
Wajumbe wa kamati ya maandalizi ya Capital City Evening Run leo wamepata wasaa kutembelea Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa mwaliko wa Mhe. Tulia Ackson – Spika. Pia wamefanya mazungumzo na Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa – Waziri Mkuu kuhusu jitihada zetu kwenye sekta ya mchezo hususani riadha. Siku ya kesho wanatarajia kufanya Capital City Evening Run kwa 5km na 15km itakayofanyika katika mji wa Serikali Mtumba.


