhaa za
    marumaru zinazotambulika kwa HS
    Codes 6907.21.00; 6907.22.00; na
    6907.23.00. Lengo la hatua hii ni
    kulinda viwanda vya ndani
    vinavyozalisha marumaru, pamoja na
    kudhibiti udanganyifu wa thamani
    halisi ya bidhaa hizo kutoka nje;
    (b) Kutoza Ushuru wa Forodha wa asilimia
    10 au dola za Marekani 125 kwa kila
    tani moja (Metric ton) kutegemea
    116
    kiwango kitakachokuwa kikubwa
    kwenye mabati yanayotambulika kwa
    HS Codes 7212.20.00; na 7226.99.00
    kwa mwaka mmoja badala ya ushuru
    wa asilimia 10 pekee. Lengo la hatua
    hii ni kulinda viwanda vya ndani
    kutokana na udanganyifu wa thamani
    halisi ya bidhaa hizo zinapoingizwa
    kutoka nje (under-invoicing and under
    valuation), na kulinda ajira pamoja na
    mapato ya Serikali;
    (c) Kurejesha utozaji wa Ushuru wa
    Forodha wa kiwango cha asilimia 0
    kutoka kiwango kilichokuwa
    kinatumika cha asilimia 25 kwenye
    mafuta ghafi ya kula (Crude Palm Oil)
    yanayotambulika kwa HS code
    1511.10.00. Lengo la hatua hii ni kutoa
    unafuu kwa wachakataji wa mafuta
    ghafi hapa nchini ili wananchi waweze
    kupata mafuta ya kula kwa bei nafuu;
    (d) Kutoza Ushuru wa Forodha kwa
    kiwango cha asilimia 10 kwa mwaka
    mmoja kutoka kiwango cha awali cha
    asilimia 0 kwenye mafuta ghafi ya soya,
    117
    karanga, nazi na haradali
    zinazotambulika kwa HS codes
    1507.10.00; 1508.10.00; 1513.11.00;
    1514.91.00; na 1515.11.00. Lengo la
    hatua hii ni kuoanisha viwango vya
    mafuta haya ghafi vifanane na viwango
    vya mafuta ghafi ya alizeti, pamba na
    mafuta ghafi mengineyo ambayo
    viwango vyake ni asilimia 10. Aidha,
    hatua hii pia inalenga kulinda na
    kuhamasisha uzalishaji wa mbegu za
    mafuta ya kula nchini, kuongeza ajira
    pamoja na kulinda fedha za kigeni
    zinazotumika kuagiza mafuta hayo nje
    ya nchi;
    (e) Kutoza Ushuru wa Forodha wa asilimia
    25 au dola za Marekani 500 kwa kila
    tani moja ya ujazo (Metric ton)
    kutegemea kiwango kitakachokuwa
    kikubwa badala ya asilimia 35 kwa
    mwaka mmoja kwenye mafuta ya kula
    yaliyochakatwa kwa kiwango cha kati
    na cha mwisho (semi-refined and
    refined) yanayotambulika kwa HS
    codes 1507.90.00; 1508.90.00; 1509;
    1510.10.00; 1510.90.00; 1511.90.10;
    118
    1511.90.30; 1511.90.90; 1512.19.00;
    1512.29.00; 1513.19.00; 1513.29.00;
    1514.19.00; 1514.99.00; 1515.19.00;
    1515.29.00; 1515.50.00; na
    1515.90.00. Lengo la hatua hii ni
    kulinda viwanda na kuhamasisha
    uchakataji wa mbegu na mafuta ghafi
    yaliyoingizwa nchini ili kuongeza
    thamani ya bidhaa (value addition) na
    kukuza ajira;
    (f) Kuongeza Ushuru wa Forodha kutoka
    asilimia 25 hadi asilimia 35 kwa
    mwaka mmoja kwenye taulo za watoto
    (Baby Diapers) zinazotumbulika kwa
    HS code 9619.00.90. Lengo la hatua hii
    ni kulinda viwanda vinavyozalisha
    bidhaa hii nchini, kuongeza ajira
    pamoja na mapato ya Serikali;
    (g) Kuongeza Ushuru wa Forodha kutoka
    asilimia 10 hadi asilimia 25 kwa
    mwaka mmoja kwenye nyuzi za pamba
    (cotton yarn) zinazotambulika kwa
    Headings 52.05, 52.06 na 52.07
    isipokuwa nyuzi za pamba
    zinazotambulika kwa HS Code
    119
    5205.23.00. Lengo la hatua hii ni
    kulinda viwanda vinavyozalisha bidhaa
    hiyo na kuongeza thamani ya zao la
    pamba (value addition) nchini;
    (h) Nchi Wanachama wa Jumuiya ya
    Afrika Mashariki zimekubaliana
    kuongeza Ushuru wa Forodha kutoka
    asilimia 25 hadi asilimia 35 kwenye
    milango na madirisha ya alluminium na
    chuma yanayoagizwa kutoka nje
    yanayotambulika kwa HS Codes
    7610.10.00 na 7308.30.00. Lengo la
    hatua hii ni kulinda wajasiriamali wa
    ndani wanaotengeneza bidhaa hizo,
    kuongeza ajira pamoja na mapato ya
    Serikali;
    (i) Kutoa unafuu wa Ushuru wa Forodha
    kwa utaratibu wa Duty Remission
    kutoka asilimia 10 hadi asilimia 0 kwa
    mwaka mmoja kwenye malighafi za
    kutengeneza viongeza ladha kwenye
    vyakula na vinywaji (food flavors)
    zinazotambulika kwa HS Code
    1901.90.10; 3302.10.00; na
    3505.10.00. Lengo la hatua hii ni kutoa
    120
    unafuu kwa watengenezaji wa bidhaa
    hizo nchini;
    (j) Kutoa unafuu wa Ushuru wa Forodha
    kwa utaratibu wa Duty Remission
    kutoka asilimia 25 au asilimia 10 hadi
    asilimia 0 kwa mwaka mmoja kwenye
    karatasi zinazotambulika kwa HS
    Codes 4804.19.90; 4804.39.00;
    4804.42.00; 4804.51.00; 4804.52.00;
    4805.11.00; 4805.19.00; 4805.24.00;
    4805.25.00; 4805.93.00; 4810.13.00;
    4810.19.00; 4810.31.00; na
    4810.32.00 zinazotumika kama
    malighafi ya kutengeneza vifungashio
    aina ya maboksi (corrugated boxes).
    Lengo la hatua hii ni kutoa unafuu kwa
    wazalishaji wa vifungashio hivyo hapa
    nchini ili wananchi waweze kuvipata
    kwa urahisi na kwa bei nafuu;
    (k) Kutoa unafuu wa Ushuru wa Forodha
    kwa utaratibu wa Duty Remission
    kutoka asilimia 10 hadi asilimia 0 kwa
    mwaka mmoja kwenye malighafi za
    kutengeneza vioo vizito (toughened
    glass) zinazotambulika kwa HS Codes
    121
    7005.10.00; 7005.21.00; 7005.29.00;
    na 7005.30.00. Lengo la hatua hii ni
    kutoa unafuu kwa watengenezaji wa
    vioo hivyo nchini;
    (l) Kutoa unafuu wa Ushuru wa Forodha
    kwa utaratibu wa Duty Remission
    kutoka asilimia 25 au asilimia 10 hadi
    asilimia 0 kwa mwaka mmoja kwenye
    malighafi za kutengeneza nyaya za
    umeme (electrical cables)
    zinazotambulika kwa HS Codes
    7312.10.00; 7217.20.00; 7408.19.00;
    7409.11.00; 7605.21.00; 2710.19.56;
    3815.90.00; 5402.19.00; 5903.90.00;
    7217.20.00; 7907.00.00; 7312.10.00;
    na 2712.10.00. Lengo la hatua hii ni
    kutoa unafuu kwa watengenezaji wa
    nyaya hizo pamoja na kuvutia
    uwekezaji nchini;
    (m)Kutoa unafuu wa Ushuru wa Forodha
    kwa utaratibu wa Duty Remission
    kutoka asilimia 25 hadi asilimia 10
    kwa mwaka mmoja kwenye malighafi
    za kutengeneza sabuni (toilet soap)
    zinazotambulika kwa HS Code
    122
    3401.20.10. Lengo la hatua hii ni kutoa
    unafuu kwa wazalishaji wa sabuni
    nchini, kuongeza ajira na mapato ya
    Serikali;
    (n) Kutoza Ushuru wa Forodha kwa
    kiwango cha asilimia 25 badala ya
    kiwango cha asilimia 100 au dola za
    Marekani 460 kwa kila tani moja ya
    ujazo kutegemea kiwango
    kitakachokuwa kikubwa kwa mwaka
    mmoja kwenye sukari ya matumizi ya
    kawaida (consumption sugar)
    inayoagizwa kutoka nje ya nchi kwa
    vibali maalum kwa lengo la kuziba
    pengo (gap) la uzalishaji hapa nchini;
    (o) Kutoa unafuu wa Ushuru wa Forodha
    kwa utaratibu wa Duty Remission
    kutoka asilimia 25 hadi asilimia 0
    kwenye hema za chuma (Prefabricated
    building) zinazotambulika kwa HS Code
    9406.20.90 zitakazoagizwa na wafugaji,
    kwa mwaka mmoja. Lengo la hatua hii
    ni kutoa unafuu kwenye sekta ya
    mifugo, kuvutia uwekezaji, kuongeza
    123
    ajira, pamoja na mapato ya Serikali
    kutokana na uwekezaji;
    (p) Nchi Wanachama wa Jumuiya ya
    Afrika Mashariki zimekubaliana
    kuongeza Ushuru wa Forodha kutoka
    asilimia 25 hadi asilimia 35 kwenye
    nywele bandia zinazotambulika kwa
    Heading 6704. Hatua hii inalenga
    kulinda wazalishaji wa ndani wa
    bidhaa hizo, kuongeza ajira pamoja na
    kuongeza mapato ya Serikali;
    (q) Nchi Wanachama wa Jumuiya ya
    Afrika Mashariki zimekubaliana
    kupunguza Ushuru wa Forodha kutoka
    asilimia 25 hadi asilimia 10 kwenye
    mafuta mengineyo ya petroli
    yanayotambulika kwa HS Code
    2710.19.10. Lengo la hatua hii ni kutoa
    unafuu na kulinda watumiaji wa
    bidhaa hii;
    (r) Nchi Wanachama wa Jumuiya ya
    Afrika Mashariki zimekubaliana kutoza
    Ushuru wa Forodha kwa kiwango cha
    asilimia 35 kwenye sigara za
    124
    kielektroniki zinazotambulika kwa HS
    Code 8543.40.00. Lengo la hatua hii ni
    kulinda mnyororo wa thamani wa zao
    la tumbaku nchini, kulinda viwanda
    vya ndani, pamoja na kuongeza ajira;
    (s) Nchi Wanachama wa Jumuiya ya
    Afrika Mashariki zimekubaliana
    kufanya marekebisho kwenye tafsiri
    (descriptions) ya HS Codes 7310.29.20
    na 7612.90.10 ambapo awali zilikuwa
    zinatafsiri makasha ya kuhifadhia
    vinywaji pekee ambayo ushuru wa
    forodha ni asilimia 0 na sasa
    kujumuisha makasha ya kuhifadhia
    chakula ili yaweze kutozwa ushuru wa
    forodha kwa kiwango cha asilimia 0
    badala ya asilimia 25. Lengo la
    marekebisho hayo ni kutoa unafuu
    kwenye vifungashio vya vyakula ili
    kulinda walaji.
    (ii) Mapendekezo ya kuendelea na utekelezaji
    wa Viwango vya Ushuru wa Forodha vya
    mwaka 2021/22 ni kama ifuatavyo; –
    (a) Kupunguza Ushuru wa Forodha
    kutoka asilimia 25 au asilimia 10 hadi
    125
    asilimia 0 kwa mwaka mmoja kwenye
    malighafi zinazotumika katika
    uzalishaji wa vifaa maalum
    vinavyotumika katika kupambana na
    ugonjwa wa homa kali ya mapafu
    (UVIKO-19) vikiwemo barakoa (Masks),
    kipukusi (sanitizer), mashine za
    kusaidia kupumua (ventilators), na
    mavazi maalum ya kujikinga
    yanayotumiwa na madaktari na
    wahudumu wa afya (PPE). Msamaha
    huu utatolewa kwa utaratibu wa “duty
    remission”. Hatua hii inalenga kutoa
    unafuu kwa wazalishaji wa vifaa hivyo
    hapa nchini ili kuongeza kasi katika
    kupambana na ugonjwa huo;
    (b) Kupunguza Ushuru wa Forodha
    kutoka asilimia 10 hadi asilimia 0 kwa
    mwaka mmoja kwenye mashine za
    kielektroniki zinazotumika kukusanya
    mapato ya Serikali (Cash registers,
    Electronic Fiscal Device (EFD) Machines
    and Point of Sale (POS) machines)
    zinazotambulika kwa HS Code
    8470.50.00 na 8470.90.00. Lengo la
    hatua hii ni kuhamasisha matumizi ya
    126
    vifaa hivi katika kuhasibu mapato ya
    Serikali;
    (c) Kupunguza Ushuru wa Forodha
    kutoka asilimia 25 hadi asilimia 0 kwa
    mwaka mmoja kwenye vifungashio
    vinavyotumiwa na wazalishaji wa
    maziwa kwa joto la juu yanayodumu
    kwa muda mrefu (UHT Milk)
    vinavyotambulika kwa HS code
    4819.50.00. Lengo la hatua hii ni
    kutoa unafuu kwa wazalishaji wa
    maziwa hapa nchini. Utaratibu wa
    Duty Remission utatumika kutoa
    unafuu huo;
    (d) Kupunguza Ushuru wa Forodha
    kutoka kiwango cha asilimia 10 hadi
    asilimia 0 kwa mwaka mmoja kwenye
    vifuniko vya chupa za mvinyo (corks
    and stoppers) vinavyotambulika kwa
    HS Code 4503.10.00 kwa kuzingatia
    kuwa havizalishwi hapa nchini. Hatua
    hii inalenga kuwapunguzia gharama
    wazalishaji wa mvinyo ili
    kuhamasisha na kuendeleza kilimo
    cha zao la zabibu nchini pamoja na
    127
    ajira. Utaratibu wa Duty Remission
    utatumika kutoa unafuu huo;
    (e) Kuongeza Ushuru wa Forodha kutoka
    asilimia 0 hadi asilimia 10 kwa mwaka
    mmoja kwenye unga wa kakao
    unaoingizwa kutoka nje
    unaotambulika kwa HS Code
    1805.00.00. Lengo ni kuchochea na
    kuhamasisha kilimo cha zao la kakao
    nchini pamoja na kuongeza mapato ya
    Serikali;
    (f) Kupunguza Ushuru wa Forodha
    kutoka asilimia 25 hadi asilimia 0 kwa
    mwaka mmoja kwenye vifungashio vya
    kuhifadhia kahawa vinavyotumiwa na
    viwanda vya kusaga kahawa nchini.
    Vifungashio vitakavyohusika ni vile
    vinavyotambulika kwa HS codes
    7310.21.00; 6305.10.00; 3923.50.10;
    3923.50.90 na 3920.30.90. Hatua hii
    inalenga kuongeza thamani kwenye
    zao la kahawa na kuvipa unafuu wa
    gharama viwanda vinavyosaga kahawa
    hapa nchini. Utaratibu wa “Duty
    128
    Remission” utatumika katika kuagiza
    vifungashio hivyo;
    (g) Kupunguza Ushuru wa Forodha
    kutoka asilimia 25 hadi asilimia 0 kwa
    mwaka mmoja kwenye vifungashio vya
    kuhifadhia korosho. Vifungashio
    vitakavyohusika ni vile
    vinavyotambulika katika HS code
    3923.21.00. Hatua hii inalenga
    kuongeza thamani kwenye zao la
    korosho na kuvipa unafuu wa
    gharama viwanda vinavyochakata
    korosho hapa nchini. Aidha utaratibu
    wa “Duty Remission” utatumika katika
    kuagiza vifungashio hivyo;
    (h) Kupunguza Ushuru wa Forodha
    kutoka asilimia 25 hadi asilimia 0 kwa
    mwaka mmoja kwenye vifungashio vya
    kuhifadhia pamba (cotton lint).
    Vifungashio vitakavyohusika ni vile
    vinavyotambulika kama HS codes
    3920.30.90; 6305.39.00 na
    7217.90.00. Hatua hii inalenga
    kuvutia uwekezaji ili kuongeza
    thamani ya zao la pamba nchini;
    129
    (i) Kupunguza Ushuru wa Forodha kwa
    kiwango cha asilimia 0 kwa mwaka
    mmoja kutoka kiwango cha awali cha
    asilimia 25 kwenye malighafi za
    kutengeneza taulo za watoto (Baby
    Diapers) zinazotumbulika kwa HS
    code 3506.91.00 Hot Melt Adhesive;
    PE film HS Code 3920.10.90, Empty
    bag for Baby Diapers HS Code
    6305.33.00, Plastic cask HS Code
    3926.90.90; na kiwango cha awali cha
    asilimia 10 kwenye Super Absorbent
    Polymer HS Code 3906.90.00, Wet
    strength paper HS Code 4803.00.00,
    Non-woven HS Code 5603.11.00,
    Polyethylene laminated Nonwovens HS
    Code 5903.90.00, Spandex HS Code
    5402.44.00 na Dust free paper HS
    Code 4803.00.00. Aidha, msamaha
    huu utatolewa kwa utaratibu wa
    “Duty Remission”. Hatua hii inalenga
    kutoa unafuu wa gharama za
    uzalishaji na kuongeza ajira;
    (j) Kupunguza Ushuru wa Forodha
    kutoka asilimia 25 au asilimia 10 hadi
    asilimia 0 kwa mwaka mmoja kwenye
    130
    vifaa vinavyotumika katika kukata,
    kung’arisha na kuongeza thamani ya
    madini ya vito vinavyotambulika kwa
    HS Codes 6804.10.00; 7018.90.00;
    7020.00.99; 3606.90.00; 6813.20.00;
    8202.20.00; 8202.99.00; 8203.20.00;
    8205.10.00; 8423.89.90; 8513.10.90;
    na 9002.19.00. Hatua hii inalenga
    kuchochea uongezaji wa thamani
    kwenye madini, kukuza ajira pamoja
    na kuongeza mapato ya Serikali.
    Utaratibu wa “Duty Remission”
    utatumika katika kuagiza vifaa hivyo;
    (k) Kupunguza Ushuru wa Forodha
    kutoka asilimia 25 hadi asilimia 0 kwa
    mwaka mmoja kwenye vifungashio vya
    mbegu vinavyotambulika kwa HS
    codes 3923.29.00; 6305.10.00;
    4819.40.00; 7310.29.90; 6305.33.00;
    6305.20.00; 6304.91.90 na
    7607.19.90. Utaratibu utakaotumika
    kutoa unafuu huo ni wa “Duty
    Remission”. Lengo la hatua hii ni
    kutoa unafuu kwa wazalishaji wa
    mbegu hapa nchini;
    131
    (l) Kutoza Ushuru wa Forodha wa
    asilimia 10 au dola za Marekani 125
    kwa kila tani moja ya ujazo (Metric ton)
    kwenye bidhaa za chuma kutegemea
    kiwango kitakachokuwa kikubwa
    badala ya ushuru wa asilimia 10 kwa
    mwaka mmoja. Bidhaa hizo ni Flat –
    rolled products of iron or non-alloy steel
    and other alloy steel. Bidhaa hizi
    zinatambulika kwa HS Codes
    7209.16.00; 7209.17.00; 7209.18.00;
    7209.26.00; 7209.27.00; 7209.28.00;
    7209.90.00; 7211.23.00; 7211.90.00;
    7225.50.0 na 7226.92.00. Lengo la
    hatua hii ni kulinda viwanda vya hapa
    nchini, kukuza ajira pamoja na
    kudhibiti udanganyifu wa thamani
    halisi ya bidhaa hizo kutoka nje;
    (m) Kutoza Ushuru wa Forodha wa
    asilimia 25 au dola za Marekani 250
    kwa kila tani moja ya ujazo (metric ton)
    kutegemea kiwango kitakachokuwa
    kikubwa badala ya ushuru wa asilimia
    25 au dola za Marekani 200 kwa kila
    tani moja ya ujazo (metric ton) kwa
    mwaka mmoja kwenye bidhaa za
    132
    mabati zinazotambulika kwa HS codes
    7210.30.00; 7210.49.00; 7210.61.00;
    7210.69.00; 7210.70.00 na
    7210.90.00. Lengo la hatua hii ni
    kuwalinda wazalishaji wa bidhaa hizo
    hapa nchini kutokana na ushindani
    wa nje;
    (n) Kutoza Ushuru wa Forodha wa
    asilimia 10 au dola za Marekani 250
    kwa kila tani moja ya ujazo (Metric ton)
    kwa mwaka mmoja kutegemea
    kiwango kitakachokuwa kikubwa
    kwenye bidhaa za mabati
    zinazotambulika katika HS Code
    7212.60.00 badala ya ushuru wa
    asilimia 10 pekee. Lengo la hatua hii
    ni kulinda viwanda vya ndani
    kutokana na udanganyifu wa thamani
    halisi ya bidhaa hizo zinapoingizwa
    kutoka nje (under-invoicing and under
    valuation), pamoja na kulinda ajira na
    mapato ya Serikali;
    (o) Kutoza Ushuru wa Forodha wa
    asilimia 25 au dola za Marekani 250
    kwa kila tani moja ya ujazo (Metric ton)
    133
    kutegemea kiwango kitakachokuwa
    kikubwa badala ya ushuru wa asilimia
    25 au dola za Marekani 200 kwa kila
    tani moja ya ujazo (Metric ton)
    kutegemea kiwango kitakachokuwa
    kikubwa kwa mwaka mmoja kwenye
    bidhaa za mabati zinazotambulika
    kwa HS Code 7212.30.00. Lengo la
    hatua hii ni kulinda viwanda vya
    ndani kutokana na udanganyifu wa
    thamani halisi ya bidhaa hizo
    zinapoingizwa kutoka nje (underinvoicing and under valuation), pamoja
    na kulinda ajira na mapato ya
    Serikali;
    (p) Kutoza Ushuru wa Forodha wa
    asilimia 25 au dola za Marekani 250
    badala ya kiwango cha asilimia 25 au
    dola za Marekani 200 kwa kila tani
    moja ya ujazo (metric ton) kutegemea
    kiwango kitakachokuwa kikubwa
    kwenye bidhaa za chuma (Reinforment
    bars and hallow profile) kwa mwaka
    mmoja. Hatua hii inahusu bidhaa
    zinazotambulika kwa HS Codes
    7213.10.00; 7213.20.00; 7213.99.00;
    134
    7306.30.00; 7306.50.00; 7306.61.00;
    7306.69.00; na 7306.90.00. Lengo la
    hatua hii ni kulinda viwanda
    vinavyozalisha nondo hapa nchini
    kutokana na udanganyifu wa thamani
    halisi ya bidhaa hizo zinapoingizwa
    kutoka nje (under-invoicing and under
    declaration), pamoja na kulinda ajira
    na mapato ya Serikali;
    (q) Kutoza Ushuru wa Forodha wa
    asilimia 25 au dola za Marekani 250
    badala ya kiwango cha asilimia 10
    kwenye bidhaa za chuma (Flat-rolled
    products of other alloy steel, of a width
    of 600 mm or more) zinazotambulika
    kwa HS Codes 7225.91.00;
    7225.92.00; na 7225.99.00 kwa
    mwaka mmoja. Lengo la hatua hii ni
    kulinda viwanda vinavyozalisha nondo
    hapa nchini kutokana na udanganyifu
    wa thamani halisi ya bidhaa hizo
    zinapoingizwa kutoka nje (underinvoicing and under declaration),
    pamoja na kulinda ajira na mapato ya
    Serikali,
    135
    (r) Kuongeza Ushuru wa Forodha kutoka
    asilimia 0 hadi asilimia 10 kwa mwaka
    mmoja kwenye bidhaa za fito za
    plastiki zijulikanazo kama PVC Profiles
    zinazotambulika kwa HS Codes
    3916.10.00; 3916.20.00; na
    3916.90.00 ambazo hutumika
    kutengenezea fremu za milango,
    madirisha n.k. Lengo la hatua hii ni
    kuongeza mapato ya Serikali;
    (s) Kutoza Ushuru wa Forodha wa
    asilimia 25 badala ya asilimia 10 kwa
    mwaka mmoja kwenye karatasi
    zinazozalishwa na viwanda vya hapa
    nchini ambazo zinatambulika kwa HS
    code 4804.29.00. Lengo la hatua hii ni
    kulinda viwanda vinavyozalisha
    karatasi hizo hapa nchini;
    (t) Kutoza Ushuru wa Forodha kwa
    kiwango cha asilimia 10 badala ya
    asilimia 35 kwa mwaka mmoja
    kwenye ngano inayotambulika kwa HS
    Codes 1001.99.10 na 1001.99.90 kwa
    utaratibu wa “Duty Remission”
    ambapo wanaonufaika na unafuu huu
    136
    ni wenye viwanda vya kusaga ngano.
    Lengo la hatua hii ni kupunguza
    gharama kwa viwanda vinavyozalisha
    unga wa ngano ili kurahisisha
    upatikanaji wa bidhaa za ngano kwa
    bei nafuu;
    (u) Kutoza Ushuru wa Forodha kwa
    kiwango cha asilimia 0 kutoka
    kiwango cha awali cha asilimia 25 kwa
    mwaka mmoja kwa utaratibu wa Duty
    Remission kwenye bidhaa ijulikanayo
    kama “Printed Alluminium Barrier
    Laminates” (ABL) HS Code 3920.10.90
    ambayo hutumika kama malighafi ya
    kutengeneza vifungashio vya dawa ya
    meno kwenye viwanda vya ndani.
    Lengo la hatua hii ni kutoa unafuu wa
    gharama kwa viwanda vinavyozalisha
    dawa ya meno nchini;
    (v) Kutoza Ushuru wa Forodha kwa
    kiwango cha asilimia 0 kutoka
    kiwango cha awali cha asilimia 10 kwa
    mwaka mmoja kwa utaratibu wa
    “Duty Remission” kwenye malighafi ya
    kutengeneza sabuni ijulikanayo kama
    137
    RBD Palm Stearin HS Code 1511.90.40
    kwa viwanda vinavyotengeneza sabuni
    nchini. Lengo la hatua hii ni kutoa
    unafuu kwa viwanda vya kuzalisha
    sabuni nchini;
    (w) Kutoza Ushuru wa Forodha wa
    asilimia 25 au dola za Marekani 1.35
    kwa kila kilo moja ya viberiti (safety
    match boxes) vinavyotambuliwa
    kwenye HS code 3605.00.00
    kutegemea kiwango kitakachokuwa
    kikubwa badala ya asilimia 25 pekee
    kwa mwaka mmoja. Lengo la hatua hii
    ni kulinda viwanda vinavyozalisha
    viberiti nchini dhidi ya bidhaa zenye
    ruzuku kutoka nje na hivyo kuwa na
    ushindani sawa katika soko;
    (x) Kutoza Ushuru wa Forodha wa
    asilimia 25 au dola za Marekani 350
    kwa kila tani moja ya ujazo (Metric ton)
    kutegemea kiwango kitakachokuwa
    kikubwa kwa mwaka mmoja kwenye
    bidhaa za chuma za misumari
    zinazotambulika kwa HS code
    7317.00.00 (nails, tacks, drawing pins,
    138
    corrugated nails, and staples other
    than those of heading 83.05) badala ya
    asilimia 25 pekee. Hatua hii inalenga
    kulinda viwanda vinavyozalisha
    bidhaa hizo nchini.
    (y) Kutoza Ushuru wa Forodha wa
    asilimia 60 badala ya asilimia 35 kwa
    mwaka mmoja kwenye maji ya
    kunywa (mineral water)
    yanayotambulika kwa HS code
    2201.10.00. Hatua hii inalenga
    kulinda viwanda vinayvozalisha maji
    ya kunywa nchini;
    (z) Kutoza Ushuru wa Forodha wa
    asilimia 10 badala ya asilimia 0
    kwenye Gypsum Powder
    inayotambulika kwa HS code
    2520.20.00 kwa mwaka mmoja. Lengo
    la hatua hii ni kulinda wazalishaji wa
    Gypsum Powder nchini;
    (aa) Kutoza Ushuru wa Forodha wa
    asilimia 35 kwa mwaka mmoja
    kwenye mitumba inayoingia kutoka
    nje badala ya asilimia 35 au dola za
    139
    Marekani 0.40 kwa kilo moja
    kutegemea kiwango kipi kikubwa kwa
    lengo la kutoa unafuu kwa watumiaji
    nchini;
    (bb) Kutoa unafuu wa Ushuru wa Forodha
    kwenye malighafi, vipuri na mashine
    vinavyotumika katika kutengeneza
    viatu vya ngozi na nguo. Lengo la
    hatua hii ni kuhamasisha ukuaji wa
    sekta ya nguo na viatu vya ngozi
    nchini;
    (cc) Kupunguza Ushuru wa Forodha
    kutoka asilimia 25 hadi asilimia 10
    kwa mwaka mmoja kwenye mabasi ya
    abiria yanayotambulika kwa HS Codes
    8702.10.99 na 8702.20.99
    yanayoingizwa nchini kwa ajili ya
    mradi wa mabasi yaendayo haraka.
    Hatua hii inalenga kupunguza
    gharama za uingizaji wa mabasi hayo
    ili kurahisisha huduma ya usafiri kwa
    wananchi;
    (dd) Kuongeza Ushuru wa Forodha kutoka
    asilimia 10 hadi asilimia 25 kwa
    140
    mwaka mmoja kwenye matairi mapya
    ya pikipiki (new pneumatic tyres of
    rubber) yanayotambulika kwa HS
    Code 4011.40.00. Lengo la hatua hii
    ni kuhamasisha uzalishaji wa matairi
    hayo nchini kwa kuwa kuna malighafi
    za kutosha;
    (ee) Kupunguza Ushuru wa Forodha
    kutoka asilimia 10 hadi asilimia 0 kwa
    mwaka mmoja kwenye nyaya (wire of
    other alloy steel) zinazotambulika kwa
    HS Codes 7229.20.00 na 7229.90.00.
    Lengo la hatua hii ni kupunguza
    gharama kwa wazalishaji wanaotumia
    bidhaa hiyo kama malighafi;
    (ff) Kupunguza Ushuru wa Forodha
    kutoka asilimia 25 hadi asilimia 0 kwa
    mwaka mmoja kwenye milk cans
    zinazotambulika kwa HS Codes
    7310.10.00 na 7310.29.90. Lengo la
    hatua hii ni kutoa unafuu wa
    vifungashio vya kuhifadhia maziwa ili
    kuwalinda walaji nchini;
    141
    (gg) Kupunguza Ushuru wa Forodha
    kutoka asilimia 10 hadi asilimia 0 kwa
    mwaka mmoja kwenye LABSA
    (Organic surface-active agents –
    Anionic) inayotambulika kwa HS Code
    3402.11.00 kwa utaratibu wa Duty
    Remission. Lengo la hatua hii ni kutoa
    unafuu kwa wazalishaji wa sabuni za
    unga na maji nchini;
    (hh) Kupunguza Ushuru wa Forodha
    kutoka asilimia 25 au asilimia 10 hadi
    asilimia 0 kwa mwaka mmoja kwenye
    malighafi za kuchakata ngozi
    zinazotambulika kwa HS Codes
    3208.20.00 na 3210.00.10 kwa
    utaratibu wa duty remission. Lengo la
    hatua hii ni kutoa unafuu kwa
    wachakataji wa ngozi nchini;
    (ii) Kupunguza Ushuru wa Forodha
    kutoka asilimia 25 au asilimia 10 hadi
    asilimia 0 kwa mwaka mmoja kwenye
    malighafi za kutengeneza mbolea
    zinazotambulika kwa HS Codes
    2710.99.00, 2528.00.00 na
    3505.20.00 kwa utaratibu wa Duty
    142
    Remission. Lengo la hatua hii ni kutoa
    unafuu kwa wazalishaji wa mbolea
    nchini;
    (jj) Kupunguza Ushuru wa Forodha
    kutoka asilimia 25 hadi asilimia 0 kwa
    mwaka mmoja kwenye vifungashio vya
    tumbaku iliyochakatwa
    vinavyotambulika kwa HS Code
    5310.10.00 kwa utaratibu wa Duty
    Remission. Lengo la hatua hii ni kutoa
    unafuu kwa wachakataji wa tumbaku
    nchini;
    (kk) Kupunguza Ushuru wa Forodha
    kutoka asilimia 25 hadi asilimia 0 kwa
    mwaka mmoja kwenye vifungashio vya
    chai iliyochakatwa vinavyotambulika
    kwa HS Codes 4819.20.90,
    5407.44.00 na 3923.29.00 kwa
    utaratibu wa Duty Remission. Lengo la
    hatua hii ni kutoa unafuu kwa
    wachakataji wa chai (tea blenders)
    nchini;
    (ll) Kupunguza Ushuru wa Forodha
    kutoka asilimia 25 hadi asilimia 10
    143
    kwa mwaka mmoja kwa
    waunganishaji wa pikipiki za matairi
    matatu bila kujumuisha fremu ili
    ziweze kutengenezwa na
    kuunganishwa hapa nchini (CKD for
    three-wheel motorcycles excluding
    chassis and its components)
    zinazotambulika kwa HS Code
    8704.21.90 kwa utaratibu wa Duty
    Remission. Lengo la hatua hii ni kutoa
    unafuu kwa waunganishaji wa pikipiki
    hizo nchini ili kurahisisha usafirishaji
    wa mizigo;
    (mm)Kupunguza Ushuru wa Forodha
    kutoka asilimia 25 au asilimia 10 hadi
    asilimia 0 kwa mwaka mmoja kwenye
    malighafi za kutengeneza mabomba ya
    plastiki (glass reinforced plastic pipes)
    zinazotambulika kwa HS Codes
    3920.61.10, 7019.39.00, 7019.31.00,
    6006.90.00, 7019.12.00, 3920.10.10,
    4016.93.00, na 3907.91.00 kwa
    utaratibu wa duty remission. Lengo la
    hatua hii ni kutoa unafuu kwa
    watengenezaji wa mabomba hayo
    nchini ili kupunguza gharama za
    144
    uzalishaji na kuwezesha ujenzi wa
    miundombinu ya maji; na
    (nn) Kutoza Ushuru wa Forodha kwa
    kiwango cha asilimia 10 kutoka
    kiwango cha asilimia 100 au dola za
    Marekani 460 kwa kila tani moja ya
    ujazo (metric tone) kutegemea kiwango
    kitakachokuwa kikubwa kwa mwaka
    mmoja kwenye sukari ya matumizi ya
    viwandani (sugar for industrial use)
    inayoagizwa kutoka nje ya nchi. Lengo
    la hatua hii ni kuwezesha na kutoa
    unafuu kwenye viwanda vinavyotumia
    bidhaa hii kama malighafi.
    (iii) Mawaziri wa Fedha wa Nchi Wanachama
    wa Jumuiya ya Afrika Mashariki
    walikubaliana kiwango cha juu cha
    ushuru wa forodha cha zaidi ya asilimia
    25 kuwa ni asilimia 35. Hivyo, Muundo
    mpya wa ushuru wa forodha wa EAC
    utakuwa katika mpangilio wa viwango
    vinne (Four Tariff Bands) yaani asilimia 0,
    asilimia 10, asilimia 25 na asilimia 35 na
    utekelezaji wake utaanza tarehe 1 Julai
  13. Bidhaa zitakazo tozwa ushuru wa
    145
    asilimia 35 ni pamoja na nyama, samaki,
    bidhaa za mbogamboga na matunda,
    mafuta ya kula, Chai, magunia ya kitani,
    kahawa, siagi ya karanga, soseji
    (sausages), nyanya zilizosindikwa (tomato
    sauces), saruji, chumvi, sabuni, rangi za
    majengo, vinywaji, vipodozi na urembo,
    bidhaa za samani, bidhaa za ngozi, bidhaa
    za chuma, marumaru, pamoja na bidhaa
    za sukari kama vile chingamu (chewing
    gum), biskuti, peremende, na chokoleti
    (chocolates).
    Hatua hizi kwa ujumla wake zinatarajiwa
    kuongeza mapato ya Serikali kwa kiasi cha
    shilingi milioni 66,791.
    (o) Utekelezaji wa Mpango wa Kuboresha
    Mazingira ya Kufanya Biashara
    (Blueprint) kwa kurekebisha Ada na Tozo
    mbalimbali.
  14. Mheshimiwa Spika, napendekeza kufuta au
    kupunguza ada na tozo mbalimbali zinazotozwa
    na Wizara, Idara na Taasisi zinazojitegemea ili
    kuondoa kero na urasimu kwa wafanyabiashara
    na kuboresha mazingira ya biashara na uwekezaji
    hasa katika kipindi hiki cha changamoto kubwa
    146
    ya kiuchumi kufuatia kuenea kwa janga la
    UVIKO-19 na baadaye kuzuka kwa vita ya Urusi
    na Ukraine. Hatua hizi ni sehemu ya mwendelezo
    wa utekelezaji wa Mpango wa kuboresha Mfumo
    wa udhibiti wa Biashara (Blueprint for Regulatory
    Reforms to Improve the Business Environment).
    Marekebisho hayo yatajumuisha:
    (i) Wizara ya Mifugo na Uvuvi
    (a) Sekta ya Mifugo
    Napendekeza kufanya marekebisho ya tozo
    mbalimbali kwenye sekta ya mifugo kama
    ilivyoanishwa katika Kiambatisho Namba
    5; na
    (b) Sekta ya Uvuvi
    Napendekeza kufanya marekebisho ya tozo
    mbalimbali kwenye sekta ya uvuvi kama
    ilivyoainishwa kwenye Kiambatisho Namba
    6.
    (ii) Wizara ya Kilimo
    (a) Kufuta tozo ya shilingi 200 (impoundment
    fee) inayotozwa kwa kila mita ya mraba ya
    eneo la uso wa maji yaliyohifadhiwa kwenye
    mabwawa ya umwagiliaji. Hatua hii inalenga
    147
    kupunguza gharama kwa wakulima
    wanaofanya kilimo cha umwagiliaji; na
    (b) Kuongeza ada ya kibali cha kusafirisha
    mbolea nje ya nchi kutoka dola za
    kimarekani 0.2 kwa tani hadi dola za
    kimarekani 0.5 kwa tani. Lengo la hatua hii
    ni kuchochea uzalishaji wa mbolea nchini
    na kuongeza ajira. Hatua hii pia inaendana
    na dhima ya Serikali ya kuchochea
    maendeleo ya viwanda hapa nchini.
    (iii) Wizara ya Habari, Mawasiliano na
    Teknolojia ya Habari
    Kuanzisha utaratibu wa kutoza ada ya
    shilingi 1,000 hadi 3,000 kwenye ada ya
    matumizi ya king’amuzi kulingana na
    kiwango cha matumizi.
    (iv) Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo
    Napendekeza kuanzisha tozo ya asilimia 1.5
    kwenye vifaa vinavyotumika kuzalisha,
    kusambaza, kudurufu na kutunza kazi za
    Sanaa, uandishi na ubunifu mwingine kama
    vile muziki, filamu, vitabu, picha na aina
    nyingine za kazi za ubunifu. Vifaa hivi ni
    Radio/ TV set enabling recording; Analogue
    audio recorders; Analogue video recorders;
    148
    CD/DVD Copier; Digital Jukebox na MP 3
    Player. Hatua hii inatarajiwa kuongeza
    mapato ya Serikali kwa kiasi cha shilingi
    milioni 9,600.
    (v) Shirika la Viwango Tanzania
    Kupunguza tozo ya kuthibitisha ubora wa
    shehena (Batch Certification Fee) za sukari
    zinazoingizwa nchini kutoka shilingi 6 kwa
    kilo hadi shilingi 2.5 kwa kilo. Lengo la hatua
    hii kupunguza gharama kwa waingizaji wa
    sukari nchini ili kutoa unafuu kwa wananchi.
    (vi) Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa
    Kazi (OSHA)
    Kufuta tozo ya kipimio cha mzio (peak
    expiratory flow test fee) inayotozwa shillingi
    10,000 na tozo ya kipimo cha kilele (allergy
    test fee) inayotozwa shilingi 25,000.
    Pendekezo hili linatarajia kuchochea
    mazingira wezeshi ya biashara nchini
    hususan katika maeneo ya viwandani.
    (vii)Tume ya nguvu za mionzi Tanzania
    (a) Kupunguza ada ya Utambuzi wa Mionzi
    kutoka asilimia 0.2 ya Malipwani kwenda
    asilimi 0.1 ya Malipwani kwenye mizigo yote
    149
    ya vyakula inayosafirishwa nje ya nchi ikiwa
    pamoja na mbolea, tumbaku na bidhaa za
    tumbaku na chakula cha msaada
    kinachoingizwa nchini. Lengo la hatua hii ni
    kupunguza tozo kero na gharama za
    biashara na hivyo kuchochea mauzo ya
    bidhaa nje ya nchi sambamba na
    kupunguza utoroshaji wa mazao hayo
    kwenda nchi jirani kwa ajili ya kuuzwa nje
    ya nchi ; na
    (b) Kufanya Maboresho ya ada na tozo
    mbalimbali zinazotozwa na Tume ya Nguvu
    za Mionzi kama zilivyoainishwa kwenye
    kiambatisho Namba 7 ;
    (viii) Jeshi la Zimamoto na Uokoaji
    Napendekeza kufanya marekebisho ya Sheria
    ya Jeshi ya Zimamoto na Uokoaji Sura 427
    kwa kupunguza ada na tozo mbalimbali kama
    zilivyoainishwa kwenye kiambatisho Namba 8.
    Lengo la hatua hii ni kupunguza tozo kero na
    gharama za biashara.
    (ix) Bodi ya Michezo ya Kubahatisha
    Napendekeza kufanya marekebisho kwenye
    Jedwali la viwango vya tozo na ada la Kanuni
    za Michezo ya Kubahatisha chini ya Sheria ya
    150
    Michezo ya Kubahatisha Sura Na. 41 kama
    ilivyoainishwa kwenye kiambatisho Na 9.
    (x) Idara ya Uhamiaji
    Mwaka wa fedha 2021/22 Serikali ilipitisha
    uamuzi wa kuondoa ada ya kibali cha kuingia
    nchini (VISA/PASS FEE) kwa wanafunzi wa
    elimu ya juu kutoka nchi ya Msumbiji kwa
    ajili ya Mpango wa kubadilishana wanafunzi
    wa Elimu ya Juu baina ya Tanzania na
    Msumbiji (TAMOSE). Pamoja na uamuzi huo,
    napendekeza kuondoa tozo ya vibali vya
    ukaazi kwa wanafunzi wa elimu ya juu kutoka
    nchi ya Msumbiji. Lengo la hatua hii ni
    kutekeleza matakwa ya makubaliano kati ya
    nchi hiyo na Tanzania kuondoleana tozo hizo
    ambapo Msumbiji imeshaanza kutekeleza
    makubaliano hayo.
  15. Mheshimiwa Spika, napendekeza pia
    kufanya maboresho ya Sheria mbalimbali ili
    kuboresha mazingira ya biashara na uwekezaji
    kwa kupunguza mwingiliano wa Sheria.
    Mapendekezo hayo ni kama ifuatavyo:
    (i) Kufuta kifungu cha 6(10) (b) (ii) na (iii) cha
    Sheria ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania
    Na. 12 ili kuwa na viwango vya kitaifa
    151
    (National Standards) kwa kuzingatia kifungu
    cha 4(3) cha Sheria ya Viwango Na. 2. Lengo
    la hatua hii ni kufanya jukumu la viwango
    vya kitaifa kubaki kwa Shirika la Viwango
    Tanzania pekee. Iwapo Mamlaka ya
    Mawasiliano itakuwa na mahitaji ya viwango,
    itashirikiana na Shirika la Viwango
    Tanzania;
    (ii) Kufuta kifungu cha 7 (1) (b) (ii) na (iii) cha
    Sheria ya Udhibiti wa Nishati na Maji, SURA
    414 ili kubakisha jukumu la viwango vya
    kitaifa kubaki kwa Shirika la Viwango
    Tanzania pekee. Endapo kuna mahitaji ya
    viwango EWURA watawasiliana na Shirika la
    Viwango Tanzania;
    (iii) Kufuta Kifungu cha 5(1) (c) (i) na (ii) cha
    Sheria ya Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa
    Nchi Kavu Na. 3 ili kazi ya viwango ifanywe
    na Shirika la Viwango Tanzania. Mahitaji ya
    viwango ya LATRA yatawasilishwa Shirika la
    Viwango Tanzania;
    (iv) Kufuta Kifungu cha 5(2) (c) cha Sheria ya
    Pamba Na. 2 ya mwaka 2001 ili kubakiza
    jukumu la viwango kwa Shirika la Viwango
    152
    Tanzania. Mahitaji ya viwango vya Bodi ya
    Pamba Tanzania yatawasilishwa Shirika la
    Viwango Tanzania;
    (v) Kufuta Kifungu cha 12(1) (b) na (c) cha
    Sheria ya Wakala wa Meli Tanzania Na. 14
    ya mwaka 2017 ili jukumu la viwango vya
    kitaifa libaki kwenye Sheria ya Viwango Na.
    2 ya mwaka 2009. Mahitaji ya viwango ya
    TASAC yatawasilishwa Shirika la Viwango
    Tanzania;
    (vi) Kufuta Kifungu cha 5 (1) (l) cha Sheria ya
    Chakula, Dawa na Vipodozi Na. 1 ya mwaka
    2003 ili jukumu la viwango vya kitaifa libaki
    kwenye Sheria ya Viwango Na. 2 ya mwaka
  16. Mahitaji ya viwango ya TMDA
    yatawasilishwa Shirika la Viwango Tanzania;
    (vii) Kufuta Kifungu cha 41 (1) cha Sheria ya
    Chakula, Dawa na Vipodozi Na. 1 ya mwaka
    2003 ili kazi ya udhibiti wa machinjio
    ifanywe na Wizara ya Mifugo na Uvuvi pekee;
    (viii) Kufuta Kifungu cha 3(2) (g) cha Sheria ya
    Magonjwa na Wanyama Na. 17 ya mwaka
    2003 ili chanjo zisajiliwe na TMDA pekee;
    153
    (ix) Kufanya marekebisho kwenye Kifungu cha
    10 cha Sheria ya Tasnia ya Maziwa ili Bodi
    ya Maziwa iweze kufanya ukaguzi kwa
    kushirikiana na Shirika la Viwango
    Tanzania;
    (x) Kufanya marekebisho kwenye maginal note
    ya Kifungu cha 46 cha Sheria ya Hakimiliki
    na Hakishirikishi ili kuondoa mgongano wa
    kimaslahi katika kutekeleza majukumu ya
    Chama Cha Hakimiliki Tanzania. Aidha,
    napendekeza kuondoa neno “society” na
    kuweka neno “Copyright Office” kwenye
    Kifungu cha 46, 47, 48 na jedwali lake;
    (xi) Kufanya marekebisho kwenye Kifungu cha
    51 cha Sheria ya Hakimiliki na
    Hakishirikishi ili kuongeza sehemu mpya ya
    saba (PART VII) inayoweka hitaji la Collective
    Management Organisations kutoa taarifa ya
    hesabu zao zilizokaguliwa kwa Copyright
    Office kila mwaka na hivyo kuwa na
    uwajibikaji na kuimarisha usimamizi wa
    masuala yanayohusu Hakimiliki na
    Hakishirikishi;
    154
    (xii) Kufanya marekebisho kwenye Kifungu cha
    5(2) cha Sheria ya Tasnia ya Pamba SURA
    201 ili jukumu la kusimamia viwango vya
    pamba lifanywe na Shirika la Viwango
    Tanzania pekee;
    (xiii) Kufanya marekebisho kwenye Kifungu cha
    23 cha Sheria ya Utalii SURA, 65 ili kumpa
    Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Utalii
    mamlaka ya kutoa vibali baada ya kuridhiwa
    na Bodi;
    (xiv) Kufanya marekebisho kwenye Kifungu cha
    28 cha Sheria ya Mbolea SURA, 378 ili
    jukumu la kuandaa kanuni za viwango
    litekelezwe na Shirika la Viwango Tanzania
    pekee;
    (xv) Kufanya marekebisho kwenye Kifungu cha
    17 cha Sheria ya Usalama na Afya Mahali pa
    Kazi, SURA 297 ili kuweka sharti la OSHA
    kutoa leseni ndani ya siku 7 baada ya
    mwombaji kukidhi vigezo;
    (xvi) Kufanya marekebisho kwenye Kifungu cha
    35 cha Sheria ya Serikali za Mitaa (Urban
    Authority) SURA, 287 ili kuweka sharti la
    155
    Mamlaka za Miji kuanzisha vituo vya pamoja
    kwa ajili ya uratibu, uhamasishaji na
    uboreshaji wa mazingira ya ufanyaji
    biashara;
    (xvii)Kufanya marekebisho kwenye Kifungu cha
    113 cha Sheria ya Serikali za Mitaa (District
    Authorities) SURA 288 ili kuweka kuweka
    sharti la Mamlaka za Vijiji kuanzisha vituo
    vya pamoja kwa ajili ya uratibu,
    uhamasishaji na uboreshaji wa mazingira ya
    ufanyaji biashara;
    (xviii) Kufanya marekebisho kwenye Kifungu cha 6,
    7, na 8 cha Sheria ya Mamlaka ya Serikali za
    Mitaa SURA, 290 ili kupunguza kiwango cha
    tozo ya kitanda siku (hotel levy) kutoka
    asilimia 10 hadi asilimia 5; na
    (xix) Kufanya marekebisho kwenye Kifungu cha 3
    cha Sheria ya Ngozi na Bidhaa za Ngozi
    SURA, 120 ili kuondoa mkanganyiko uliopo
    kati ya ngozi za wanyama wa majumbani na
    za wanyama pori.
    156
    (p) Marekebisho madogo madogo katika
    baadhi ya Sheria za Kodi na Sheria
    nyingine mbalimbali.
  17. Mheshimiwa Spika, napendekeza kufanya
    marekebisho mengine madogo madogo yasiyo ya
    kisera katika sheria mbalimbali za kodi pamoja na
    sheria nyingine ili ziwe sanjari na azma ya
    kurahisisha utekelezaji wake. Marekebisho hayo
    yataainishwa katika Muswada wa Sheria ya
    Fedha ya mwaka 2022 na Matangazo ya Serikali
    (Government Notices).
  18. Mheshimiwa Spika, sambamba na hatua
    zilizobainishwa hapo juu, napendekeza kutoa
    tamko la biashara ya bima nchini kufanywa kwa
    ushindani kwa kufuata misingi ya soko huria
    kama ilivyo kwa biashara nyingine na kuyaelekeza
    mashirika ya bima yanayomilikiwa na Serikali
    ambayo ni Shirika la Bima la Taifa (NIC) na
    Shirika la Bima Zanzibar (ZIC) kufanya biashara
    kiushundani kwa kutoa huduma bora tofauti na
    maelekezo yaliyopo sasa yanayoipatia NIC pekee
    fursa ya kupata biashara kutoka kwenye Taasisi
    za Umma.
    157
    (q) Tarehe ya Kuanza Kutekeleza Hatua
    Mpya za Kodi.
  19. Mheshimiwa Spika, hatua hizi za kikodi
    zinazopendekezwa zitaanza kutekelezwa tarehe 1
    Julai, 2022, isipokuwa pale itakapoelezwa
    vinginevyo.
    VI. SURA YA BAJETI KWA MWAKA 2022/23
  20. Mheshimiwa Spika, Sura ya Bajeti kwa
    mwaka 2022/23 inaonesha kuwa jumla ya
    shilingi trilioni 41.48 zinatarajiwa kukusanywa na
    kutumika. Jumla ya mapato ya ndani
    yanatarajiwa kuwa shilingi trilioni 28.02, sawa na
    asilimia 67.5 ya bajeti yote. Kati ya mapato hayo,
    mapato yatakayokusanywa na Mamlaka ya
    Mapato Tanzania yanakadiriwa kuwa shilingi
    trilioni 23.65 na mapato yasiyo ya kodi (Wizara,
    Idara, Taasisi na Mamlaka za Serikali za Mitaa)
    yanakadiriwa kuwa shilingi trilioni 4.37.
  21. Mheshimiwa Spika, misaada na mikopo
    nafuu kutoka kwa Washirika wa Maendeleo
    inatarajiwa kuwa shilingi trilioni 4.65, sawa na
    asilimia 11.2 ya bajeti yote. Aidha, Serikali
    inatarajia kukopa shilingi trilioni 5.78 kutoka
    soko la ndani ambapo shilingi trilioni 3.30 ni kwa
    158
    ajili ya kulipia hatifungani na dhamana za Serikali
    zinazoiva na kiasi cha shilingi trilioni 2.48 ni kwa
    ajili ya kugharamia miradi ya maendeleo. Vilevile,
    Serikali inatarajia kukopa shilingi trilioni 3.03
    kutoka soko la nje kwa masharti ya kibiashara
    kwa lengo la kuongeza kasi ya utekelezaji wa
    miradi ya maendeleo.
  22. Mheshimiwa Spika, katika mwaka 2022/23,
    Serikali inapanga kutumia jumla ya shilingi
    trilioni 41.48 kwa matumizi ya kawaida na
    maendeleo. Kati ya kiasi hicho, shilingi trilioni
    26.48 zimetengwa kwa ajili ya matumizi ya
    kawaida ikiwa ni asilimia 63.8 ya bajeti yote,
    ikijumuisha shilingi trilioni 11.31 kwa ajili ya
    ulipaji wa deni la Serikali na gharama nyingine za
    Mfuko Mkuu na shilingi trilioni 9.83 kwa ajili ya
    mishahara ikiwemo nyongeza ya mshahara,
    upandishaji wa madaraja kwa watumishi na ajira
    mpya. Aidha, shilingi trilioni 5.34 ni kwa ajili ya
    matumizi mengineyo (OC) ikijumuisha shilingi
    bilioni 200.0 kwa ajili ya kulipa madeni
    yaliyohakikiwa ya watumishi na wazabuni.
  23. Mheshimiwa Spika, matumizi ya maendeleo
    yanatarajiwa kuwa shilingi trilioni 15.0, sawa na
    asilimia 36.2 ya bajeti yote. Kati ya kiasi hicho,
    159
    shilingi trilioni 12.31 ni fedha za ndani, sawa na
    asilimia 82.0 ya bajeti ya maendeleo na shilingi
    trilioni 2.70 ni fedha za nje. Fedha za maendeleo
    za ndani zinajumuisha: shilingi trilioni 1.11 kwa
    ajili ya kugharamia mradi wa ujenzi wa reli kwa
    kiwango cha Standard Gauge; shilingi trilioni 1.44
    kwa ajili ya kugharamia mradi wa Kufua Umeme
    wa Maji wa Julius Nyerere; shilingi trilioni 1.18
    kwa ajili ya Mfuko wa Barabara; shilingi bilioni
    944.1 kwa ajili ya mifuko ya Reli, Maji na REA;
    shilingi bilioni 570.0 kwa ajili ya mikopo ya
    wanafunzi wa elimu ya juu; shilingi bilioni 230.0
    kwa ajili ya kulipa malimbikizo ya madeni
    yaliyohakikiwa ya wakandarasi; na shilingi bilioni
    346.5 kwa ajili ya kugharamia elimumsingi bila
    ada.
  24. Mheshimiwa Spika, kwa kuzingatia mfumo
    wa bajeti kama nilivyoeleza hapo awali, sura ya
    bajeti kwa mwaka 2022/23 ni kama
    inavyooneshwa katika Jedwali Na.1.
    160
    Jedwali Na 1: Mfumo wa Bajeti Kwa Mwaka
    2022/23
    Mapato
    BAJE TI
    2022/23
    A . Mapato ya Ndani 28,017,867
    (i) Mapato TRA ( kodi na yasi yo ya kodi ) 23,652,758
    (ii) Mapato yasi yo ya kodi ( MD As na TR) 3,352,824
    (iii) Mapato ya H al mashauri 1,012,286
    B . Misaada na Mikopo nafuu kutoka Washirika wa Maendeleo 4,648,561
    (i) Mi saada na Mi kopo nafuu – G BS 1,949,480
    (ii) Mi saada na Mi kopo nafuu ya Mi radi 2,576,958
    (iii) Mi saada na Mi kopo nafuu ya Ki sekta 122,123
    C. Mikopo ya Ndani na Nje 8,814,152
    (i) Mi kopo ya Nj e 3,034,004
    (ii) Mi kopo ya Ndani 2,480,148
    (iii) Mi kopo ya Ndani – Rollover 3,300,000
    J UMNA YA MAPATO YOTE (A+B+C) 41,480,580
    Matumizi
    D. Matumizi ya Kawaida 26,475,748
    o/w (i) Mfuko Mkuu wa Serikali 11,308,365
    -Malipo ya Riba Ndani 1,770,159
    -Malipo ya Mtaji Ndani (Rollover) 3,300,000
    -Malipo ya Mtaji Nje 2,916,041
  • Malipo ya Riba Nje 1,100,802
  • Michango ya Serikali kwenye Mifuko ya Hifadhi za Jamii 1,655,652
    -Matumizi Mengine ya Mfuko Mkuu 565,710
    (ii) Mishahara 9,830,753
    (iii) Matumizi Mengineyo (OC) 5,336,630
  • Malipo ya Madeni yaliyohakikiwa 200,000
  • Matumizi ya Halmashauri (own source) 617,485
  • Matumizi mengine 4,519,145
    E . Matumizi ya Maendeleo 15,004,833
    (i) Fedha za Ndani 12,305,752
    o/w Malipo ya Madeni yaliyohakikiwa 230,000
    o/w Ugharamiaji wa SGR 1,113,000
    o/w Ugharamiaji wa Mradi wa Umeme wa Julius Nyerere 1,435,000
    o/w Matumizi ya Halmashauri 394,801
    o/w Miradi mingine 9,132,951
    (ii) Fedha za Nje 2,699,081
    J UML A YA MATUMIZ I YOTE (D+E) 41,480,580
    Shilingi Milioni
    Chanzo:Wizara ya Fedha na Mipango
    161
    VII. HITIMISHO
  1. Mheshimiwa Spika, maendeleo endelevu ya
    Taifa lolote duniani hujengwa kwa ushiriki wa
    wananchi wote chini ya uongozi madhubuti na
    shupavu. Bajeti hii ni muendelezo wa kuiishi
    dhana hiyo kwani imeandaliwa kwa kushirikisha
    makundi yote katika jamii yetu ya Tanzania.
    Makundi hayo ni wawakilishi wa wananchi ambao
    ni Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano
    wa Tanzania, sekta binafsi, Washirika wa
    Maendeleo, watalaamu mbalimbali kutoka taasisi
    za umma na binafsi pamoja na wananchi wa
    kawaida. Maoni yaliyowasilishwa na makundi
    hayo yamesaidia kuboresha maandalizi ya bajeti
    hii katika kupanga vipaumbele na sera
    zinazolenga kutatua changamoto mbalimbali
    katika nchi yetu. Kwa msingi huo, ni dhahiri
    kabisa hii ni “Bajeti ya Wananchi”, ni “Bajeti
    Yetu Wote” kwa ajili ya maendeleo yetu.
  2. Mheshimiwa Spika, kama nilivyotangulia
    kusema hapo awali, bajeti ya mwaka 2022/23
    inalenga kuongeza kasi ya kufufua uchumi na
    kuimarisha sekta za uzalishaji kwa ajili ya
    kuboresha maisha, hivyo nguvu kubwa
    itaelekezwa katika maeneo hayo chini ya
    kaulimbiu ya “Kazi Iendelee”.
    162
  3. Mheshimiwa Spika, pamoja na vipaumbele
    nilivyoviainisha awali, wote tunafahamu kuwa
    tafsiri ya dhana ya ukuaji wa uchumi ni lazima
    ifungamane na maendeleo ya mtu mmoja mmoja
    na familia za Watanzania wote na tunajua kuwa,
    “Mama hawezi kumuacha mwanae apate
    tabu, Mama ana huruma, Mama anajali na
    Mama ana upendo kwa wanae”. Hivyo, Serikali
    ya Awamu ya Sita chini ya “MAMA YETU”
    Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan, Rais wa
    Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,
    imehakikisha kuwa, bajeti hii inaenda kugusa na
    kuboresha maisha ya watanzania wa hali zote kwa
    kuboresha sekta za uzalishaji. Hii itasaidia
    kuongeza ajira na vipato, kukabiliana na
    changamoto mbalimbali ikiwemo mfumuko wa bei
    uliotokana na mabadiliko ya kiuchumi duniani na
    athari za mabadiliko ya tabianchi.
  4. Mheshimiwa Spika, Serikali ya Awamu ya
    Sita inaendelea kutekeleza mikakati mbalimbali
    ya kujenga misingi ya Taifa letu kujitegemea
    kiuchumi. Matunda ya mikakati hiyo yatafikiwa
    na kutunufaisha wote ikiwa kila mtanzania kwa
    nafasi yake atashiriki kwenye shughuli za
    uzalishaji mali zinazofuata sheria za nchi na
    kuchangamkia fursa za kiuchumi ili kujiongezea
    163
    kipato na kuongeza mapato ya ndani ya Serikali.
    Hivyo, nawahimiza wananchi wote, taasisi za
    umma na binafsi kudai risiti sahihi wanapofanya
    ununuzi wa bidhaa na huduma ili kuhakikisha
    kuwa Serikali inakusanya kodi stahiki kutoka
    kwenye shughuli zinazofanyika. Vilevile,
    nawahimiza wafanyabiashara na kampuni zote
    kuwajibika kwa hiari katika ulipaji wa kodi kwa
    Serikali kutokana na shughuli wanazozifanya.
  5. Mheshimiwa Spika, naomba kuchukua
    nafasi hii kumpongeza Mheshimiwa Dkt. Philip
    Isdor Mpango, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
    Muungano wa Tanzania, kwa namna
    anavyomsaidia Rais kutekeleza majukumu ya
    kuiletea maendeleo nchi yetu. Aidha, napenda
    kumpongeza Mheshimiwa Dkt. Hussein Ali
    Hassan Mwinyi, Rais wa Zanzibar na
    Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, kwa
    uongozi wake shupavu na nia yake thabiti ya
    kuleta maendeleo Zanzibar. Napenda kuchukua
    fursa hii kumpongeza Mheshimiwa Kassim
    Majaliwa Majaliwa, Waziri Mkuu wa Jamhuri ya
    Muungano wa Tanzania, kwa kuendelea
    kusimamia na kuratibu kazi za kila siku za
    Serikali na utendaji wa Serikali Bungeni kwa
    umahiri mkubwa pamoja na kumsaidia vyema
    164
    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
    katika kuliletea Taifa letu maendeleo. Vile vile,
    ninampongeza Mheshimiwa Jaji Dkt. Eliezer
    Mbuki Feleshi kwa kutayarisha kwa wakati
    Muswada wa Sheria ya Fedha wa Mwaka 2022 na
    Muswada wa Sheria ya Matumizi ya Mwaka 2022.
  6. Mheshimiwa Spika, naomba nikupongeze
    wewe binafsi kwa kuwa mwanamke wa pili
    kushika uongozi wa Mhimili huu wa Bunge.
    Kipekee, nampongeza Naibu Spika ambaye
    ameungana nawe kuchaguliwa kwa kishindo
    katika nafasi za kuliongoza Bunge letu Tukufu.
    Tunategemea kuwa umakini, weledi, busara na
    hekima kubwa mliyodhihirisha katika nafasi
    mlizokuwa nazo zitaendelea kukua zaidi
    mnapotekeleza wajibu wenu katika nafasi hizi
    kubwa zaidi. Vilevile, nawapongeza Wenyeviti wa
    Bunge kwa kusimamia kwa ustadi wa hali ya juu
    kazi waliyopewa ya kuongoza vikao vya Bunge
    letu, kwa hakika mmekuwa msaada mkubwa sana
    katika uendeshaji wa Bunge kwa ujumla. Vilevile,
    naomba kutoa pongezi zangu za dhati kwa Kamati
    ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti, chini ya
    Mwenyekiti wake Mheshimiwa Daniel Baran Sillo –
    Mbunge wa Babati Vijijini pamoja na Makamu
    Mwenyekiti, Mheshimiwa Omari Mohamed Kigua –
    165
    Mbunge wa Kilindi kwa maoni na ushauri wao
    mzuri katika kuboresha utendaji wa Wizara
    pamoja na maandalizi ya Mpango na Bajeti kwa
    mwaka 2022/23.
  7. Mheshimiwa Spika napenda kumpongeza
    Mheshimiwa Profesa Ibrahimu Hamisi Juma, Jaji
    Mkuu wa Tanzania kwa kazi nzuri ya kuongoza
    mhimili wa Mahakama. Kazi yenu ni nzuri sana
    na ni ya muhimu sana kwenye usitawi wa jamii,
    upendo na amani ya nchi. Neno la Mungu
    linasema, HAKI HUINUA TAIFA, BALI DHAMBI NI
    AIBU YA WATU WOTE (MITHALI 14;34).
    Endeleeni kusimamia sheria na kutenda haki
    mtekelezapo majukumu yenu. Niwapongeze
    vyombo vya Ulinzi na Usalama vikiongozwa na
    JWTZ kwa kazi nzuri mnazozifanya,
    mmeiheshimisha Nchi yetu na kuifanya kuwa
    nchi ya tofauti duniani kote. Mheshimiwa Rais
    ambaye ndiye Amiri Jeshi Mkuu wa Vyombo vya
    Ulinzi na Usalama kila wakati anatuelekeza
    Wizara ya Fedha na Mipango tutekeleze bajeti
    zenu sawasawa na mahitaji yenu ili mtekeleze
    majukumu yenu kwa manufa ya watanzania wote,
    nasi tutaendelea kufanya hivyo.
  8. Mheshimiwa Spika, nawashukuru
    waheshimiwa Mawaziri, Naibu Mawaziri, Katibu
    166
    Mkuu Kiongozi, Makatibu Wakuu, Naibu
    Makatibu Wakuu na wataalam wa Wizara zote na
    Taasisi za Serikali kwa michango waliyotoa ili
    kukamilisha Bajeti hii. Kwa unyenyekevu
    mkubwa, nawashukuru viongozi na waumini wa
    dini zote kwa kuendelea kuliombea Taifa letu.
    Aidha, naomba nitumie nafasi hii kuwaomba
    viongozi na waumini wa dini zote kuendelea
    kumuombea Rais wetu pamoja na viongozi wote
    wa Serikali ya Awamu ya Sita, Mungu aendelee
    kuwajalia afya njema, hekima, unyenyekevu na
    dhamira njema katika kusimamia rasilimali za
    nchi yetu katika utekelezaji wa majukumu yao.
  9. Mheshimiwa Spika, napenda kumshukuru
    Mheshimiwa Khamad Hassan Chande, Mbunge
    wa Jimbo la Kojani, ambaye ni Naibu Waziri wa
    Fedha na Mipango, kwa ushirikiano na msaada
    anaonipatia katika utekelezaji wa majukumu ya
    Wizara ya Fedha na Mipango. Aidha, napenda
    kumshukuru Bw. Emmanuel Mpawe Tutuba,
    Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango na
    Mlipaji Mkuu wa Serikali kwa usimamizi wa kazi
    za kila siku za Wizara na uratibu mzuri wa
    maandalizi ya Bajeti hii, akisaidiwa na Naibu
    Makatibu Wakuu. Ninawashukuru pia wakuu wa
    taasisi nyingine zilizo chini ya Wizara ya Fedha na
    167
    Mipango; Wakuu wa Idara na Vitengo vya Wizara;
    pamoja na watumishi wote wa Wizara na taasisi
    zake kwa kazi kubwa waliyoifanya katika
    kukamilisha Bajeti hii.
  10. Mheshimwa Spika, nipende kuwashukuru
    Washirika wa Maendeleo kwa kuendelea kuunga
    mkono juhudi za Serikali ya Awamu ya sita katika
    kuwaletea maendeleo wananchi wake. Washirika
    wanaotarajiwa kuchangia bajeti ya Serikali ya
    mwaka 2022/23 ni pamoja na: Serikali za
    Canada, China, Denmark, Finland, India, Ireland,
    Italia, Japan, Korea ya Kusini, Marekani, Norway,
    Poland, Sweden, Ubelgiji, Ufaransa, Uingereza,
    Ujerumani na Uswisi. Aidha, Mashirika na Taasisi
    za Kimataifa zinazotarajiwa kuchangia bajeti hii ni
    Benki ya Maendeleo ya Afrika, Benki ya Dunia,
    Shirika la Fedha la Kimataifa, Benki ya Kiarabu
    kwa Maendeleo ya Kiuchumi Katika Afrika, Mfuko
    wa Abu Dhabi, Mfuko wa Kuwait, Mfuko wa
    Kimataifa wa Kusaidia Mapambano Dhidi ya
    Ukimwi, Kifua Kikuu na Malaria, Umoja wa Ulaya,
    Benki ya Uwekezaji ya Ulaya, Umoja wa Mataifa
    na mashirika yote yaliyopo chini yake, Mfuko wa
    OPEC kwa Maendeleo ya Kimataifa, pamoja na
    Shirikisho la GAVI. Vilevile, ninapenda
    kuyatambua Mashirika yasiyo ya Kiserikali ya
    168
    ndani na nje ya nchi kwa michango yao kwenye
    sekta za kijamii kwa ajili ya ustawi wa watu wetu.
    Ninapenda kuwathibitishia kuwa, Serikali
    inathamini michango yenu na itaendelea
    kufungua fursa za ushirikiano.
  11. Mheshimiwa Spika, ninapoelekea
    kuhitimisha, nitumie fursa hii kuipongeza sana
    timu ya Yanga kwa mwenendo wao mzuri sana
    mwaka huu na nitumie fursa hii kumwomba radhi
    Bosi wangu Mheshimiwa Waziri Mkuu kwa
    kitendo alichowafanyia mwanangu FEI TOTO kule
    Mwanza. Mniwie radhi, nilipompeleka FEI TOTO
    Yanga sikujua atakuja kuwafanyia kitumbaya
    hivi, mpaka nasikia anatafutwa maliasili eti kaua
    mnyama bila kibali. Nakupongeza Mheshimiwa
    Anthony Mavunde wewe ndio ulikuwa Mwenyekiti
    wa kuisaidia Yanga ikiwa na mapito. Nampongeza
    GSM kwa kurejesha furaha ya wananchi
    hasahasa kwa udajili wa Fiston Mayele. Mayele
    amekuwa maarufu kuliko Makatibu wenezi wa
    baadhi ya vyama vya Siasa. Nawapongeza sana na
    marafiki zangu klabu ya Simba kwa kuwakilisha
    vyema kwenye mashindano ya Kimataifa,
    wananijua mara zote kimataifa tuko pamoja,
    siwezi kukana Bendera ya Taifa langu kwa ajili ya
    utani wa jadi.
    169
  12. Mheshimiwa Spika, nitumie fursa hii pia
    kuendelea kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa
    kunipa uwezo wa kuwasilisha hotuba hii. Kwa
    moyo wa dhati napenda kuishukuru familia
    yangu, mke wangu NEEMA NCHEMBA na watoto
    wangu, leo yupo Joshua MWIGULU na Mdogo
    wangu Peripetua Madelu, kwa kuendelea kunitia
    moyo na kuniombea wakati wote ninapokuwa
    katika utekelezaji wa majukumu yangu. Vilevile,
    nitumie fursa hii kuwashukuru kwa dhati
    wananchi wa Jimbo la Iramba Magharibi kwa
    kuendelea kunipa ushirikiano katika kutekeleza
    majukumu yangu ya ubunge. Kadhalika,
    nawashukuru Waheshimiwa Wabunge na
    Watanzania Wote kwa kunisikiliza.
    MUNGU IBARIKI AFRIKA, MUNGU IBARIKI
    TANZANIA. KAZI IENDELEE!
  13. Mheshimiwa Spika, naomba kutoa hoja.
    170
    Shilingi Milioni
    2016/17 2017/18 2018/19 2019/20 2020/21 2021/22 2021/22 2022/23
    Halisi Halisi Halisi Halisi Halisi Bajeti Matarajio Bajeti
    Jumla ya Mapato ya Ndani 16,639,933 17,944,887 18,527,293 21,069,957 20,594,735 25,691,735 24,350,024 28,017,867
    A. Mapato yanayotokana na Kodi 14,126,590 15,191,421 15,511,330 17,622,822 17,624,454 21,778,103 20,811,234 23,652,758
  14. Ushuru wa Forodha 998,164 1,109,205 1,201,045 1,253,272 1,286,114 1,504,414 1,444,238 1,629,283
  15. Ushuru wa Bidhaa 2,106,442 2,199,900 2,370,414 2,512,423 2,722,380 3,133,395 2,945,391 3,235,033
  16. Kodi ya Ongezeko la Thamani 3,912,674 4,425,968 4,736,876 4,987,319 5,029,231 5,940,766 5,406,097 6,361,863
  17. Kodi ya Mapato 5,117,862 5,157,106 5,072,402 6,490,240 6,015,741 6,866,152 7,072,137 8,091,001
  18. Kodi Nyingine 1,991,449 2,299,242 2,130,594 2,379,569 2,570,988 4,333,375 3,943,371 4,335,577
    B. Mapato yasiyotokana na Kodi 2,513,343 2,753,466 3,015,963 3,447,135 2,970,281 3,913,632 3,538,789 4,365,110
  19. Michango na Gawio la Mashirika 893,935 803,502 682,331 738,810 636,399 779,033 755,662 2,572,075
  20. Wizara Nyingine na Mikoa 1,107,690 1,408,464 1,674,534 1,991,076 1,576,826 2,270,741 1,884,715 780,749
  21. Mapato ya Halmasahuri 511,718 541,499 659,098 717,249 757,055 863,858 898,412 1,012,286
    Chanzo: Wizara ya Fedha na Mipango
    Kiambatisho Na. 1: Mwenendo wa Makusanyo ya Mapato ya Serikali: 2016/17 -2022/23
    171
    2016/17 2017/18 2018/19 2019/20 2020/21 2021/22 2021/22 2022/23
    Halisi Halisi Halisi Halisi Halisi Bajeti M atarajio Bajeti
    I. Mapato Yote 25,417,791 26,439,542 28,962,515 29,515,050 32,274,882 37,992,548 36,347,273 41,480,580
    Mapato ya Ndani 16,128,215 17,403,388 17,868,195 20,352,708 19,837,680 24,827,877 23,451,611 27,005,581
    Mapato ya Halmashauri 511,718 541,499 659,098 717,249 757,055 863,858 898,412 1,012,286
    Misaada na Mikopo ya Bajeti 342,785 246,688 125,396 391,433 210,239 1,310,650 1,310,650 1,949,480
    Misaada na Mikopo ya Miradi 1,857,399 1,856,185 1,822,839 2,821,650 2,197,354 2,673,617 2,745,035 2,576,958
    Mikopo ya Kisekta (Basket Loans) 104,991 74,681 44,281 166,027 77,107 59,736 52,090 122,123
    Misaada ya Kisekta (Basket Grants) 168,984 117,166 181,378 181,091 175,364 222,570 233,699 0
    Mikopo ya Ndani (Rollover) 4,615,670 4,835,199 3,718,008 3,976,811 3,262,552 3,150,337 3,150,337 3,300,000
    Mikopo ya Ndani (Financing) 1,300,000 869,200 3,037,177 376,924 3,359,220 1,838,796 1,838,796 2,480,148
    Marekebisho -838,731 -978,745 361,320 -1,290,936 -722,879 0 314,535 0
    Mikopo ya kibiashara 1,226,760 1,474,282 1,144,822 1,822,093 3,121,190 3,045,107 2,352,107 3,034,004
    II. Matumizi Yote 25,417,791 26,610,843 27,270,435 29,515,050 32,274,882 37,992,548 36,347,273 41,480,580
    Matumizi ya Kawaida 18,144,967 18,995,074 18,776,596 20,206,266 20,573,298 23,712,119 23,228,853 26,475,747
    CFS 8,643,560 9,532,987 9,113,538 9,919,609 9,656,017 10,663,278 10,361,228 11,308,364
    Kulipa Madeni 7,234,530 8,133,063 7,701,842 8,304,618 8,218,113 8,878,420 8,612,067 9,087,002
    Malipo Mengine 1,409,030 1,399,924 1,411,696 1,614,991 1,437,904 1,784,858 1,749,161 2,221,362
    Matumizi ya Kawaida (Bila CFS) 9,501,407 9,462,087 9,663,058 10,286,658 10,917,280 13,048,841 12,867,625 15,167,383
    o/w Malipo ya Mishahara 5,599,246 5,544,384 5,699,188 5,939,616 6,141,566 6,912,184 6,843,063 8,619,577
    Mishahara ya Mashirika 767,901 783,292 960,385 1,066,695 1,187,258 1,238,325 1,235,848 1,211,176
    Fedha ya Halmashauri 251,484 216,600 349,322 419,428 447,419 533,325 554,658 617,485
    Matumizi Mengine 2,882,775 2,917,811 2,654,163 2,860,918 3,141,037 4,365,007 4,234,057 4,719,145
    Matumizi ya Maendeleo 7,272,824 7,615,768 8,493,838 9,308,784 11,701,584 14,280,429 13,118,419 15,004,833
    Fedha za Ndani 5,141,451 5,397,034 6,535,879 6,840,104 9,251,759 11,324,506 10,192,055 12,305,752
    Fedha za Nje 2,131,374 2,218,735 1,957,959 2,468,680 2,449,825 2,955,923 2,926,364 2,699,081
    Pato la Taifa 113,553,411 122,835,229 132,049,549 143,297,783 152,349,153 155,005,471 167,286,243 188,202,764
    Chanzo: W izara ya Fedha na M ipango
    Shilingi M ilioni
    Kiambatisho 2a: Mfumo wa Bajeti 2016/17 – 2022/23
    172
    2016/17 2017/18 2018/19 2019/20 2020/21 2021/22 2021/22 2022/23
    Halisi Halisi Halisi Halisi Halisi Bajeti M atarajio Bajeti
    I. Mapato Yote 22.38% 21.52% 21.93% 20.60% 21.18% 24.51% 21.73% 22.04%
    Mapato ya Ndani 14.20% 14.17% 13.53% 14.20% 13.02% 16.02% 14.02% 14.35%
    Mapato ya Halmashauri 0.45% 0.44% 0.50% 0.50% 0.50% 0.56% 0.54% 0.54%
    Misaada na Mikopo Nafuu ya Bajeti 0.30% 0.20% 0.09% 0.27% 0.14% 0.85% 0.78% 1.04%
    Misaada na Mikopo Nafuu ya Miradi 1.64% 1.51% 1.38% 1.97% 1.44% 1.72% 1.64% 1.37%
    Mikopo ya Kisekta (Basket Loans) 0.09% 0.06% 0.03% 0.12% 0.05% 0.04% 0.03% 0.06%
    Misaada ya Kisekta (Basket Grants) 0.15% 0.10% 0.14% 0.13% 0.12% 0.14% 0.14% 0.00%
    Mikopo ya Ndani (Rollover) 4.06% 3.94% 2.82% 2.78% 2.14% 2.03% 1.88% 1.75%
    Mikopo ya Ndani (Financing) 1.14% 0.71% 2.30% 0.26% 2.20% 1.19% 1.10% 1.32%
    Marekebisho -0.74% -0.80% 0.27% -0.90% -0.47% 0.00% 0.19% 0.00%
    Mikopo yenye masharti ya kibiashara 1.08% 1.20% 0.87% 1.27% 2.05% 1.96% 1.41% 1.61%
    II. Matumizi Yote 22.38% 21.66% 20.65% 20.60% 21.18% 24.51% 21.73% 22.04%
    Matumizi ya Kawaida 15.98% 15.46% 14.22% 14.10% 13.50% 15.30% 13.89% 14.07%
    CFS 7.61% 7.76% 6.90% 6.92% 6.34% 6.88% 6.19% 6.01%
    Kulipa Madeni 6.37% 6.62% 5.83% 5.80% 5.39% 5.73% 5.15% 4.83%
    Malipo Mengine 1.24% 1.14% 1.07% 1.13% 0.94% 1.15% 1.05% 1.18%
    Matumizi ya Kawaida (Bila CFS) 8.37% 7.70% 7.32% 7.18% 7.17% 8.42% 7.69% 8.06%
    o/w Malipo ya Mishahara 4.93% 4.51% 4.32% 4.14% 4.03% 4.46% 4.09% 4.58%
    Mishahara ya Mashirika 0.68% 0.64% 0.73% 0.74% 0.78% 0.80% 0.74% 0.64%
    Fedha za Halmashauri 0.22% 0.18% 0.26% 0.29% 0.29% 0.34% 0.33% 0.33%
    Matumizi Mengine 2.54% 2.38% 2.01% 2.00% 2.06% 2.82% 2.53% 2.51%
    Matumizi ya Maendeleo 6.40% 6.20% 6.43% 6.50% 7.68% 9.21% 7.84% 7.97%
    Fedha za Ndani 4.53% 4.39% 4.95% 4.77% 6.07% 7.31% 6.09% 6.54%
    Fedha za Nje 1.88% 1.81% 1.48% 1.72% 1.61% 1.91% 1.75% 1.43%
    Kiambatisho 2b: M fumo wa Bajeti, Asilimia ya Pato la Taifa, 2016/17 – 2022/23
    Chanzo: Wizara ya Fedha na Mipango
    173
    2020/21 2021/22 2022/23
  22. Jumla ya M ikopo mipya ya Ndani na nje (a+b) 9,864,927.3 11,162,737.1 12,483,346.2
    (a) M ikopo M ipya ya Ndani 4,904,247.6 4,989,132.9 5,780,148.1
    (i) Mikopo mipya ya Ndani (Kulipia dhamana za Serikali zilizoiva) 3,316,078.4 3,150,336.7 3,300,000.0
    (ii) Mikopo mipya ya Ndani (Kuziba nakisi ya Bajeti) 1,588,169.2 1,838,796.2 2,480,148.1
    (b) M ikopo M ipya ya Nje 4,960,679.7 6,173,604.2 6,703,198.1
    (i) Mikopo yenye Masharti nafuu (Miradi ya Maendeleo) 1,925,049.7 1,817,847.0 1,775,245.2
    (ii) Mikopo yenye Masharti nafuu (Bajeti) – 1,310,650.2 1,893,949.4
    (iii) Mikopo yenye masharti ya Kibiashara 3,035,630.0 3,045,106.9 3,034,003.6
    (c ) M alipo ya M adeni ya Ndani 4,946,747.0 4,711,974.1 5,070,159.0
    (i) Mtaji -Kulipia Dhamana za Serikali zilizoiva (Rollover) 3,316,078.4 3,150,336.7 3,300,000.0
    (ii) Riba 1,630,668.6 1,561,637.4 1,770,159.0
    (d) M alipo ya M adeni ya Nje 3,703,194.5 4,166,445.8 4,016,843.5
    (i) Riba 1,239,913.84 1,151,376.3 1,100,802.0
    (ii) Mtaji 2,463,280.62 3,015,069.5 2,916,041.5
    (e) Ongezeko Halisi la M ikopo ya Ndani (a-c(i) 1,588,169.2 1,838,796.2 2,480,148.1
    (f) Ongezeko Halisi la M ikopo ya nje (b-d(ii) /1 2,497,399.1 3,158,534.7 3,787,156.7
  23. Ongezeko Halisi la M ikopo ya Ndani na Nje (e+f) 4,085,568.3 4,997,330.9 6,267,304.7
    Kiambatisho Na. 4: Mwenendo wa M ikopo ya Serikali (M ilioni Shilingi)
    Chanzo: Wizara ya Fedha na Mipango
    /1Ongezeko hili halijuishi fedha zinazoendelea kupokelewa kwenye Mikopo ya zamani
    174
    0.0%
    2.0%
    4.0%
    6.0%
    8.0%
    10.0%
    12.0%
    14.0%
    16.0%
    18.0%
    2016/17 2017/18 2018/19 2019/20 2020/21 2021/22 2022/23
    Kielelezo Na. 1: M apato ya Ndani kama Asilimia ya Pato la Taifa
    2016/17 – 2022/23
    0
    1000
    2000
    3000
    4000
    5000
    6000
    7000
    8000
    9000
    Ushuru Wa
    Forodha
    Ushuru wa
    Bidhaa za Nje
    Ushuru wa
    Bidhaa za Ndani
    VAT – Bidhaa za
    Nje
    VAT-Bidhaa za
    Ndani
    Kodi ya Mapato Kodi Nyingine Mapato Yasiyo
    ya Kodi
    Mapato ya
    Halmashauri
    Shilingi Bilioni
    Kielelezo Na 2:
    Vyanzo vya Mapato ya Ndani
    2021/22 – 2022/23
    2021/22 2022/23
    175
    Mikopo ya
    kibiashara ndani
    na Nje
    (Ikijumuisha
    Rollover)
    21%
    Misaada na
    mikopo nafuu
    kutoka kwa
    Washirika wa
    maendeleo
    11%
    Mapato ya ndani
    (yakijumuisha ya
    Halmashauri)
    68%
    Kielelezo Na. 3a: Vyanzo vya Fedha za Bajeti, 2022/23
    Jumla Shs. 41,480,580 Mikopo ya
    kibiashara ndani
    na Nje
    (Ikijumuisha
    Rollover)
    21%
    Misaada na
    Mikopo nafuu
    kutoka kwa
    Washirika wa
    maendeleo
    11%
    Mapato ya ndani
    (yakijumuisha ya
    Halmashauri)
    68%
    Kielelezo Na. 3b: Vyanzo vya Fedha za Bajeti, 2021/22
    Jumla Shs. 37,992,548
    176
    Matumizi ya
    Maendeleo
    36%
    Mishahara
    24%
    Matumizi mengine
    13%
    Michango ya
    Mifuko ya Hifadhi
    ya Jamii na
    malipo mengine
    5%
    Malipo ya Deni la
    Serikali
    22%
    Kielelezo Na. 4a: Matumizi ya Serikali, 2022/23
    Jumla Shs. 41,480,580
    Matumizi ya
    Maendeleo
    38%
    Mishahara
    21%
    Matumizi
    mengine
    13%
    Michango ya
    Mifuko ya Hifadhi
    ya Jamii na
    malipo mengine
    5%
    Malipo ya Deni la
    Serikali
    23%
    Kielelezo Na. 4b Matumizi ya Serikali, 2021/22
    Jumla Shs. 37,992,548
    177
    Kiambatisho Na. 5
    THIRTEENTH SCHEDULE
    (Made under Regulation 22)
    IMPORT AND EXPORT FEE FOR ANIMAL AND ANIMAL PRODUCTS
    Serial
    No.
    Animal / Animal
    products
    Unit of
    charge
    Import fees
    (Tshs)
    Export fees
    (Tshs)
    Current Proposed Current Proposed
    1 Cattle Each 10,000 0 25,000 25,000
    2 Sheep/goat Each 7,000.00 0 5,000.00 5,000.00
    3 Pigs Each 7,000.00 0 10,000.00 10,000.00
    4 Mule/Donkeys Each 5,000.00 0 30,000.00 30,000.00
    10 Poultry
    (A)Parent Stock
    (i) Parent stock
    DOC
    Each 30.00 0 20.00 20.00
    (i) Hatching
    eggs
    Each 20.00 0 10.00 10.00
    (C) Table eggs Per tray (30
    eggs)
    5,000.00 5,000.00 100.00 10.00

178
(D) Poultry: adult
chicken/guinea
fowls
Each 500.00 500.00 200.00 20.00
19 Meat
(i) Beef Kilogram (Kg)
for imports,
Consignment
for exports
4,000.00 3,000.00 40,000.00 40,000.00
(ii) Mutton/ chevon Kilogram (Kg)
for imports,
Consignment
for exports
4,000.00 3,000.00 40,000.00 40,000.00
(iii)Pork
/bacon/lard
Kilogram (Kg)
for imports,
Consignment
for exports
4,000.00 3,000.00 20.00 20.00
(iv) Chicken meat Kilogram (Kg)
for imports,
Consignment
for exports
4,000.00 3,000.00 40,00.000 40,000.00
(v) Game Meat Kilogram (Kg) 4,000.00 4,000.00 500.00 500.00
179
21 Milk
(i) Pasteurized
whole milk
Litre 2,000.00 1000.00 100.00 50.00
(ii) Skimmed Litre 2,000.00 1000.00 100.00 50.00
(iii) Yoghurt Litre 2,000.00 1000.00 50.00 50.00
(iv) Powdered Kilogram (Kg) 2,000.00 1000.00 100.00 50.00
28 Incubator Permit 50,000.00 0.00 10,000.00 0.00
30 Livestock
Identification
items including
ear tags and ear
tags aplicatiors
Permit 50,000.00 0.00 50,000.00 0.00
b). by deleting item 41, 42, 43, 44 and 45 of the thirteenth schedules.
Recommended
c). by re-arranging item 46 to be 41 – Recommended

  1. The principal Regulations are amended by deleting item 1 for registration in the
    Fifteenth Schedule and improve item 3 by adding a word ‘grazing fee”.
    180
    FIFTEENTH SCHEDULE
    (Made under regulation 21)
    FEE FOR QUARANTINE, ANIMAL HOLDING GROUNDS AND CHECK POINTS
    S/N SERVICE ANIMAL FEES (Tshs)
    Current Proposed
    1 Registration Cattle 500.00 0.00
    Sheep/Goat 500.00 0.00
    Horse/Donkey 500.00 0.00
    Camel 500.00 0.00
    3 Accommodation
    and grazing fees
    per day
    Cattle 1,000.00 1,000.00
    Sheep/Goat 500.00 500.00
    Horse/Donkey 1,000.00 1,000.00
    Camel 1,000.00 1,000.00
    Dog/Cat 500.00 500.00
  2. The principal Regulations are amended by deleting the Sixteenth Schedules on
    movement permit fees for animals and animal products on-transit to other
    countries.
    181
    SIXTEENTH SCHEDULE
    (Made under regulation 22A)
    MOVEMENT PERMIT FEES FOR ANIMALS AND ANIMAL PRODUCTS ON-TANSIT TO
    OTHER COUNTRIES
    S/N ITEM NUMBER UNIT FEES (TSHS)
  3. Cattle Each 2,500.00
  4. Sheep/goats each 1,500.00
  5. Pigs each 1,500.00
  6. Horse/mule/donkey Each 2,500.00
  7. Dogs/Cats Each 1,000.00
  8. Camel Each 2,500.00
  9. Poultry adult/Guinea fowls Each 200.00
  10. Commercial Day-Old chick 100
    chicks
    1,000.00
  11. More than 100 trays of table eggs 30eggs
    tray
    500.00
  12. More than ten trays of parent stock
    hatching eggs of hatching eggs
    each 1,000.00
  13. Turkey each 1,000.00
  14. Parrot /falcon /ostrich each 15,000.00
  15. Wild birds each 500.00
    182
  16. Rabbits each 500.00
  17. Amphibians/reptiles/insects permit 20,000.00
  18. Laboratory Animals permit 30,000.00
  19. Wild Animals Each 1,000.00
  20. Trophies permit 30,000.00
  21. Meat/meat products of more than 50
    kilogram
    kilogram 50.00
  22. Sausage/minced meat/other meat
    products
    kilogram 50.00
  23. Bile Permit 50.000.00
  24. Bull-whip/testicle/tendons Permit 200,000.00
  25. Milk Litre 500.00
  26. Yogurt Litre 2,000.00
  27. Powdered milk Kilogram 4,000.00
  28. Cheese/ghee Kilogram 2,000.00
  29. Hides Per piece 500.00
  30. Skin Per piece 100.00
  31. Cattle/Goat/Sheep horn
    tips/Hooves/Hairs
    Tone 10,000.00
  32. Feathers/ Wool/Hairs Permit 20,000.00
  33. Animal feeds Tone 10,000.00
  34. Organic Manure Tone 5,000.00
    183
  35. Embryos Each 5,00.00
  36. Semen Straw 50.00
  37. Specimen Permit 20,000.00
  38. Laboratory reagents/equipment Permit 300,000.00
  39. Livestock identification items (ear
    tags, etc)
    Permit 200,00.00
    184
    THE MEAT INDUSTRY ACT
    (Cap. 421)

REGULATIONS


(Made under section 34)
THE MEAT INDUSTRY (LOCATION, DESIGN, CONSTRUCTION AND OPERATION OF
LIVESTOCK MARKETS) (AMENDMENT) REGULATIONS 2022
Citation and
commencement
GN No. 38 of
2011
(i)
(ii) These Regulations may be cited as the Meat Industry (Location,
Design, Construction and Operation of Livestock Markets)
(Amendment) Regulations 2022 and shall be read as one with the
Meat Industry (Location, Design, Construction and Operation of
Livestock Markets) (Amendment) Regulations 2011 hereinafter
referred to as the Principal Regulations and shall come into
operation on 1st July, 2022
(iii) The second schedule is amended by deleting the schedule and
substituting for it with the following:
SECOND SCHEDULE
(Made under Regulation 13)
185
FEES PAYABLE FOR TRADE OF LIVESTOCK
SALE OF ANIMALS (MARKET USER FEES)
(a) Primary Markets:
Type of Fee Central
Government
TZS
(Proposed)
Local
Government TZS
Total Fee Payable
TZS
(i) Fee payable for each head of
cattle, camel, horse and
donkey
1,000 4,000 5,000
(ii)Fee payable for each head of
goat, sheep and pig.
500 1,000 1,500
(b) Upgraded primary market to secondary and border markets (new arrangement):
Type of Fee Central
Government
Local
Government
Total Fee Payable
(i) Fee payable for each head of
cattle, camel, horse and
donkey
1,000 4,000 5,000
(ii) Fee payable for each head of
goat, sheep and pig
500 1,000 1,500
186
(c) Secondary markets (Reference Table of ongoing Fee):
Type of Fee Central
Government
Local
Government
Total Fee Payable
i.) Fee payable for each head of
cattle, camel, horse and donkey
4,000 1,000 5,000
ii.) Fee payable for each head of
goat, sheep and pig1,000 500 1,500
(d) Boarder Markets (Reference table of ongoing Fee):
Type of Fee Central
Government
Local
Government
Total Fee Payable
(i) Fee payable for each head of
cattle, camel, horse and donkey
4,000 1,000 5,000
(ii) Fee payable for each head of
goat, sheep and pig.
1,000 500 1,500
187
Kiambatisho Na. 6
PROPOSED AMMENDMENTS OF THE FISHERIES REGULATIONS OF 2020 GN 491A ON
EXPORT LICENCING FEE, EXPORT AND IMPORT ROYALTY OF FISH AND FISHERY
PRODUCTS (table G – export license fee and H-export royalty)
S/N Type of licensing
fee/export and
import royalty
Tanzanian citizens
Export Licensing fees (USD)
Non-Citizen
Export license fees
(USD)
Current Proposed Current Proposed
1 Export license fees
for dried dagaa of
Lake Tanganyika
250 USD for
small scale
processor
250 USD combined
the three fishery
products
dried/fresh/frozen
dagaa
2,500
USD
2500 USD
combined the
three fishery
products
dried/fresh/fr
ozen dagaa
500 USD for
large scale
processor
500 USD combined
the three fishery
products
dried/fresh/frozen
dagaa
2 Export license fees
for Haplochromis
250 USD for
small scale
processor
250 USD combined
the three fishery
products
2,000
USD
2000 USD
combined the
three fishery
188
S/N Type of licensing
fee/export and
import royalty
Tanzanian citizens
Export Licensing fees (USD)
Non-Citizen
Export license fees
(USD)
Current Proposed Current Proposed
and dagaa of Lake
Victoria
dried/fresh/frozen
dagaa
products
dried/fresh/fr
ozen dagaa
500 USD for
large scale
processor
500 USD combined
the three fishery
products
dried/fresh/frozen
dagaa
3 Export license fees
for dagaa of Lake
Nyasa
250 USD for
small scale
processor
250 USD combined
the three fishery
products
dried/fresh/frozen
dagaa
2,000
USD
2000 USD
combined the
three fishery
products
dried/fresh/fr
ozen dagaa
500 USD for
large scale
processor
500 USD combined
the three fishery
products
dried/fresh/frozen
189
S/N Type of licensing
fee/export and
import royalty
Tanzanian citizens
Export Licensing fees (USD)
Non-Citizen
Export license fees
(USD)
Current Proposed Current Proposed
dagaa
4 Export license fees
for dagaa of Marine
Waters
250 USD for
small scale
processor
250 USD combined
the three fishery
products
dried/fresh/frozen
dagaa
2000
USD
2000 USD
combined the
three fishery
products
dried/fresh/fr
ozen dagaa
500 USD for
large scale
processor
500 USD combined
the three fishery
products
dried/fresh/frozen
dagaa
5 Export Licence Fee
for dried fish/
fishery products
from salty lakes
(Eyasi, Manyara
and Natron), and
500 USD for
small scale
processor
300 USD for small
scale processor
Prohibited Prohibited
700 USD for
large scale
processor
400 USD for large
scale processor
190
S/N Type of licensing
fee/export and
import royalty
Tanzanian citizens
Export Licensing fees (USD)
Non-Citizen
Export license fees
(USD)
Current Proposed Current Proposed
Lake Rukwa,
Nyumba ya Mungu,
Mtera and Bahi
Swamp
6 Export licence of
With or without
Head and Gutted
Whole Nile Perch”
(H&G)
1000 USD
for small
scale
processor
700 USD for small
scale processor
2,500
USD
2,500 USD
1200 USD
for large
scale
processor
1000 USD for large
scale processor
7 Sea shells (all types
except prohibited
Species)
300 USD for
small scale
processor
150 USD
Prohibited
700 USD
350 USD for
large scale
processor
300 USD
191
S/N Type of licensing
fee/export and
import royalty
Tanzanian citizens
Export Licensing fees (USD)
Non-Citizen
Export license fees
(USD)
Current Proposed Current Proposed
8 Frozen Prawns 500 USD for
frozen
prawns head
on for small
scale
500 USD combined
the two fishery
products (head on
and headless)
2,500
USD head
on
2,500 USD
combined the
two fishery
products
(head on and
headless)
500 USD for
frozen
prawns
headless for
small scale
processor
2,500
USD
headless
1000 USD
for frozen
prawns’ head
for large
scale
processor
1000 USD combined
the two fishery
products (head on
and headless)
192
S/N Type of licensing
fee/export and
import royalty
Tanzanian citizens
Export Licensing fees (USD)
Non-Citizen
Export license fees
(USD)
Current Proposed Current Proposed
1000 USD
for frozen
prawns
headless for
large scale
processor
9 Export License for
live crabs and
lobster
Live lobster
500 USD
500 USD combined
lobster and crabs
prohibited prohibited
Live crabs
500 USD
1000 USD
Large scale
processor for
lobster
1000 USD combined
lobster and crabs
1000 USD
large scale
193
S/N Type of licensing
fee/export and
import royalty
Tanzanian citizens
Export Licensing fees (USD)
Non-Citizen
Export license fees
(USD)
Current Proposed Current Proposed
processor for
crab
10 Export License for
frozen crab and
lobster
500 USD for
frozen
lobster for
small scale
processor
500 USD combined
for frozen lobster
and crabs
2500
USD for
frozen
lobster
2500 USD
combined for
frozen lobster
and crabs
500 USD for
frozen crabs
for small
scale
processor
2500
USD for
frozen
crabs
1000 USD
large scale
processor for
lobster
1000 USD combined
for frozen lobster
and crabs
194
S/N Type of licensing
fee/export and
import royalty
Tanzanian citizens
Export Licensing fees (USD)
Non-Citizen
Export license fees
(USD)
Current Proposed Current Proposed
1000 USD
large scale
processor for
crabs
11
Export license for
frozen
Octopus/Squids/c
uttlefish
500 USD for
small scale
processor
frozen
Octopus
500 USD Frozen
Octopus and
Squids/Cutlle fish
2500
USD for
frozen
Octopus
2500 USD for
frozen Octopus
and
Squids/Cutlle
fish
500 USD for
small scale
processor
Squid/Cuttle
fish
2500
USD for
Squid/Cu
ttle fish
1000 USD
for large
1000 USD Frozen
Octopus and
195
S/N Type of licensing
fee/export and
import royalty
Tanzanian citizens
Export Licensing fees (USD)
Non-Citizen
Export license fees
(USD)
Current Proposed Current Proposed
scale
processor for
octopus
Squids/Cutlle fish
1000 USD
for large
scale
processor for
Squid/Cuttle
fish
12 Import License fee
for
crustacean/cephalo
pods/Mollusc
2500 USD 250 USD 5000
USD
3000 USD
13 Cardina spp (Fresh
water shrimps)
300 USD for
small scale
processors
200 USD for small
processors
Prohibited
500 for large 500 for large Prohibited
196
S/N Type of licensing
fee/export and
import royalty
Tanzanian citizens
Export Licensing fees (USD)
Non-Citizen
Export license fees
(USD)
Current Proposed Current Proposed
processors processors
14 Cardina spp marine
water shrimps)
300 for small
scale
processors
200 USD for small
processors in
marine waters
Prohibited
500 for large
processors
500 for large
processors in
marine waters
Prohibited
15 Import fee for
crustacean/cephalo
pods
2.5 USD per
kg
0.5 USD per kg 2.5 USD
per kg
0.5 USD per
kg
16 Export royalty fees
for dagaa of Lake
Tanganyika
0.5 USD per
kg for dried
dagaa
0.3 USD per kg for
dried/fresh/frozen
dagaa
0.5 USD
per kg for
dried
dagaa
0.3 USD per kg
for
dried/fresh/fro
zen dagaa
17 Export royalty fees
for Haplochromis
(furu) and dagaa of
lake Victoria
0.16 USD
per kg for
dried dagaa
0.1 USD per kg for
dried/fresh/frozen
dagaa/furu
0.16 USD
per kg for
dried
dagaa
0.1 USD per
kg for
dried/fresh/fro
zen
197
S/N Type of licensing
fee/export and
import royalty
Tanzanian citizens
Export Licensing fees (USD)
Non-Citizen
Export license fees
(USD)
Current Proposed Current Proposed
dagaa/furu
18 Export royalty fees
for frozen/dried
dagaa of lake Nyasa
0.16 USD
per kg for
dried dagaa
0.1 USD per kg for
dried/fresh/frozen
dagaa
0.16 USD
per kg for
dried
dagaa
0.1 USD per
kg for
dried/fresh/fro
zen dagaa
19 Export royalty fees
for frozen/dried
dagaa of marine
waters
0.16 USD
per kg for
dried dagaa
0.1 USD per kg for
dried/fresh/frozen
dagaa
0.16 USD
per kg for
dried
dagaa
0.1 USD per kg
for
dried/fresh/fro
zen dagaa
20 Export royalty fee
for dried fish/
fishery products
from salty lakes
(Eyasi, Manyara and
Natron), and Lake
Rukwa, Nyumba ya
Mungu, Mtera and
0.2 USD per
kg
0.08 USD per kg Prohibited Prohibited
198
S/N Type of licensing
fee/export and
import royalty
Tanzanian citizens
Export Licensing fees (USD)
Non-Citizen
Export license fees
(USD)
Current Proposed Current Proposed
Bahi Swamp
21 Export royalty fees
With or without
Head and Gutted
Whole Nile Perch”
(H&G)
0.21 USD
per kg for
without Head
and Gutted
Nile Perch”
(H&G)
0.18 USD per kg for
headed and gutted
Nile perch (H&G)
0.21 USD
per kg for
without
Head and
Gutted
Nile
Perch”
(H&G)
0.18 USD per
kg for headed
and gutted
Nile perch
(H&G)
0.25 USD
per kg Whole
Gutted Nile
Perch”
deleted


  • 22 Export Royalty for
    Fish Steak/ Fillets
    0.2 USD per
    kg
    0.1 USD per kg
    23 Export Royalty for 4% of market 3.3 USD per kg 4% of
    market
    3.3 USD per
    kg
    199
    S/N Type of licensing
    fee/export and
    import royalty
    Tanzanian citizens
    Export Licensing fees (USD)
    Non-Citizen
    Export license fees
    (USD)
    Current Proposed Current Proposed
    Fish Maws value for
    dried fish
    maws per kg
    value for
    dried fish
    maws per
    kg
    4% of market
    value for
    fresh and
    frozen fish
    maws per kg
    2.70 USD per kg 4% of
    market
    value for
    fresh and
    frozen
    fish maws
    per Kg
    2.70 USD per
    kg
    200
    Definition:
    ‘’Citizen Company’’ means a company which is owned by a person or all
    owners/shareholders/drectors of a company or partners of registered business are
    Tanzanians;
    ‘’Non-Citizen company’’ means a company which is owned by a person or one of the
    owner(s)/shareholder(s)/director(s) is/are not Tanzanians;
    ‘’Large Scale processor’’ means a processor with Certificate of Incorporation issued by
    BRELLA and the owner(s) is registered as Directors, and has an approved fish processing
    establishment;
    ‘’Small Scale processor’’ means a processor with Certificate of Incorporation issued by
    BRELLA and the owner(s) is recognized as a proprietor, and has an approved fish
    establishment or entered into legal agreement with an approved fish establishment for
    processing or storage of fish and fishery products’’
    201
    Proposed Fee for Movement Permit.
    S/N Category Range (Kgs) Charges/Fees
    (Tshs)
    1 Permit for
    movement of fish
    and fishery products
    (dagaa, furu,
    dried/frozen/chilled
    fish)
    i) Dried fish and
    fishery products
    0 – 500 kg Free
    501 kg and above 10 TZS per kg
    Any excess
    undeclared
    100 TZS per kg
    ii) Frozen/Chilled/
    Fresh fish and
    fishery product
    0 – 1000 kgs Free
    1001kg and above 10 TZS per kg
    Any excess
    undeclared
    200 TZS per kg
    202
    Kiambatisho Na. 7
    TANZANIA ATOMIC ENERGY COMMISSION – TAEC
    MATRIX OF THE ATOMIC ENERGY (FEES AND CHARGES) REGULATIONS
    S/N Regulation No Current practice Proposed change/
    recommendation
    Benefit /reasons for the
    proposed change
    01 Fourth
    Schedule –Fees
    for radioactivity
    analysis of food
    chain and
    related
    commodities
    (Regulations 7)
    A. For Imports of Food Chain Materials, Tobacco and Tobacco
    Products
    i. Tanzania shilling
    35,000/= for
    import
    consignment
    whose Freight on
    Board value does
    not exceed
    equivalent of
    Tanzanian
    shillings ten
    million
    0.4 percent of the
    Freight on Board
    i. Import consignment
    not exceeding FoB
    of TSHS 1,000,000
    will be analyzed free
    of charge (100%
    reduction);
    ii. 0.4 percent of the
    Freight on Board
    value for all import
    consignment above
    Tanzanian shillings
    1,000,000/= up to
    one billion and a
    There are reasons for
    charging using FoB values:
    i. The FOB model is
    cheaper. The cost for
    sampling and analysis of
    the consignment using
    FOB value give relief to
    business community
    than any other means.
    The cost of analysing one
    sample is Tsh. 428,000
    as such business
    community would be
    203
    S/N Regulation No Current practice Proposed change/
    recommendation
    Benefit /reasons for the
    proposed change
    value for all
    consignment
    with Freight on
    Board value
    above Tanzanian
    shillings 10
    million up to
    equivalent of
    Tanzanian
    shillings one
    billion.
    limit of Tanzania
    shillings four
    million for
    consignment whole
    Freight on Board
    value is above to an
    equivalent of
    Tanzanian shillings
    one billion
    very expensive. Note that
    one consignment might
    need several samples
    depending on the volume
    or quantity of food chain
    materials. For example,
    simulation shows that
    the quantity-based
    model for a consignment
    of FoB value of Tshs.
    41,894,000 which weigh
    260MT is Tshs 83,000
    while the quantity model
    would attract a charge of
    Tshs. 910,000 which is
    equivalent to an increase
    of 1096%
    ii. Quantity based charging
    does not facilitate trade
    for the customers with
    ii. Tanzania
    shillings four
    million for
    consignment
    whole Freight on
    Board value is
    above to an
    equivalent of
    Tanzanian
    204
    S/N Regulation No Current practice Proposed change/
    recommendation
    Benefit /reasons for the
    proposed change
    shillings one
    billion.
    bulk consignment. This
    means the larger the
    consignment the more
    the samples would be
    needed. Using FoB value
    is cheaper because same
    amount is charged
    irrespective of the
    number of samples taken
    in a specific
    consignment. But using
    quantity method each
    sample will be charged
    and make this method
    very expensive for the
    clients. For example, in a
    year TAEC analyses
    28,000 samples and if
    each sample is to be
    charged 428,000/= will
    results to 11.96B which
    205
    S/N Regulation No Current practice Proposed change/
    recommendation
    Benefit /reasons for the
    proposed change
    is almost twice the
    current practice when
    using FoB. Therefore,
    with quantity method
    customer loose the
    benefit of lower charges
    offered by TAEC and
    would need to pay more
    than when the FoB is
    used.
    iii. The FOB model is
    efficiency because there
    is no need to confirm
    declared quantity as
    such is time and money
    saving.
    iv. FOB model increase
    transparency on
    206
    S/N Regulation No Current practice Proposed change/
    recommendation
    Benefit /reasons for the
    proposed change
    sampling process since
    there is no possibility for
    negotiation between the
    sampler and the
    customer.
    Other benefits of
    proposed amendments:
    i. These charges were used
    since 2011 and therefore
    do not reflect the current
    practices.
    ii. To facilitate trade and
    create better
    environment to small
    business traders where
    the trader who is
    currently paying
    35,000/- for the
    207
    S/N Regulation No Current practice Proposed change/
    recommendation
    Benefit /reasons for the
    proposed change
    importation of a
    consignment with FOB
    value less than
    1,000,000 will not pay
    anything; the trader
    whose consignment
    value is 1,000,001/= will
    pay 4,000/= instead of
    35,000/=; the trader
    whose consignment
    value is 5,000,000/= will
    pay 20,000 /= instead of
    35,000/= and still the
    limit holds for higher
    values.
    iii. To continue protecting
    the public and
    environment from
    harmful effect of
    radiation through
    208
    S/N Regulation No Current practice Proposed change/
    recommendation
    Benefit /reasons for the
    proposed change
    performing regulatory
    activities (sampling,
    sample analysis,
    inspection,
    authorization) of
    imported foodstuffs.
    B. For exports of Food Chain Materials including fertilizers,
    tobacco and tobacco products, and imported relief food
    i. Tanzania shilling
    35,000 for
    Export
    consignment
    whose Freight
    on Board value
    does not exceed
    equivalent of
    Tanzanian
    shillings twenty
    million.
    i. Export consignment
    not exceeding 2000
    US dollar will be
    analyzed free of
    charge (100%
    reduction);
    ii. 0.1 percent of the
    Freight on Board
    value for all
    consignment with
    Freight on Board
    There are reasons for
    charging using FoB values:
    i. The FOB model is
    cheaper. The cost for
    sampling and analysis
    of the consignment
    using FOB value give
    relief to business
    community than any
    other means. The cost
    iv. 0.2 percent of of analysing one
    209
    S/N Regulation No Current practice Proposed change/
    recommendation
    Benefit /reasons for the
    proposed change
    the Freight on
    Board value for
    all consignments
    with Freight on
    Board above
    Tanzanian
    shillings 20
    million up to
    equivalent of
    Tanzanian
    shillings one
    billion
    value above two
    thousand US dollar
    up to an equivalent
    of Tanzanian
    shillings one billion
    (Reduced by 50%)
    and a limit of
    Tanzania shillings
    two million for
    consignment whole
    Freight on Board
    value is above to an
    equivalent of
    Tanzanian shillings
    one billion.
    iii. 0.1 percent of the
    Freight on Board
    value for the value
    added finished
    sample is Tsh.
    428,000 as such
    business community
    would be very
    expensive. Note that
    one consignment
    might need several
    samples depending on
    the volume or quantity
    of food chain
    materials. For
    example, simulation
    shows that the
    quantity based model
    for a consignment of
    FoB value of Tshs.
    41,894,000 which
    weigh 260MT is Tshs
    83,000 while the
    quantity model would
    attract a charge of
    v. Tanzania
    Shilling two
    million for
    consignment
    whole Freight on
    Board value is
    above to an
    equivalent of
    210
    S/N Regulation No Current practice Proposed change/
    recommendation
    Benefit /reasons for the
    proposed change
    Tanzania
    Shillings one
    billion
    products (Reduced
    by 50%) and a limit
    of Tanzania
    shillings two million
    for consignment
    whole Freight on
    Board value is
    above to an
    equivalent of
    Tanzanian shillings
    one billion
    Tshs. 455,000 which
    is equivalent to an
    increase of 548%.
    ii. Quantity based
    charging does not
    facilitate trade for the
    customers with bulk
    consignment. This
    means the larger the
    consignment the more
    the samples would be
    needed. Using FoB
    value is cheaper
    because same amount
    is charged irrespective
    of the number of
    samples taken in a
    specific consignment.
    But using quantity
    method each sample
    211
    S/N Regulation No Current practice Proposed change/
    recommendation
    Benefit /reasons for the
    proposed change
    will be charged and
    make this method
    very expensive. For
    example, in a year
    TAEC analyses not
    less than 28,000
    samples and if each
    sample is to be
    charged 428,000/=
    will results to 11.96B
    which is almost twice
    the current practice
    when using FoB.
    Therefore, with
    quantity method
    customer loose the
    benefit of lower
    charges offered by
    TAEC and would need
    to pay more than
    when the FoB is used.
    212
    S/N Regulation No Current practice Proposed change/
    recommendation
    Benefit /reasons for the
    proposed change
    iii. The FOB model is
    efficiency because
    there is no need to
    confirm declared
    quantity as such is
    time and money
    saving.
    iv. FOB model increase
    transparency on
    sampling process
    since there is no
    possibility for
    negotiation between
    the sampler and the
    customer
    v. The charge of 0.1%
    has been obtained
    aiming at encouraging
    213
    S/N Regulation No Current practice Proposed change/
    recommendation
    Benefit /reasons for the
    proposed change
    exports of value-added
    finished products
    vi. Protecting the foreign
    market of our
    products and
    therefore stimulate
    our economy.
    vii. To enable TAEC to
    control illicit
    trafficking and
    nuclear security
    issues such as
    sabotage and
    malicious acts.
    viii. To enable TAEC to
    control contamination
    from naturally
    occurring radioactive
    214
    S/N Regulation No Current practice Proposed change/
    recommendation
    Benefit /reasons for the
    proposed change
    materials in the
    environment such as
    Uranium and
    Thorium.
    Other benefits for the
    proposed change include:
    ix. These charges were
    used since 2011 and
    therefore do not reflect
    the current practices.
    x. To facilitate export
    trade and create
    better environment to
    small business
    traders, whereby the
    trader who is
    exporting a
    consignment with
    215
    S/N Regulation No Current practice Proposed change/
    recommendation
    Benefit /reasons for the
    proposed change
    FOB value less than
    5,000,000/= (USD
    2000) was supposed
    to pay 35,000/= but
    the samples will be
    analyzed free of
    charge/= (not pay
    anything) and the
    trader whose
    consignment value is
    20,000,000/= was
    supposed to pay
    40,000/= but it is
    proposed to pay only
    32,000/= and still the
    limit holds for higher
    values.
    xi. To continue fulfilling
    the international
    requirements and
    216
    S/N Regulation No Current practice Proposed change/
    recommendation
    Benefit /reasons for the
    proposed change
    standards
    (FAO/WHO/IAEA/WT
    O) for the exporting
    country to ensure
    safety of food chain
    material as such avoid
    international trade
    cases.
    xii. Protecting the public
    and environment from
    harmful effect of
    radiation through
    performing regulatory
    activities (sampling,
    sample analysis,
    inspection,
    authorization) of
    exported foodstuffs
    C. For all manufacturers, processors and milling of Food chain
    217
    S/N Regulation No Current practice Proposed change/
    recommendation
    Benefit /reasons for the
    proposed change
    materials, Tobacco and Tobacco products and possess and use
    underground and reservoir waters
    A) Radioactivity
    analysis fees per
    annum as follows:
    i. Free for Micro
    Enterprises and
    Small Enterprises
    (SMEs)
    ii. Tanzania shillings
    two hundred and
    fifty thousand for
    Medium
    Enterprises
    (MSEs).
    iii.Tanzania shillings
    three hundred
    thousand
    i.The proposed lower fees
    will enhance traders to
    comply and create a cost
    sharing mode. Taking into
    account that the cost for
    sampling and analysis
    one sample is estimated
    to be TZS 428,000. For
    every manufacturer and
    processor will require
    more than one sample per
    year depending on the
    scale of manufacturing
    and processing of food
    stuffs, Tobacco and
    Tobacco products.
    ii. To contribute to
    empowering TAEC in
    218
    S/N Regulation No Current practice Proposed change/
    recommendation
    Benefit /reasons for the
    proposed change
    (300,000/=) for
    Large Enterprises
    (LE)
    NOTE:
    According to the
    Small and Medium
    Enterprise
    Development Policy
    (2003), Tanzania
    defines categories of
    enterprises as
    follows:
    1.Micro Enterprises as
    up to 4 employees or
    up to 5 Million
    investments in
    Machinery
    2.Small enterprises
    controlling the danger of
    radiations as per Section
    30 and 31 of the Atomic
    Energy Act.
    iii. To continue protecting
    the public and
    environment from
    harmful effect of radiation
    through performing
    regulatory activities
    (sampling, sample
    analysis, inspection,
    authorization)
    219
    S/N Regulation No Current practice Proposed change/
    recommendation
    Benefit /reasons for the
    proposed change
    are mostly
    formalized
    undertakings
    engaging between 5
    and 49 employees or
    with capital
    investment from
    TZS 5 million to TZS
    200 million.
    3.Medium enterprises
    employ between 50
    and 99 people or
    use capital
    investment from
    Tshs.200 million to
    TSHS 800 million.
    4.Large enterprises
    employ at least 100
    people or have
    Contamination from
    natural occurring
    radioactive materials is
    likely to affect the citizens
    using underground and
    reservoir waters, thus
    protection of citizens is of
    great importance.
    220
    S/N Regulation No Current practice Proposed change/
    recommendation
    Benefit /reasons for the
    proposed change
    machinery
    investment above
    TSHS 800 million.
    B) For radioactivity
    analysis license to
    possess and use
    underground and
    reservoir waters,
    water reservoir
    Tanzania shillings
    50,000/= per unit
    in every three
    years.
    02 First Schedule
    for
    Licensing/Regis
    tration of
    Various
    Practices
  1. Medical and non-medical applications (Radiation Generating
    Devices and Radiation Sources), research clearance and scrap
    metals
    Authorization to
    use and or
    possess Medical
    i. For authorization to
    use and possess,
    operate, hire,
    i To meet the cost servicing
    an X-ray machine which
    is 1,700,000 per unit and
    221
    S/N Regulation No Current practice Proposed change/
    recommendation
    Benefit /reasons for the
    proposed change
    (Regulations 4) Diagnostic
    Equipment:
    i. X-ray machine
    and
    dermatologyUp to 2 units
    150,000/= with
    an increase of
    25% for each
    additional unit
    Import, export or
    transfer of medical
    diagnostic
    equipment shall be
    charged Tshs.
    200,000/= per unit
    ii. For authorization to
    use and possess,
    operate, hire,
    Import, export CT
    scanner,
    therapeutic
    (teletherapy and
    brachytherapy),
    angio-suite, MRI,
    Nuclear Medicine,
    PET CT and
    biological
    irradiation facilities
    shall be charged
    CT scan which is
    3,000,000 per unit per
    annum. The same applies
    to other practices.
    iiThese charges were used
    since 2011 and therefore
    do not reflect the current
    costs.
    iii To reduce number of
    categories of charges in
    order to simplify handling.
    iv To reduce the cost of
    cancer diagnostic and
    treatment to enable
    patients to access services
    and thus to stimulate
    early diagnosis and
    ii. Authorizatio
    n to use and or
    possess
    therapeutic
    (teletherapy and
    brachytherapy)
    and biological
    irradiation
    facilities
    200,000/= per
    unit
    222
    S/N Regulation No Current practice Proposed change/
    recommendation
    Benefit /reasons for the
    proposed change
    iii. Authorizatio
    n to use and or
    possess X-ray
    equipment used
    for level
    detection and
    sorting of
    minerals
    150,000/= per
    unit
    Tshs 300,000/= per
    unit
    iii. For authorization to
    use and possess,
    operate, hire,
    Import, export
    transfer nonmedical radiation
    emitting equipment,
    device,
    communication
    base stations,
    premises for storage
    of radiation
    sources, and
    research clearance
    shall be charged
    Tshs 300,000/= per
    minimize or prevent the
    growing of cancer cases.
    v To enable TAEC to
    continue protecting
    workers, patients, public
    and environment through
    conducting regulatory
    activities (inspection,
    reviews, authorization,
    enforcement) to medium
    risk radiological
    practices.
    vi To facilitate the
    regulatory processes of
    research clearance,
    permit on peaceful
    application of nuclear
    iv. Possess and
    use CT scanner
    150,000/= per
    unit
    v.Authorization to
    use and or
    possess X-ray
    and or
    radioactive
    materials for
    223
    S/N Regulation No Current practice Proposed change/
    recommendation
    Benefit /reasons for the
    proposed change
    Non Destructive
    Testing
    200,000/=
    unit/ research technology as per section
  2. of Atomic Energy Act.
    No 7 2003
    vi. Authorizatio
    n to use and or
    possess
    fixed/portable
    nuclear gauges
    for level
    measurement,
    density
    measurement,
    thickness
    control,
    moisture
    measurement
    and control and
    in-stream
    analysis of
    slurries
    224
    S/N Regulation No Current practice Proposed change/
    recommendation
    Benefit /reasons for the
    proposed change
    200,000/=
    vii. Authorizatio
    n to import and
    or export
    therapeutic
    (teletherapy and
    brachytherapy)
    and biological
    irradiation
    facilities
    300,000/= per
    unit
    viii. Authorizatio
    n to import and
    or export
    Medical
    diagnostic
    225
    S/N Regulation No Current practice Proposed change/
    recommendation
    Benefit /reasons for the
    proposed change
    Equipment: a)
    X-ray machine
    and
    dermatology
    120,000/= and
    CT Scanner
    200,000/= per
    unit
    ix. Authorizatio
    n to import and
    or export fixed
    or portable
    nuclear gauges
    for level
    detection,
    density
    measurement,
    thickness,
    control
    moisture
    226
    S/N Regulation No Current practice Proposed change/
    recommendation
    Benefit /reasons for the
    proposed change
    measurement
    and control in
    stream analysis
    of slurries
    200,000/= per
    unit
    x.Authorization to
    import and or
    export Level
    Detection and
    Sorting of
    Minerals
    Authorization to
    import and or
    export
    150,000/= per
    unit
    xi. Authorizatio
    n to import and
    or export X-ray
    227
    S/N Regulation No Current practice Proposed change/
    recommendation
    Benefit /reasons for the
    proposed change
    Fluorescence,
    X-ray
    Diffraction and
    Neutron
    Activation
    Analysis
    100,000/= per
    unit
    xii. Authorizatio
    n to use and or
    possess linear
    accelerators
    and or devices
    with radioactive
    sources for
    cargo and
    container
    inspection Tshs
    600,000 per
    unit
    i. Tanzania shillings
    500,000/= per
    unit/consignment
    for authorization to
    use and possess,
    Import, Export,
    hire, transfer or
    class4 laser
    product, nonmedical Linear
    Accelerator,
    cyclotron, Fixed Xi. These charges were used
    since 2011 and therefore
    do not reflect the current
    practices.
    ii. To reduce categories
    of charges and to merged
    them for smooth
    managing complicated
    procedures
    228
    S/N Regulation No Current practice Proposed change/
    recommendation
    Benefit /reasons for the
    proposed change
    xiii. Authorizatio
    n to import and
    or export Linear
    Accelerator or
    Radioactive
    Devices for Non
    Destructive
    Testing and
    Cargo,
    container
    inspection
    500,000/= per
    unit
    ray or Radioactive
    Devices for Non
    Destructive Testing,
    Cargo or Container
    Inspection scanner,
    or and other devices
    of considerable
    significant high
    risk, soil samples
    containing
    radioactive
    materials, NORMs;
    and screening of
    consignment of
    scrap metal.
    iii. To enable TAEC to
    conduct regulatory
    activities (inspection,
    reviews, enforcement) to
    complex and high risk
    radiological practices in
    order to ensure safety of
    workers, the general
    public and the
    environment.
    iv. To enable TAEC to
    conduct inspection of
    scrap metals in order to
    search for radioactive
    sources and prevent
    radioactive sources from
    entering steel pool and
    protect heath of workers,
    general public and the
    xiv. Authorizatio
    n to import and
    or export Linear
    accelerators
    and or Devices
    with Radioactive
    Sources for
    229
    S/N Regulation No Current practice Proposed change/
    recommendation
    Benefit /reasons for the
    proposed change
    cargo and or
    container
    inspection
    600,000/= per
    unit
    environment
    xv. Authorizatio
    n to use and or
    possess
    industrial
    irradiation &
    Nuclear
    Reactors –to be
    determined- by
    TAEC in
    consultation
    with the
    Minister
    ii. Tanzania shillings
    5,000,000/= per
    unit for
    authorization to use
    and or possess,
    hire, transfer,
    export, import
    industrial
    irradiation
    source/facility,
    nuclear research
    reactor, radioactive
    minerals and
    i.Usually nuclear
    installation have several
    stages which need license
    and government
    commitment.
    ii. The proposed charges
    will increase efficiency by
    removing complications
    and managing and
    subjectivity in decision
    making as such increase
    efficiency in managing
    230
    S/N Regulation No Current practice Proposed change/
    recommendation
    Benefit /reasons for the
    proposed change
    xvi. Authorizatio
    n to import and
    or export
    Industrial
    Irradiation
    Sources
    5,000,000/=
    per unit
    Tanzania Shillings
    10,000,000/= for
    siting, construction,
    operation or
    decommissioning of
    Nuclear Power
    Plant.
    radiation safety.
    iii. To enable TAEC to
    conduct regulatory
    activities (inspections,
    reviews, guidance,
    enforcement)to more
    complex and high risk
    radiological practices in
    order to ensure protection
    and safety of
    occupationally exposed
    workers, public and the
    environment
    231
    S/N Regulation No Current practice Proposed change/
    recommendation
    Benefit /reasons for the
    proposed change
    iii. Additional Tanzania
    Shilling
    1,000,000/= per
    unit for
    authorization to
    import all Ionizing
    and Non-Ionizing
    Radiation emitting
    for equipment or
    devices of age above
    8 years since
    manufactured
    (NEW)
    i To discourage aged
    materials/devices and
    protect the environment
    from dumping. For
    example, importing a
    device with radioisotope
    Americium-241 used in
    water industries,
    breweries, beverages, road
    construction etc have half
    half-life of 432.2 years
    and will need 4322 years
    for safe disposal to the
    environment. For the
    device with caecium-137
    with hall-life of 30 years
    will need 300 years for
    safe disposal to the
    environment
    ii To enable TAEC to
    232
    S/N Regulation No Current practice Proposed change/
    recommendation
    Benefit /reasons for the
    proposed change
    conduct regulatory
    processes (registration,
    inspections, reviews,
    guidance, authorization)
    to the imported/exported
    radiation sources
  3. Registration of qualified personnel, Technical Service Providers
    and License to Transport Radioactive Sources
    i. Tanzania
    Shillings
    50,000/= for
    the registration
    of qualified
    personnel to
    administer
    ionizing
    radiation to
    person(
    charged for
    i. Free of charge for
    qualified personnel
    to administer
    ionizing radiations
    to persons
    ii. For every 5 years
    Tanzania Shillings
    50,000/= for
    registration of
    qualified personnel
    i. Monitoring of qualified
    personnel is very
    important to ensure that
    personnel administering
    ionizing radiation to
    personnel are qualified.
    ii. In the current practice the
    charges is paid by the
    hospitals therefore
    removing it will reduce
    233
    S/N Regulation No Current practice Proposed change/
    recommendation
    Benefit /reasons for the
    proposed change
    5yrs) to operate, install,
    repair and
    maintenance
    radiation devices or
    apparatus or plant
    medical expenses to the
    public
    iii. To continue protecting
    workers, patients public,
    and environment from
    harmful effect of radiation
    through performing the
    regulatory activities
    ii. Tanzania
    shillings
    1,000,000/=
    per
    consignment
    for
    Authorization
    to transport
    Category 1 to 3
    radioactive
    material within
    iii. Tanzania shillings
    1,000,000/= for
    Authorization to
    transport Category
    1 to 5 radioactive
    material, Mineral
    containing
    radioactive
    materials and
    NORMs within and
    /or on transit
    i. To continue protecting
    workers, public, and the
    environment from
    harmful effects of
    radiations through
    conducting regulatory
    activities (inspections,
    reviews, enforcements,
    etc) in authorization to
    transport radioactive
    materials, radioactive
    234
    S/N Regulation No Current practice Proposed change/
    recommendation
    Benefit /reasons for the
    proposed change
    and on transit
    through
    Tanzania
    through Tanzania,
    and provision of
    technical services
    such as, Personnel
    dosimetry services,
    workplace
    monitoring
    services, standards
    calibration
    services,
    environmental
    monitoring
    services, radio
    analytical
    measurements,
    repair and
    maintenance of
    nuclear equipment,
    Supplier of
    radiation devices,
    Transporters of
    minerals, NORMs and
    technical services
    ii. To enable TAEC to
    monitor technical services
    and enhance safety in
    technical service involving
    nuclear applications and
    during transport
    radioactive sources
    235
    S/N Regulation No Current practice Proposed change/
    recommendation
    Benefit /reasons for the
    proposed change
    radioactive
    materials, Storage
    of radiation
    devices, storage of
    Radioactive Waste,
    Radiation
    Protection Training
    Services providers,
    Quality Assurance
    and Quality
    Control Services
    providers.
    (Excluding
    reimbursable).
  4. Second
    schedule PreAuthorization
    Inspection Fees
    Non-routine inspection Fee for facility or activity for Medical and
    Non-Medical Applications (Radiation Generating Devices and
    Radiation Sources).
    236
    S/N Regulation No Current practice Proposed change/
    recommendation
    Benefit /reasons for the
    proposed change
    (Regulation 5) i. Assessment and
    Inspection of
    Radiology X-ray
    unit, up to 2
    units:
    100,000/= with
    an increase of
    25% for each
    additional unit
    i. Tanzania Shillings
    100,000/= per unit
    for assessment and
    Inspection of
    Radiology X-ray
    unit
    ii. Tanzania Shillings
    200,000/= per unit
    for assessment and
    inspection of
    Radiation emitting
    equipment, device
    and base stations,
    and radioactive
    material storage
    facility and other
    low and moderate
    risk practices
    excluding
    i. The current charges have
    been in use since 2011
    and therefore do not
    reflect the current
    practices.
    ii. Simplified management
    and handling of fees by
    merged categories and
    removed complications of
    calculations
    iii. To enable TAEC to
    conduct inspection to
    medium risk radiological
    practices in order to
    protect heath of patients,
    occupationally exposed
    workers, and public from
    harmful effects of
    ii. Assessment and
    or Inspection of
    CT Scanner,
    Radiotherapy
    devices and
    Nuclear
    medicine
    facilities: up to 2
    units:
    200,000/= with
    an increase of
    237
    S/N Regulation No Current practice Proposed change/
    recommendation
    Benefit /reasons for the
    proposed change
    25% for each
    additional unit
    reimbursable radiation
    iii. Assessment and
    or Inspection of
    Duo diagnostic
    (both
    conventional
    and
    Fluoroscopy)
    Fluoroscopic
    and
    Mammography
    units, baggage
    screening up to
    2 units:
    150,000/= with
    an increase of
    25% for each
    additional unit
    iv. Assessment and
    238
    S/N Regulation No Current practice Proposed change/
    recommendation
    Benefit /reasons for the
    proposed change
    or inspection of
    Gamma units for
    non-destructive
    testing,
    fixed/portable
    nuclear gauges
    and biological
    irradiator up to
    2 units:
    300,000/= with
    an increase of
    25% for each
    additional unit
    v. Assessment and
    or inspection of
    teaching and or
    education
    radiation
    sources up to 2
    239
    S/N Regulation No Current practice Proposed change/
    recommendation
    Benefit /reasons for the
    proposed change
    units: 50,000/=
    with an increase
    of 25% for each
    additional unit.
    vi. Assessment and
    or inspection of
    Nuclear
    Analytical
    techniques, X
    ray Fluorescent
    Analysis and Xray Diffraction
    up to 2 units:
    100,000/= with
    an increase of
    25% for each
    additional unit.
    240
    S/N Regulation No Current practice Proposed change/
    recommendation
    Benefit /reasons for the
    proposed change
    vii. Assessment
    and or
    inspection of
    linear
    accelerators and
    or devices with
    radioactive
    source for cargo
    and or
    container
    inspection up to
    2 units:
    500,000/= with
    an increase of
    25% for each
    additional unit
    iii. Tanzania shillings
    500,000/= per unit
    for assessment and
    inspection of base
    station, Class 4
    laser products,
    Linear Accelerator,
    Fixed X-ray or
    Radioactive Devices
    for Non Destructive
    Testing, Cargo or
    Container
    Inspection scanner,
    cyclotron or and CT
    scan, MRI, scrap
    metal warehouse
    and other devices of
    considerable
    significant high
    risk, excluding
    reimbursable.
    To enable TAEC to continue
    protecting the public,
    workers and the
    environment by conducting
    inspection to medium risk
    radiological practices in
    order to protect heath of
    patients, occupationally
    exposed workers, and
    public from harmful effects
    of radiation
    241
    S/N Regulation No Current practice Proposed change/
    recommendation
    Benefit /reasons for the
    proposed change
    viii. Assessment
    of the plan for
    any nuclear
    power Plant and
    or Nuclear
    Reactor
    5,000,000/=
    iv. For each
    assessment/inspect
    ion during sitting,
    construction,
    commission,
    operation and
    decommission of
    mines containing
    naturally occurring
    radioactive minerals
    or conventional
    mines, Assessment
    of radon gas
    concentrations in
    underground
    mines, Irradiator
    facility shall be
    charged Tanzania
    Shillings
    5,000,000/=
    To continue protecting the
    public, workers and
    environment by
    i. Enabling TAEC to
    maintain the quality of
    inspection including
    equipment and inspectors
    whose cost of training is
    approximately 500,000
    Euros in European union
    and need quarterly
    inspections with different
    expertise with not less
    than 5 inspectors per
    category of inspection.
    ii. Enabling TAEC to
    conduct regulatory
    inspection to
    complex/high risk
    242
    S/N Regulation No Current practice Proposed change/
    recommendation
    Benefit /reasons for the
    proposed change
    v. For each
    assessment and
    inspection during
    sitting,
    construction,
    commission,
    operation and
    decommission of
    Nuclear Power,
    Nuclear Research
    Reactor, Radioactive
    minerals mine,
    processing, disposal
    and tailings facility
    shall be charged
    Tanzania shillings
    10,000,000/=
    excluding
    reimbursable
    radiological practices in
    order to protect heath of
    workers, public and the
    environment from
    harmful effects of
    radiation
    iii. It is important to monitor
    radon gas in
    underground mines to
    reduce the biological
    effect of radon to miners
    243
    S/N Regulation No Current practice Proposed change/
    recommendation
    Benefit /reasons for the
    proposed change
  5. Third scheduleFees and
    Charges For
    Activities
    Relating to
    Prospecting/Ex
    ploration,
    Mining and
    Processing of
    Radioactive
    Minerals
    (Regulations 6)
    ix. Verification
    in respect of
    Decommissionin
    g of radioactive
    ore mine and its
    processing
    facilities
    100,000,000/=
    per mine or
    processing
    facility
    Twenty million
    Tanzanian shillings
    (20,000,000/) per
    annum per facility or
    processing facility for
    verification in respect
    of Decommissioning
    Process of radioactive
    minerals mine and its
    processing facilities.
    i.To simplify payments to
    the mining operators
    ii. To align with the
    government budget time
    frame
    iii. To continue protecting
    workers, public and the
    environment from
    harmful effects of
    radiations through
    regulatory activities
    (reviews, guidance,
    authorization,
    enforcement) of
    decommissioning
    radioactive ores mine or
    ore processing facilities
  6. Fifth Schedule
    Fees and
    charges for
    i. Review of
    radiation
    shielding
    Tanzania Shillings
    200,000/= per unit to
    Provide Structural
    i. To continue enabling
    TAEC to provide technical
    and radiation protection
    244
    S/N Regulation No Current practice Proposed change/
    recommendation
    Benefit /reasons for the
    proposed change
    other related
    activities or
    services
    (Regulation 8)
    (External beam
    radiation)-
    (200,000/= per
    facility for
    Diagnostic,
    (240,000/= for
    Therapy),
    200,000/= for
    Industrial)
    Design and layout of
    diagnostic X-ray
    facilities, Review of
    radiation shielding
    radiological facilities,
    Perform quality
    control tests of
    diagnostic radiation
    equipment, Testing of
    integrity of package of
    radioactive sources
    for transport and
    maintenance of
    survey meters
    services to protect heath
    of workers, public and
    the environment from
    harmful effects of
    radiation.
    ii. Quality control
    tests of
    diagnostic X-ray
    equipmentConventional
    radiography( Up
    to 2 units
    100,000/= with
    an increase of
    25% for each
    additional unit, –
    245
    S/N Regulation No Current practice Proposed change/
    recommendation
    Benefit /reasons for the
    proposed change
    Radiographic
    mammography
    and fluoroscopy
    (Up to 2 units
    150,000/= with
    an increase of
    25% for each
    additional unit
    and CT
    scanner(Up to 2
    units 200,000/=
    with an increase
    of 25% for each
    additional unit
    iii. Testing of
    integrity of
    package of
    radioactive
    sources for
    transport(
    246
    S/N Regulation No Current practice Proposed change/
    recommendation
    Benefit /reasons for the
    proposed change
    150,000/= per
    device and
    15,000/= for
    any additional
    device
    iv. Tanzanian
    Shillings
    100,000/= per
    unit to Provide
    Structural
    Design and
    layout of
    diagnostic X-ray
    facilities
    i. Tsh 50,000/- or
    USD 50 for
    measurement of
    sample by
    (HPGe) or NaI(Tl)
    per sample
    (i) Tanzania Shillings
    100,000/- and 25%
    discount for students
    for measurement of
    one sample by either
    gamma spectrometry,
    i. To enable sample
    preparation, reagents and
    consumables sampling,
    reference standards
    sample measurements.
    ii. To promote and
    247
    S/N Regulation No Current practice Proposed change/
    recommendation
    Benefit /reasons for the
    proposed change
    EDXRF or TXRF. encourage students and
    scientists to engage in
    science and technology
    ii. TSH 34,000/- or applications
    50 USD for
    measurement of
    sample by XRF
    per sample.
    iii. Tsh 100,000/
    Personal
    dosimetry
    services for up
    to two TLDs and
    Tshs. 34,000/=
    for each
    additional TLD
    Tanzania Shillings
    100,000/ Personal
    dosimetry services
    per TLD
    To enable sample
    preparation, reagents and
    consumables sampling,
    reference standards sample
    measurements.
    iv. Tsh 170,000/-
    per lost TLD.
    For lost TLD will be
    charged per market
    price of the TLD
    To have ability to
    replacement the lost TLD
    and continue with services
    for monitoring workers
    248
    S/N Regulation No Current practice Proposed change/
    recommendation
    Benefit /reasons for the
    proposed change
    v. Tsh 100,000/-
    (resident) or
    USD 50 (nonresident) for
    calibration of
    individual and
    environmental
    monitoring
    detector up to
    ten (10)
    detectors and
    Tsh. 34,000/-
    (resident) or
    USD 20 ( nonresident) for
    each additional
    detector
    Tanzania Shillings.
    150,000/- or USD
    150 (non- resident)
    for calibration of
    radiation Survey
    meter, Electronic
    personnel dosimeter,
    individual and
    environmental
    monitoring detector
    i. To ensure the reliability
    of instruments, that it
    can be trusted
    ii. To determine the
    accuracy of instruments.
    iii. To ensure the
    readings/results are
    consisted with other
    measurements
    249
    S/N Regulation No Current practice Proposed change/
    recommendation
    Benefit /reasons for the
    proposed change
    vi. Tsh. 350,000/-
    (resident) or
    USD 200(nonresident) for
    calibration of
    radiation
    Survey meter
    and Tsh.
    350,000/-
    (resident) or
    USD 200 (nonresident) for
    each additional
    meter
    vii. Tsh. 150,000/-
    (resident) or
    USD 100 (non –
    resident) for
    calibration of
    Electronic
    250
    S/N Regulation No Current practice Proposed change/
    recommendation
    Benefit /reasons for the
    proposed change
    personnel
    dosimeter and
    Tsh.100,000/=(
    resident) or USd
    100 (nonresident) for
    each additional
    dosimeter
    viii. Tsh.
    1,900,000/- for
    calibration,
    repair and
    maintenance of
    Moisture and
    density gauges
    Tanzania Shillings.
    1,900,000/- for
    calibration, repair
    and maintenance of
    Moisture and density
    gauges excluding
    reimbursable.
    This still caters the cost of
    calibration of which clients
    will continue benefiting the
    same price
    ix. Tsh. 500,000/=
    for consultation
    services on the
    proper use of Xray machines
    Tanzania Shillings.
    500,000/= for
    consultation services
    on the proper use of
    X-ray machines
    This still caters the cost of
    consultation services of
    which clients will continue
    benefiting the same price
    251
    S/N Regulation No Current practice Proposed change/
    recommendation
    Benefit /reasons for the
    proposed change
    x. 5% of FOB
    value of the
    machine or flat
    rate of
    3,500,000/= for
    installation of
    each X-ray
    machine for
    machine which
    its FOB value is
    not known.
    Tanzania Shillings
    2,500,000/= for
    installation, repair
    and maintenance of
    x-ray machine
    excluding
    reimbursable
    This still caters the cost of
    installation services of
    which clients will continue
    benefiting the same price
    xi. 5% of FOB
    value of the
    machine or flat
    rate of
    3,500,000/= for
    repair and
    maintenance of
    each X-ray
    machine for
    252
    S/N Regulation No Current practice Proposed change/
    recommendation
    Benefit /reasons for the
    proposed change
    machine which
    its FOB value is
    not known.
    xii. Fees for
    radioactive
    waste
    management
    Tanzania Shillings
    3,000,000/= shall be
    charged for Storage of
    disused sealed
    radioactive sources
    and Tanzania
    Shillings.1,000,000/=
    for conditioning of
    disused sealed
    radioactive sources
    (excluding
    reimbursable)
    To facilitate transportation
    of sources with special
    transportation condition
    and enhance storage and
    decommission after the end
    of ten half-lives. For
    example disposal and
    conditioning of a device
    with caecium-137
    radioisotope have hall-life
    of 30 years and will need to
    remain under TAEC
    custody for 300 years
    253
    Kiambatisho Na. 8
    THE FIRE AND RESCUE FORCE ACT,
    (CAP. 427)
    __
    REGULATIONS

(Made under section 32(g))


THE FIRE AND RESCUE FORCE (SAFETY INSPECTION AND CERTIFICATES)
(AMENDMENT) REGULATIONS, 2022
S/N PROPOSAL
CURRENT PROPOSED JUSTIFICATI
ITEM LEVY ITEM LEVY ON
1
3.TRADE FAIR 3.TRADE FAIR 3.TRADE FAIR
Previous meter
square is not
realistic
because
2000m2 is
small
compared to
reality.
To enlarge the
areas of
category from
to 10,000m2
and Above
10,000m2.
Less than or
equal to
2000m2
L12 (700000 –
1000000)
Less than or
equal to
10000m2
L12 (700,000
-1000000)
Above 2,000m2 L15 (1,500,000
-3,000,000) Above 10,000m2 L15(1,500,00
0 -3000000)
254
2
10.
EDUCATION
BOARDING
SCHOOL
10.
EDUCATIONAL
BOARDING
SCHOOL
10.
EDUCATIONAL
BOARDING
SCHOOL
To reduce levy
burden and
increase
compliance.
Increase the
number of
boarders
Less than or
equal to 100
boarders
L7 (50,000 –
200,000
Less than or
equal to 200
boarders
L7 (50,000 –
150,000
101-500
boarders
L8 (200,000 –
500,000) 201-500 boarders L8 (200,000 –
500,000)
Above 500
boarders
L9 (300,000 –
600,000
501-1000
boarders
L9 (300,000 –
600000
Above 1001
boarders
L10
(550,0000 –
700,000)
3
We propose to
reduce the fire
inspection fee
from 100,000 to
8,000,000 of the
previous to
10,000/= to 3,
000,000/=

  1. TRAINING
    INSTITUTIONS
    TRAINING
    INSTITUTIONS
    Less than or
    equal to 500
    students
    L5(10,000 –
    40,000)
    Less than or
    equal to 500
    students
    L5(10,000 –
    40,000)
    501-1,000
    students
    L6(40,000 –
    100,000)
    501-1,000
    students
    L6(40,000 –
    100,000)
    1,001-2,000
    students
    L7 (50,000-
    200,000)
    1,001-2,000
    students
    L7(50,000 –
    200,000)
    2,001-3,000
    students
    L9 L (300,000 –
    600,000
    2,001-3,000
    students L8A (400,000)
    255
    More than
    10,000
    students
    L19(8,000,000/
    =)
    3,001-4,000
    students 8B (300,000)
    4,001–5,000
    students
    L8(200,000 –
    500,000)
    5,001–6,000
    students
    L9(300,000-
    900,000)
    6,001–7,000
    students
    L10(550,000-
    700,000)
    7,001–8,000
    students
    L11(500,000-
    800,000)
    8,001–9,000
    students
    L12(700,000-
    1,000,000)
    9,001 – 10,000
    students
    L13(600,000-
    1,500,000)
    More than 10,000
    students
    L15(1,500,00
    0 –
    3,000,000)
    4
    We propose to
    categorize the
    type of Bar.
    12.BAR
  2. BAR
    L6(40,000 –
    100,000)
    Bar without
    cooking facilities
    L6(40,000 –
    100,000)
    Bar with cooking
    facilities
    L7 (50,000-
    200,000)
    5
    We propose to
    add new fire
    category and its
    NONE 13. SERVICE
    BAYS
    L5(10,000 –
    40,000)
    To increase
    compliance
    and new
    256
    levy source of
    income.
    6
    In the in the
    classification
    guide were
    added a new
    item “lodge and
    bandas” as the
    new source and
    it will be
    charged from
    tsh 200,000/=
    to 4,000,000/=
    depending on
    the rooms and
    huts and
    location.
    16.HOTEL IN
    PROTECTED
    AREA
    HOTEL/LODGE/
    BANDAS IN
    PROTECTED
    AREA
    7
    In the in the
    classification
    guide were
    added a new
    item “vibrated
    blocks making
    facilities” as the
    new source and
    it shall be
    19.INDUSTRIA
    L SERVICES
  3. INDUSTRIAL
    SERVICES
    Less than or
    equal to 50m2
    L6(40,000 –
    100,000
    Less than or
    equal to 100m2
    L6(40,000 –
    100,000
    Gross floor
    area 51-500m2
    L7(50,000 –
    200,000
    Gross floor area
    101-500m2
    L7(50,000 –
    200,000
    Gross floor
    area 501-
    1000m2
    L8(200,000 –
    500000
    Gross floor area
    501-1000m2
    L8(200,000 –
    500000
    257
    charged from
    40,000/= to Tsh
    3000,000/=
    dependin on m2
    and locations.
    And also to
    change the
    area(m2)
    Gross floor
    area 1001-
    2000m2
    L9 (300,000 –
    600000
    Gross floor area
    1001-2000m2
    L9 (300,000 –
    600000
    Gross floor
    area 2001-
    3000m2
    L10(550,000 –
    700000
    Gross floor area
    2001-3000m2
    L10(550,000
    – 700000
    Gross floor
    area 3001-
    5000m2
    L12(700,000 –
    1000000
    Gross floor area
    3001-4000m2
    L12(700,000
    – 1000000
    Gross floor
    area 5001-
    7000m2
    L13(600,000 –
    1,500,000
    Gross floor area
    4001-5000m2
    L13(600,000 –
    1,500,000
    Gross floor
    area 7001-
    8500m2
    L14(800,000 –
    2,000,000
    Gross floor area
    5001-6000m2
    L14(800,000 –
    2,000,000
    More than
    8501m2
    L15 (1,500,000
    -3,000,000)
    More than
    6000m2
    L15
    (1,500,000 –
    3,000,000
    8
    In the in the
    classification
    guide were
    added a new
    item “demolition
    or alteration” as
    the new source
    and it shall be
    21.
    CONSTRUCTI
    ON SITE
    21
    CONSTRUCTION
    SITE To increase
    compliance
    and revenue. (Commercial,
    and Industrial
    only)
    (Commercial,
    Research and
    Industrial only)
    258
    charged as the
    same as
    construction
    site. i.e tsh L7
    (50,000-
    200,000)
    9
    We propose to
    change m2 of
    some items
    under this
    category
    20.
    BEVERAGE
    INDUSTRIES
  4. BEVERAGE
    INDUSTRIES
    To reduce tax
    burden and
    increase
    compliance
    (a) For nonalcoholic
    industries
    (a) For nonalcoholic
    industries
    Less than or
    equal to 500m2
    L5(10,000 –
    40,000)
    Less than or
    equal to 500m2
    L5(10,000 –
    40,000
    Gross floor
    area 501-
    1125m2
    L6(40,000 –
    100,000)
    Gross floor area
    501-1000m2
    L6(40,000 –
    100,000
    Gross floor
    area 1126-
    2000m2
    L7(50,000 –
    200,000
    Gross floor area
    1001-2000m2
    L7A (50,000 –
    150,000
    Gross floor
    area 2001-
    3500m2
    L8(200,000 –
    500000
    Gross floor area
    2001-3000m2
    L8(200,000 –
    500,000)
    Gross floor
    area 3501-
    4500m2
    L9 (300,000 –
    600000
    Gross floor area
    3001-4000m2
    L9 (300,000 –
    600,000
    259
    Gross floor
    area 4501-
    5500m2
    L12(700,000 –
    1000000)
    Gross floor area
    4001-5000m2
    L12 (700,000
    -1,000000)
    Gross floor
    area 5501-
    7000m2
    L13(600,000 –
    1,500,000
    Gross floor area
    5001-7000m2
    L13(600,000 –
    1,500,000
    Gross floor
    area 7001-
    8000m2
    L14(800,000 –
    2,000,000
    Gross floor area
    7001-8000m2
    L14(800,000 –
    2,000,000
    More than
    8501m2
    L15 (1,500,000
    -3,000,000)
    More than
    8000m2
    L15
    (1,500,000 –
    3000000)
    (b) For
    alcoholic
    industries less
    than or equal
    to 500 m2
    L7(50,000 –
    200,000)
    (b) For alcoholic
    industries less
    than or equal to
    500 m2
    L7A (50,000 –
    150,000
    Gross floor
    area 501-
    1125m2
    L8(200,000 –
    500000)
    Gross floor area
    501-1000m2
    L8(200,000 –
    500,000)
    Gross floor
    area 1126-
    2000m2
    L9 (300,000 –
    600000)
    Gross
    floor area 1001-
    2000m2
    L9 (300,000 –
    600000
    Gross floor
    area 2001 –
    3500m2
    L10(550,000 –
    700000)
    Gross floor area
    2001 – 3000m2
    L10 (5500000
  • 700,000)
    260
    Gross floor
    area 3501-
    4500m2
    L12(700,000 –
    1,000,000)
    Gross floor area
    3001-4000m2
    L11(500,000 –
    800,000)
    Gross floor
    area 4501-
    5500m2
    L13(600,000 –
    1,500,000)
    Gross floor area
    4001-5000m2
    L12 (700,000
    -1000000)
    Gross floor
    area 5501-
    7000m2
    L14(800,000 –
    2,000,000)
    Gross floor area
    5001-6000m2
    L13(600,000 –
    1,500,000
    Gross floor
    area 7001-
    8500m2
    L15 (1,500,000
    -3,000,000)
    Gross floor area
    6001-7000m2
    L14(800,000 –
    2,000,000
    More than
    8501m2
    L16(2,500,000
  • 4,000,000)
    More than
    7000m2
    L15
    (1,500,000 –
    3000000)
    10
    We propose to
    add new item
    “fishing port
    and cruise
    home port and
    their
    corresponding
    levy. And the
    word “lake port”
    to replace with
    the word
  1. PORT 24.PORT
    Lake port L12(700,000 –
    1,000000) Inland port L12(700,000
    – 1,000,000)
    Sea port L14(800,000 –
    2,000,000 Sea port
    L14(800,000 –
    2,000,000)
    Fishing Port L8(200,000 –
    500,000)
    Cruise home port L8(200,000 –
    500,000)
    261
    “inland port”
    11
    We propose to
    add new item
    fire Levy and
    proposed under
    this category
    that will be
    charged from
    tsh L6(40,000 –
    100,000) to
    L17(2,000,000 –
    5,000,000)
  2. POWER
    STATION
    33.POWER
    STATION
    Hydro L18(3,000,000
  • 6,000,000)
    Mini Hydro less
    than 10
    megawatt
    L7 (50,000 –
    200,000
    Gas L17(2,000,000
  • 5,000,000)
    Hydro more than
    10 megawatt
    L18(3,000,00
    0 – 6,000,000
    Wind/Thermal L17(2,000,000
  • 5,000,000) Gas L18(3,000,00
    0 – 6,000,001
    Sub – Station L6(40,000 –
    100,000 Wind L17(2,000,00
    0 – 5,000,000
    Sub- Station L12 (700,000
    -1,000,000)
    12
    We propose to
    delete this item
    that charged tsh
    30,000/=
    34.
    TRANSFORME
    R
    To reduce
    burden
    13
    We propose to
    Reduce the fire
    levy under this
    category from
    tsh L3 (5,000 –
    20,000 to L2
    (10,000/=) for
    surveyed area
    34.RESIDENTI
    AL/RESIDENC
    E HOUSE
    34.RESIDENTIAL
    /RESIDENCE
    HOUSE To reduce levy
    burden and
    increase
    compliance
    Surveyed area L3(5,000 –
    20,000 Surveyed area L2(10,000)
    Un surveyed
    area
    L2(10,000) Un surveyed area L1A(5,000)
    262
    and from L2
    (10,000/=) to
    L1A (5,000/=)
    for un surveyed
    area.
    14
    36.RESIDENTI
    AL/BUILDING
    UNIT GROUP
    TITLE
    COMMUNITY
    (perunit/
    apartment)
    L7(50,000 –
    200,000)
    GROUP TITLE
    COMMUNITY
    (per unit/
    apartment )
    L6(40,000 –
    100,000)
    To reduce levy
    burden and
    increase
    compliance
    15
    RESIDENTIAL
    FLAT
    RESIDENTIAL
    FLAT
    To reduce levy
    burden and
    increase
    compliance
    Less than or
    equal to 4
    levels
    L8(200,000 –
    500,000)
    Less than or
    equal to 4 levels L8A(400,000)
    5-8 levels L9 (300,000 –
    600000) 5-8 levels L8B(300,000)
    9-12 levels L10(550,000 –
    700000) 9-12 levels L8(200,000 –
    500,000)
    13-16 levels L12(700,000 –
    1000000) 13-16 levels
    L10
    (550,0000 –
    700,000)
    17-20 levels L15 (1,500,000
    -3,000,000) 17-20 levels L12 (700,000
    -1,00,0000)
    263
    21-24 levels L16(2,500,000
  • 4,000,000) 21-24 levels L13(600,000 –
    1,500,000)
    25-28 levels L17(2,000,000
  • 5,000,000) 25-28 levels L14(800,000 –
    2,000,000
    More than 28
    levels
    L20(6,000,000
  • 9,000,000)
    More than 28
    levels
    L15
    (1,500,000 –
    3,000,000)
    16
    we propose to
    add new fire
    category
    NONE NONE
  1. MIXED USE
    BUILDINGS
    Less than or
    equal to 4 levels
    L8(200,000 –
    500,000)
    5-8 levels L10(550,000 –
    700000
    9-12 levels L12(700,000 –
    1000000
    13-16 levels L13(600,000 –
    1,500,000)
    17-20 levels L14(800,000 –
    2,000,000
    21-24 levels
    L15
    (1,500,000 –
    3000000)
    25-28 levels L16(2,500,00
    0 – 4,000,000)
    More than 28
    levels
    L17(2,000,00
    0 – 5,000,000)
    264
    17
    We propose to
    add new item
    which whole
    sale and ‘Mini
    super market’
    which will be
    charged tsh
    L4(30,000/=) for
    each item,
    45.SHOP
  2. SHOP
    Retail L3(5,000 –
    20,000
    Wholesale L4(30,000)
    Mini supermarket L4(30,000)
    18
    We propose to
    add new item
    “Sales of
    Portable Fire
    Equipments”
    and their
    corresponding
    fire levy that will
    be charged at
    TShs.
    100,000/=
  3. FIRE
    EQUIPMENT
    DEALER
  4. FIRE
    EQUIPMENT
    DEALER
    To increase
    revenue and
    compliance to
    propriators
    who only sells
    Portable Fire
    Extinguishers
    without
    involving
    servicing and
    maintenance
    Sales of Portable
    Fire Equipments L6 (100,000)
    19
    In the
    classification
    guide were
    added a new
    item “ferry and
    airport” as the
  5. TERMINAL
    265
    new source .
    20
    we propose to
    add new fire
    category
    “WORKSHOPS”
    and their
    corresponding
    fire levy that will
    be charged from
    10, 000/= THS
    to Tsh 40,000/=
    depending on
    their location.
    NONE NONE 64. WORKSHOP L5(10,000 –
    40,000)
    To increase
    compliance
    and source of
    revenue
    21
    We propose to
    remove this
    category from
    this schedule
    and establish a
    new schedule
    special for this
    case for
    reducing the fire
    levy.
  6. APROVAL
    OF FIRE
    ENGENEERIN
    G
    This will
    reduce the
    fire levy from
    the minimum
    level of tsh
    200,000/= to
    the minimum
    of tsh
    15,000/=
    To increase
    compliance.
    22 We propose to NONE NONE 68.DRY To provide
    266
    Add new Fire
    category and
    their Fire Levy
    that will be
    charged tsh
    10,000 to
    40,000/= as
    “Dry cleaners”
    were charged as
    Offices
    CLEANER clarity for Dry
    Cleaner
    category as it
    was charged
    under Office
    category
    23
    We propose to
    delete this
    category and
    their
    corresponding
    levy
    13 FARMING/
    GRAZING
    To reduce levy
    burden in
    agriculture
    sector.
    Less than or
    equal to 10
    hectares

L6(40,000

100,000)
11

-40 hectares L8(200,000

500,000
41
-100
hectares

L10 (5500000

700,000
More than 100
hectares.

L12 (700,000

1000000)
We propose to
delete this
category and
their
corresponding

  1. SISAL
    COFEE AND TEA
    PLANTATIONS
    To reduce levy
    burden in
    agriculture
    sector.

Less than or L6(40,000

267
levy equal to 500m2 100,000)
501-1000m2 L7(50,000 –
200,000
1001-6000m2 L8(200,000 –
500,000
Above 6000m2 L12 (700,000 –
1000000)
More than 40
hectares
L11(500,000 –
800,000
268


FOURTH SCHEDULE
(Made under Regulation 8, 2008)
Guide to classification of Approved Fire Engineering
“Purpose Group” means a building or compartment regarded according to its use, intended use or main purpose of use;
Not More
than
100m²
(TShs.)
Not More
than 150m²
(TShs.)
Not More
than 200m²
(TShs.)
Excess from
Maximum
Area
(TShs/m²)
I 15,000/= 30,000/= 45,000/= 0
II, IV, V 45,000/= 75,000/= 100,000/= 450/=
III 25,000/= 45,000/= 65,000/= 350/=
VI, VIII 35,000/= 85,000/= 135,000/= 500/=
VII 30,000/= 50,000/= 75,000/= 400/=
*Worship 10,000/=
*Includes church, mosque, temple or any other premise designed purposely for worship
The total consultancy fee for the building works shall be calculated using the below formula:
TCF = BF + ∑ (BF x SFS%)
Where:
TCF = total consultancy fee obtained from the above formula
BF = Base fee for particular built-up area of the proposed building
SFS% = special fire service percentage chargeable from the base fee as indicated in the Second Schedule Fire Levy Group I
NB
Where the building has no special requirements, as shown in Fire levy Group I (Review of Fire Engineering Protection Plan) only the base fee is
charged.
Base Fee for Proposed
Built -up Area
Purpose Group
ong
269
Kiambatisho Na. 9
First Schedule


(Made under Regulation 4 and 14)
Licence fees and Levy
No Type of License Application Fee Licence Fee Levy

  1. CASINO – DAR TZS 1,000,000
    (annually)
    USD 40,000

(annually)

  1. CASINO – REGION TZS 1,000,000
    (annually)
    USD 20,000

(annually)

  1. SLOT MACHINES OR ROUTE
    OPERATIONS (SHOP)
    TZS 100,000
    (annually)
    TZS 500,000
    (annually)
    TZS 10,000
    (monthly per
    machine)
  2. SLOT MACHINES OR ROUTE
    OPERATIONS (CLUBS/PLACES
    SELLING LIQUOR)
    TZS 10,000 (annually) TZS 50,000
    (annually)
    TZS 10,000
    (monthly per
    machine)
  3. NATIONAL LOTTERY TZS 1,000,000 USD 50,000
    (annually)
    2% on Gross
    Gaming Revenue
    (GGR) paid monthly
  4. COMMERCIAL LOTTERY (UNDER
    SEC. 41 (3) OF THE ACT)
    TZS 1,000,000 USD 40,000

(annually)

  1. PRIVATE LOTTERY TZS 5,000 (per lottery) TZS 50,000 (per

lottery)

270

  1. PUBLIC LOTTERY TZS 5,000 (per lottery) TZS 50,000 (per

lottery)

  1. FETE – TZS 10,000 (per

week)

  1. BINGO (IN A HALL OR CASINO TZS 100,000
    (annually)
    TZS 500,000
    (annually)
    5% on Gross
    Gaming Revenue
    (GGR) paid monthly
  2. TOMBOLA (CLUBS OR
    REGISTERED SOCIETIES)
    TZS 5,000 (per
    application)
    TZS 10,000 (per

month)

  1. PROMOTIONAL LOTTERY
    (PROMOTIONAL BUDGET BELOW
    TZS 5,000,000)
    TZS 10,000 (per
    lottery)
    TZS 100,000

(per month)

  1. PROMOTIONAL LOTTERY
    (PROMOTIONAL BUDGET OF TZS
    5,000,000 OR ABOVE)
    TZS 10,000 (per
    lottery)
    6% (of total
    promotional

budget)

  1. TRANSFER OF PERMIT TZS 30,000 (per
    location)
  1. POSTPONEMENT OF DRAW TZS 50,000 – –
  2. KEY EMPLOYEE TZS 10,000 (annually) TZS 50,000

(annually)

  1. SUPPORT EMPLOYEE – TZS 10,000

(annually)

  1. DUPLICATE LICENCE TZS 10,000 – –
  2. AMUSEMENT WITH OR WITHOUT
    PRIZE
    TZS 5,000 TZS 10,000 (per

location)

  1. INSPECTION OF LICENCE TZS 20,000 (per – –
    271
    HOLDERS REGISTER inspection)
  2. POOL BETTING SCHEME TZS 50,000 (annually) TZS 50,000
    (annually)
    10% of bet amount
  3. FORTY MACHINES SITE LICENCE
    (DAR ES SALAAM)
    TZS 100,000
    (annually)
    TZS 4,000,000

(annually)

  1. FORTY MACHINES SITE (OTHER
    REGIONS)
    TZS 100,000
    (annually)
    TZS 2,000,000

(annually)

  1. SPORTS BETTING (SHOP) TZS 500,000
    (annually)
    TZS 1,000,000

(annually)

  1. PRIZE COMPETITION TZS 10,000 (per
    lottery)
    10% of the
    Promotional

Budget

  1. MANUFACTURER CERTIFICATE TZS 500,000
    (annually)
    TZS 1,000,000

(annually)

  1. SELLERS/DISTRIBUTORS/SUPPLI
    ERS
    TZS 500,000
    (annually)
    TZS 1,000,000

(annually)

  1. SERVICE PROVIDER TZS 500,000
    (annually)
    TZS 1,000,000

(annually)

  1. RETAILERS ON PREMISES – TZS 100,000
    (Casino)
    TZS 20,000 (Forty
    Machines Site)
    TZS 10,000 (Slot
    Shops & Bars)
    TZS 10,000

(Bingo)

272

  1. ACCREDITATION – TZS 10,000 –
  2. PRINCIPAL LICENCE (SPORTS
    BETTING)
    TZS 500,000
    (annually)
    USD 30,000

(annually)

  1. PRINCIPAL LICENCE (SLOT OR
    ROUTE OPERATIONS)
    TZS 500,000
    (annually)
    USD 10,000

(annually)

  1. INTERNET CASINO TZS 1,000,000
    (annually)
    USD 40,000

(annually)

  1. OPERATIONS UNDER SEC.51(2) TZS 1,000,000
    (annually)
    USD 10,000
    (annually)
    5% on Gross
    Gaming Revenue
    (GGR) paid monthly
  2. VIRTUAL GAMES
    (IN SPORTS BETTING PREMISES)
    TZS 50,000
    (per location annually)
    TZS 100,000 (per
    location annually)
    5% on Gross
    Gaming Revenue
    (GGR) paid monthly
  3. ONLINE VIRTUAL GAMES TZS 500,000
    (annually)
    USD 10,000
    (annually)
    5% on Gross
    Gaming Revenue
    (GGR) paid monthly
  4. VIRTUAL GAMES (STAND-ALONE)
    PREMISE
    TZS 50,000.00
    (per location annually)
    TZS 100,000 (per
    location annually)
    5% on Gross
    Gaming Revenue
    (GGR) paid monthly
  5. CERTIFICATE OF SUITABILITY – TZS 1,000,000 –
  6. GAMING CONSULTANCY TZS 10,000 TZS 1,000,000

(every two years)

  1. PLAY STATIONS TZS 10,000 (per
    location annually)
    TZS 50,000
    (per location

annually)

273
Amendment of Second Schedule 20. The principal Regulations are amended by deleting
the Second Schedule and replacing it with the following new schedule:
Second Schedule


(Made under regulation 68 (1))
Registration of devices
No. Devices Casino Slot Machines
Operations
Sports
Betting
Forty
Machines Site
Other
Devices

  1. SLOT MACHINE TZS
    50,000
    TZS 30,000 – TZS 40,000 –
  2. LIVE TABLES TZS
    100,000

  1. ELECTRONIC TABLESSEATS
    TZS
    50,000
  • – TZS 50,000 –
  1. SPORTS BETTING – – TZS 30,000 – –
  2. INTERNET SPORTS BETTING TZS 1,000,000
    (annually)
    USD 30,000

(annually)

  1. NUMBER GAMES TZS 1,000,000
    (annually)
    USD 40,000

(annually)

274
TERMINALS

  1. POOL TABLES – – – – TZS 10,000
  2. PLAY STATIONS – – – – TZS 10,000
    Additional
    of new
    Schedule
  3. The principal Regulations are amended by adding immediately after the
    Second Schedule the new Schedule as follows:
    Third Schedule

Made under Section 85 (2) (g)
Administrative Sanctions to Licensee
No. RELEVANT CLAUSE
OF THE GAMING
ACT, 2003 OR
REGULATIONS
ACTS, OMISSIONS OR OFFENCE
COMMITTED SANCTIONS: PENALTY
Gaming Act, Cap 41.

  1. Section 15(2) Failure to renew licence within prescribed time Penalty of 5% of the
    required licence fee and
    an Interest of 25% of the
    penalty for every month
    275
    delay
  2. Section 82A (c) Placing Machines on un–Authorized Premise TZS. 1,000,000 (per
    location)
  3. Section 86B Failure for a licensee to comply with
    requirements of Section 86B
    TZS. 1,000,000 for every
    day of delay.
    GAMING REGULATIONS, 2003
  4. Regulation13 Failure of a licensee to display a gaming
    licence in a gaming premise
    TZS. 100,000 (per
    location)
  5. Regulation 18(4) Failure to inform the Board on suspension and
    recommencement of business
    TZS. 500,000
  6. Regulation 18(5) Failure to file a report to the Board for
    approval of transfer of any share prescribed
    under Regulation 18(5)
    TZS. 7,000,000
  7. Regulation 25 & 26 Failure of a licensee to develop and implement
    organisation structure prescribed under
    Regulation 25 and 26
    TZS. 300,000
  8. Regulation 27 Failure of a licensee to prepare and implement
    the requirements of job compendium
    prescribed under Regulation 27
    TZS. 300,000
  9. Regulation 29&32 Employ key and support staff without gaming
    license
    TZS. 100,000 (per person)
    276
  10. Regulation 34& 60 Failure of Key or Support employee to make
    available and display of employees gaming
    license for inspection set under Regulation 34
    and 60.
    TZS. 20,000 (per person)
  11. Regulation 38 Failure to comply with the minimum
    requirement of theoretical and demonstrable
    return to public prescribed under Regulation
    38
    TZS. 1,000,000
  12. Regulation 39 & 40 Breach of Regulation 39 or 40 in relation to
    the use and approval of chips, tokens
    TZS. 500,000
  13. Regulation 44 to 48 Failure of licensee to comply with the
    requirements relating to installation, operation
    and maintenance of surveillance system,
    records as prescribed under Regulation 44 to
    48
    TZS. 10,000,000
  14. Regulation 64 Failure to display winning combinations
    together with corresponding prizes on every
    slot machine in violation of Regulation 64
    TZS. 100,000
  15. Regulation 65 Failure to comply with the minimum
    requirement of theoretical and demonstrable
    return to public prescribed under Regulation
    65
    TZS. 500,000
  16. Regulation 68 Failure to Register Gaming Device TZS. 40,000 (per device)
  17. Regulation 74& 78 Breach of requirement in relation to
    conventions of gaming machine set under
    TZS 5,000,000
    277
    Regulation 74 and Regulation 78
  18. Regulation 82 Failure to submit annual audited financial
    statements with any of the requirements
    prescribed under Regulation 82
    TZS. 1,000,000
  19. Regulation 84 (4) Failure to submit gaming levy within
    prescribed time
    Penalty of 10% of the
    required gaming levy and
    an Interest of 25% of the
    penalty for every month
    delay.
    INTERNET GAMING REGULATIONS 2021
  20. Regulation 9 (1) Failure to have sever in Mainland Tanzania TZS.7,000,000
  21. Regulation 9 (2) Failure to obtain approval of having a replica
    sever
    TZS.7,000,000
  22. Regulation 19(3) Failure to inform the Board on the incident
    which the licensee is unable to resolve under
    Regulation 19(4) (a)
    TZS. 300,000
  23. Regulation 21 Failure to notify the Board of any unclaimed
    non-monetary prize
    TZS. 300,000
  24. Regulation 23 Failure of a licensee to inform the Board
    circumstances of incident that prizes was
    TZS. 300,000
    278
    withheld
  25. Regulation 25 Failure of a licensee to display prizes on every
    game offered for play under Regulation 25
    TZS. 1,000,000
  26. Regulation 56 Failure of a licensee to keep records as per
    requirements of Internet Gaming Regulations,
    2021
    TZS. 5,000,000

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *