
Naibu Waziri anayeshughulikia Afya @ortamisemi Mhe. Festo Dugange pamoja na Naibu Katibu Mkuu anayeshughulikia Afya @ortamisemi Dkt. Grace Magembe ni miongoni wa Ujumbe kutoka Tanzania unaoshiriki Mkutano huo.
Mkutano huu unaenda na Kauli Mbiu “Afya kwa Amani, Amani kwa Afya”.
