DODOMA JIJI NA NAMUNGO LIGI KUU TANZANIA BARA

Matukio Mbalimbali Katika Picha Uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma Mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara(NBC PREMIERE LEAGUE 2021/2022) Dhidi ya Namungo Fc

Matokeo katika Mchezo huu yametamatika kwa Dodoma Jiji kuibuka na Ushindi wa Bao 1-0 likifungwa na Hamis Mcha kupitia Mkwaju wa Penati

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *