
Hukumu ya aliyekuwa Mkuu wa wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya, imeahirishwa hadi Juni 10, 2022, kwa kile kilichoelezwa kwamba Hakimu aliyekuwa akisikiliza kesi hiyo amepangiwa majukumu mengine ya kiofisi nje ya mkoa.
Hukumu ya aliyekuwa Mkuu wa wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya, imeahirishwa hadi Juni 10, 2022, kwa kile kilichoelezwa kwamba Hakimu aliyekuwa akisikiliza kesi hiyo amepangiwa majukumu mengine ya kiofisi nje ya mkoa.