JAMES MBATIA APIGWA MARUFUKU KUJIHUSISHA NA SHUGHULI ZA NCCR MAGEUZI

Naibu Msajili Sisty Nyahoza
James Mbatia

Ofisi ya Msajili wa vyama vya siasa imempiga marufuku James Mbatia pamoja na Sekretarieti yake yote kujihusisha na shughuli za chama cha NCCR-MAGEUZI kuanzia sasa, Naibu Msajili Sisty Nyahoza amesema Mbatia akikaidi amri hiyo atakabiliwa na adhabu kali ikiwemo kushtakiwa.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *