
UTANGULIZI
1. Mheshimiwa Spika, naomba kutoa hoja kwamba, kutokana na taarifa iliyowasilishwa ndani ya Bunge lako Tukufu na Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na
Serikali za Mitaa iliyochambua bajeti ya Ofisi ya Rais, Ikulu (Fungu 20 na 30); Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma (Fungu 33); Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala
Bora (Fungu 32); Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma (Fungu 67); Tume ya
Utumishi wa Umma (Fungu 94); na Idara ya
Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa (Fungu 04);
Bunge lako Tukufu sasa lipokee na kujadili
Mapitio ya Utekelezaji wa Mpango na Bajeti kwa Mwaka wa Fedha 2021/22. Aidha, naliomba Bunge lako Tukufu likubali kupitisha Mpango wa Utekelezaji na Makadirio ya Fedha kwa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora kwa Mwaka wa Fedha 2022/23.
- Mheshimiwa Spika, awali ya yote namshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuendelea kutujalia amani na utulivu ambavyo vimetuwezesha kutekeleza majukumu ya kuongoza Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora na kuwahudumia wananchi pamoja na kutuwezesha kukutana kwa ajili ya kupokea utekelezaji wa Ofisi yangu na kutafakari malengo yajayo katika mkutano huu wa saba wa Bunge la 12. Kwa namna ya pekee napenda kumshukuru Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa imani yake kubwa kwangu kwa kuniteua kuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora. Pia, namshukuru Rais kwa imani yake kwa Naibu Waziri wangu Mheshimiwa Deogratius Ndejembi, Mbunge wa Jimbo la Chamwino kwa kumbakiza katika nafasi yake na ndani ya Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora. Pia, namshukuru Rais kwa safu nzuri ya Watendaji wa Ofisi yangu ambao amewaidhinisha.
- Mheshimiwa Spika, naomba kuchukua nafasi hii, kumpongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Samia Suluhu Hassan kwa kutimiza mwaka mmoja kazini kwa mafanikio makubwa ya utendaji wa kazi yanayoonekana katika sekta mbalimbali nchini. Rais wetu amedhihirisha kuwa yeye ni kiongozi bora, muadilifu, mzalendo, mchapakazi, mcha Mungu, mwenye nia na maono makubwa ya kuleta ustawi wa taifa na maendeleo kwa Watanzania.
- Mheshimiwa Spika, naomba pianimpongeze Rais wetu kwa azma yake ya dhati ya kuuboresha Utumishi wa Umma na Utawala Bora. Dhamira hiyo aliionesha wakati akilihutubia Bunge la 12 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania tarehe 22 Aprili, 2021 mara baada ya kuapishwa kuwa Rais. Alisema na anaendelea kutekeleza kwa vitendo dhamira yake ya kuwa, Serikali anayoingoza itaendeleza jitihada za kuimarisha maadili, nidhamu, uzalendo, uchapa kazi na uwajibikaji. Pia, aliahidi kusimamia haki na stahiki za Watumishi wa Umma na Watendaji serikalini ili kuongeza ari ya kufanya kazi kwa bidii na kukuza uwajibikaji wa hiari katika Utumishi wa Umma. Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora inaahidi kuendelea kufanya kazi kwa bidii, nidhamu, uadilifu, weledi na uzalendo wa kitaifa ili kuendana na kasi ya Serikali ya Awamu ya Sita ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
- Mheshimiwa Spika, naomba kuchukua nafasi hii kumpongeza Mheshimiwa Dkt. Philip
Isdor Mpango, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania, kwa namna anavyomsaidia Rais kutekeleza majukumu ya kuiletea maendeleo nchi yetu. Aidha, napenda kumpongeza Mheshimiwa Dkt. Hussein Ali Hassan Mwinyi, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, kwa uongozi wake shupavu na nia yake thabiti ya kuleta maendeleo Zanzibar.
- Mheshimiwa Spika, napenda kuchukua fursa hii kumpongeza Mheshimiwa Kassim Majaliwa Majaliwa, Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kwa kuendelea kusimamia na kuratibu kazi za kila siku za Serikali na utendaji wa Serikali Bungeni kwa umahiri mkubwa. Pamoja na kumsaidia vyema Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika kuliletea Taifa letu maendeleo.
- Mheshimiwa Spika, naomba nikupongeze wewe binafsi kwa kuwa mwanamke wa pili kushika uongozi wa Mhimili huu wa Bunge. Pia, nampongeza Naibu Spika ambaye ameungana nawe kuchaguliwa kwa kishindo katika nafasi za kuliongoza Bunge letu Tukufu. Tunategemea kuwa umakini, weledi, busara na hekima kubwa mliyodhihirisha katika nafasi mlizokuwa nazo zitaendelea kukua zaidi mnapotekeleza wajibu wenu katika nafasi hizi kubwa zaidi. Pia, nawapongeza Wenyeviti wa Bunge kwa kusimamia kwa ustadi wa hali ya juu kazi waliyopewa ya kuongoza vikao vya Bunge letu, kwa hakika mmekuwa msaada mkubwa sana katika uendeshaji wa Bunge kwa ujumla.
- Mheshimiwa Spika, naomba pia kuwapongeza Mawaziri wenzangu wote wa Serikali ya Awamu ya Sita kwa kuendelea kupewa nafasi ya kuwatumikia Watanzania, hasa kutekeleza Ilani ya CCM kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2020, Mpango wa Tatu wa Maendeleo wa Taifa wa Miaka Mitano na Dira ya Taifa ya Maendeleo ya 2025.
- Mheshimiwa Spika, kwa namna ya pekee naishukuru Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa chini ya Mwenyekiti wake Mheshimiwa Abdallah Chaurembo, Mbunge wa Mbagala na Makamu wake Mheshimiwa Dennis Londo, Mbunge wa Mikumi, pamoja na Wajumbe wa Kamati kwa ushirikiano, maelekezo na ushauri mzuri walioutoa wakati wa kupitia Taarifa ya Utekelezaji wa Mpango na Bajeti ya Mwaka wa Fedha 2021/22 na Mapendekezo ya Mpango wa Utekelezaji na Makadirio ya Mapato na Matumizi ya fedha kwa Mwaka wa Fedha 2022/23. Maoni, ushauri na ushirikiano wa Kamati umetuwezesha kuboresha utendaji kazi wa Ofisi yangu na maandalizi ya hotuba hii.
- Mheshimiwa Spika, nawashukuru Balozi Hussein A. Kattanga, Katibu Mkuu Kiongozi; Dkt Moses M. Kusiluka, Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Ikulu; Dkt. Laurean J. Ndumbaro, Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora; Bw. Xavier M. Daudi, Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora; Makamishna, Watendaji Wakuu wa Taasisi; Wakurugenzi na Watumishi wote wa Ofisi ya Rais Ikulu na Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora kwa kazi nzuri wanazozifanya katika kutekeleza majukumu yanayoiwezesha Ofisi kufikia malengo yake, ikiwa ni pamoja na kukamilisha Hotuba hii kwa wakati. Aidha, napenda kuwashukuru waajiri na watumishi wote wa Umma kwa kutekeleza wajibu wao kwa ufanisi, uzalendo pamoja na imani yao kwa uongozi wa Serikali ya Awamu ya Sita ambao umeiwezesha Serikali kutekeleza majukumu yake ya kuwahudumia wananchi.
- Mheshimiwa Spika, kwa namna ya pekee napenda kuzishukuru Nchi Wahisani na Washirika wa Maendeleo ambao wamechangia jitihada zetu za kuleta maendeleo kwa wananchi. Hivyo, nachukua fursa hii kuwashukuru na kuwataja wachache ambao ni:- Jamhuri ya Watu wa China, Japan, Uingereza, India, Jamhuri ya Korea, Marekani, Sweden, Australia, Umoja wa Ulaya, Norway, Finland, Uswisi, Malaysia, Misri, Singapore, Cuba, Thailand na Ireland. Vile vile, nayashukuru Mashirika ya Maendeleo ya Kimataifa ambayo ni: Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB), Benki ya Dunia (WB), OFID-OPEC Fund for International Development, Foreign Commonwealth Development Office (FCDO), KOICA, GIZ, USAID, SIDA, UNDP, Jumuiya ya Madola, JICA, UNICEF, ILO, WFP, UN Women, Global Fund, Mfuko wa Fedha wa Kimataifa (IMF) na Taasisi ya Bill and Melinda Gates Foundation.
- Mheshimiwa Spika, natumia fursa hii kuwashukuru wananchi wa Jimbo la Peramiho kwa kuendelea kunipa ushirikiano wakati wote ninapoendelea kuwawakilisha. Vile vile, naishukuru familia yangu kwa ushirikiano wanaonipa na kwa dua zao wakati wote ninapotekeleza majukumu yangu.
- Mheshimiwa Spika, kwa masikitiko makubwa natoa pole kwa Watanzania wenzetu, Viongozi na Watumishi wa Umma waliopotelewa na ndugu zao kutokana na sababu mbalimbali zilizojitokeza katika kipindi hiki. Tunamuomba Mwenyezi Mungu awape faraja wote ili waendelee kujenga
Taifa letu.
- Mheshimiwa Spika, tunampongeza sana Mheshimiwa Rais, Samia Suluhu Hassan kwa mikakati yake bora ya kupambana na UVIKO 19 kwa kuhimiza wananchi wote ikiwemo watumishi wa umma kupata chanjo. Aidha, Rais ametumia fursa ya UVIKO kupata fedha za kuiletea maendeleo nchi yetu. Natumia nafasi hii kutoa rai kwa watumishi wa umma kuendelea kuchukua tahadhari za kujikinga.
- Mheshimiwa Spika, katika Mwaka wa Fedha 2021/22 tuliwasilisha mbele ya Bunge lako tukufu, maombi ya fedha kwa ajili ya kutekeleza mipango kazi inayowezesha Ofisi yangu kwa mazingatio ya kisera na kimkakati. Kwa mara nyingine tupo mbele ya Bunge lako Tukufu ili kutoa Taarifa ya Utekelezaji wa shughuli tulizoombea fedha kwa Mwaka wa Fedha 2021/22 pamoja na kuwasilisha mapendekezo ya Mpango na Bajeti kwa Mwaka wa Fedha 2022/23.
MAPITIO YA UTEKELEZAJI WA MPANGO WA MWAKA WA FEDHA 2021/22
16. Mheshimiwa Spika, utekelezaji wa Mpango na Bajeti kwa kipindi cha Mwaka wa Fedha 2021/22 ulizingatia miongozo ya kitaifa ambayo ni Dira ya Taifa ya Maendeleo ya 2025, Maelekezo ya Ilani ya Uchaguzi ya CCM kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2020, Hotuba ya Mhe. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wakati wa kuhutubia Bunge la 12 pamoja na maelekezo yake mbalimbali. Aidha, utekelezaji umezingatia Mpango wa Taifa wa Maendeleo wa Miaka Mitano Awamu ya Tatu (2021/22 – 2025/26), unaoitaka Tanzania iwe na Uchumi Shindani na Viwanda kwa Maendeleo ya Watu.
OFISI YA RAIS – IKULU NA TAASISI ZAKE
- Mheshimiwa Spika, katika Mwaka wa Fedha 2021/22, Fungu: 20 Ofisi ya Rais, Ikulu iliidhinishiwa Shilingi 24,557,764,000 kwa ajili ya Matumizi ya Kawaida. Hadi kufikia Machi, 2022 Shilingi 18,339,003,333.31 zilipokelewa na kutumika.
- Mheshimiwa Spika, ili kutekeleza majukumu yake, katika Mwaka wa Fedha 2021/22, Fungu 30 Ofisi ya Rais na Sekretarieti ya Baraza la Mawaziri inayojumuisha taasisi zilizo chini ya Ikulu, iliidhinishiwa Shilingi 639,780,318,000. Kati ya fedha hizo, Shilingi 467,921,917,000 kwa ajili ya Matumizi ya Kawaida na Shilingi 171,858,401,000 kwa ajili ya Miradi ya Maendeleo. Hadi kufikia Machi, 2022 Shilingi 491,351,852,318.92 zilipokelewa na kutumika.Kati ya fedha hizo Shilingi 368,574,043,260.92 kwa ajili ya Matumizi ya Kawaida na Shilingi 122,777,809,058 kwa ajili yaMiradi ya Maendeleo. Yafuatayo ni maelezo kwa kila taasisi:-

A: OFISI YA RAIS- IKULU
19. Mheshimiwa Spika, Ofisi ya Rais, Ikulu imeendelea kuongoza, kufuatilia na kusimamia utekelezaji wa shughuli za Serikali. Katika kipindi cha mwezi Julai, 2021 hadi Machi, 2022, kazi zifuatazo zilitekelezwa:-
- Ushauri umeendelea kutolewa kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika masuala ya Siasa, Uchumi, Jamii, Sheria, Diplomasia, Mawasiliano na Habari, Uhusiano wa Kikanda, Kimataifa na ushauri mwingine kwa lengo la kumsaidia Rais kufanya maamuzi;
- Ushauri umeendelea kutolewa kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
kuhusu ratiba ya kila siku;
- Huduma zimeendelea kutolewa kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na familia yake;
- Mikutano 25 ya Sekretarieti ya Baraza la Mawaziri ilifanyika, ambapo nyaraka 43 zilichambuliwa. Mikutano 10 ya Kamati Maalum ya Makatibu Wakuu (IMTC) ilifanyika na nyaraka 20 zilichambuliwa na ushauri kutolewa. Mikutano miwili ya kazi ya Kamati ya Makatibu Wakuu ilifanyika ambapo mada tano ziliwasilishwa na kujadiliwa. Mikutano mitano ya Baraza la Mawaziri ilifanyika ambapo nyaraka 21 zilijadiliwa na kutolewa maamuzi. Aidha, mikutano minne ya Kamati ya Katiba na Bunge ya Baraza la Mawaziri ilifanyika ambapo
miswada 13 ilijadiliwa;
- Kumbukumbu za Mikutano ya Sekretarieti ya Baraza la Mawaziri, Kamati Maalum ya Makatibu Wakuu na Baraza la Mawaziri ziliandaliwa na kusambazwa kwa wakati kwa wahusika. Aidha, ufuatiliaji na tathmini ya Maamuzi ya Baraza la Mawaziri ulifanyika na taarifa ya utekelezaji wake iliandaliwa;
- Ziara ya Maafisa wa Sekretarieti ya Baraza la Mawaziri kutembelea Mradi wa Bwawa la Kuazalisha Umeme la Julius Nyerere na Uhifadhi katika mbuga za Ngorongoro, Loliondo na Serengeti ilifanyika ili kuona hali halisi ya utendaji na kushauri ipasavyo;
- Mafunzo kuhusu utayarishaji na uwasilishaji wa Nyaraka za Baraza la Mawaziri kwa Menejimenti za Wizara tano za Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa; Ofisi ya Rais – Ikulu; Wizara ya Afya; Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi; na Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia yalifanyika;
- Mkutano wa Waratibu wa Shughuli za Baraza la Mawaziri (CLOs) katika Wizara
zote ulifanyika mwezi Machi, 2022 Mkoani Singida;
- Vitabu vya Taarifa za Utekelezaji wa Kazi na Shughuli za Baraza la Mawaziri na Kamati zake kwa kipindi cha pili cha Serikali ya Awamu ya Nne (mwaka 2010 – 2015) na kipindi cha kwanza cha Serikali ya awamu ya 5 (2015 – 2020) vinaandaliwa;
- Mafunzo ya kujenga uwezo kuhusu utekelezaji wa Mkakati wa Taifa Dhidi ya Rushwa Awamu ya Tatu (NACSAP III) yamefanyika kwa Kamati za Kudhibiti Uadilifu za Taasisi 86 (zinazojumuisha Sekta ya Umma, Sekta Binafsi, na Asasi za Kiraia CSOs);
- Tathmini ya utekelezaji wa Awamu ya Tatu ya Mkakati wa Taifa Dhidi ya Rushwa imefanyika ambapo rasimu iliyoboreshwa ya taarifa ya tathmini inafanyiwa uchambuzi kabla ya
kuwasilishwa Serikalini;
- Uratibu na uendeshaji wa mikutano ya Makatibu Wakuu na Waratibu wa Programu za Maboresho umefanyika na kuwezesha kikao cha Katibu Mkuu Kiongozi na Makatibu Wakuu wanaosimamia utekelezaji wa Programu za Maboresho katika Sekta ya Umma kufanyika. Vile vile, mikutano mitatu (3) ya Waratibu wa Programu za Maboresho imefanyika ili kuimarisha usimamizi, uongozi na umiliki wa mchakato wa maboresho katika sekta ya umma nchini;
- Mkutano wa uhamasishaji baina ya Idara ya Utawala Bora na Maboresho, Menejimenti ya TPSF pamoja na AZAKI umefanyika ili kuhamashisha Sekta Binafsi kuzingatia malengo ya Mkakati wa Taifa Dhidi ya Rushwa na kuishirikisha katika tathmini. Aidha, majadiliano na viongozi wa dini (TEC, BAKWATA na CCT) kuhusu utekelezaji wa Mkakati wa Taifa Dhidi ya Rushwa kwa lengo la kukusanya maoni
umefanyika;
- Taarifa mbili (2) za utekelezaji za robo mwaka za Mkakati wa Taifa Dhidi ya Rushwa Awamu ya Tatu (NACSAP III) zimeandaliwa. Aidha, maandalizi ya awali
ya Mfumo wa Kielektroniki wa Ufuatiliaji na Tathmini wa NACSAP III
yamefanyika;
- Ziara za ufuatiliaji wa utekelezaji wa Mkakati wa Taifa Dhidi ya Rushwa zimefanyika katika Mikoa ya Shinyanga, Simiyu, Mara, Dar es salaam, Pwani na Singida. Aidha, ziara za ufuatiliaji wa Utekelezaji wa maboresho zimefanyika katika Mikoa ya Dar es salaam, Pwani, Arusha, Manyara, Singida, Tabora na
Katavi;
- Rufaa 222 za Watumishi wa Umma, Mamlaka ya Nidhamu na Waajiri zilichambuliwa na kutolewa uamuzi na Rais na Katibu Mkuu Kiongozi ambapo wahusika walijulishwa. Aidha, malalamiko 587 ya Watumishi wa Umma na wananchi wengine yalichambuliwa na kutolewa maelekezo;
- Majibu na ushahidi umetolewa kwenye kesi za madai tatu (3) kuhusu watumishi wa Umma na wananchi wengine zilizoko Mahakama Kuu zinazopinga uamuzi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania au Katibu Mkuu Kiongozi zilitolewa kwa kushirikiana na Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali; na
- Ujenzi wa Ikulu ya Chamwino umeendelea kufanyika na umefikia asilimia 94. Aidha, ukarabati wa baadhi ya majengo katika Ikulu ya Dar es Salaam umefanyika ukihusisha pia upakaji rangi wa majengo na ukuta.
B. TAASISI YA KUZUIA NA KUPAMBANA NA RUSHWA (TAKUKURU)
- Mheshimiwa Spika, Taasisi ya Kuzuia na
Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) imeendelea kutekeleza majukumu yake kwa kuzingatia Sheria ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Sura ya 329. Majukumu hayo ni kuchukua hatua stahiki za kuzuia na kupambana na rushwa kwenye sekta ya umma, mashirika na sekta binafsi, ikijikita zaidi katika kuzuia vitendo vya Rushwa kwa watumishi wa umma na sekta binafsi na wananchi kwa ujumla.
- Mheshimiwa Spika, juhudi zinazochukuliwa na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inayoongozwa na Mhe. Samia Suluhu Hassan katika kukabiliana na vitendo vya rushwa nchini zimeleta mafanikio makubwa kwa kuongeza nidhamu, uadilifu na uwajibikaji katika nyanja mbalimbali zikiwemo za utumishi wa umma, biashara, uwekezaji, ukusanyaji mapato na matumizi ya madaraka na fedha za umma. Mafanikio haya yameijengea Serikali uwezo imara wa kukuza uchumi na kuongeza kasi ya utoaji huduma bora kwa umma.
- Mheshimiwa Spika, matokeo ya tafiti zilizofanywa na taasisi mbalimbali za kitaifa, kikanda na kimataifa kuhusu hatua zinazochukuliwa na Serikali katika kupambana na rushwa zimedhihirisha kuwa Tanzania inafanya vizuri katika kudhibiti vitendo vya rushwa na ufisadi nchini. Taarifa ya Transparency International ya mwaka 2021 iliyotoka Februari, 2022; kupitia Kiashiria cha Corruption Perception Index inaonesha kuwa Tanzania imeendelea kufanya vizuri kwa kupata alama 39 na kushika nafasi ya 87 kati ya nchi 180, ikiwa imepanda kwa nafasi 7 ikilinganishwa na alama 38 katika nafasi ya 94 ya mwaka 2020. Kwa mafanikio haya Tanzania imeshika nafasi ya pili kwa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki. Pia, Utafiti wa World Justice Project (WJP) unayotumia kiashiria cha
“The Rule of Law Index” unaonesha kuwa kwa mwaka 2020, Tanzania iliendelea kufanya vizuri kwa mwaka wa pili mfululizo katika kudhibiti matumizi mabaya ya madaraka kwenye mihimili ya utawala, mahakama na bunge kwa kushika nafasi ya 93 kati ya nchi 128 duniani, ikiwa ni nchi ya kwanza kwa nchi za Afrika Mashariki na nafasi ya 13 kwa nchi za kusini mwa jangwa la Sahara. Vilevile, utafiti wa taasisi binafsi ya Research on Poverty Alleviation (REPOA), uliotolewa mwezi 2022 unaonesha kuwa
Tanzania inafanya vizuri katika kulikabili tatizo la rushwa na kuwa imepungua katika kipindi cha miezi 12 iliyopita.
- Mheshimiwa Spika, Serikali imeongeza nguvu kwenye kudhibiti rushwa na ufisadi nchini kwa kuweka msisitizo kwenye eneo la uzuiaji rushwa. Katika kipindi cha mwezi Julai, 2021 hadi Machi, 2022, baadhi ya kazi zilizotekelezwa ni zifuatazo:-
(i) Kazi 370 za uchambuzi wa mifumo zilifanyika katika maeneo mbalimbali yakiwemo:
- Upatikanaji, usambazaji na udhibiti wa bidhaa za afya;
- Usimamizi wa ajira, mitihani na fedha za utafiti/ushauri katika Vyuo Vikuu vya Umma nchini;
- Usimamizi wa mitihani katika vyuo vya kati;
- Ufanisi wa mfumo wa huduma za ununuzi Serikalini; na
- Rushwa ya ngono katika ajira na upandishwaji vyeo katika sekta ya elimu.
- Usimamizi wa ajira, mitihani na fedha za utafiti/ushauri katika Vyuo Vikuu vya Umma nchini;
Kutokana na kazi hizo, hatua zimechukuliwa ikiwa ni pamoja na kushauri mamlaka husika namna ya kudhibiti mianya ya rushwa katika maeneo hayo.
- Warsha/vikao 161 vya wadau kujadili matokeo ya kazi za utafiti, ufuatiliaji wa matumizi ya fedha za umma katika miradi ya maendeleo na uchambuzi wa mifumo kwa lengo la kuweka mikakati ya kudhibiti rushwa vilifanyika. Aidha, kazi 38 za ufuatiliaji wa utekelezaji wa maazimio ya kuziba mianya ya rushwa yatokanayo na vikao vya wadau zilifanyika katika maeneo mbalimbali yakiwemo: udhibiti wa rushwa ya ngono katika Chuo Kikuu cha Dodoma na utekelezaji wa Miradi ya Ujenzi wa Vyuo vya Ufundi Stadi nchini;
- Ufuatiliaji wa utekelezaji wa Miradi ya maendeleo 597 yenye thamani ya
Shilingi trilioni 4.7 umefanyika katika sekta za Afya, Maji, Fedha, Elimu, Kilimo, Ujenzi na Viwanda kwa lengo la kuhakikisha miradi hiyo inatekelezwa kama ilivyopangwa na thamani ya fedha inapatikana. Kati ya miradi hiyo, miradi 81 yenye thamani ya Shilingi bilioni 43 ilibainika kuwa na mapungufu mbalimbali katika utekelezaji hivyo watekelezaji wake walishauriwa namna bora ya kutekeleza miradi hiyo kupitia vikao kazi na mingine inaendelea kufanyiwa
uchunguzi ili hatua stahiki zichukuliwe;
- Elimu kuhusu madhara za rushwa na juhudi za Serikali za kudhibiti Rushwa na kupata uungwaji mkono ilitolewa kwa umma kupitia njia mbalimbali zikiwemo semina 2,178, mikutano ya hadhara/mijadala 2,269, vipindi vya redio na televisheni 278, maonesho 236 na taarifa kwa umma 56 kupitia vyombo vya habari. Aidha, habari/makala 394 ziliandaliwa kwa ajili ya wavuti na jarida la TAKUKURU;
- Elimu kuhusu rushwa ilitolewa kwa vijana walio shuleni na vyuoni ambapo Klabu za wapinga rushwa 4,371 zilifikiwa ili kujenga kizazi cha vijana wenye maadili na wanaochukia rushwa. Aidha, Skauti wamejengewa mazingira ya kushirikishwa kwenye mapambano dhidi ya rushwa ambapo Mwongozo wa Wawezeshaji wa Kufundisha Vijana wa Skauti Kuzuia na Kupambana na Rushwa umezinduliwa na kusambazwa nchini kote kwa lengo la kuwajengea uwezo wawezeshaji wa Skauti namna ya kutoa elimu kwa vijana wa Skauti kuhusu namna ya kuzuia na kupambana na rushwa;
- Uelimishaji Umma umefanyika kupitia mitandao ya kijamii kwa kutoa matangazo 2,415 dhidi ya rushwa yaliyoandaliwa na kusambazwa kwenye mitandao ya Twitter, Facebook na Instagram. Aidha, TAKUKURU Online TV imerusha jumla ya habari 32 na kufanikiwa kuwafikia wananchi wengi kwa gharama nafuu;
- Kesi 865 za tuhuma dhidi ya rushwa na ufisadi ziliendeshwa mahakamani zikiwemo kesi mpya 305. Aidha, kesi 338 ziliamuliwa mahakamani ambapo kesi 191 watuhumiwa walipatikana na hatia na kuhukumiwa kifungo au kulipa faini na kesi 147 watuhumiwa wake hawakupatikana na hatia na kuachiwa huru. Kesi 527 bado zinaendelea mahakamani KIAMBATANISHO NA. 1
Uk. 137;
- Shilingi bilioni 1.42 zimeokolewa kutokana na operesheni mbalimbali za uchunguzi uliofanyika kote nchini. Aidha, Taasisi kwa kushirikiana na mamlaka nyingine imewezesha kutaifisha na kurejesha Serikalini fedha na mali zenye thamani ya Shilingi bilioni 6.3 na dola za kimarekani 1,468,364 ambazo zinahusisha fedha, nyumba tano (5), viwanja sita (6) na magari saba (7);
- Mapitio ya Sheria ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Namba 11 ya mwaka 2007 yamefanyika katika ngazi mbalimbali za maamuzi na kuainisha mapungufu ya kisera yanashughulikiwa na Ofisi ya Rais kama msimamizi wa Sera na mengine yanafanyiwa kazi na Mwanasheria Mkuu wa Serikali. Sheria inahuishwa ili iendane na hali ya sasa ya kiuchumi na kijamii pamoja na dhamira ya Serikali ya kudhibiti rushwa nchini;
- Mfumo wa TEHAMA wa ndani ya TAKUKURU umeimarishwa kwa kuunganisha Ofisi mpya za makao makuu zilizopo eneo la Nanenane na
Area D katika jiji la Dodoma kwenye mtandao wa Taasisi. Aidha njia za mawasiliano katika mikoa 28 na wilaya 13 zimeboreshwa kwa lengo la kurahisisha mtiririko mzuri wa majalada, upatikanaji wa takwimu na mawasiliano kutoka ngazi za Wilaya, Mikoa na Makao Makuu. Vile vile, mfumo wa masijala wa kielektroniki wa Ofisi (e-Office) ambao unaboresha utendaji kazi ndani ya Taasisi umewekwa na kuanza kutumika;
- Watumishi wa TAKUKURU 406 wamepatiwa mafunzo ya kuwajengea uwezo ili kuongeza weledi wa kutekeleza majukumu kwa ufanisi;
- Kazi ya ujenzi wa Ofisi ya TAKUKURU Makao Makuu Dodoma umefikia asilimia 38 mbapo kazi inayoendelea ni ufungaji wa maboksi ya mbao (form work) kwa ajili ya kumwaga zege ghorofa ya kwanza;
- Taratibu za kuwapata wakandarasi kwa ajili ya ujenzi na ukarabati wa majengo ya Ofisi za TAKUKURU Mkoa wa Kilimanjaro, Morogoro na Iringa na Wilaya za Mvomero, Kilolo, Kongwa, Liwale na Kiteto zimekamilika; na
- Taratibu za kuwapata wakandarasi kwa ajili ya ujenzi wa ukuta katika Ofisi za
TAKUKURU Wilaya ya Chamwino, Ruangwa na ujenzi wa karakana ya magari, Dodoma zimekamilika.
C. TAASISI YA UONGOZI
24. Mheshimiwa Spika, Taasisi ya UONGOZI imeendelea kuwa Kituo cha utaalam wa hali ya juu cha kuendeleza Viongozi Barani Afrika kwa kuanzia na Tanzania, Ukanda wa Afrika Mashariki na hatimaye Afrika kwa ujumla. Walengwa ni Viongozi Waandamizi waliopo na wanaojitokeza wakiwemo wanasiasa, watumishi wa Serikali na Mahakama. Katika kipindi cha mwezi Julai, 2021 hadi Machi, 2022 kazi zifuatazo zilitekelezwa:-
- Kozi 46 za muda mfupi zimetolewa kwa viongozi 2,759 wakiwemo Mawaziri na Manaibu Waziri wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mawaziri na Makatibu Wakuu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Uongozi ya Bunge
la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Maafisa Waandamizi na Makamanda wa
Mikoa wa Jeshi la Polisi la Tanzania, Maafisa Maandamizi wa Mamlaka ya Kodi Tanzania. Utekelezaji huu ni zaidi ya lengo la kutoa kozi fupi 14 kwa sababu ya ongezeko la mahitaji ya mafunzo;
- Maafisa Waandamizi 43 kutoka Wizara, Taasisi na Mashirika ya Umma, Taasisi za Kiraia na Taasisi Binafsi wamepatiwa mafunzo katika ngazi ya stashahada ya uzamili. Mafunzo yalihusu moduli saba ambazo ni Ujuzi wa Fedha kwa
Watendaji, Uongozi wa Matokeo, Ubunifu, Maendeleo Endelevu, Usimamizi wa Rasilimali watu wa Kimkakati, Mawasiliano ya Kimkakati na Maadili. Moduli hizi zilitolewa kama ilivyopangwa. Mafunzo hayo ni ya awamu ya tano ya Programu ya Stashahada ya Uzamili inayoendeshwa kwa kushirikiana na Chuo Kikuu cha Aalto cha nchini Finland;
- Maafisa Waandamizi 85 kutoka Wizara, Taasisi na Mashirika ya Umma, Taasisi za Kiraia na Taasisi Binafsi wamepatiwa mafunzo katika ngazi ya cheti ikiwa ni utekelezaji wa Awamu ya Pili ya Programu ya Uongozi ngazi ya Cheti inayotolewa kwa kushirikiana na Chuo Kikuu cha Aalto cha nchini Finland;
- Mikutano mitatu (3) ya kitaifa iliyohusu masuala ya uongozi na maendeleo endelevu iliandaliwa kama ilivyopangwa. Mikutano hiyo ilihudhuriwa na viongozi 1,157 wakiwemo Viongozi wa Umma,
Vyuo Vikuu, Taasisi za Utafiti, Taasisi za Kiraia, Taasisi Binafsi, viongozi wastaafu, wanazuoni na wanafunzi wa vyuo vikuu;
- Utafiti tumizi ulifanyika katika maeneo matatu kati ya manne yaliyopangwa kufanyika kwa mwaka. Utafiti huu
ulihusu:-
- Tathmini ya utekelezaji wa dhana ya ushiriki wa watanzania kwenye miradi ya kimkakati na matokeo yake nchini Tanzania;
- Tathmini ya utekelezaji wa sheria kuu mbili za kimkakati ambazo ni Sheria ya Mamlaka ya Nchi Kuhusiana na Umiliki wa Maliasili ya Mwaka 2017;
na Sheria ya Mapitio na Majadiliano Kuhusu Masharti Hasi katika
Mikataba Inayohusu Maliasili ya Mwaka 2017;
- Tathmini ya athari za kimazingira na za kijamii zinazotokana na ujenzi wa Reli ya Kisasa kipande cha tano kutokea Mwanza mpaka Isaka.
- Vipindi vinne (4) vya mahojiano na viongozi waandamizi na wataalam vilindaliwa kama ilivyopangwa. Mahojiano hayo yanahusu masuala ya Uchumi wa kijani Barani Afrika, Ujumuisho katika masuala ya Fedha Barani Afrika, Uchumi wa Buluu na Nishati Mbadala. Vipindi hivi vilirushwa kwenye runinga na kuwekwa kwenye tovuti ya Taasisi ya UONGOZI na mitandao ya kijamii kwa lengo la kubadilishana taarifa, maarifa na uzoefu. Vipindi hivi vinaonekana Bara zima la
Afrika;
- Ushauri wa kitaalamu ulitolewa kwa TASAF katika kupitia Mpango Mkakati wa Pili. Aidha, Taasisi kwa kushirikiana
na Ofisi ya Waziri Mkuu imeratibu na kushiriki kuandaa Mwongozo wa
Kutengeneza Sera Nchini;
- Kutumia vyombo vya habari na mitandao ya kijamii kushirikisha umma katika kujadili masuala ya Uongozi na Maendeleo endelevu; na
- Machapisho saba juu ya masuala ya Uongozi na Maendeleo Endelevu yameandaliwa na kutolewa.
D. MPANGO WA KURASIMISHA RASILIMALI
NA BIASHARA ZA WANYONGE TANZANIA (MKURABITA)
25. Mheshimiwa Spika, Mpango wa Kurasimisha Rasilimali na Biashara za Wanyonge Tanzania (MKURABITA) umeendelea kutekeleza jukumu la kuandaa na kusimamia mfumo wa kitaifa wa umiliki wa rasilimali na uendeshaji wa Biashara nchini unaotambulika na kukubalika kisheria. Katika kipindi cha Julai, 2021 hadi Machi, 2022, MKURABITA imetekeleza kazi zifuatazo:-
- Vituo Jumuishi vitano vya Urasimishaji na Uendelezaji Biashara vimeanzishwa katika Mamlaka za Serikali za Mitaa za Shinyanga, Moshi, Tarime, Rungwe na Sumbawanga kwa kufanya ukarabati wa majengo katika maeneo hayo;
- Urasimishaji na uendelezaji biashara umefanyika kwa kutoa mafunzo ya Urasimishaji wa Biashara kwa wafanyabiashara 2,042 katika Manispaa za Shinyanga (1095) na Moshi (947). Aidha, Wafanyabiashara 1,210 wamesajili biashara zao na kuanza kufanya biashara katika Mfumo rasmi, Wafanyabiashara 470 wamefungua akaunti za benki na Wafanyabiashara 255 wamejiunga na Mifuko ya Hifadhi ya Jamii;
- Ujenzi wa Masjala 12 za Ardhi za Vijiji umekamilika katika Mamlaka saba za Serikali za Mitaa ambazo ni Masasi (2), Newala (2), Chamwino (1), Moshi (2),
Meru (2), Mbarali (1), Itigi (1) na Nachingwea (1). Ujenzi wa Masjala 10 za Ardhi za Vijiji umefikia katika hatua za umaliziaji katika Mamlaka za Serikali za Mitaa za Kibiti (1), Mvomero
(1), Nachingwea (1), Sumbawanga (1),
Makete (2), Kalambo (1) na Mwanga (3)
- Urasimishaji wa Waendesha Bodaboda umefanyika kwa kutoa mafunzo kwa Waendesha Bodaboda 3,993 katika Halmashauri tatu za Jiji la Dodoma (2,639), Manispaa za Shinyanga (605) na Moshi (749). Kati ya hao waliopata mafunzo, Waendesha Bodaboda 2,720 wamepata leseni za usafirishaji na udereva ambapo Jiji la Dodoma ni 1,650, Manispaa za Shinyanga ni 350 na Moshi ni 720. Aidha, jumla ya mikopo ya Shilingi 841 imetolewa kwa Waendesha Bodaboda 909 ambapo shillingi Milioni 554 zimetolewa na Halmashauri zao kutoka fungu la asilimia 10 kwa Vijana na Shilingi milioni 287 zimekopeshwa na Benki za CRDB na NMB;
- Hatua za awali za uanzishwaji wa vituo jumuishi viwili vya urasimishaji wa biashara katika Wilaya ya Kusini – Unguja na Chakechake – Pemba zimefanyika ili kupata maeneo kwa ajili ya uanzishwaji wa vituo husika. Aidha, jumla ya wafanyabiashara 50 wamepata mafunzo na kusajili biashara zao;
- Mafunzo kuhusu fursa na matumizi ya kiuchumi ya Hati za Haki Milki za Kimila yametolewa kwa wakulima 2,400 wa mashamba yaliyorasimishwa katika Halmashauri za Wilaya za Mufindi (395), Kilolo (220), Sikonge (507), Butiama (210), Moshi (706), Rufiji (147) na Kibiti (215). Aidha, mafunzo kwa wakulima 58 wa jamii ya kifugaji yametolewa na mizinga 30 ya nyuki imetolewa;
- Urasimishaji wa ardhi mijini umefanyika kwa kuandaa Hati miliki 3,083 katika Mamlaka 4 za Serikali za Mitaa za Chamwimo, Babati, Tunduma, na
Makete. Aidha, jumla ya Hati Miliki 1,152 katika Halmashauri za Chamwimo (328), Babati (120), Tunduma (338) na Makete (366) ziko tayari kutolewa kwa wananchi;
- Ufuatiliaji na Tathmini ya shughuli za urasimishaji ardhi umefanyika Tanzania Bara katika Halmashauri za Jiji la Arusha, Wilaya za Makete, Momba, Kiteto, Meru na Halmashauri za Mji mdogo wa Tandala na Tunduma, wilaya ya Uyui na manispaa yaTabora kwa lengo la kubaini matokeo na vikwazo vya uendelevu wa urasimishaji ardhi na biashara kwenye Halmashauri hizo. Aidha, kwa upande wa Zanzibar, ufuatiliaji na tathmini umefanyika katika
Wilaya sita za Wete, Mkoani, Chakechake, Mjini, Magharibi A na Magharibi B kwa nia ya kubaini upatikanaji wa mikopo kwa kutumia fursa za urasimishaji wa ardhi na biashara; na
- Vipindi 14 vya redio na runinga kuhusu utekelezaji wa shughuli za urasimishaji vimezalishwa na kurushwa hewani kupitia TBC Taifa na TBC1. Aidha, baadhi ya taarifa na maudhui ya vipindi vilivyozalishwa yameendelea kutolewa kwa njia ya runinga kupitia baadhi ya vipindi vya taarifa za habari ikiwemo ARIDHIO na vipindi vya Harakati.
E. MFUKO WA MAENDELEO YA JAMII
(TASAF)
26. Mheshimiwa Spika, Mfuko wa Maendeleo ya
Jamii umeendelea kutekeleza Awamu ya Tatu ya TASAF kwa kuyapa kipaumbele maeneo ya Ukuzaji wa uchumi na kupunguza umaskini wa kipato; Kuinua ubora wa maisha na ustawi wa jamii; na Utawala bora na uwajibikaji. Katika kipindi cha Julai, 2021 hadi Machi, 2022, Mfuko wa Maendeleo Jamii (TASAF) umetekeleza kazi zifuatazo:-
- Uhakiki wa awali wa Kaya umefanyika katika Mamlaka 186 za utekelezaji. Jumla ya Kaya 886,724 zilihakikiwa ambapo kaya 781,342 zimekidhi vigezo vya uhakiki wa awali wa kuendelea kuwepo katika Kipindi cha Pili cha Mpango na kaya 105,382 zimeboreka kiuchumi ambapo zimepewa muda wa kujiandaa ili kutoka kwenye mpango na kujitegemea kiuchumi;
- Utambuzi na uandikishaji wa kaya maskini kwa Vijiji/Mitaa/Shehia ambazo hazikufikiwa na Mpango wa Kipindi cha Kwanza umefanyika na umekamilika katika Mamlaka zote 186 ambapo Mitaa/Vijiji/Shehia 7,217 vimefikiwa na jumla ya Kaya 602,672 zimetambuliwa. Kati ya hizo, Kaya mpya 498,091 ziliandikishwa na hivyo kufanya Mpango kuwa na Kaya za Walengwa 1,279,325;
- Ruzuku ya Shilingi bilioni 213 ilihawilishwa kwa kaya 1,279,325 zilizokidhi vigezo vya kuingia katika Kipindi cha Pili cha Mpango kutoka maeneo yote ya utekelezaji 184 kwa Tanzania Bara na Pemba na Unguja kwa Zanzibar. Maelezo ya mgawanyo wa Ruzuku hiyo yapo katika KIAMBATANISHO NA. 2 Uk. 138 – 148;
- Miradi 2,674 ya Kutoa Ajira za Muda kutoka katika mamlaka za utekelezaji 51 imeibuliwa na jamii. Miradi hii ipo katika hatua mbalimbali za utekelezaji na inatoa Ajira ya Muda kwa kaya 253,117. Kufikia Machi, 2022, jumla ya Shilingi bilioni 16.14 zimeshalipwa kwa Walengwa kama Ujira. Pia mafunzo ya usimamizi wa miradi yamefanyika kwa wawezeshaji 1,399 kutoka mamlaka 51 za utekelezaji zinazotekeleza miradi kwa mwaka 2021/2022. Mgawanyo wa Miradi hiyo imeoneshwa katika KIAMBATANISHO
NA. 2 Uk. 138 – 148;
- Miradi 550 imeandaliwa na kutekelezwa ambapo miradi mitatu (3) kati ya hiyo yenye thamani ya Shilingi 321.21 milioni imekamilika wakati mingine 547 yenye thamani ya Shilingi bilioni 16.0 ipo katika hatua mbalimbali za utekelezaji. Miradi hiyo itawezesha upatikanaji wa huduma za elimu, afya, maji, mazingira, barabara za vijijini na miradi ya ujasiriamali kwa wananchi wanaoishi maeneo husika. Aidha, jumla ya wataalam 120 kutoka mamlaka 44 za utekelezaji wamepatiwa mafunzo ya uwezeshaji na usimamizi wa miradi. Maelezo zaidi yapo katika KIAMBATANISHO NA. 2 Uk. 138 – 148;
- Jumla ya Vikundi 2,385 viliundwa vyenye wanachama 30,255 (wanawake 26,977 na wanaume 3,278), kwenye mamlaka 10 za utekelezaji. Wawezeshaji 269 walipatiwa mafunzo ya uundaji wa vikundi vya Kuweka Akiba na Kuwekeza. Mafunzo yamefanyika kwa wawezeshaji 59 wa kitaifa yanayohusu uhamasishaji na uundaji wa vikundi, uwekaji kumbukumbu za taarifa za fedha, usimamizi wa mikopo na utatuzi wa migogoro. Kiasi cha Shilingi bilioni 2.25 kama ruzuku ya vikundi imetolewa kwa walengwa 4,884 wa mamlaka za utekelezaji za Bagamoyo na
Chalinze kwa ajili ya miradi ya ujasiriamali;
- Idadi ya mamlaka za utekelezaji zilizoingizwa katika malipo ya njia ya Kielektroniki imeongezewa hadi kufikia mamlaka za utekelezaji 122. Njia hii ya malipo inawezesha fedha kutumwa moja kwa moja kwa Mlengwa kupitia mitandao ya simu, Benki kwa namba ya NIDA) na kumfikia kwa haraka na kupunguza gharama za uendeshaji. Asilimia 19 ya walengwa katika maeneo hayo wameanza kupokea fedha kwa njia ya kielektroniki na uhamasishaji unaendelea ili kuandikisha walengwa zaidi kutumia mfumo huu wa malipo;
- Mifumo ya Teknolojia, Habari na Mawasiliano (TEHAMA) ya utunzaji wa kumbukumbu za walengwa, uendeshaji na utoaji taarifa iliendelea kuboreshwa na kuimarishwa. Mfumo wa kuwasilisha na kupokea malalamiko umeendelea kutumika katika maeneo yote ya utekelezaji. Mifumo ya TASAF imeunganishwa na mifumo mingine ya kitaifa kama vile NIDA na Malipo ya Serikali Mtandao (Government Electronic Payment Gateway – GePG). Aidha, utengenezaji wa Mfumo wa Ukusanyaji wa Taarifa za Walengwa kwa kutumia vifaa vya kidijitali ‘tablets’’ ili kuondokana na matumizi ya karatasi ulikamilika na kutumika kwenye uhakiki na utambuzi wa kaya. Mfumo huu ni rahisi na unapunguza gharama za ukusanyaji na uingizaji wa takwimu;
- Tathmini ya msingi ya Kipindi cha Pili cha Mpango imefanyika katika Maeneo ya Utekelezaji 32 ambapo Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) na Ofisi ya Mtakwimu Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (OCGS) zilihusika. Aidha, tafiti mbalimbali zimefanyika na kuonesha jinsi Mpango unavyowanufaisha walengwa ambapo jumla ya Shilingi bilioni 3.5 zimetumika kwa kazi hizo; na
- Mapitio ya pamoja ya Timu ya Serikali na Wadau wa Maendeleo kuhusu utekelezaji wa shughuli za Mpango yamefanyika katika vipindi vitano vya Julai, 2021 mpaka Februari, 2022. Taarifa zote za mapitio zimeonesha utekelezaji wa Mpango unaendelea vizuri na unawasaidia walengwa kuondokana na umaskini na kuwajengea uwezo wa kiuchumi na kuwaendeleza watoto katika afya na elimu bora. Wadau wa Maendeleo wameahidi kuendelea kushirikiana katika utekeleza wa mpango. Aidha, wadau hao wameahidi kushirikiana na Serikali katika kuongeza muda wa utekelezaji kwa miaka miwili ili kufidia muda uliopotea kutokana na kuchelewa kuanza kwa utekelezaji.
F. WAKALA YA NDEGE ZA SERIKALI
- Mheshimiwa Spika, Wakala ya Ndege za Serikali ina jukumu la kutoa huduma ya usafiri wa anga kwa Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Viongozi wengine Wakuu wa Kitaifa. Wakala ilianzishwa ili kuboresha huduma na kuimarisha usalama wa usafiri wa ndege kwa viongozi wanaotumia huduma hizo.
- Mheshimiwa Spika, katika kipindi cha Julai, 2021 hadi Machi, 2022, Wakala wa Ndege za
Serikali ilitekeleza kazi zifuatazo:
- Ukarabati na upanuzi wa karakana ya Ndege za Serikali awamu ya kwanza katika Uwanja wa Ndege Julius Nyerere umefikia asilimia 60 na kazi itakamilika ndani ya mwaka huu wa fedha
- Huduma za usafiri wa anga zimetolewa kwa Viongozi Wakuu wa Kitaifa;
- Gharama za bima za ndege pamoja na bima za Wanaanga zililipwa;
- Wakala imeendelea kuratibu ununuzi wa ndege na kusimamia mikataba ya ukodishwaji wa Ndege za Serikali kwa Kampuni ya Ndege ya Tanzania (ATCL);
- Matengenezo makubwa ya Ndege mbili aina ya Gulfstream 550 na Fokker 50 zinazowahudumia Viongozi Wakuu wa Kitaifa yamefanyika kwa mujibu ya kalenda ya matengenezo iliyotolewa na watengenezaji; na
- Mafunzo ya kisheria kwa wanaanga 31 yamefanyika ili kuhuisha leseni zao.
OFISI YA RAIS, SEKRETARIETI YA MAADILI YA VIONGOZI WA UMMA
- Mheshimiwa Spika, katika mwaka 2021/22, Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma ilitengewa Shilingi 9,216,921,000.00. Kati ya fedha hizo Shilingi 7,366,921,000.00 ni kwa ajili ya Matumizi ya Kawaida na Shilingi 1,850,000,000.00 kwa ajili ya Miradi ya Maendeleo. Hadi kufikia mwezi Machi, 2022 kiasi cha Shilingi 5,273,418,955.38 kimepokelewa na kutumika. Kati ya fedha hizi, Shilingi 5,198,908,955.38 ni kwa ajili yaMatumizi ya Kawaida na Shilingi 74,510,000.00 ni kwa ajili ya Miradi ya Maendeleo.
- Mheshimiwa Spika, katika kipindi cha Julai, 2021 hadi Machi, 2022, Sekretarieti ya Maadili ya
Viongozi wa Umma ilitekeleza shughuli zifuatazo:- (i) Matamko ya viongozi wa Umma kuhusu rasilimali na madeni yapatayo 14,020 kati ya 15,522 yamepokelewa ikiwa ni sawa na asimilia 90.3 ya matarajio hadi kufikia Desemba, 2021;
- Malalamiko 115 ya ukiukwaji wa maadili dhidi ya Viongozi wa Umma yalipokelewa na kuchambuliwa. Kati ya malalamiko hayo, malalamiko 66 yalihusu Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma na malalamiko 49 hayakuhusu Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma hivyo
yalipelekwa kwa taasisi husika;
- Uhakiki wa matamko ya rasilimali na madeni kwa Viongozi wa Umma na mgongano wa masilahi umefanyika kwa viongozi 425. Kati yao, viongozi wanaume ni 302 na wanawake ni 123. Kati ya viongozi waliohakikiwa asilimia 11 ya viongozi walibainika kuwa na dosari katika matamko. Aidha, viongozi asilimia moja watafanyiwa uchunguzi wa kina na viongozi ambao tuhuma zitathibitika watafikishwa kwenye Baraza la Maadili;
- Elimu kwa Viongozi wa Umma 3,180, Watumishi wa Umma 5,629 na Wananchi 1,386 kuhusu jinsi ya kujiepusha na mgongano wa masilahi na kuishi kwa
kuzingatia kiapo cha Ahadi ya Uadilifu;
- Klabu 143 za Maadili zenye wanachama 4,000 zilianzishwa katika shule za msingi na sekondari. Klabu 33 zilitembelewa kwa lengo la kukuza na kuendeleza maadili miongoni mwa wanafunzi na wanachama wa klabu. Lengo la klabu hizi ni kukuza na kuendeleza vijana katika kuzingatia maadili na kujiandaa kuwa Viongozi wa kesho;
- Mapitio ya Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma ya mwaka 1995 yamefanyika katika ngazi mbalimbali za maamuzi na yanafanyiwa kazi na Mwanasheria Mkuu wa Serikali; na
- Ujenzi wa jengo la Ofisi ya Makao Makuu na Kanda ya Kati Dodoma la Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma umefikia hatua ya ghorofa ya tano ambayo ni sawa na asilimia 55.
OFISI YA RAIS, MENEJIMENTI YA UTUMISHI WA UMMA NA UTAWALA BORA NA TAASISI ZAKE
A. MENEJIMENTI YA UTUMISHI WA UMMA NA UTAWALA BORA
- Mheshimiwa Spika, katika Mwaka wa Fedha wa 2021/2022, Fungu 32 Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma: inayojumuisha taasisi zilizo chini yake iliidhinishiwa jumla ya Shilingi 45,869,114,000 kwa ajili ya Matumizi ya Kawaida na Miradi ya Maendeleo. Kati ya fedha hizi, Shilingi
38,219,114,000 ni kwa ajili ya Matumizi ya Kawaida na Shilingi 7,650,000,000 kwa ajili yaMiradi ya Maendeleo.
- Mheshimiwa Spika, hadi kufikia mwezi Machi, 2022 kiasi cha Shilingi 33,727,642,021.89 kimepokelewa na kutumika. Kati ya fedha hizo Shilingi 30,664,972,854.79 zilikuwa kwa ajili ya
Matumizi ya Kawaida na Shilingi 3,062,669,167.10 kwa ajili ya Miradi ya Maendeleo.
- Mheshimiwa Spika, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma pamoja na Taasisi zake imeendelea kutoa huduma kwa kuzingatia misingi ya utawala bora. Aidha, watumishi wa Umma wanawajibika na kutekeleza majukumu yao ya msingi kwa bidii, uadilifu, weledi na maarifa na kwa kuzingatia Sera, Sheria, Kanuni, Miongozo na Taratibu.
- Mheshimiwa Spika, katika kipindi cha kuanzia Julai, 2021 hadi Machi, 2022 Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma pamoja na Taasisi zake ilitekeleza shughuli zifuatazo:-
- Ujenzi wa Mfumo mpya wa Usimamizi wa Utendaji Kazi kwa Watumishi wa Umma (PEPMIS) umeanzishwa ili kuondokana na changamoto za usimamizi wa utendaji kazi zilizojitokeza katika utekelezaji wa mfumo wa awali wa OPRAS, ambao haukuakisi hali halisi ya utendaji kazi wa watumishi hali iliyoleta hisia za kupendeleana au kuoneana na kutokutumika kwa matokeo ya utendaji kazi katika kufanya maamuzi ya kiutumishi.
Mfumo mpya wa PEPMIS utakuwa ni wa kielektroniki na utaondokana na matumizi ya makaratasi. Pia utaongeza uwazi katika usimamizi wa watumishi na kuondoa upendeleo na uonevu katika upimaji wa utendaji wa watumishi. Utaweka mifumo ya ufuatiliaji wa utendaji kazi wa watumishi kwa kuzingatia malengo yaliyowekwa na yanayopimika. Mifumo huu pia utahamasisha uwajibikaji wa hiari na kurahisisha upatikanaji wa taarifa za utendaji kazi wa watumishi;
- Ujenzi wa Mfumo mpya wa Usimamizi wa Utendaji kazi katika ngazi ya Taasisi (PIPMIS) umeanzishwa. Mfumo huu ni makubaliano ya kimaandishi kati ya Serikali na Taasisi ya Umma kuhusu malengo ambayo Taasisi husika itayatekeleza katika kipindi cha mwaka mmoja. Makubaliano hayo yatakuwa kati ya viongozi wakuu wa Taasisi na Viongozi wao wanaowasimamia katika masuala ya kisera na utendaji wa kila siku. Malengo yaliyomo ndani ya mikataba yatakuwa na vigezo, shabaha na viashiria vitakavyotumika katika utendaji wa taasisi kila mwaka. Utekelezaji wa Mfumo wa PIPMIS utaongeza uwajibikaji katika utekelezaji wa sera, mikakati na vipaumbele vya taasisi, sekta na taifa kwa ujumla; kuimarisha utamaduni unaojali matokeo; na kuleta matumizi bora ya rasilimali za umma. Manufaa haya yatatokana na kuwepo kwa vigezo na viashiria vya kupima utendaji wa taasisi katika maeneo hayo, kulinganisha na kushindanisha utendaji wa taasisi na kutoa Tuzo za utendaji mzuri kila mwaka;
- Maelekezo ya Rais kuhusiana na utendaji wenye matokeo katika sekta ya Umma yametekelezwa kwa kuanza kuandaa Mifumo mipya miwili ambayo ni PEPMIS na PIPMIS kwa lengo la kuimarisha dhana ya utendaji unaojali matokeo; kutoa huduma bora kwa wananchi; na kuongeza uwajibikaji wa viongozi na watumishi katika Taasisi za Umma;
- Mfumo wa Tathmini ya Hali ya Rasilimaliwatu katika taasisi za umma umesanifiwa, umejengwa na kuanza kutumika mwezi Machi, 2022 katika kukusanya, kuhakiki na kuonesha mgawanyo na mtawanyiko wa watumishi ili kubainisha mahitaji ya watumishi kwenye taasisi zote za umma;
- Mafunzo ya matumizi ya Mfumo wa Taarifa za Kiutumishi na Malipo ya Mishahara (HCMIS) yamefanyika kwa Maafisa
Masuuli; Wakuu wa Idara za Utawala/Utumishi; Maafisa
Utumishi/Utawala; Wakaguzi wa Ndani na Wahasibu;
- Uhakiki wa watumishi kwenye Taasisi za Umma 150 pamoja na usafishaji na uboreshaji wa taarifa za kiutumishi na mishahara kwenye Mfumo wa HCMIS umefanyika ili kuhakikisha kunakuwa na matumizi bora ya Rasilimaliwatu katika Utumishi wa Umma;
- Usimamizi wa Mfumo mpya wa HCMIS umefanyika katika Taasisi 541 ambazo zimeanza kutumia mfumo huo na kuhakikisha huduma za mfumo zinapatikanaji wakati wote. Vile vile, watumiaji wapya 558 kutoka katika Taasisi 241 walisajiliwa kwenye mfumo;
- Maafisa TEHAMA na Maafisa wanaoshughulikia malalamiko 675 kutoka taasisi zilizo Kanda ya Kaskazini, Nyanda za Juu Kusini, Magharibi, Kati, Ziwa na Kanda ya Kusini wamepatiwa mafunzo ya utekelezaji wa mfumo wa kidijitali wa e-
Mrejesho na Sema na Waziri wa UTUMISHI;
- Uimarishaji na uboreshaji wa mifumo na miundombinu ya TEHAMA umefanyika ili kurahisisha utendaji kazi na utoaji wa huduma. Vile vile, ununuzi wa vitendea kazi na mahitaji muhimu ya TEHAMA ikiwemo mifumo, programu, kompyuta, printa, skana, simu, umefanyika ikiwa ni pamoja na kutoa mafunzo ya matumizi bora na salama ya mifumo na vifaa vya TEHAMA;
- Uhuishaji wa Mkakati wa Taifa wa Serikali
Mtandao wa Mwaka 2021-2026 unaendelea ambapo rasimu ya mkakati imekamilika na hatua za mwisho za uidhinishaji zinafuatiliwa. Vile vile, rasimu ya kwanza ya Mkakati wa Serikali wa Kujilinda na Majanga ya Kimtandao ya Mwaka 2017 imeandaliwa na kukamilika. Ukusanyaji wa maoni kutoka kwa wadau ili kuboresha Mkakati huu unaendelea;
- Uratibu wa uanzishwaji wa Vituo 3 vya Huduma Pamoja (One Stop Centres) umefanyika ambapo Vituo 2 vya Huduma Pamoja vimeanzishwa katika Ofisi za Shirika la Posta Dar es Salaam na Dodoma. Vile vile, Mwongozo wa kusimamia utekelezaji wa Mradi wa Huduma Pamoja umeandaliwa na kuanza kutumika mwezi Desemba, 2021. Mwongozo huo umeainisha majukumu ya wadau muhimu katika mradi huo;
- Uratibu wa uanzishwaji wa Mradi wa Tanzania ya Kidijitali umefanyika ambapo nyaraka zote za Mradi zimekamilika na mradi umeanza kutekelezwa mwezi
Septemba, 2021. Utekelezaji wa maeneo ya mradi yanayohusu masuala ya Serikali Mtandao unaendelea kuratibiwa;
- Watumishi 190,781 wenye sifa stahiki wamepandishwa vyeo/madaraja;
- Madeni ya mishahara ya Watumishi wa Umma 65,394 yenye thamani ya Shilingi 91,087,826,006.34 yamelipwa;
(xv) Watumishi wa Umma 19,386 wamebadilishwa kada; (xvi) Vibali vya ajira mpya na mbadala kwa nafasi 12,336 vimetolewa;
- Taasisi za Umma 42 zimewezeshwa kuandaa Mipango ya Rasilimaliwatu, Taasisi 44 zimewezeshwa kuandaa Mipango ya Urithishanaji Madaraka na Taasisi 8 zimewezeshwa kuandaa Mipango ya Mafunzo ili kuhakikisha wanakuwepo watumishi wa umma wenye sifa stahiki na weledi katika nafasi zote kwenye utumishi wa umma;
- Miundo ya Wizara 22 na Taasisi za Umma 28 imekamilishwa na kuidhinishwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kuwasilishwa kwenye Wizara na Taasisi husika kwa ajili ya utekelezaji. Vile vile, Miundo ya Taasisi 35 imechambuliwa na imepitishwa na Kamati ya Rais ya
Utekelezaji (PIC) na kuwasilishwa kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa ajili ya kupata idhini ya utekelezaji. Aidha, uchambuzi wa miundo ya Taasisi 80 umefanyika na ipo kwenye hatua ya kujadiliwa kwenye vikao vya Kamati ya Rais ya Utekelezaji (PIC) na miundo ya Wizara tatu zilizofanyiwa marekebisho inafanyiwa mapitio ili kukidhi mabadiliko ya hati idhini; (xix) Mapitio ya Sheria na Miongozo ya Kiutumishi yamefanyika kwa lengo la kuboresha utendaji kazi pamoja na kutoa miongozo ya kuimarisha Menejimenti ya Utumishi wa Umma. Shughuli hizo zilihusisha ukamilishaji wa marekebisho ya Kanuni za Utumishi wa Umma za mwaka 2003; Kutafsiri Kanuni za Kudumu katika Utumishi wa Umma za Mwaka 2009 kutoka lugha ya Kiingereza kwenda lugha ya Kiswahili; Uandaaji wa Waraka wa Mkuu wa Utumishi wa Umma Na. 2 kuhusu Utaratibu wa Matumizi, aina na Stahili za Magari kwa Viongozi katika Utumishi wa Umma; na Waraka wa Utumishi Na. 1 wa mwaka 2022 kuhusu Utaratibu wa Watendaji Wakuu wa Wakala za Serikali, Taasisi na Mashirika ya Umma kuhudhuria Vikao vya Menejimenti za Wizara Mama;
- Marekebisho ya Kanuni za Kudumu Katika Utumishi wa Umma za Mwaka 2009 yamefanyika na mchakato wa tathmini ya Sera ya Menejimenti na Ajira katika Utumishi wa Umma ya Mwaka 2008
umeanzishwa;
- Masharti ya kazi ya viongozi wa umma walio katika nafasi za kisiasa yameandaliwa na kutolewa;
- Taasisi 20 za Umma zimefanyiwa ufuatiliaji wa namna ya kutekeleza miongozo ya anuai za jamii mahali pa kazi. Aidha, imeandaliwa Rasimu ya Mwongozo wa ujumuishaji wa masuala ya jinsia katika Utumishi wa Umma;
- Taarifa ya utekelezaji wa Mkataba wa Afrika wa Maadili na Misingi ya Utumishi wa Umma na Utawala (The African Charter on Values and Principles of Public Service and Administration) imeandaliwa;
- Sera za Usimamizi wa Rasilimali watu katika Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) zimepitiwa na kuhuishwa;
- Miundo ya Maendeleo ya Utumishi ya Kada mbalimbali zilizo chini ya Wizara 22 na Wakala za Serikali na Mashirika ya Umma 47 imehuishwa;
- Utawala wa Utumishi wa Umma umeendelea kufanyika kwa kuchakata mahitaji ya vibali kwa Waajiri na watumishi mbalimbali ikiwemo vibali vya uhamisho (4,405), kushikizwa (36), kuazimwa (1,490) na vibali (384) vya likizo bila malipo;
- Uwianishaji na uoanishaji wa mishahara na mipango ya motisha katika Utumishi wa Umma umeendelea kufanyika ikiwemo kuandaa Mwongozo wa Posho na Masilahi katika Utumishi wa Umma kwa lengo la kuoanisha masilahi katika utumishi wa Umma na kuhuisha Miundo ya Mishahara ya Wakala za Serikali na Mashirika ya Umma 47;
- Maombi ya vibali mbalimbali yameshughulikiwa ikiwemo vibali 959 vya uteuzi ili kujaza nafasi za uongozi, vibali 830 vya kukaimu nafasi za uongozi na vibali 665 vya ajira za mikataba, ili kuimarisha uwepo wa viongozi wenye sifa stahiki, weledi na maono ya utumishi wa umma pamoja na
kuimarisha ufanisi wa utendaji kazi;
- Taasisi za Umma 16 zimewezeshwa kuandaa Mahitaji ya Watumishi wa Umma ili kupata uwiano mzuri wa watumishi katika kutekeleza majukumu ya Taasisi husika;
- Upatikanaji wa fursa za mafunzo 216 ya muda mrefu na mfupi zinazotolewa na Wadau wa Maendeleo umeratibiwa kwa lengo la kuwaongezea watumishi wa umma ujuzi na maarifa katika utekelezaji wa majukumu. Kati ya fursa hizo, nafasi za mafunzo 67 ni za mafunzo ya muda mrefu kutoka Jamhuri ya Watu wa China, nafasi 24 kutoka Serikali ya Korea na nafasi za mafunzo 125 ni za mafunzo ya muda mfupi kutoka Serikali ya Korea, Malaysia, Thailand na China;
- Utoaji wa mafunzo elekezi kwa Viongozi 59 ambao ni Wakuu wa Mikoa na Makatibu Tawala wa mikoa ya Tanzania Bara umeratibiwa ili kuwajengea uwezo katika usimamizi na utoaji wa maamuzi ya kimkakati;
- Usimamizi wa Mikataba ya Ushirikiano wa Kimataifa na Kikanda umefanyika ili kuhakikisha kuwa watumishi wa umma wanapata fursa za ajira katika taasisi ambazo Tanzania ni mshirika. Nafasi 13 za ajira kutoka Jumuiya ya Madola, UNEP, UNWTO, ICGRL, SADC, AFDB na nafasi katika Jopo la Wataalamu wa Umoja wa Mataifa kushughulikia masuala ya Sudan zilipokelewa kutoka Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki na kutangazwa ili watanzania wenye sifa waweze kuomba;
- Uratibu na ufuatiliaji wa ajira za wageni katika Utumishi wa Umma na Miradi ya Kimkakati umefanyika ambapo vibali 391 vyenye msamaha wa ada vimetolewa kwa wataalam wa kigeni kufanya kazi katika Utumishi wa Umma na Miradi mbalimbali ya kimkakati;
- Watumishi wa Umma 1,772 kutoka Taasisi za Umma 38 wamejengewa uelewa kwa kupatiwa mafunzo kuhusu Uzingatiaji wa Maadili ya Utendaji kazi katika Utumishi wa Umma;
- Taasisi za Umma 15 zimefanyiwa ufuatiliaji wa uzingatiaji wa maadili ya Utendaji kazi katika Utumishi wa Umma. Pia, Mfumo wa Ushughulikiaji wa Malalamiko ya Wananchi katika Utumishi wa Umma umefuatiliwa;
- Kampeni za uimarishaji wa uzingatiaji wa maadili kwenye taasisi za umma na vyama vya Kitaaluma zimefanyika kupitia Kikao
kazi ambapo walishiriki 40 kutoka taasisi za Umma walihudhuria;
- Wananchi wamehabarishwa kuhusu huduma zitolewazo na Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora na namna ya upatikanaji wake ambapo taarifa 72, matukio 447 katika picha, makala fupi za mwendo (Video clips)
114, makala mbili za mwendo
(documentary) na nakala 27 za Gazeti la Serikali zenye taarifa za kiutumishi zilitolewa kwa umma kupitia magazeti, televisheni, redio, mitandao ya kijamii ya watu binafsi, mitandao ya kijamii ya ofisi na tovuti ya ofisi;
- Ujenzi wa jengo la ghorofa tano la Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora umeanza na umefikia hatua ya ghorofa ya tatu; na
- Huduma zimeendelea kutolewa kwa Viongozi Wakuu wa Kitaifa (Wastaafu 11 na wajane 7) kwa mujibu wa sheria.
B. CHUO CHA UTUMISHI WA UMMA (TPSC)
- Mheshimiwa Spika, Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania kilianzishwa ili kutoa mafunzo, ushauri, kufanya utafiti tumizi na kutoa machapisho mbalimbali katika nyanja za Uongozi, Menejimenti na Utawala. Chuo kinaendesha mafunzo ya muda mfupi kwa Watumishi wa Umma yanayolenga kuwajengea uwezo katika nyanja za utawala, usimamizi wa utendaji kazi za kila siku, menejimenti pamoja na uongozi. Mafunzo hayo hutolewa katika hatua ya awali kwa watumishi wapya wa umma, (induction) hatua ya kati kwa Maafisa Waandamizi na Maafisa Wakuu, hatua ya juu kwa Viongozi wa Umma wanaochipukia na mengine kulingana na mahitaji ya wadau wa Chuo. Mafunzo yote hayo yanalenga kuboresha utendaji kazi katika utumishi wa umma ili kuleta tija na ufanisi katika huduma zinazotolewa kwa umma. Vile vile, Chuo kinasaidia Serikali kukuza Sera za Utamaduni wa kujifunza na kusaidia utumiaji wa teknolojia miongoni mwa watendaji katika kutekeleza majukumu yao.
- Mheshimiwa Spika, Chuo kinatoa mafunzo ya muda mrefu katika ngazi za Astashahada, Stashahada na Shahada katika nyanja za Utunzaji wa Kumbukumbu, Uhazili, Menejimenti ya Rasilimaliwatu, Ununuzi na Ugavi, na Utawala wa Umma. Chuo cha Utumishi wa Umma ndicho chuo pekee hapa nchini kinachotoa shahada ya
Uhazili.
- Mheshimiwa Spika, katika kutekeleza majukumu yake Chuo kina Kampasi sita zilizoko kwenye Mikoa ya Dar es Salaam, Tabora, Mtwara, Singida, Tanga na Mbeya. Pia, Chuo kinatoa huduma za mafunzo kwa njia ya mtandao kupitia kituo cha mafunzo kwa njia ya mtandao kilichopo Dar es Salaam – TPSC Global Learning Centre (TGLC).
- Mheshimiwa Spika, katika kipindi cha Julai, 2021 hadi Machi, 2022 shughuli zifuatazo zimetekelezwa:
(i) Watumishi wa Umma 1,102 walipatiwa mafunzo ya kujiandaa kufanya Mitihani ya Utumishi wa Umma hiyo ni sawa na asilimia
157 ya Watumishi waliolengwa;
- Watumishi wa Umma 5,722 wamepatiwa mafunzo yahusuyo Uongozi na Maendeleo; pamoja na Manejimenti na Usimamizi wa Ofisi katika Taasisi za umma, sawa na asilimia 78 ya lengo la mwaka. Kati yao watumishi 4,398 walipatiwa mafunzo kwa njia ya ana kwa ana na watumishi 1,024 walipatiwa mafunzo kwa njia ya mtandao;
- Mafunzo ya Awali yalitolewa kwa Watumishi wa Umma wapatao 721 sawa na asilimia 28 ya lengo la mwaka, pia hamasa kwa waajiri ilitolewa kwa waajili kuwasisitiza kupeleka watumishi kupata mafunzo ya awali mara baada ya kuajiriwa;
- Wanafunzi 10,598 walidahiliwa katika ngazi ya Shahada ya Kwanza, Stashahada na Cheti, kwa ajili ya mafunzo ya muda mrefu katika fani za utunzaji wa kumbukumbu, uhazili, TEHAMA, utunzaji wa fedha za umma, na Menejimenti ya Rasilimaliwatu, usimamizi wa ununuzi wa umma, uongozi na utawala bora;
- Maandiko ya ushauri katika maeneo tano ya kitaalamu yameandaliwa na kuwasilishwa kwa wateja. Aidha, shauri katika maeneo matano ya kitaalam katika Menejimenti ya Utumishi wa Umma sawa na asilimia 83 ya lengo ulitolewa;
- Watumishi 40 wa Chuo cha Utumishi wa Umma wamewezeshwa kujenga uwezo katika taaluma mbalimbali, kama ifuatavyo: Shahada ya uzamivu 5, Shahada ya uzamili
6 na mafunzo ya muda mfupi watumishi 29;
- Ujenzi wa majengo katika Kampasi ya Singida awamu ya kwanza unaohusisha ujenzi wa Maabara za Kuchapa (Typing Labs) umefikia asilimia 55. Mradi huu utakamilika kufikia Juni 30, 2022. Mradi wa Tanga utaanza baada ya taratibu za umilikishaji wa eneo kukamilika. Aidha, mradi wa ujenzi wa katika Kanda ya Ziwa utaanza baada ya miradi ya Singida na Tanga kumamilika;na
- Maeneo ya ujenzi wa Kampasi za Dodoma, Tanga na kanda ya ziwa yamepatikana na taratibu za umilikishwaji wa maeneo husika zinaendelea. Aidha, ufuatiliaji wa upatikanaji wa eneo kwa ajili ya ujenzi wa Kampasi ya Mbeya unaendelea.
C. MAMLAKA YA SERIKALI MTANDAO (eGA)
- Mheshimiwa Spika, Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA), ilianzishwa kwa Sheria ya Serikali Mtandao Na. 10 ya Mwaka 2019. Mamlaka ilianzishwa ili Kuratibu, Kusimamia na Kukuza jitihada za Serikali Mtandao pamoja na kuhimiza utekelezaji wa Sera, Sheria, Kanuni, Viwango na Miongozo ya Serikali Mtandao kwa taasisi za umma. Mamlaka imerithi iliyokuwa Wakala ya Serikali Mtandao ambayo iliundwa kwa Sheria Na. 30 ya Wakala za Serikali, Sura ya 245 ya Mwaka 1997 na kuwa na jukumu la Kuratibu, Kusimamia na Kukuza Jitihada za Serikali Mtandao nchini bila kuwa na nguvu ya kisheria ya kuhimiza utekelezaji (kuwa chombo rekebu). Wakala ilitekeleza majukumu yake kwa kipindi cha miaka nane tangu kuzinduliwa kwake Mwezi Aprili, 2012 mpaka Mwezi Machi, 2020.
- Mheshimiwa Spika, katika kipindi cha kuanzia Mwezi Julai 2021, hadi Machi, 2022, Mamlaka imetekeleza majukumu yake kama ifuatavyo:
- Mfumo maalum (Government Enterprise Service Bus, GovESB) wa kuwezesha mifumo ya Serikali kusomana na kubadilishana taarifa umesanifiwa, umejengwa na taasisi 12 zimeunganishwa. Pia, mpango kazi wa kuziunganisha Taasisi zote za Serikali zenye mifumo umeandaliwa. Aidha, viwango na miongozo imeandaliwa kuwezesha ubadilishanaji wa taarifa kuwa endelevu, wenye tija na usalama wa taarifa;
- Mifumo ya kidijitali ya kurahisisha utoaji huduma kwa umma kupitia sekta mbalimbali imesanifiwa na kujengwa kwa kushirikiana na Taasisi husika, baadhi ya mifumo hiyo ni:
- Mfumo wa kusimamia vyama vya ushirika – Tume ya Ushirika: Lengo la mfumo huu ni kusimamia usajili na uendeshaji wa shughuli za vyama vya ushirika nchi nzima;
- Mfumo wa Kusimamia Shughuli za Mamlaka za Maji – Wizara ya Maji: Lengo la mfumo huu wa pamoja ni kusimamia ankara za maji za wateja, malipo na maeneo yote yanayohusu mteja wa maji. Mamlaka za maji 71 kati ya 94 zinautumia mfumo huo.
Taasisi 26 zilizobaki zitaunganishwa na mfumo huo ndani ya Mwaka wa
Fedha 2022/2023;
- Mfumo wa Kuratibu Vibali vya Kazi nje ya nchi – Wizara ya Kazi: Lengo la mfumo huu ni kuratibu vibali vya kufanya kazi nje ya nchi;
- Mfumo wa Kusimamia Huduma za Wakala wa Ununuzi – GPSA: Lengo la mfumo huu ni kusimamia shughuli za usimamizi wa mafuta ya magari ya Serikali, uondoshaji wa mizigo kupitia
GPSA na ununuzi wa magari ya Serikali. Mfumo huu umeanza kutumika kuanzia tarehe 1 Machi,
2022;
- Mfumo wa Kusimamia Stakabadhi Ghalani – Bodi ya Kusimamia
Stakabadhi Ghalani: Kuandikisha na kusimamia uendeshaji wa maghala ya mazao;
- Mfumo wa Kupokea Mrejesho kutoka kwa wananchi – Ofisi ya Rais, Utumishi. Lengo ni kuwawezesha wananchi kuwasiliana na serikali ili kuleta malalamiko, maoni, pongezi na ushauri;
- Mfumo wa Kusimamia Shughuli za Wasanii – BASATA na Bodi ya Filamu (Wizara ya Michezo): Lengo la mfumo huu ni kuwezesha wasanii kuwasilisha kazi zao na kupata vibali mbalimbali kutoka BASATA na Bodi ya Filamu; na
- Mfumo wa Kusimamia Leseni za usafirishaji – LATRA: Lengo la mfumo huu ni kusimamia shughuli za LATRA katika utoaji leseni za usafirishaji n.k.
- Tathmini za Utendaji na Usalama wa Mifumo mbalimbali ya TEHAMA kwenye Taasisi za Serikali zimefanyika, mapungufu yameainishwa na kutoa ushauri juu ya maboresho; aidha ukaguzi wa mifumo ya Serikali kama inakidhi vigezo vya viwango na miongozo imefanyika na maeneo ya kuboresha yameainishwa kwa Taasisi
husika kuyafanyia kazi;
- Mifumo Shirikishi ya TEHAMA imesimamiwa na kuboreshwa kwa lengo la kuihuisha na kuiendeleza ili kuendana na mabadiliko ya teknolojia, kuboresha usalama na kukidhi mahitaji mapya ya watumiaji, mfano: GMS, MGov, e-Office, ERMS, GePG, n.k;
- Kusimamia, kuendesha na kuendeleza miundombinu shirikishi ya TEHAMA, mfano vituo vya kutunzia mifumo, mtandao wa mawasiliano wa Serikali (Govnet), nk;
- Vituo maalum vya kuhifadhi miundombinu na mifumo ya Serikali Kimtandao vimeendelea kuboreshwa ikiwa ni pamoja na kununua vifaa vinavyohitajika ili kuwezesha Government Private Cloud (GovCloud);
- Usimamizi wa mifumo na miundombinu ya TEHAMA ya Serikali iliyohifadhiwa kwenye vituo vya Serikali vya kuhifadhi taarifa za Serikali na Taasisi za Umma, ikiwa ni pamoja na kuongeza vitendea kazi/vifaa na masafa ya Intaneti ili kuhakikisha mifumo inafanya kazi kwa usahihi, inapunguza gharama za utendaji kazi na kuboresha utoaji wa huduma kwa Umma;
- Uandaaji wa Viwango na Miongozo mbalimbali umekamilishwa ili kuiwezesha Mifumo ya TEHAMA ya kimkakati na ya kisekta kuwasiliana, pia uzingatiaji wa
Viwango na Miongozo umefuatiliwa;
- Mafunzo ya Serikali Mtandao yametolewa kwa Viongozi, Wasimamizi wa TEHAMA na watumiaji wa huduma za Serikali Mtandao kwa Taasisi za Serikali ili kuongeza umiliki (ownership), uelewa katika kutumia TEHAMA, kuongeza ufanisi wa kiutendaji na utoaji wa huduma kwa wananchi; aidha, mafunzo yametolewa kwa watumishi wa Mamlaka ili kuwaongezea uwezo;
- Ushauri wa kitaalam na msaada wa kiufundi kwenye maeneo ya TEHAMA kwa taasisi za Serikali kuhusu uendeshaji wa mifumo na miundombinu ya TEHAMA na utoaji wa huduma mbalimbali ulitolewa. Vile vile, ushauri kwenye Miradi ya TEHAMA ulitolewa ili miradi hiyo iweze kutoa matokeo yenye tija na inayozingatia viwango; na
- Utafiti na ubunifu wa matumizi ya teknolojia mpya za TEHAMA katika utoaji huduma kwa umma na utendaji wa Serikali, ambapo mifumo mipya imeweza kubuniwa, mfano, mfumo wa e-Mrejesho, e-Mikutano, nk.
D. WATUMISHI HOUSING COMPANY (WHC)
41. Mheshimiwa Spika, katika kipindi cha kuanzia Mwezi Julai 2021, hadi Machi, 2022, Watumishi Housing Company imetekeleza majukumu yake kama ifuatavyo:
- Mpango umeandaliwa wa kushirikiana na Mamlaka za Serikali za Mitaa kutatua tatizo la makazi kwa watumishi kwa maeneo ya pembezoni;
- Mfumo wa kuendesha Mfuko wa kukopesha (revolving fund) umeanza kutengenezwa na utasaidia ujenzi wa nyumba zenye gharama nafuu zitakazowanufaisha wafanyakazi wa kada zote;
- Ujenzi wa nyumba 80 katika eneo la Njedengwa jijini Dodoma umeendelezwa; na
- Upatikanaji wa kiwanja katika eneo la Mtumba karibu na Mji wa Serikali kwa ajili ya ujenzi wa nyumba 1000 za gharama nafuu umesimamiwa. Ununuzi wa viwanja namba 383, 384, 385 na 549 vyenye jumla ya mita za mraba 42,753 eneo la Chamwino – Dodoma na kiwanja namba
695 chenye ukubwa wa mita za mraba 76,774 eneo la Mtumba umefanyika. Vile vile, taarifa ya Upembuzi Yakinifu (Feasibility Study) kwa ajili ya ujenzi wa nyumba katika viwanja husika imewasilishwa Wizara ya Fedha na Mipango kwa ajili ya kupata kibali cha kukopa fedha za ujenzi.
OFISI YA RAIS, SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA UMMA
- Mheshimiwa Spika, Ofisi ya Rais,
Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma ni idara inayojitegemea iliyoanzishwa kwa mujibu wa Kifungu 29 (1) cha Sheria ya Utumishi wa Umma
Sura 298 ili kusimamia mchakato wa ajira katika Utumishi wa Umma. Katika Mwaka wa Fedha
2021/22, Fungu 67: Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma iliidhinishiwa Shilingi 3,388,771,000 kwa ajili ya matumizi ya kawaida. Hadi kufikia Machi, 2022, Shilingi 3,238,198,766.09 zilipokelewa na kutumika.
- Mheshimiwa Spika, katika kipindi cha kuanzia Julai, 2021 hadi Machi, 2022, Sekretarieti imetekeleza shughuli zifuatazo:-
- Michakato ya ajira ilisimamiwa ili kuwezesha waajiri kupata watumishi wenye sifa zinazotakiwa kwa mujibu wa miundo ya taasisi husika, ambapo saili 13 kwa niaba ya Mamlaka za Ajira mbalimbali zimesimamiwa na waliofaulu usaili walipangiwa vituo vya kazi.
- Utaalam wa masuala ya uendeshaji wa michakato ya ajira ulitolewa kwenye usaili unaoendeshwa na Taasisi
zinazotumia Sheria zilizokasimiwa;
- Mchakato wa ajira za Muungano umeboreshwa kwa kuongeza majukumu ya kawaida na idadi ya watumishi katika Ofisi ya Sekretarieti ya Ajira iliyopo Zanzibar;
- Ujenzi wa programu ya “Ajira Portal App” ambayo itawarahisishia waombaji kazi kupata taarifa za ajira na mrejesho wa michakato ya Ajira kupitia simu zao za kiganjani umekamilika na imeanza kutumika na kupunguza gharama za matangazo kwenye vyombo vya habari
na kuwafikia waombaji wengi kwa urahisi na uharaka;
- Utoaji wa elimu kwa Umma na matangazo kuhusu ajira umefanyika kupitia runinga za TBC, ITV na Azam Media, tovuti na mitandao ya kijamii. Elimu na matangazo hayo yalihusu majukumu ya Sekretarieti ya Ajira, ufafanuzi wa maswali na maoni ya wadau, uwepo wa nafasi za kazi, kuitwa kwenye usaili, kupangiwa vituo vya kazi pamoja na taarifa mbalimbali zinazohusiana na mchakato wa ajira na matumizi ya Mfumo wa maombi ya kazi;
- Vyeti 3,328 vya waombaji kazi vilifanyiwa uhakiki kwa ushirikiano na Taasisi mbalimbali ili kubaini uhalali ambapo vyeti 3,313 kati ya hivyo vilithibitishwa kuwa ni halali ikiwa ni sawa na asilimia 99.5 na vyeti 15 vilithibitishwa kuwa sio halali ambavyo ni sawa na asilimia 0.5 ya vyeti vilivyohakikiwa;
- Utafiti wa kupata mrejesho wa utekelezaji wa majukumu ya Sekretarieti ya Ajira kutoka kwa wadau wake umefanyika;
- Vitendea kazi vinavyojumuisha magari mawili kwa ajili ya usimamizi wa saili mbalimbali zinazofanywa na Sekretarieti ya Ajira vimeongezwa. Vile vile, Huduma za kiutawala na kiutumishi kwa Ofisi ya Zanzibar zilitolewa; na
- Ujenzi wa jengo la Ofisi za Makao Makuu ya Sekretarieti ya Ajira Dodoma umeanzishwa kwa kukamilisha utafiti wa udongo na michoro.
OFISI YA RAIS, TUME YA UTUMISHI WA UMMA
- Mheshimiwa Spika; Tume ni chombo rekebu chenye mamlaka na wajibu wa kuhakikisha kuwa masuala ya Rasilimaliwatu katika Utumishi wa Umma yanasimamiwa na kuendeshwa kwa kuzingatia Sera, Sheria, Kanuni, Taratibu na Miongozo mbalimbali kama inavyotolewa na Mamlaka.
- Mheshimiwa Spika; katika Mwaka wa Fedha 2021/22, Tume ya Utumishi wa Umma iliidhinishiwa kiasi cha Shilingi 6,560,233,829 kwa ajili ya Matumizi ya Kawaida. Hadi kufikia Machi, 2022 kiasi cha Shilingi 5,184,280,712.96 zilipokewa na kutumika ikiwa ni matumizi ya kawaida. Katika kipindi cha kuanzia Julai, 2021 hadi Machi, 2022, Tume imetekeleza majukumu yafuatayo:-
- Ukaguzi wa Rasilimaliwatu kwa Waajiri, Mamlaka za Ajira na Mamlaka za
Nidhamu kwenye Taasisi 110 kati ya 150 umefanyika;
- Rufaa 206 zimeshughulikiwa na kutolewa uamuzi na malalamiko 125 ya Watumishi wa Umma yalihitimishwa;
- Rufaa 90 na malalamiko nane yamechambuliwa tayari kuwasilishwa mbele ya Tume kwa uamuzi;
- Taarifa ya Hali ya Utumishi wa Umma na Utekelezaji wa Majukumu ya Tume kwa Mwaka wa Fedha 2021/22 imeandaliwa;
- Maulizo 1,022 ya watumishi wa Umma, waajiri, mamlaka za ajira na nidhamu kuhusu rufaa na malalamiko yalipokelewa kwa njia mbalimbali na kushughulikiwa;
- Mafunzo kwa watumishi 67 wa Tume kwa ajili ya kuwajengea uwezo kuhusu uchambuzi wa rufaa na malalamiko na ukaguzi wa Rasilimaliwatu yalitolewa. Vile vile, Mafunzo ya kuwajengea uwezo Waajiri, Mamlaka za Ajira na Mamlaka za Nidhamu kuhusu uzingatiaji wa Sheria,
Kanuni na Taratibu za Utumishi wa Umma yalitolewa kwa Taasisi tisa;
- Uhuishaji wa Miongozo ya Tume kuhusu uzingatiaji wa Sheria, Kanuni na Taratibu na kuisambaza kwa Wadau ulifanyika ambapo, Mwongozo kuhusu ushughulikiaji wa masuala ya Nidhamu, Rufaa na Malalamiko umehuishwa;
- Elimu kwa wadau kuhusu Sheria, Kanuni, Taratibu, na Miongozo inayosimamia Utumishi wa Umma na kuhusu majukumu ya Tume ilitolewa kupitia vyombo vya habari, mitandao ya kijamii na tovuti ambapo vipindi sita vya Televisheni vilirushwa kupitia TBC 1, Star TV, Channel 10 na AZAM TV na vipindi vitano vya Radio vilirushwa kupitia Magic Radio, TBC Taifa na 92.6 AFM ya Dodoma;
- Ukarabati wa jengo la Ofisi Dodoma baada ya kuhamia makao makuu
ulifanyika; na
- Watumishi 74 wa Tume walielimishwa kuhusu VVU/UKIMWI, Magonjwa Sugu Yasiyoambukiza mahali pa kazi na Mapambano dhidi ya Rushwa. Vile vile, huduma kwa watumishi wa Tume wanaoishi na VVU/UKIMWI na watumishi wenye mahitaji maalum zilitolewa.
OFISI YA RAIS, IDARA YA KUMBUKUMBU NA NYARAKA ZA TAIFA
- Mheshimiwa Spika; kwa mujibu wa Sheria ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa Na. 3 ya mwaka 2002, Idara ya Kumbukumbu ya Nyaraka za Taifa ina jukumu la kusimamia na kuratibu utekelezaji wa Sera, Sheria, Kanuni, Miongozo na Taratibu za utunzaji kumbukumbu na nyaraka katika Taasisi za Umma. Aidha, jukumu lingine ni kusimamia utekelezaji wa Sheria ya Kuwaenzi Waasisi wa Taifa Na. 18 ya Mwaka 2004 kwa kukusanya, kutunza na kuhifadhi kumbukumbu na vitu vya Waasisi wa Taifa letu (Mwalimu Julius Kambarage Nyerere na Sheikh Abeid Amani Karume).
- Mheshimiwa Spika; katika Mwaka wa Fedha 2021/2022, Ofisi ya Rais – Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa iliidhinishiwa jumla ya Shilingi 4,571,018,000. Kati ya fedha hizo, Shilingi 2,571,018,000 nimatumizi ya kawaida na Shilingi 2,000,000,000 kwa ajili ya Miradi ya Maendeleo. Katika kipindi cha Julai, 2021 hadi Machi, 2022. jumla ya Shilingi 2,098,975,110.97 zilipokewa na kutumika. Kati ya fedha hizo, Shilingi 1,758,975,110.97 kwa ajili ya Matumizi ya Kawaida na Shilingi 340,000,000 kwa ajili ya matumizi ya miradi ya Maendeleo.
- Mheshimiwa Spika; kwa kipindi cha kuanzia mwezi Julai, 2021 hadi Machi, 2022, Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa imetekeleza shughuli zifuatazo:-
(i) Jumla ya nyaraka 3,224 zenye umuhimu katika historia ya Nchi yetu zimekusanywa kutoka katika Mamlaka za Serikali za Mitaa 17 na Taasisi zingine za
Umma tatu. KIAMBATANISHO NA. 12
Uk. 237 – 238;
- Jumla ya majalada ya mashauri yaliyofungwa 3,192 kutoka Mahakama Kuu Kanda ya Mwanza na Kagera yamekusanywa na kuhifadhiwa katika Kituo cha Kanda ya Ziwa – Mwanza;
- Mfumo wa masijala mtandao (e-File Management System) umewekwa katika Taasisi za Umma 24 na kufikia taasisi 140 tangu mfumo huu uanzishwe. KIAMBATANISHO NA. 13 Uk. 239;
- Mfumo wa Utunzaji wa Kumbukumbu za Kiutendaji (Keyword Filing System) umewekwa katika Taasisi za Umma 27. KIAMBATANISHO NA. 14 Uk. 240;
- Ukaguzi wa hali ya utunzaji wa kumbukumbu katika Taasisi za Umma 26 umefanyika kwa lengo la kujua hali halisi ya utunzaji wake ili kubaini changamoto wanazokabiliana nazo na kuzipatia ufumbuzi. KIAMBATANISHO NA. 15 Uk. 241;
- Mafunzo ya utunzaji wa kumbukumbu yalitolewa katika Taasisi za Umma 16. KIAMBATANISHO NA. 16 Uk. 242;
- Taasisi tatu zimewezeshwa kutengeneza mwongozo wa utunzaji na uteketezaji wa kumbukumbu kwa mujibu wa
Sheria.Taasisi hizo ni Shirika wa Uwakala wa Meli (TASAC), Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi ya Elimu ya Juu (HESLB), na Chuo cha Uongozi wa Mahakama (IJA) – Lushoto;
- Ukarabati wa nyaraka zilizohifadhiwa katika Ghala Kuu la Taifa katika ofisi za Kanda ya Mashariki Dar es salaam umefanyika, ambapo nyaraka kongwe 61 zimekarabatiwa zikiwemo za uliokuwa utawala wa kikoloni wa Mwingereza (33), Government gazette (15) na
Hansard (13);
- Tathimini ya majalada ya iliyokuwa Wizara ya Ushirika na Masoko zilizohifadhiwa katika Kituo cha Taifa cha Kumbukumbu Dodoma ilifanyika ili kubaini zile zenye umuhimu ili ziendelee kuhifadhiwa katika viwango stahiki na kubaini zile ambazo umuhimu wake wa matumizi umefika ukomo kwa mujibu wa Sheria;
- Majalada 335 yamewekwa kwenye mfumo wa kielekroniki (Digital Records Management and Preservation System) ili kurahisisha upatikanaji wake na kwa lengo la kulinda nakala halisi za nyaraka hizo ili ziweze kudumu kwa muda mrefu;
- Kumbukumbu 437 za Waasisi wa Taifa (Mwl. Julius Kambarage Nyerere na Sheikh Abeid Amani Karume) zimetambuliwa, kukusanywa na
kuhifadhiwa;
- Vipindi viwili vimerushwa kupitia Televisheni ya Taifa (TBC) kuhusu majukumu mbalimbali ya Idara kwa lengo la kutoa elimu kwa umma; na
- Uwezo wa utendaji wa watumishi wa ndani umeimarishwa, ambapo watumishi wawili waliwezeshwa kuhudhuria kongamano la Bodi ya Manunuzi na Ugavi (PSTB), mtumishi mmoja anaendelea na mafunzo ya muda mrefu katika shahada ya uzamili katika Sanaa ya Uchumi katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Mtumishi mmoja alihudhuria mafunzo ya viwango vya uhasibu vya sekta ya umma vya kimataifa (IPSAS) yanayotolewa na Bodi ya Wahasibu (NBAA), wahudumu watatu walihudhuria mafunzo ya uhudumu yanayotolewa na Chuo cha NIP mkoani Morogoro na Watumishi wawili walihudhuria mafunzo ya ukutubi yanayoandaliwa na Bodi ya Wakutubi Tanzania.
MPANGO WA UTEKELEZAJI KWA MWAKA 2022/23 NA MAMBO MUHIMU YA KUZINGATIWA
49. Mheshimiwa Spika, Mpango na Bajeti kwa Mwaka wa Fedha 2022/23 umeandaliwa kwa kuzingatia, Dira ya Taifa ya Maendeleo ya 2025, Maelekezo ya Ilani ya Uchaguzi ya CCM kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2020 pamoja na Mpango wa Maendeleo wa Miaka Mitano
(2021/22 – 2025/26), unaotaka Tanzania iwe na Uchumi Shindani na Viwanda kwa Maendeleo ya Watu. Maelekezo ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa Mwaka wa Fedha 2022/23 ni nguzo muhimu ya mpango unaotarajiwa kutekelezwa. Shughuli zitakazotekelezwa na kila taasisi ni kama ifuatavyo:-
OFISI YA RAIS, IKULU NA TAASISI ZAKE A. OFISI YA RAIS – IKULU
50. Mheshimiwa Spika, katika Mwaka wa Fedha 2022/23, Ofisi ya Rais, Ikulu imepanga kutekeleza kazi zifuatazo:-
- Kutoa ushauri kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika masuala ya Siasa, Uchumi, Jamii, Sheria, Diplomasia, Mawasiliano na Habari, Uhusiano wa Kikanda, Kimataifa na ushauri mwingine kwa lengo la
kumsaidia Rais kufanya maamuzi;
- Kutoa ushauri kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuhusu ratiba
ya kila siku;
- Kutoa huduma kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na familia yake;
- Kuratibu, kuandaa na kushiriki mikutano 60 ya Sekretarieti ya Baraza la Mawaziri, mikutano 40 ya Kamati Maalum ya Makatibu Wakuu (IMTC) na mikutano 20 ya Baraza la Mawaziri;
- Kuandaa mikutano miwili ya tathmini wa mwaka kati ya Waratibu wa Shughuli za Baraza la Mawaziri wa Wizara,
Sekretarieti ya Baraza la Mawaziri na wadau wengine;
- Kutoa mafunzo kuhusu utayarishaji na uwasilishaji wa Nyaraka za Baraza la Mawaziri na uchambuzi wa sera kwa
Maofisa wa Sekretarieti ya Baraza la Mawaziri na Waratibu wa Shughuli za Baraza la Mawaziri wa Wizara;
- Kuchambua na kutoa ushauri kwa Katibu Mkuu Kiongozi katika masuala ya kiuchumi, kijamii, kisheria, kiulinzi na kiusalama, kimataifa na masuala mengine yote yanayowasilishwa;
- Kufanya mafunzo na ufuatiliaji wa utekelezaji wa Mkakati wa Taifa Dhidi ya Rushwa Awamu ya Tatu na Programu za Maboresho katika ngazi za Wizara, Mikoa na Serikali za Mitaa;
- Kuratibu utekelezaji wa Mkakati wa Taifa Dhidi ya Rushwa Awamu ya Tatu kwa kushirikisha wadau wa Sekta ya Umma na Binafsi;
- Kuandaa na Kutekeleza Mkakati mpya wa Taifa wa Mapambano Dhidi ya Rushwa;
- Kukamilisha tathmini ya utekelezaji wa Awamu ya Tatu ya Mkakati wa Taifa Dhidi ya Rushwa;
- Kupokea na kuchambua taarifa za robo mwaka za utekelezaji wa Mkakati wa Taifa Dhidi ya Rushwa na Programu nyingine za maboresho;
- Kuendelea kujenga uwezo wa Taasisi za Umma kuhusu uzingatiaji wa utawala bora katika kutoa huduma kwa umma;
- Kufanya ufuatiliaji wa utekelezaji wa Programu za maboresho katika ngazi za utekelezaji;
- Kupokea, kupitia na kuchambua rufaa na malalamiko ya watumishi wa umma na wananchi;
- Kuendesha mikutano mitatu ya Watendaji na Maafisa wa Serikali kuhusu utaratibu wa kushughulikia malalamiko na rufaa pamoja na kufuatilia utekelezaji wa maagizo mbalimbali ya Katibu Mkuu Kiongozi;
- Kufanya ziara ya ufuatiliaji wa uzingatiaji wa sheria na maelekezo yanayotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi na Mkuu wa Utumishi wa Umma yanayohusu masuala ya Usimamizi wa utawala wa Utumishi kwenye Wizara, Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa; na
- Kuratibu na kusimamia Miradi ya Maendeleo ya Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF), Mpango wa Kurasimisha Rasilimali na Biashara za Wanyonge Tanzania (MKURABITA) na Programu ya Kujenga Uwezo wa Taasisi za Serikali Kupambana na Rushwa
(BSAAT).
- Kuendelea na uboreshaji wa Ikulu ya Chamwino kwa kuanza ujenzi wa ukumbi wa mikutano (multi purpose hall) na baadhi ya ofisi; na
- Kukarabati majengo ya Ikulu Ndogo za Mwanza, Tabora, Shinyanga, Lushoto Arusha na rest house moja Zanzibar.
B. TAASISI YA KUZUIA NA KUPAMBANA NA RUSHWA (TAKUKURU)
51. Mheshimiwa Spika, katika Mwaka wa Fedha 2022/23, TAKUKURU imepanga kutekeleza kazi zifuatazo:-
- Kufanya utafiti na uchambuzi wa mifumo ya kiutendaji na utoaji huduma katika sekta za umma na binafsi ili kubaini maeneo yenye mianya ya rushwa na kushauri namna ya kuziba mianya hiyo;
- Kufanya warsha/vikao vya
kuwashirikisha wadau kuweka mikakati ya kudhibiti mianya ya rushwa na kufanya ufuatiliaji wa utekelezaji wa mikakati hiyo;
- Kufuatilia matumizi ya fedha za umma katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo ili kuhakikisha utekelezaji wake unazingatia thamani halisi ya fedha;
- Kutekeleza Mkakati wa Mawasiliano wa TAKUKURU ili kujenga uwezo na uelewa kuhusu rushwa, ufisadi na juhudi za Serikali katika kupambana na rushwa kwa makundi mbalimbali katika jamii
kwa kutumia njia mbalimbali za mawasiliano kuyashawishi makundi haya kuunga mkono na kushiriki katika mapambano dhidi ya rushwa nchini;
- Kutumia njia za mawasiliano za kimkakati kulifikia kundi la vijana ili washiriki katika shughuli zinazowajenga kimaadili na kushiriki kupambana na rushwa ili kuwa na jamii inayochukia rushwa;
- Kutumia vyombo vya habari na mitandao ya kijamii kubeba agenda ya mapambano dhidi ya rushwa ili kuushirikisha umma katika mapambano hayo;
- Kukamilisha uchunguzi wa majalada ya tuhuma za rushwa unaoendelea pamoja na tuhuma mpya zitakazojitokeza;
- Kuhuisha Sheria ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Na. 11 ya Mwaka 2007;
- Kuimarisha mfumo wa TEHAMA katika taasisi ili kurahisisha na kuwezesha mtiririko mzuri wa majalada, takwimu na mawasiliano kutoka ngazi za wilaya, mkoa na makao makuu; na
- Kutoa mafunzo ya weledi kwa watumishi ili kuongeza ufanisi. Kujenga karakana kwa ajili ya kutengeneza magari ya taasisi ili kupunguza gharama za uendeshaji zinazotumika katika kutengeneza magari hayo;
- Ujenzi wa majengo ya Ofisi za Mikoa ya Simiyu na Iringa, Ofisi za Wilaya za Momba na Nyasa pamoja na Safe house moja Dodoma;
- Ujenzi wa uzio katika Ofisi nne za
Wilaya ya Mpwapwa, Masasi,
Namtumbo na Bahi; na
- Kufanya ukarabati mkubwa wa Ofisi ya TAKUKURU Mkoa wa Dodoma, Ofisi za
Mkuu wa TAKUKURU Mkoa wa Mwanza na Ofisi ya Mkuu wa
TAKUKURU Wilaya ya Chato.
C. TAASISI YA UONGOZI
52. Mheshimiwa Spika, Taasisi ya UONGOZI itaendelea kujengea uwezo viongozi ili kuongeza tija katika utekelezaji wa kazi zao kwa kupitia mafunzo na semina katika Mwaka wa Fedha 2022/23, Taasisi ya UONGOZI imepanga
kutekeleza kazi zifuatazo:-
- Kutekeleza programu maalum ya mafunzo ya uongozi kwa Bodi za Mashirika ya Umma, Taasisi na Wakala wa Serikali kwa lengo la kuimarisha usimamizi na utendaji wa mashirika. Mafunzo haya yatatolewa kwa Bodi 40;
- Kutoa mafunzo ya Stashahada ya Uzamili ya Uongozi kwa lengo la kuwajengea uwezo Viongozi 35 katika maeneo ya kufanya maamuzi ya kimkakati, kusimamia rasilimaliwatu na rasilimali nyingine na kuimarisha sifa binafsi za kiongozi;
- Kutoa mafunzo ya Cheti ya Uongozi kwa njia ya mtandao kwa Viongozi 50;
- Kutoa mafunzo ya muda mfupi kupitia kozi 30 kwa lengo la kuwajengea uwezo Viongozi 750 katika maeneo ya Uongozi
na Maendeleo Endelevu, kutokana na mahitaji na maombi ya walengwa;
- Kutekeleza programu maalum ya mafunzo ya Uongozi kwa wanawake viongozi waandamizi na viongozi wanaochipukia 40 kwa lengo la kuwajengea uwezo wa kufanya maamuzi ya kimkakati, usimamizi wa rasilimali za Serikali na rasilimali watu. Vile vile mafunzo haya yanalengo la kukuza vipaji vya uongozi kwa viongozi wanawake wanaochipukia;
- Kuandaa mikutano sita ya kitaifa katika masuala ya uongozi na maendeleo endelevu kwa viongozi 440;
- Kufanya tafiti tumizi nne kuhusu masuala ya uongozi na maendeleo endelevu;
- Kuandaa vipindi nane vya runinga vitakavyoshirikisha viongozi waandamizi na wataalam mbalimbali ndani na nje ya nchi, juu ya Uongozi na Maendeleo Endelevu. Vipindi hivi vitarushwa kwenye runinga, tovuti na mitandao ya kijamii na kuonekana katika Bara zima la Afrika;
- Kutumia vyombo vya habari na mitandao ya kijamii kushirikisha umma katika kujadili masuala ya Uongozi na Maendeleo endelevu;
- Kutoa machapisho 16 juu ya masuala ya Uongozi na Maendeleo Endelevu ikiwepo Tawasifu ya Hayati Edward Moringe Sokoine, aliyekuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika awamu ya kwanza ya Uongozi;
- Kutoa ushauri wa kitaalam katika maeneo yanayohusu masuala ya
Uongozi na Maendeleo Endelevu; na
- Kuandaa michoro ya majengo na maandalizi ya awali ya ujenzi wa Kituo cha mafunzo katika Kijiji cha Kondo, Bagamoyo.
D. MPANGO WA KURASIMISHA RASILIMALI NA BIASHARA ZA WANYONGE TANZANIA (MKURABITA)
53. Mheshimiwa Spika, katika Mwaka wa Fedha 2022/23, MKURABITA imepanga kutekeleza kazi zifuatazo:
- Urasimishaji na Uendelezaji wa Biashara 7,000 Katika Mamlaka 7 za Serikali za Mitaa za Tanzania Bara ambazo ni Temeke, Ilemela, Sumbawanga, Korogwe, Karagwe, Bunda na Mafinga. Aidha, Urasimishaji na uendelezaji wa biashara utafanyika katika wilaya mbili za Zanzibar;
- Kurasimisha na kukamilisha uandaaji Hati miliki za ardhi na kuzitoa kwa wananchi katika Mamlaka Tano za Serikali za Mitaa za Tanzania Bara za Kondoa, Kiteto, Newala. Nachingwea, Mwanga na Moshi. Aidha, kwa upande wa Zanzibar
urasimishaji utafanyika katika Wilaya sita;
- Kujengea uwezo wananchi 3,000 waliorasimisha rasilimali na biashara kwa kuwapa mafunzo ya umuhimu wa matumizi ya Hati katika Mamlaka 6 za Serikali za Mitaa za Tanzania Bara za Kondoa, Kiteto, Newala, Nachingwea, Mwanga na Moshi;
- Kuanzisha Studio ya Matangazo ambayo itawezesha uandaaji na urushaji wa matangazo ya utekelezaji wa shughuli za MKURABITA katika Radio, Runinga na
Mitandao ya Kijamii;
- Kufanya ufutiliaji na Tathimini ya utekelezaji wa shughuli za urasimishaji ardhi na biashara katika Mamlaka 19 za Serikali za Mitaa za Tanzania Bara ambazo ni Aidha, kwa upande wa
Zanzibar, ufuatiliaji na Tathmini utafanyika katika wilaya 6;
- Kuboresha Vitendea kazi kwa ajili ya utekelezaji wa shughuli za urasimishaji na uendeshaji wa ofisi ambapo ununuzi wa
gari moja na vitendea kazi vingine
utafanyika;
- Kuwezesha mafunzo ya muda mfupi kwa watumishi wa MKURABITA ili kuongeza ujuzi na maarifa katika utendaji wa kazi;
- Kurasimisha mashamba ya wakulima wa Alizeti katika Mamlaka 3 za Serikali za
Mitaa za Iramba, Chemba na Kondoa
kwa lengo la kuongeza uzalishaji wa alizeti ili kuongeza mchango wa Alizeti katika upatikanaji wa mafuta nchini;
- Kujenga Vituo Jumuishi 5 vya Urasimishaji na uendelezaji wa biashara katika Mamlaka 5 za Serikali za Mitaa za Kigamboni, Bunda, Mpanda, Karagwe na Tunduma ambavyo vitawezesha huduma za urasimishaji kupatikana katika jengo moja; na
- Kujenga Masjala 3 za za Ardhi za Vijiji katika Mamlaka 2 za Serikali za Mitaa za Tanzania Bara ambazo ni Chemba, na Iramba. Kwa upande wa Zanzibar, itajengwa Masjala moja ya ardhi katika wilaya moja.
E. MFUKO WA MAENDELEO YA JAMII (TASAF)
54. Mheshimiwa Spika, katika Mwaka wa Fedha 2022/23, TASAF imepanga kutekeleza kazi zifuatazo:-
- Kufanya zoezi la Utambuzi wa Kaya 186,500 kwenye Mamlaka 142 za utekelezaji ambazo zimeachwa katika Vijiji/Mitaa/Shahia kwa sababu mbalimbali;
- Kufanya zoezi la kuhakiki na kutambua hali za ustawi wa maisha ya Kaya za Walengwa wa Mpango zipatazo 713,350 iwapo zimeimarika kiuchumi kwa kutumia vigezo vya umaskini na utaratibu
uliokubaliwa kitakwimu;
- Kuendelea kuhawilisha ruzuku kwa kaya maskini 1,279,325 zilizokidhi vigezo vya kuingia katika kipindi cha Pili cha Mpango;
- Kuwezesha utekelezaji wa Miradi ya Jamii ya Kutoa Ajira ya Muda kwa Kaya Maskini katika mamlaka za utekelezaji 123. Jumla ya miradi 6,900 ya Jamii na ya Kutoa Ajira za Muda itatekelezwa katika ngazi ya Vijiji/Mitaa/Shahia 6,500 na inategemewa kutoa ajira za muda kwa Walengwa
550,000;
- Kuwezesha Jamii kutekeleza miradi ya kuendeleza miundombinu ya huduma za jamii katika sekta mbalimbali. Jumla ya miradi 515 itatekelezwa katika Vijiji/Mitaa ya Mamlaka za Utekelezaji 43. Miradi ya mingi itakuwa katika sekta za afya, elimu , maji, mazingira na ujasiriamali;
- Kuwezesha uundaji wa Vikundi vya Kuweka Akiba na Kuwekeza katika mamlaka za utekelezaji 82. Jumla ya Vikundi 24,000 vya jamii vya Kuweka Akiba na Kuwekeza vyenye wanachama takribani 240,000 vinatarajiwa kuundwa katika Mamlaka 82 za Utekelezaji kwa mwaka 2022/2023. Aidha, Walengwa 50,000 kutoka mamlaka za utekelezaji 20 waliokamilisha mipango yao ya biashara inayokidhi vigezo vilivyowekwa watapatiwa Ruzuku ya Uzalishaji mali ili kutekeleza mawazo yao ya biashara zao;
- Kuongeza maeneo ya utekelezaji 39 yatakayoshiriki malipo kwa njia ya mtandao. Jumla ya mamlaka za utekelezaji 186 zinatarajiwa kukamilisha taratibu na kuingia katika malipo kwa njia ya mtandao (Benki na mitandao ya simu) kwa mwaka 2022/2023 na hivyo kukamilisha utekelezaji kwa kuziingiza Mamlaka zote za Utekelezaji nchini katika malipo ya mtandao;
- Kuimarisha Usimamizi, Ufuatiliaji na tathmini ya shughuli za Mpango pamoja na matumizi ya rasilimali ili kuongeza ufanisi na uwajibikaji katika ngazi zote za utekelezaji wa Mpango; na
- Kufanya Mapitio ya pamoja baina ya Timu ya Serikali na Wadau wa Maendeleo kuhusu utekelezaji wa shughuli za Mpango.
F. WAKALA YA NDEGE ZA SERIKALI
- Mheshimiwa Spika, katika Mwaka wa Fedha 2022/23, Wakala ya Ndege za Serikali imepanga kutekeleza kazi zifuatazo:-
- Kutoa huduma ya usafiri wa anga kwa Viongozi Wakuu wa Kitaifa;
- Kuratibu ununuzi pamoja na kusimamia mikataba ya ukodishaji wa ndege kwa Kampuni ya Ndege ya Tanzania (ATCL);
- Kulipia gharama za bima za ndege pamoja na wanaanga;
- Kugharamia uendeshaji wa Ofisi na kulipia gharama za mafuta ya ndege;
- Kufanya matengenezo makubwa ya Ndege aina ya Gulfstream 550 inayohudumia Viongozi Wakuu kwa mujibu ya kalenda ya matengenezo
inayotolewa na mtengenezaji;
- Matengenezo makubwa ya injini (Engine overhaul) ya akiba ya ndege aina ya Fokker 50;
- Ukarabati na upanuzi karakana ya Ndege za Serikali iliyopo katika Uwanja wa Ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere awamu ya pili; na
- Kutoa mafunzo ya kisheria kwa wanahewa kwa ajili ya kuhuisha leseni zao.
- Mheshimiwa Spika, ili kutekeleza Mpango wa Mwaka wa Fedha wa 2022/23, Fungu 20 Ofisi ya Rais, Ikulu inaomba kiasi cha Shilingi 29,828,203,000 kwa ajili ya Matumizi ya Kawaida. Aidha, Fungu 30: Ofisi ya Rais na Sekretarieti ya Baraza la Mawaziri inaomba kiasi cha Shilingi 741,299,267,000 kwa ajili ya Matumizi ya Kawaida na Miradi ya Maendeleo. Kati ya fedha hizi, Shilingi 577,206,673,000 niMatumizi ya Kawaida na Shilingi 164,092,594,000 kwa ajili yaMiradi ya Maendeleo.
SEKRETARIETI YA MAADILI YA VIONGOZI WA UMMA
- Mheshimiwa Spika, katika mwaka 2022/23, Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma imeweka vipaumbele vikuu viwili ambavyo ni kuongeza matumizi ya TEHAMA katika utoaji wa huduma kwa Taasisi na kwa wananchi ili kuweza kuwafikia kwa urahisi; na pili ni kuimarisha uwajibikaji wa pamoja miongoni mwa viongozi wa umma hasa katika suala la viongozi kukinzana kunakopelekea shughuli za maendeleo kutotekelezeka kwa wakati. Kada za viongozi zitakazojumuishwa katika eneo hili litajumuisha Wakuu wa Idara na Madiwani kutoka katika baadhi ya Halmashauri na kupatiwa mafunzo husika. Kupitia vipaumbele hivyo shughuli zifuatazo zimepangwa kutekelezwa:
- Kupokea Tamko la Viongozi wa Umma kuhusu Rasilimali na Madeni kwa viongozi wapatao 15,522 linalopaswa kutolewa kwa mujibu wa Sheria ya Maadili ya Viongozi wa
Umma;
- Kupokea malalamiko na taarifa za ukiukwaji wa Maadili kwa mujibu wa Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma kutoka kwa
wananchi;
- Kuchunguza tuhuma yoyote ya kuvunjwa kwa Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma dhidi ya Viongozi wa Umma;
- Kufanya uhakiki wa matamko ya Rasilimali na Madeni kwa Viongozi wa Umma 2,000;
- Kuratibu na kuwezesha utekelezaji wa majukumu ya Baraza la Maadili ya Viongozi wa Umma;
- Kuelimisha Viongozi wa Umma na Wananchi kwa ujumla kuhusu Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma na Hati ya Ahadi ya Uadilifu;
- Kuandaa Taarifa ya Mwaka ya Utekelezaji wa shughuli za Sekretarieti na kuiwasilisha kwa Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania;
- Kuanzisha na kuendeleza Klabu za Maadili katika shule na vyuo nchini; na
- Kuendelea na kukamilisha ujenzi wa Ofisi za Makao Makuu na ile ya Kanda ya Kati Jijini Dodoma pamoja na Kuanza ujenzi kwa kanda ya Nyanda za Juu Kusini na Ziwa.
- Mheshimiwa Spika, katika mwaka 2022/23, Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma imetengewa Shilingi 12,730,049,000.00. Kati ya fedha hizo Shilingi 9,260,049,000.00 ni kwa ajili ya Matumizi ya Kawaida na Shilingi 3,470,000,000.00 kwa ajili ya Matumizi ya Maendeleo.
OFISI YA RAIS, MENEJIMENTI YA UTUMISHI WA UMMA NA TAASISI ZILIZO CHINI YAKE
59. Mheshimiwa Spika, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma Fungu 32, katika Mwaka wa Fedha 2022/23 itaendelea kutekeleza majukumu yake ya msingi ya kuhakikisha kuwa Utumishi wa Umma unaendeshwa kwa kuzingatia misingi ya utawala bora na kwamba Sera, Sheria, Kanuni na Taratibu mbalimbali za Utumishi wa Umma zinazingatiwa. Aidha, Ofisi itahakikisha inasimamia Utawala wa Utumishi wa Umma, mikataba ya utendaji kazi Serikalini, Orodha ya Mishahara katika Utumishi wa Umma na Maadili ya watumishi wa Umma.
Pia, itahakikisha mipango na uendelezaji rasilimaliwatu katika Utumishi wa Umma inafanyika kwa ubora zaidi. Kwa kuzingatia pia kuwa Serikali imeingia awamu nyingine, Ofisi itaandaa na kusimamia miundo, mifumo ya utendaji kazi na uboreshaji wa utoaji huduma wa Utumishi wa Umma pamoja na kuhakikisha kunakuwa na uwajibikaji na uwazi. Ofisi pia, itasimamia utendaji kazi na uendelezaji wa rasilimaliwatu katika Ofisi ya Rais, Menejimenti ya
Utumishi wa Umma. Kwa nafasi yake kama wizara mama, Ofisi itasimamia taasisi, programu na miradi iliyo chini ya Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora.
A. MENEJIMENTI YA UTUMISHI WA UMMA
60. Mheshimiwa Spika, katika Mwaka wa Fedha 2022/23, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma imepanga kutekeleza kazi zifuatazo:
- Kukamilisha ujenzi wa Mfumo mpya wa Utendaji kazi na Upimaji kwa Watumishi wa Umma (Public Employees’ Performance Management Information System – PEPMIS) na kuzijengea uwezo taasisi za umma katika kutumia mfumo huu ili kuimarisha Usimamizi na Uwajibikaji wa Watumishi wa Umma;
- Kukamilisha marekebisho ya Mfumo wa Utendaji kazi na Upimaji wa Taasisi za Umma kupitia mikataba ya utendaji kazi (Public Institutions Performance Management Information System – PIPMIS) na kuzijengea uwezo taasisi za umma wa kutumia mfumo huu ili kuimarisha Uwajibikaji wa Viongozi wa Taasisi za Umma;
- Kusimamia utekelezaji wa mfumo mpya wa HCMIS katika taasisi 600 za Serikali kwa kutoa huduma za usaidizi za TEHAMA;
- Kuimarisha na kuboresha miundombinu ya TEHAMA kwa ajili ya kuwezesha utendaji kazi wa mifumo na watumiaji wa mifumo;
- Kusimamia, kufanya ukaguzi wa usalama na ufanisi, kuendeleza, kujenga uwezo na kufanya ufuatiliaji wa utekelezaji wa mifumo ya TEHAMA ya HCMIS, PEPMIS, PIPMIS, e-HRP, Sema na Waziri wa UTUMISHI, eMrejesho, UTUMISHI Call Centre,
Biometric Attendance, Watumishi Portal na Staff Assessment katika Taasisi zote za Umma;
- Kufanya tathmini ya utekelezaji wa sheria na miongozo ya Serikali Mtandao katika
taasisi za Serikali;
- Kuendelea na hatua za kuhuisha Mkakati wa Taifa wa Serikali Mtandao na Mkakati wa Serikali wa Kujikinga na Majanga ya Mtandao;
- Kuendelea na uratibu wa ukamilishaji wa kituo kimoja cha Huduma Jamii (One Stop Centres);
- Kuratibu utekelezaji wa mradi wa Tanzania ya Kidijitali (Digital Tanzania) eneo la Serikali Mtandao;
- Kusimamia na kuwezesha Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) kutekeleza majukumu yake
- Kuendelea kuziwezesha Taasisi za Umma kuandaa Mipango ya Rasilimaliwatu, Mipango ya Urithishanaji Madaraka na Mipango ya Mafunzo ili kujenga misingi ya utekelezaji wa usimamizi wa Rasilimaliwatu utakaohakikisha kuwa wanakuwepo watumishi wa umma wenye sifa stahiki na weledi katika nafasi zote kwenye utumishi wa umma (Meritocracy) katika muda wa kati na muda mrefu;
- Kuendelea na maandalizi ya Mwongozo wa
Kitaifa wa Kuandaa Mpango wa
Rasilimaliwatu katika Utumishi wa Umma;
- Kuratibu upatikanaji wa fursa za mafunzo zitolewazo na washirika wa maendeleo kwa ajili ya kuwajengea uwezo na ustadi watumishi wa Umma ndani na nje ya nchi;
- Kuratibu utoaji wa mafunzo kwa viongozi katika utumishi wa umma ili kuwajengea uwezo katika usimamizi na utoaji wa maamuzi ya kimkakati;
- Kusimamia Mikataba ya Ushirikiano wa Kimataifa na Kikanda ili kuhakikisha kuwa watumishi wa umma wanapata fursa za ajira katika taasisi ambazo Tanzania ni mshirika;
- Kuratibu na kufuatilia ajira za wageni katika utumishi wa umma na miradi ya kimkakati ili kuhakikisha pia kuwa wazalendo wanapata fursa ya kujifunza kama waambata kwa wataalamu hao wa kigeni;
- Kusimamia na kuwezesha Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania kutekeleza majukumu yake;
- Kutoa mafunzo kwa watumiaji wa Mfumo wa Utumishi/Watumishi Mtandao;
- Kusimamia zoezi la Tathmini ya hali ya Rasilimaliwatu katika Utumishi wa Umma kwa kutumia mfumo uliojengwa kwa ajili ya kukusanya, kuchakata na kuainisha mahitaji halisi ya watumishi kwenye Taasisi za Umma;
- Kuendelea kutoa mafunzo ya namna ya kutumia Mfumo mpya wa HCMIS kwa Maafisa Utumishi/Tawala na viongozi wa Taasisi za Umma;
- Kuendelea na uidhinishaji wa taarifa za kiutumishi na mishahara kwenye Mfumo wa Taarifa za Kiutumishi na Malipo ya Mishahara katika utumishi wa umma;
- Kufanya uhakiki wa watumishi kwenye Taasisi za Umma ili kuhakikisha kunakuwa na matumizi bora ya Rasilimaliwatu katika
Utumishi wa Umma sambamba na kusafisha na kuboresha taarifa za kiutumishi na mishahara kupitia Mfumo wa HCMIS;
- Kujenga uwezo wa Maafisa TEHAMA na maafisa wanaoshughulikia malalamiko katika Utumishi wa Umma kutumia Mfumo wa Kidijitali wa Kushughulikia Malamiko ya
Wananachi uitwao Sema na Waziri
Utumishi/e-Mrejesho;
- Kusimamia ajira za watumishi wa umma kwa kuajiri watumishi wapya 30,000 katika kada mbalimbali ambao wataigharimu Serikali kiasi cha Shilingi
120,776,130,000. Vile vile, utekelezaji wa zoezi la kuwapandisha vyeo watumishi 120,210 ambao watalipwa kiasi cha Shilingi 42,395,425,000 na watumishi 8,080 waliotengewa nafasi za kubadilishwa vyeo ambao wataigharimu Serikali kiasi cha Shilingi 2,211,098,663 katika Mwaka wa Fedha 2022/23 kulingana na maelekezo yatakayotolewa;
- Kuchambua na kuhakiki madai ya malimbikizo ya mishahara ya watumishi wa umma kwa kadiri yatakavyowasilishwa. Aidha, kiasi cha Shilingi 103,883,257,000 kimetengwa kwa ajili ya malipo ya madai yatakayoidhinishwa;
- Kukagua na kuidhinisha watumishi wapya wanaostahili kuingizwa katika Orodha ya Malipo ya Mishahara;
- Kutoa vibali vya ajira mpya na mbadala ili kujaza nafasi stahiki kwenye taasisi mbalimbali za Umma;
- Kuwezesha Wizara, Idara Zinazojitegemea, Wakala za Serikali na Mashirika ya Umma kuandaa Orodha ya Kazi na Maelezo ya Kazi ili kupata uwiano mzuri wa watumishi katika kutekeleza majukumu ya Taasisi husika;
- Kuendelea na uboreshaji wa michakato ya utoaji huduma na kuimarisha usimamizi wa Mifumo na Viwango vya utendaji kazi kwa kufanya ufuatiliaji pamoja na kutoa ushauri wa kitaalam katika Taasisi za Serikali ili kuongeza ufanisi katika utoaji wa huduma kwa wananchi;
- Kuendelea na ukamilishaji wa Mfumo Jumuishi wa Ufuatiliaji na Tathmini Serikalini kwa kushirikiana na wadau mbalimbali ambao utaunganisha Mifumo ya Ufuatiliaji na Tathmini iliyopo katika Taasisi zote za Umma;
- Kufanya Tathmini ya kina ya Utendaji kazi wa Wakala za Serikali ili kubaini utekelezaji wa malengo ya dhana ya uanzishaji wa Wakala hizo katika Utumishi wa Umma;
- Uwezeshaji wa uandaaji na uhuishaji wa Miundo ya Maendeleo ya Utumishi katika Utumishi wa Umma;
- Kuwianisha na kuoanisha mishahara na mipango ya motisha katika Utumishi wa Umma;
- Kusimamia utawala wa utumishi wa umma kwa kushughulikia mahitaji ya vibali vya uhamisho, kushikizwa, kuazimwa na likizo bila malipo kwa watumishi na baina ya waajiri mbalimbali katika Utumishi wa Umma;
- Kuimarisha uwepo wa viongozi wenye sifa stahiki, weledi na maono ya utumishi wa umma wenye kuzingatia dira ya maendeleo na mikakati mbali mbali ya kitaifa kwa kupokea na kushughulikia mapendekezo ya nafasi za uteuzi, mikataba ya ajira na vibali vya kukaimu nafasi za uongozi kadiri maombi hayo yatakavyokuwa
yanawasilishwa na waajiri mbalimbali;
- Kuimarisha upatikanaji wa taarifa (Kanzi data) za Viongozi wa Serikali waliopo kwenye nafasi na wanaoonesha mwelekeo na uwezo wa kukidhi uteuzi katika nafasi za uongozi; ili kuwa na viongozi wenye kukidhi matarajio ya utumishi wa umma na
watanzania;
- Kujenga uwezo wa Taasisi za Serikali katika kuandaa Sera za Kisekta zinazozingatia utafiti ili kuziwianisha na kuondoa migongano na urudufu wakati wa utekelezaji;
- Kufanya mapitio ya Sheria na Miongozo ya Kiutumishi kwa lengo la kuboresha utendaji kazi pamoja na kutoa miongozo ya kuimarisha Menejimenti ya Utumishi wa Umma kupitia nyaraka za kiutumishi;
- Kuendeleza ufuatiliaji na uhamasishaji wa ujumuishwaji wa masuala ya Anuai za Jamii katika Utumishi wa Umma ili kuhakikisha kuwa makundi yote yanapata huduma zinazozingatia usawa. Aidha, maandalizi ya Mwongozo wa ujumuishaji
wa masuala ya jinsia katika Utumishi wa Umma yataendelezwa;
- Kuendelea na uhamasishaji wa uzingatiaji wa maadili kupitia vyombo vya habari na kuelimisha watumishi wa Umma na waajiri kuhusu umuhimu wa kupunguza malalamiko ya wateja na kushughulikia ipasavyo malalamiko yanayowasilishwa;
- Kuendelea kujenga uelewa wa wadau kuhusu Kanuni za Maadili ya Utumishi wa Umma;
- Kuendelea na ufuatiliaji wa uzingatiaji wa maadili katika Wizara, Idara
Zinazojitegemea, Wakala za Serikali, Sekretarieti za Mikoa, Mamlaka za Serikali za Mitaa na taasisi nyingine za umma;
- Kukamilisha utafiti wa uzingatiaji wa maadili katika utumishi wa umma (Public Service Integrity Survey) kwa nia ya kubaini kiwango cha uzingatiaji wa maadili na kutoa ushauri wa uboreshaji unaozingatia
taarifa sahihi za utafiti;
- Kuendelea na kampeni za uimarishaji wa uzingatiaji wa maadili kwenye taasisi za umma;
- Kuendelea kuhabarisha wananchi kuhusu huduma zitolewazo na Ofisi na namna ya upatikanaji wake kupitia njia mbalimbali za mawasiliano ikiwemo magazeti, redio, runinga, tovuti, mitandao ya kijamii, Gazeti la Serikali, majarida, vipeperushi na vitabu, mikutano ya wadau na semina;
- Kuratibu maandalizi ya Mradi wa Kuboresha Utoaji Huduma katika sekta ya umma chini ya Shirika la Maendeleo la Dunia (UNDP);
- Kuendeleza ujenzi wa jengo la Ofisi la ghorofa tano la Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora katika eneo la Mtumba – Dodoma; na
- Kuendelea kutoa huduma kwa Viongozi wa Kitaifa Wastaafu (Viongozi 11 na wajane saba) kwa mujibu wa sheria.
B. CHUO CHA UTUMISHI WA UMMA (TPSC)
61. Mheshimiwa Spika, katika mwaka 2022/23 Chuo cha Utumishi wa Umma kimepanga kutekeleza shughuli zifuatazo:
- Kutoa mafunzo ya kujiandaa kufanya mitihani ya Utumishi wa Umma kwa watumishi 950 ili kuwajengea uwezo wa utendaji kazi na kutoa huduma bora kwa wananchi;
- Kutoa mafunzo ya Uongozi na Maendeleo, Menejimenti na Usimamizi wa ofisi kwa watumishi wa umma 5,315 ili kuendeleza stadi, weledi na ujuzi katika maeneo hayo. Vile vile, mafunzo hayo yatatolewa kwa njia ya mtandao kwa Watumishi wa Umma
2,500;
- Kutoa Mafunzo ya Awali katika Utumishi wa Umma kwa Watumishi wa Umma 4,800 ili kujenga uelewa wa kitendaji wa Serikalini kwa waajiriwa wapya;
- Kuwezesha midahalo kwa washiriki wa ndani na nje ya nchi wapatao 800 ili kupunguza gharama za serikali kupeleka watumishi nje ya nchi na kubadilishana uzoefu wa kitaalam;
- Kutoa mafunzo ya muda mrefu kwa washiriki 13,025 katika fani za Utunzaji wa Kumbukumbu, Uhazili na Utawala, Uhazili, Menejimenti ya Rasilimali Watu, Utawala na Manunuzi ya Umma;
- Kutoa ushauri katika maeneo mbali mbali 15 ya kitaalam kwa Taasisi za Umma kwa ajili ya kutambua changamoto halisi za utendaji na kuchangia katika utoaji wa maamuzi yanayozingatia matokeo ya utafiti;
- Kuratibu midahalo kwa njia ya mtandao katika maeneo 35 kwa Watumishi wa Umma na sekta binafsi;
- Kuwezesha mafunzo ya muda mrefu kwa watumishi 7 wa Chuo cha Utumishi wa Umma katika ngazi za Shahada ya
Uzamivu na Shahada ya Uzamili;
- Kuendelea na ujenzi wa majengo katika Kampasi ya Singida awamu ya pili ambao utahusisha ujenzi wa Ukumbi kwa ajili ya shughuli mbalimbali za Chuo;
- Kuanza ujenzi wa Ukumbi Dodoma katika kiwanja cha Chuo kilichopo eneo la NCC awamu ya kwanza. Ukumbi huo unatarajiwa kutumika kwa ajili ya mafunzo, midahalo na semina kwa Watumishi wa
Umma;
- Kuanza ujenzi wa uzio awamu ya kwanza katika Kampasi ya Tabora kuzunguka eneo la Chuo; na
- Kufuatilia upatikanaji wa eneo katika Jiji la Mbeya kwa ajili ya ujenzi wa Kampasi ya Mbeya.
C. MAMLAKA YA SERIKALI MTANDAO (eGA)
62. Mheshimiwa Spika, katika mwaka 2022/23, Mamlaka ya Serikali Mtandao imepanga kutekeleza shughuli zifuatazo:
- Kuendelea kuiunganisha mifumo ya Taasisi za Serikali kwenye Mfumo wa kuwezesha mifumo ya Serikali kuwasiliana na kubadilishana taarifa (Government Enterprise Service Bus (GovESB) kwa kufuata mpango kazi;
- Kusimamia na kutathmini hali ya usalama wa mifumo na miundombinu ya TEHAMA, hatimaye kushauri maeneo ya kuboresha na kufuatilia utekelezaji wake ili kuhakikisha kuwa mifumo na miundombinu ya TEHAMA ya Serikali inafanya kazi na kutoa huduma kwa taasisi za umma na wananchi wakati wote kwa ufanisi na usalama;
- Kujenga mifumo itakayoboresha utoaji wa huduma wa Taasisi mbalimbali za Serikali katika Utumishi wa Umma. Baadhi ya mifumo hiyo ni:
- Mfumo Maalum wa Kusimamia Utoaji Huduma kwenye Zahanati na Vituo vya Afya (GoTHOMIS Lighter Version) – TAMISEMI. Lengo la mfumo huu ni kuongeza ufanisi katika usimamizi wa utoaji huduma katika Zahanati na vituo vya afya;
- Mfumo wa Uendeshaji wa Mifuko ya Uwekezaji wa Pamoja – Watumishi Housing (WHC): Lengo la mfumo huu ni kuendesha kwa ufanisi uwekezaji wa pamoja;
- Mfumo wa Kusimamia Mikopo ya Asilimia 10 kwenye Halmashauri kwa kushirikiana na TAMISEMI. Lengo la mfumo huu ni kusimamia mikopo ya vijana, wanawake na walemavu ili
iweze kuwa na udhibiti na ilete tija;
- Mfumo wa Kusimamia Shughuli za Mamlaka za Viwanja vya Ndege – TAA. Lengo la mfumo huu ni kusimamia utendaji na rasilimali za Mamlaka za viwanja vya ndege;
- Mfumo wa Kusimamia Shughuli za Mpiga Chapa Mkuu wa Serikali – Mpiga Chapa Mkuu wa Serikali. Lengo la mfumo huu ni kuboresha utendaji kazi wa ofisi ya Mpiga Chapa Mkuu wa
Serikali;
- Mfumo wa Usajili wa Wahandisi (awamu ya pili) – Bodi ya Usajili wa wahandisi. Lengo la mfumo ni kurahisisha usajili wa wahandisi na kuweza kutoa ripoti zinazohitajika kwa wakati;
- Mfumo wa Tiketi za Kielektroni ulioboreshwa – Shirika la Meli Tanzania (MSCL). Lengo la mfumo ni kuongeza ufanisi na kuongeza mapato ya shirika kutokana na shughuli za
usafirishaji;
- Mfumo wa Usimamizi wa Manunuzi ya Umma – Wizara ya Fedha. Lengo la mfumo huu ni kuboresha manunuzi ya umma;
- Mfumo wa Kusimamia Usambazaji wa Mbolea – TFRA. Lengo la mfumo huu ni kuongeza ufanisi katika kusimamia uagizaji na usambazaji wa mbolea nchini;
- Mfumo wa Taarifa za Soko la Ajira (National Labor Market System) – Ofisi ya Waziri Mkuu. Lengo la mfumo huu ni kuwezesha kuwa na taarifa zote za ajira nchini, nafasi za kazi na kuweza kupata takwimu kamili za hali ya soko la ajira nchini; na
- Mfumo wa Usimamizi wa Vyama vya Ushirika (awamu ya tatu);
- Kuendeleza utafiti na ubunifu katika matumizi ya teknolojia mpya za TEHAMA ili kuibua huduma mpya kwa umma kupitia TEHAMA na kuwezesha matumizi sahihi ya teknolojia mpya zinazoibuka;
- Kupanua Miundombinu ya Mtandao wa Mawasiliano wa Serikali (Government Network) ili kufikisha katika Wilaya zote nchini;
- Kuziwezesha Taasisi 160 kutumia Mfumo wa Ofisi Mtandao (e-Office), hivyo kufanya Taasisi zinazotumia mfumo huo kufikia 300;
- Kukagua mifumo ya kimkakati, kisekta na kitaasisi ili kuhakikisha kuwa imetengenezwa na inatumika kwa kufuata sheria, kanuni, viwango na miongozo iliyopo na kushauri maeneo ya kuboresha na kufuatilia utekelezaji wake;
- Kusimamia, kuendesha na kuendeleza Mifumo na Miundombinu Shirikishi ya TEHAMA ya Serikali na Taasisi zake; hii ni pamoja na kusimamia na kuboresha vituo vya Kuhifadhi Mifumo na Taarifa za Serikali pamoja na vituo vya kujikinga na majanga;
- Kuwajengea uwezo watumishi katika kusimamia mifumo na miundombinu ya TEHAMA katika Taasisi za Umma; pia kutoa mafunzo kwa watumiaji kuhusu matumizi sahihi na salama ya mifumo na miundombinu ya TEHAMA; na
- Kutoa ushauri wa kitaalamu na msaada wa kiufundi kwenye maeneo ya TEHAMA kwa taasisi za Serikali ili viwango na miongozo iweze kufuatwa, ili kuwa na matumizi ya TEHAMA yenye tija na kupunguza gharama.
D. WATUMISHI HOUSING INVESTMENT (WHI)
- Mheshimiwa Spika, katika mwaka 2022/23, Watumishi Housing Investment imepanga kutekeleza shughuli zifuatazo:
- Kuendeleza mradi wa ujenzi wa nyumba 1,000 jijini Dodoma pamoja na mikoa mingine zikiwemo wilaya mpya;
- Kubuni na kutekeleza miradi ya nyumba za gharama nafuu katika Halmashauri mpya;
- Kujenga na kuuza viwanja 300 vilivyopimwa jijini Arusha;
- Kuendelea kuuza nyumba zilizojengwa na zitakazojengwa maeneo mbalimbali nchini;
- Kuanzisha rasmi Mfuko wa Uwekezaji wa Pamoja wa FAIDA Fund;
- Kuendelea na shughuli za kikandarasi kwa kutoa huduma za ujenzi wa majengo katika taasisi mbalimbali za umma;
- Kutoa huduma za ushauri wa majenzi katika miradi inayoendelea na miradi mipya; na
- Kukarabati nyumba na miundombinu katika miradi ya WHC ya nyumba zilizopangishwa.
- Mheshimiwa Spika, katika Mwaka wa Fedha wa 2022/23, Fungu 32: Ofisi ya Rais – Menejimenti ya Utumishi wa Umma inaomba kuidhinishiwa jumla ya Shilingi 47,611,581,000 kwa ajili ya Matumizi ya Kawaida na Miradi ya Maendeleo. Kati ya fedha hizi, Shilingi 39,541,381,000 ni kwa ajili ya Matumizi ya Kawaida na Shilingi 8,070,200,000 kwa ajili yaMiradi ya Maendeleo.
SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA UMMA
- Mheshimiwa Spika, katika Mwaka wa Fedha
2022/23, Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira katika
Utumishi wa Umma, imepanga kutekeleza majukumu yafuatayo:-
- Kusimamia na kuendesha michakato ya ajira ili kuwezesha waajiri kupata watumishi wenye sifa zinazotakiwa kwa mujibu wa miundo ya utumishi husika;
- Kushiriki kama Wataalam waalikwa kwenye usaili unaoendeshwa na Taasisi zinazotumia Sheria zilizokasimiwa kwa Taasisi husika;
- Kuendelea kuimarisha Ofisi ya Sekretarieti ya Ajira Zanzibar kurahisisha michakato ya ajira kwa ajira za Muungano;
- Kuanza ujenzi wa mfumo wa usaili wa mchujo kwa njia ya mtandao “Online aptitude test” mfumo huu utasaidia Serikali kupunguza gharama kwa kiasi kikubwa hasa gharama za uendeshaji wa saili za mchujo. Aidha mfumo huu utasaidia kuwapunguzia gharama zinazotumika wakati wa usaili kwani saili zitafanyika katika maeneo wanayotoka.
- Kuanza ujenzi wa mfumo wa kupima haiba za wasailiwa “psychometric testing system”ili kuiwezesha serikali kutambua haiba na tabia za wasailiwa kwa lengo la kuwasaidia waajiri kubaini maeneo ya kuwajengea uwezo waajiriwa wapya
- Kutoa taarifa na elimu kwa umma ili kukuza uelewa kuhusu shughuli zinazotekelezwa na Sekretarieti ya Ajira katika mUtumishi wa Umma.
- Kuboresha mifumo ya usaili kuwa ya kisasa zaidi kwa kutumia TEHAMA.
- Ununuzi wa vitendea kazi hususani magari ya viongozi na wafanyakazi ili kusaidia utekelezaji wa majukumu ya Taasisi kwa wakati.
- Kuanza ujenzi wa jengo la Ofisi za Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Jijini Dodoma.
- Kuongeza uwezo wa Taasisi kufanya usaili kwa kanda.
- Mheshimiwa Spika, katika kutekeleza majukumu yake kwa Mwaka wa Fedha wa
2022/23, Fungu 67: Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma inaomba kuidhinishiwa kiasi cha Shilingi 8,721,849,000. Kati ya fedha hizo, Shilingi 5,063,849,000 ni kwa ajiliyaMatumizi ya Kawaida na Shilingi 3,658,000,000 ni kwa ajili ya Miradi ya Maendeleo.
OFISI YA RAIS, TUME YA UTUMISHI WA UMMA
- Mheshimiwa Spika; katika Mwaka wa Fedha 2022/23, Tume imepanga kutekeleza majukumu yafuatayo:-
- Kufanya ukaguzi wa kawaida katika Taasisi za Umma 150 na Ukaguzi Maalum katika Taasisi za Umma 10 kuangalia uzingatiaji wa Sheria, Kanuni, Taratibu na Miongozo ya usimamizi wa
Rasilimaliwatu katika Utumishi wa Umma;
- Kufanya mikutano minne ya kisheria ya Tume kujadili na kutolea uamuzi rufaa, malalamiko, taarifa za ukaguzi na masuala mengine ya kiutumishi kadri yatakavyopokelewa;
- Kuandaa Taarifa ya Hali ya Utumishi wa Umma na Utekelezaji wa Majukumu ya Tume kwa kipindi cha Mwaka wa Fedha wa 2021/2022 na kuiwasilisha kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania;
- Kuandaa mfumo wa TEHAMA kwa ajili ya kuongeza ufanisi kwenye ushughulikiaji wa rufaa na ukaguzi wa rasilimaliwatu;
- Kufanya utafiti kuhusu uendeshaji na usimamizi wa Rasilimaliwatu katika Utumishi wa Umma;
- Kuhuisha Miongozo miwili ya Tume kuhusu uzingatiaji wa masuala ya Ajira na Uwasilishaji wa Taarifa Tume na kuisambaza kwa Waajiri, Mamlaka za Ajira na Nidhamu;
- Kuelimisha Taasisi za Umma na Watumishi wa Umma kuhusu majukumu ya Tume na uzingatiaji wa Sheria, Kanuni, Taratibu na Miongozo ya Utumishi wa Umma; na
- Ujenzi wa jengo la Ofisi za Tume Makao Makuu Dodoma.
- Mheshimiwa Spika, ili kutekeleza Mpango wa Mwaka wa Fedha 2022/23, Fungu 94, Ofisi ya Rais, Tume ya Utumishi wa Umma inaomba kuidhinishiwa kiasi cha Shilingi 5,981,824,000. Kati ya fedha hizo, Shilingi 5,681,824,000 ni kwa ajiliyaMatumizi ya Kawaida na Shilingi 300,000,000 ni kwa ajili ya Miradi ya Maendeleo.
OFISI YA RAIS, IDARA YA KUMBUKUMBU NA NYARAKA ZA TAIFA
- Mheshimiwa Spika, katika Mwaka wa Fedha 2022/23, Ofisi ya Rais, Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa itatekeleza shughuli zifuatazo:-
- Kukusanya taarifa, kumbukumbu na nyaraka mbalimbali zinazohusu historia ya nchi yetu kutoka Taasisi za Umma, Taasisi na watu binafsi;
- Kufanya ukarabati wa nyaraka kongwe zilizohifadhiwa katika Ghala Kuu la nyaraka na zile zinazotarajiwa kukusanywa;
- Kuimarisha uhifadhi wa kumbukumbu na nyaraka katika teknolojia ya kisasa kwa kuingiza nyaraka katika mfumo wa kidigitali wa kuhifadhi kumbukumbu na nyaraka (Digital Records Management and Preservation System) ili kurahisisha upatikanaji wake na kulinda nakala halisi;
- Kuweka na kuhuisha mifumo ya utunzaji wa kumbukumbu katika Taasisi za
Umma ili kuongeza ufanisi na tija katika utoaji wa huduma Serikalini;
- Kujenga uwezo wa Taasisi za Umma katika usimamizi wa kumbukumbu na nyaraka za Serikali kwa kuandaa mikutano na mafunzo kazi kwa watumishi wa umma kuhusu Sheria, Kanuni, Taratibu na Miongozo ya utunzaji wa taarifa, kumbukumbu na nyaraka za
Serikali;
- Kufanya tathmini (appraisal) ya kumbukumbu tuli za Taasisi za Umma zilizohifadhiwa katika Vituo vya Kumbukumbu vya Idara ili kubaini zenye umuhimu wa kuendelea kuhifadhiwa na zile ambazo umuhimu wake wa matumizi umefikia ukoma kwa lengo la
kuziteketeza kwa mujibu wa Sheria;
- Kukagua, kuchambua na kuhamisha kumbukumbu tuli kutoka katika Taasisi za Umma na kuzihifadhi katika Vituo vya Kumbukumbu vya Idara;
- Kuwezesha Taasisi za Umma kutengeneza Miongozo ya kuhifadhi na kuteketeza kumbukumbu (Record Retention Disposal Schedule) kwa
mujibu wa Sheria;
- Kufanya Ukaguzi wa hali ya utunzaji wa kumbukumbu katika Taasisi za Umma;
- Kutambua, kukusanya, kutunza na kuhifadhi kumbukumbu na vitu vya
Waasisi waTaifa;
- Kutoa elimu kwa wananchi kuhusu umuhimu wa utunzaji na uhifadhi wa kumbukumbu na nyaraka katika
maendeleo ya Taifa letu;
- Kuimarisha utunzaji wa kumbukumbu na nyaraka kwa kununua vitendea kazi na vifaa vya uhifadhi vikiwemo kuongeza mashubaka, scanner na magari maalumu ya kubebea nyaraka; na
- Kuanza ujenzi wa jengo la Utawala Makao Makuu Dodoma.
- Mheshimiwa Spika, katika kutekeleza majukumu yake kwa Mwaka wa Fedha wa 2022/23, Fungu 4: Idara ya Kumbukumbu ya Nyaraka za Taifa inaomba kuidhinishiwa kiasi cha Shilingi 4,914,791,000 kwa ajili ya Matumizi ya Kawaida na Miradi ya Maendeleo. Kati ya fedha hizi, Shilingi 3,504,791,000 ni kwaajili ya Matumizi ya Kawaida na Shilingi 1,410,000,000 kwa ajili ya Miradi ya Maendeleo.
MAJUMUISHO
- Mheshimiwa Spika, Ofisi ya Rais ikiongozwa na Mhe. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ndiyo yenye dhamana ya maamuzi juu ya nchi na menejimenti ya Utumishi wa Umma ambayo ni nguzo muhimu na mtambuka katika uendeshaji na uendelezaji wa nchi. Utumishi wa Umma umeendelea kutoa mchango mkubwa katika maendeleo ya nchi yetu. Tunayo matarajio makubwa kuwa mchango wa watumishi wa umma katika maendeleo ya nchi yetu utaendelea kukua kwa kasi kubwa ili kuiwezesha nchi yetu kufikia uchumi wa kati wa kiwango cha juu.
- Mheshimiwa Spika, Ofisi ya Rais itaendelea kuimarisha uwezeshaji wa vyombo vinavyosaidia kwenye maamuzi ya nchi, usalama na kuimarisha vita dhidi ya rushwa. Maadili kwa viongozi wote na watumishi wa umma yanatarajiwa kuchangia ipasavyo kwenye nchi kupata tija ya rasilimaliwatu na ufanisi katika matumizi ya rasilimalifedha wakati wote. Kati ya mambo ambayo Serikali itayapa kipaumbele ni usimamizi thabiti wa rasilimaliwatu na rasilimalifedha kwa kusisitiza uwajibaji wa hiari.
- Mheshimiwa Spika, Serikali inaendelea kufanya maboresho ya kisekta na mtambuka ili kuongeza tija na ufanisi katika utendaji wake. Wajibu wa Ofisi ya Rais ni kuhakikisha maboresho yanayofanywa katika nchi yetu hayana urudufu na yanaleta tija na ufanisi katika
Utumishi wa Umma na kuwa chachu ya maendeleo. Aidha, itahakikisha kunakuwepo na utawala bora ulio imara kuanzia ngazi ya juu ya uongozi hadi chini. Katika kuimarisha uwazi Ofisi ya Rais itahakikisha wananchi wanapata taarifa sahihi kuhusu maamuzi ya Serikali na kuweka imara mifumo ya mrejesho wa utoaji huduma.
- Mheshimiwa Spika, kwa mujibu wa miundo na mgawanyo wa majukumu kwa mawaziri, utekelezaji kwa ujumla unajumuisha, Ofisi ya Rais Ikulu; Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora; Ofisi ya Rais, Tume ya Utumishi wa Umma; Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma; Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma; na Ofisi ya Rais, Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa.
- Mheshimiwa Spika, Mipango na Bajeti kwa Mafungu niliyoyataja yamezingatia vipaumbele vya Serikali ya Awamu ya Sita katika kuimarisha utendaji kazi wa Utumishi wa Umma, uzingatiaji wa matumizi bora ya rasilimalifedha, maadili ya uongozi na kuongeza kasi ya kufanya maamuzi na kutoa huduma bora kwa wananchi na hivyo kuongeza tija na ufanisi katika utekelezaji wa majukumu ya Serikali katika ngazi zote.
- Mheshimiwa Spika, Bajeti ya Mafungu yote yaliyo chini ya Ofisi ya Rais, Ikulu na Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora imelenga kuwa na Utumishi wa Umma unaotoa huduma bora kwa haraka na staha, ukizingatia Katiba, Sera, Sheria, Kanuni, Taratibu na Miongozo katika kujenga imani zaidi kwa wananchi na kuendana na kauli ya Rais, Mhe. Samia Suluhu Hassan, aliyoitoa 22 Aprili, 2021 wakati akilihutubia Bunge la 12 aliposema: ‘Tutawapima viongozi na watumishi kwa namna wanavyotimiza majukumu yao, hatutawaonea aibu viongozi na watumishi wazembe, wezi na wabadhirifu wa mali za umma. Tutaendeleza pia juhudi za kupambana na rushwa kwenye utumishi wa umma. Wajibu wa watumishi wa umma ni lazima uendane na haki zao’. Katika kuendana na wakati, jitihada zaidi zitawekwa kwenye kujenga uwezo na mifumo ya kimenejimenti na utoaji huduma ikiwemo matumizi sahihi na salama ya fursa zinazopatikana katika utoaji huduma kwa TEHAMA ndani ya Serikali, hivyo tunataka kujenga utumishi wa umma wa kidijitali.
- Mheshimiwa Spika, napenda kulikumbusha Bunge lako tukufu kuwa, Waziri mwenye dhamana ya menejimenti ya Utumishi wa Umma ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye katika hotuba zake amekuwa akisisitiza dhamira yake ya kushughulikia haki na masilahi ya Watumishi wa Umma. Hivyo, kabla ya kuomba fedha kwenye Bunge lako tukufu, naomba kueleza kuwa kilio cha masilahi na motisha kwa Watumishi wa Umma kinaendelea kufanyiwa kazi na Serikali sikivu ya CCM chini ya Mhe. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
- Mheshimiwa Spika, baada ya kueleza kwa kina utekelezaji wa majukumu kwa Mwaka wa Fedha 2021/22 na Mipango na Bajeti ya Ofisi ya Rais, Ikulu na Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora kwa Mwaka wa Fedha 20212/23 sasa naomba kuwasilisha rasmi mapendekezo ya maombi yetu kwa Mwaka wa Fedha 2022/23 kwa muhtasari kama ifuatavyo:-
(i) | Fungu 20: Ofisi ya Rais, Ikulu | ||
Matumizi ya Kawaida | Sh. | 29,828,203,000 | |
Jumla | Sh. | 29,828,203,000 | |
(ii) | Fungu 30: Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Baraza la Mawaziri | ||
Matumizi ya Kawaida | Sh. | 577,206,673,000 | |
Matumizi ya Miradi ya Maendeleo | Sh. | 164,092,594,000 | |
Jumla | Sh. | 741,299,267,000 | |
(iii) | Fungu 33: Ofisi ya |
Rais, Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma | |||
Matumizi ya Kawaida | Sh. | 9,260,049,000 | |
Matumizi ya Miradi ya Maendeleo | Sh. | 3,470,000,000 | |
Jumla | Sh. | 12,730,049,000 | |
iv) | Fungu 32: Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma | ||
Matumizi ya Kawaida | Sh. | 39,541,381,000 | |
Matumizi ya Miradi ya Maendeleo | Sh. | 8,070,200,000 | |
Jumla | Sh. | 47,611,581,000 | |
(v) | Fungu 67: Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma | ||
Matumizi ya Kawaida | Sh. | 5,063,849,000 | |
Matumizi ya Miradi ya Maendeleo | Sh. | 3,658,000,000 | |
Jumla | Sh. | 8,721,849,000 | |
vi) | Fungu 94: Ofisi ya Rais, Tume ya Utumishi wa Umma |
(
Matumizi ya Kawaida | Sh. | 5,681,824,000 | |
Matumizi ya Miradi ya Maendeleo | Sh. | 300,000,000 | |
Jumla | Sh. | 5,981,824,000 | |
vii) | Fungu 04: Ofisi ya Rais, Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa | ||
Matumizi ya Kawaida | Sh. | 3,504,791,000 | |
Matumizi ya Miradi ya Maendeleo | Sh. | 1,410,000,000 | |
Jumla | Sh. | 4,914,791,000 | |
79. Mheshimiwa Spika na Wabunge wenzangu, Jumla kuu ya Bajeti ninayoomba kwa mafungu yote yaliyo chini ya Ofisi ya Rais (Ikulu na Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora) kwa mwaka 2022/23, ni kama ifuatavyo:- | |||
Jumla kuu – Matumizi ya Kawaida | Sh. | 670,086,770,000 | |
Jumla kuu – Matumizi ya Miradi ya Maendeleo | Sh. | 181,000,794,000 | |
Jumla Kuu kwa Mafungu yote | Sh. | 851,087,564,000 |
( (
80. Mheshimiwa Spika na Wabunge wenzangu, mwisho naomba kuwasilisha maombi haya ili muweze kuyajadili na kuyaidhinisha.
Ahsanteni kwa kunisikiliza, naomba kutoa hoja.
Jenista J. Mhagama (Mb.)
WAZIRI WA NCHI – OFISI YA RAIS
(MENEJIMENTI YA UTUMISHI WA UMMA NA UTAWALA BORA)
KIAMBATISHO NA. 1 TAASISI YA KUZUIA NA KUPAMBANA NA RUSHWA
TAKWIMU ZA UCHUNGUZI KWA KIPINDI CHA JULAI 2021 – MACHI, 2022
MAELEZO | JUL. 2021 | AUG. 2021 | SEP. 2021 | OCT. 2021 | NOV. 2021 | DEC. 2021 | JAN. 2022 | FEB. 2022 | MACH. 2022 | JUMLA | |
Malalamiko Yaliyopokelewa*** | 1,106 | 981 | 977 | 850 | 1,172 | 921 | 855 | 823 | 781 | 8,466 | |
Majalada yaliyokamilika | 56 | 13 | 45 | 51 | 91 | 108 | 40 | 82 | 102 | 588 | |
Majalada Yaliyopelekwa kwa DPP | 12 | 4 | 44 | 24 | 68 | 62 | 17 | 64 | 63 | 358 | |
Majalada yaliyorudi na kibali cha DPP | 40 | 34 | 39 | 5 | 8 | 12 | 12 | 32 | 11 | 193 | |
Majalada Yaliyofungwa | 2 | 1 | 9 | 2 | 0 | 10 | 0 | 5 | 3 | 32 | |
Kesi Mpya Zilizofikishwa Mahakamani | 29 | 34 | 47 | 17 | 39 | 40 | 22 | 36 | 41 | 305 | |
Kesi zilizoamuli wa Mahakama ni | Kesi Zilizoshinda | 31 | 26 | 31 | 12 | 24 | 16 | 8 | 16 | 27 | 191 |
Kesi Zilizoshindwa | 15 | 17 | 27 | 17 | 23 | 14 | 6 | 12 | 16 | 147 | |
Kesi zinazoendela mahakamani | 642 | 589 | 540 | 571 | 517 | 532 | 428 | 521 | 527 | 527 | |
Thamani ya Fedha Iliyookolewa (Tshs) | Fedha Taslimu | 782,323,025 | 9,951,400 | 41,302,580 | 42,998,932 | 40,140,593 | 31,580,153.75 | 8,835,000 | 2,900,000 | 4,446,500 | 964,478,183.75 |
Fedha zilizodhibitiwa | 100,914,698.69 | 45,388,000 | 99,218,011 | 54,687,372 | 102,066,771.06 | 36,102,344 | 3,835,000 | 4,566,166 | 10,397,500 | 457,175,862.75 | |
Jumla ya Fedha zilizookolewa | 883,237,723.69 | 55,339,400 | 140,520,591 | 98,336,304 | 142,207,364.06 | 67,032,497.75 | 12,145,500 | 7,466.687 | 14,844,000 | 1,421,654,047 |
*** Siyo malalamiko yote yanayopokelewa yanahusu rushwa.
KIAMBATISHO NA. 2
MFUKO WA MAENDELEO YA JAMII
UHAWILISHAJI WA FEDHA KWA WALENGWA NA MIRADI YA AJIRA ZA MUDA NA MIUNDO MBINU
NA. | ENEO LA UTEKELEZAJI | IDADI YA VIJIJI/ MITAA/ SHEHIA | IDADI YA KAYA | MALIPO KWA WALENGWA | MALIPO YA USIMAMIZ I NGAZI YA KIJIJI/ MTAA/ SHEHIA | MALIPO YA USIMAMIZI NGAZI YA MKOA | MALIPO YA USIMAMIZI NGAZI YA WILAYA NA KATA | IDADI YA MIRADI | THAMANI YA MIRADI YA MIUNDOMBINU NA AJIRA ZA MUDA | JUMLA YA FEDHA KILA HALMASHAURI | ||
WILAYA | KATA | MIUNDO MBINU | AJIRA ZA MUDA | |||||||||
Arusha | ||||||||||||
1. | Arusha | 81 | 14,623 | 2,396,320,788 | 0 | 6,210,000 | 43,316,145 | 0 | 5 | 464,449,175 | 2,910,296,108 | |
2. | Arusha CC | 151 | 4,968 | 923,765,220 | 0 | 11,100,000 | 59,254,850 | 0 | 6 | 445,554,091 | 1,439,674,161 | |
3. | Karatu | 60 | 8,661 | 1,641,601,450 | 0 | 4,770,000 | 42,080,385 | 0 | 5 | 464,449,175 | 2,152,901,010 | |
4. | Longido | 57 | 9,059 | 1,594,306,000 | 0 | 4,260,000 | 49,612,010 | 0 | 5 | 450,492,217 | 2,098,670,227 | |
5. | Meru | 105 | 8,123 | 1,331,650,243 | 0 | 8,070,000 | 50,195,740 | 0 | 5 | 401,864,120 | 1,791,780,103 | |
6. | Monduli | 63 | 7,455 | 1,421,414,000 | 0 | 4,710,000 | 49,638,560 | 0 | 4 | 380,987,159 | 1,856,749,719 | |
7. | Ngorongoro | 68 | 10,414 | 1,755,190,000 | 0 | 5,160,000 | 65,763,980 | 0 | 6 | 347,182,159 | 2,173,296,139 | |
Jumla Ndogo | 585 | 63,303 | 11,064,247,701 | 0 | 44,280,000 | 359,861,670 | 0 | 36 | 2,954,978,096 | 0 | 14,423,367,467 | |
Dar es Salaam | ||||||||||||
8. | Ilala MC | 93 | 3,946 | 637,058,021 | 0 | 6,960,000 | 43,520,000 | 0 | 72 | 193,769,879 | 172,053,000 | 1,053,360,900 |
9. | Kigamboni MC | 67 | 1,599 | 312,093,939 | 0 | 5,190,000 | 37,884,880 | 0 | 0 | 355,168,819 | ||
10. | Kinondoni MC | 103 | 3,938 | 830,251,478 | 0 | 8,070,000 | 48,249,655 | 0 | 0 | – | 886,571,133 | |
11. | Temeke MC | 142 | 6,805 | 1,415,667,691 | 0 | 10,890,000 | 58,423,200 | 0 | 0 | – | 1,484,980,891 | |
12. | Ubungo MC | 91 | 2,896 | 582,007,036 | 0 | 6,930,000 | 43,841,550 | 0 | 0 | – | 632,778,586 | |
Jumla Ndogo | 496 | 19,184 | 3,777,078,165 | 0 | 38,040,000 | 231,919,285 | 0 | 72 | 193,769,879 | 172,053,000 | 4,412,860,329 |
ENEO LA UTEKELEZAJI | IDADI YA VIJIJI/ MITAA/ SHEHIA | IDADI YA KAYA | MALIPO KWA WALENGWA | MALIPO YA USIMAMIZ I NGAZI | MALIPO YA USIMAMIZI NGAZI YA MKOA | MALIPO YA USIMAMIZI NGAZI YA WILAYA NA KATA | IDADI YA MIRADI | THAMANI YA MIRADI YA MIUNDOMBINU NA AJIRA ZA MUDA | JUMLA YA FEDHA KILA HALMASHAURI | |||
Dodoma | ||||||||||||
13. | Bahi | 50 | 7,256 | 970,037,866 | 0 | 3,870,000 | 43,765,815 | 0 | 38 | 345,969,000 | 1,363,642,681 | |
14. | Chamwino | 75 | 15,876 | 1,986,457,872 | 0 | 6,480,000 | 60,672,165 | 0 | 110 | 504,711,000 | 2,558,321,037 | |
15. | Chemba | 113 | 7,144 | 1,122,942,000 | 0 | 8,280,000 | 63,340,950 | 0 | 1,194,562,950 | |||
16. | Dodoma CC | 193 | 9,297 | 1,288,403,667 | 0 | 13,860,000 | 68,820,000 | 0 | 78 | 172,797,000 | 1,543,880,667 | |
17. | Kondoa | 79 | 9,125 | 1,325,436,238 | 0 | 6,600,000 | 54,102,560 | 0 | 64 | 628,134,000 | 2,014,272,798 | |
18. | Kondoa TC | 35 | 2,875 | 422,267,239 | 0 | 2,700,000 | 27,900,000 | 0 | 21 | 129,978,000 | 582,845,239 | |
19. | Kongwa | 88 | 11,419 | 1,976,524,892 | 0 | 6,810,000 | 51,274,255 | 0 | 2,034,609,147 | |||
20. | Mpwapwa | 120 | 9,720 | 1,184,040,745 | 0 | 8,850,000 | 65,819,345 | 0 | 64 | 308,304,000 | 1,567,014,090 | |
Jumla Ndogo | 753 | 72,712 | 10,276,110,519 | 0 | 57,450,000 | 435,695,090 | 0 | 375 | – | 2,089,893,000 | 12,859,148,609 | |
Geita | ||||||||||||
21. | Bukombe | 86 | 8,910 | 1,536,994,000 | 0 | 6,480,000 | 58,315,080 | 0 | 5 | 437,621,592 | 2,039,410,672 | |
22. | Chato | 117 | 9,864 | 1,812,820,160 | 0 | 9,090,000 | 57,647,070 | 0 | 5 | 335,122,988 | 2,214,680,218 | |
23. | Geita | 164 | 13,734 | 2,443,744,127 | 0 | 12,660,000 | 77,520,625 | 0 | 5 | 438,945,454 | 2,972,870,206 | |
24. | Geita TC | 80 | 5,951 | 1,133,846,011 | 0 | 6,090,000 | 42,551,455 | 0 | 5 | 474,832,304 | 1,657,319,770 | |
25. | Mbogwe | 90 | 5,894 | 899,768,000 | 0 | 7,140,000 | 48,865,400 | 0 | 119 | 433,313,062 | 127,398,000 | 1,516,484,462 |
26. | Nyang’hwale | 62 | 4,562 | 841,822,000 | 0 | 4,950,000 | 39,450,330 | 0 | 5 | 448,409,318 | 1,334,631,648 | |
Jumla Ndogo | 599 | 48,915 | 8,668,994,298 | 0 | 46,410,000 | 324,349,960 | 0 | 144 | 2,568,244,718 | 127,398,000 | 11,735,396,976 | |
Iringa | ||||||||||||
27. | Iringa | 142 | 10,579 | 1,754,795,392 | 0 | 10,770,000 | 98,179,000 | 0 | 1,863,744,392 | |||
28. | Iringa MC | 190 | 3,639 | 655,712,242 | 0 | 14,370,000 | 54,633,650 | 0 | 724,715,892 | |||
29. | Kilolo | 110 | 9,687 | 1,398,858,000 | 0 | 8,670,000 | 68,786,420 | 0 | 1,476,314,420 | |||
30. | Mafinga TC | 32 | 1,102 | 149,876,000 | 0 | 2,580,000 | 29,362,930 | 0 | 32 | 57,027,000 | 238,845,930 |
31. | ENEO LA UTEKELEZAJI | IDADI YA VIJIJI/ MITAA/ SHEHIA | IDADI YA KAYA | MALIPO KWA WALENGWA | MALIPO YA USIMAMIZ I NGAZI | MALIPO YA USIMAMIZI NGAZI YA MKOA 6,990,000 | MALIPO YA USIMAMIZI NGAZI YA WILAYA NA KATA | IDADI YA MIRADI | THAMANI YA MIRADI YA MIUNDOMBINU NA AJIRA ZA MUDA | JUMLA YA FEDHA KILA HALMASHAURI 967,248,960 | |||
Mufindi | 79 | 5,342 | 691,868,000 | 0 | 57,340,960 | 0 | 76 | 211,050,000 | |||||
Jumla Ndogo | 553 | 30,349 | 4,651,109,634 | 0 | 43,380,000 | 308,302,960 | 0 | 108 | – | 268,077,000 | 5,270,869,594 | ||
Kagera | |||||||||||||
32. | Biharamulo | 80 | 11,875 | 1,829,396,000 | 0 | 6,270,000 | 56,320,300 | 0 | 1,891,986,300 | ||||
33. | Bukoba | 94 | 9,917 | 1,701,610,000 | 0 | 7,530,000 | 49,000,750 | 0 | 1,758,140,750 | ||||
34. | Bukoba MC | 65 | 3,159 | 611,168,643 | 0 | 5,220,000 | 37,456,470 | 0 | 653,845,113 | ||||
35. | Karagwe | 85 | 11,294 | 1,999,046,128 | 0 | 6,870,000 | 53,738,315 | 0 | 2,059,654,443 | ||||
36. | Kyerwa | 104 | 10,929 | 1,933,914,254 | 0 | 7,980,000 | 52,551,625 | 0 | 1,994,445,879 | ||||
37. | Missenyi | 77 | 7,534 | 1,288,538,893 | 0 | 6,120,000 | 46,245,375 | 0 | 1,340,904,268 | ||||
38. | Muleba | 169 | 17,189 | 3,148,667,985 | 0 | 13,410,000 | 74,399,490 | 0 | 3,236,477,475 | ||||
39. | Ngara | 8 | 4 10,75 | 2 | 1,473,071,61 | 2 | 0 6,660,00 | 0 49,201,50 | 0 | 0 52 | 563,574,00 | 0 2,092,507,112 | |
Jumla Ndogo | 75 | 8 82,64 | 9 | 13,985,413,51 | 5 | 0 60,060,00 | 0 418,913,82 | 5 | 0 52 | 563,574,00 | 0 15,027,961,340 | ||
Katavi | |||||||||||||
40. | Mlele | 1 | 8 91 | 5 | 119,474,00 | 0 | 0 1,200,00 | 0 37,345,14 | 3 | 0 | 158,019,143 | ||
41. | Mpanda | 5 | 8 5,30 | 3 | 733,970,08 | 8 | 0 4,170,00 | 0 68,105,81 | 0 | 0 22 | 111,120,00 | 0 917,365,898 | |
42. | Mpanda MC | 3 | 8 1,48 | 0 | 200,395,83 | 3 | 0 2,550,00 | 0 27,350,00 | 0 | 0 19 | 82,230,00 | 0 312,525,833 | |
43. | Mpimbwe DC | 3 | 1 2,44 | 7 | 428,394,00 | 0 | 0 2,610,00 | 0 43,629,82 | 5 | 0 | 474,633,825 | ||
44. | Nsimbo | 5 | 6 3,04 | 1 | 432,218,00 | 0 | 0 3,840,00 | 0 25,851,96 | 2 | 0 | 461,909,962 | ||
Jumla Ndogo | 20 | 1 13,18 | 6 | 1,914,451,92 | 1 | 0 14,370,00 | 0 202,282,74 | 0 | 0 41 | 193,350,00 | 0 2,324,454,661 | ||
Kigoma | |||||||||||||
45. | Buhigwe | 4 | 5 8,37 | 5 | 1,425,073,82 | 6 | 0 3,780,00 | 0 34,954,83 | 0 | 0 | 1,463,808,656 | ||
46. | Kakonko | 4 | 4 9,33 | 0 | 1,669,372,00 | 0 | 0 3,600,00 | 0 35,737,44 | 0 | 0 | 1,708,709,440 | ||
47. | Kasulu | 62 | 10,698 | 1,832,452,000 | 0 | 5,010,000 | 51,157,780 | 0 | 1,888,619,780 | ||||
48. | Kasulu TC | 116 | 8,410 | 1,407,380,940 | 0 | 7,950,000 | 49,024,160 | 0 | 1,464,355,100 |
49. | ENEO LA UTEKELEZAJI | IDADI YA VIJIJI/ MITAA/ SHEHIA | IDADI YA KAYA | MALIPO KWA WALENGWA | MALIPO YA USIMAMIZ I NGAZI | MALIPO YA USIMAMIZI NGAZI YA MKOA 4,470,000 | MALIPO YA USIMAMIZI NGAZI YA WILAYA NA KATA | IDADI YA MIRADI | THAMANI YA MIRADI YA MIUNDOMBINU NA AJIRA ZA MUDA | JUMLA YA FEDHA KILA HALMASHAURI 2,057,756,390 | ||
Kibondo | 55 | 10,595 | 1,454,761,390 | 0 | 61,105,000 | 0 | 74 | 537,420,000 | ||||
50. | Kigoma | 51 | 6,921 | 1,431,738,985 | 0 | 4,050,000 | 55,455,000 | 0 | 1,491,243,985 | |||
51. | Kigoma MC | 68 | 11,562 | 2,351,605,755 | 0 | 5,550,000 | 40,495,420 | 0 | 2,397,651,175 | |||
52. | Uvinza | 61 | 5,855 | 851,570,000 | 0 | 4,530,000 | 55,277,135 | 0 | 24 | 187,329,000 | 1,098,706,135 | |
Jumla Ndogo | 502 | 71,746 | 12,423,954,896 | 0 | 38,940,000 | 383,206,765 | 0 | 98 | – | 724,749,000 | 13,570,850,661 | |
Kilimanjaro | ||||||||||||
53. | Hai | 76 | 5,724 | 948,490,446 | 0 | 5,850,000 | 41,303,610 | 0 | 995,644,056 | |||
54. | Moshi | 166 | 10,422 | 1,625,130,886 | 0 | 12,750,000 | 68,243,500 | 0 | 1,706,124,386 | |||
55. | Moshi MC | 59 | 1,719 | 314,535,778 | 0 | 4,500,000 | 27,262,054 | 0 | 346,297,832 | |||
56. | Mwanga | 81 | 4,407 | 820,136,414 | 0 | 6,330,000 | 46,553,000 | 0 | 873,019,414 | |||
57. | Rombo | 75 | 6,138 | 1,061,837,267 | 0 | 5,790,000 | 42,252,905 | 0 | 1,109,880,172 | |||
58. | Same | 103 | 10,060 | 1,795,210,000 | 0 | 8,070,000 | 60,374,155 | 0 | 1,863,654,155 | |||
59. | Siha | 56 | 3,570 | 614,145,740 | 0 | 4,080,000 | 35,458,880 | 0 | 653,684,620 | |||
Jumla Ndogo | 616 | 42,040 | 7,179,486,531 | 0 | 47,370,000 | 321,448,104 | 0 | 0 | – | 0 | 7,548,304,635 | |
Lindi | ||||||||||||
60. | Kilwa | 60 | 4,442 | 549,888,350 | 0 | 5,280,000 | 70,821,200 | 0 | 55 | 146,067,000 | 772,056,550 | |
61. | Lindi | 112 | 10,305 | 1,263,196,510 | 0 | 9,150,000 | 66,911,125 | 0 | 89 | 572,907,000 | 1,912,164,635 | |
62. | Lindi MC | 70 | 2,236 | 262,966,442 | 0 | 3,870,000 | 32,015,205 | 0 | 30 | 192,624,000 | 491,475,647 | |
63. | Liwale | 49 | 2,472 | 285,808,000 | 0 | 4,230,000 | 53,802,586 | 0 | 47 | 158,796,000 | 502,636,586 | |
64. | Nachingwea | 73 | 4,667 | 467,122,294 | 0 | 6,270,000 | 54,296,125 | 0 | 69 | 424,605,000 | 952,293,419 | |
65. | Ruangwa | 90 | 8,206 | 1,130,374,000 | 0 | 6,960,000 | 52,800,380 | 0 | 1 | 103,500,000 | 1,293,634,380 | |
Jumla Ndogo | 454 | 32,328 | 3,959,355,596 | 0 | 35,760,000 | 330,646,621 | 0 | 291 | 103,500,000 | 1,494,999,000 | 5,924,261,217 | |
Manyara |
66. | ENEO LA UTEKELEZAJI | IDADI YA VIJIJI/ MITAA/ SHEHIA | IDADI YA KAYA | MALIPO KWA WALENGWA | MALIPO YA USIMAMIZ I NGAZI | MALIPO YA USIMAMIZI NGAZI YA MKOA 8,280,000 | MALIPO YA USIMAMIZI NGAZI YA WILAYA NA KATA | IDADI YA MIRADI | THAMANI YA MIRADI YA MIUNDOMBINU NA AJIRA ZA MUDA | JUMLA YA FEDHA KILA HALMASHAURI 2,771,239,000 | ||
Babati | 104 | 14,535 | 2,703,502,000 | 0 | 59,457,000 | 0 | ||||||
67. | Babati TC | 48 | 2,351 | 390,037,577 | 0 | 3,510,000 | 30,870,000 | 0 | 424,417,577 | |||
68. | Hanang | 103 | 8,409 | 1,577,659,186 | 0 | 7,410,000 | 52,641,980 | 0 | 1,637,711,166 | |||
69. | Kiteto | 69 | 7,009 | 1,214,230,000 | 0 | 5,430,000 | 64,511,975 | 0 | 1,284,171,975 | |||
70. | Mbulu | 78 | 4,328 | 803,500,000 | 0 | 6,120,000 | 45,493,245 | 0 | 855,113,245 | |||
71. | Mbulu TC | 91 | 3,605 | 633,834,000 | 0 | 6,450,000 | 45,536,005 | 0 | 685,820,005 | |||
72. | Simanjiro | 69 | 6,049 | 1,069,228,000 | 0 | 5,400,000 | 65,014,365 | 0 | 1,139,642,365 | |||
Jumla Ndogo | 562 | 46,286 | 8,391,990,763 | 0 | 42,600,000 | 363,524,570 | 0 | 0 | – | 0 | 8,798,115,333 | |
Mara | ||||||||||||
73. | Bunda DC | 74 | 5,434 | 957,439,215 | 0 | 6,030,000 | 44,924,865 | 0 | 1,008,394,080 | |||
74. | Bunda TC | 78 | 3,204 | 588,449,095 | 0 | 6,300,000 | 42,630,975 | 0 | 637,380,070 | |||
75. | Butiama | 59 | 8,213 | 1,547,160,000 | 0 | 4,920,000 | 40,355,500 | 0 | 1 | 199,562,000 | 1,791,997,500 | |
76. | Musoma DC | 67 | 6,922 | 1,304,164,483 | 0 | 4,980,000 | 36,260,000 | 0 | 1,345,404,483 | |||
77. | Musoma MC | 80 | 3,232 | 629,469,369 | 0 | 6,150,000 | 40,550,000 | 0 | 676,169,369 | |||
78. | Rorya | 89 | 11,337 | 1,869,082,146 | 0 | 7,050,000 | 47,960,000 | 0 | 1,924,092,146 | |||
79. | Serengeti | 93 | 4,444 | 809,408,089 | 0 | 7,260,000 | 67,545,580 | 0 | 884,213,669 | |||
80. | Tarime DC | 88 | 6,606 | 1,099,126,000 | 0 | 6,600,000 | 45,261,950 | 0 | 1,150,987,950 | |||
81. | Tarime TC | 81 | 1,773 | 343,924,000 | 0 | 7,080,000 | 44,262,085 | 0 | 395,266,085 | |||
Jumla Ndogo | 709 | 51,165 | 9,148,222,397 | 0 | 56,370,000 | 409,750,955 | 0 | 1 | 199,562,000 | 0 | 9,813,905,352 | |
Mbeya | ||||||||||||
82. | Busokelo | 56 | 4,043 | 494,326,000 | 0 | 4,500,000 | 34,500,000 | 0 | 36 | 126,876,000 | 660,202,000 | |
83. | Chunya | 54 | 6,629 | 1,090,104,000 | 0 | 4,110,000 | 60,091,195 | 0 | 1,154,305,195 | |||
84. | Kyela | 111 | 6,616 | 1,086,360,178 | 0 | 8,910,000 | 53,251,080 | 0 | 1,148,521,258 |
85. | ENEO LA UTEKELEZAJI | IDADI YA VIJIJI/ MITAA/ SHEHIA | IDADI YA KAYA | MALIPO KWA WALENGWA | MALIPO YA USIMAMIZ I NGAZI | MALIPO YA USIMAMIZI NGAZI YA MKOA 8,730,000 | MALIPO YA USIMAMIZI NGAZI YA WILAYA NA KATA | IDADI YA MIRADI | THAMANI YA MIRADI YA MIUNDOMBINU NA AJIRA ZA MUDA | JUMLA YA FEDHA KILA HALMASHAURI 2,136,520,364 | ||
Mbarali | 108 | 12,594 | 2,048,108,219 | 0 | 79,682,145 | 0 | ||||||
86. | Mbeya | 152 | 11,579 | 1,836,557,832 | 0 | 12,270,000 | 69,796,160 | 0 | 1,918,623,992 | |||
87. | Mbeya CC | 176 | 5,734 | 1,059,085,493 | 0 | 14,250,000 | 72,818,750 | 0 | 1,146,154,243 | |||
88. | Rungwe | 125 | 5,596 | 668,215,474 | 0 | 9,540,000 | 59,463,525 | 0 | 89 | 169,950,000 | 907,168,999 | |
Jumla Ndogo | 782 | 52,791 | 8,282,757,196 | 0 | 62,310,000 | 429,602,855 | 0 | 125 | – | 296,826,000 | 9,071,496,051 | |
Morogoro | ||||||||||||
89. | Gairo | 67 | 8,817 | 1,487,188,000 | 0 | 5,220,000 | 41,196,570 | 0 | 1,533,604,570 | |||
90. | Ifakara TC | 59 | 5,545 | 943,492,810 | 0 | 4,290,000 | 41,730,115 | 0 | 989,512,925 | |||
91. | Kilombero | 50 | 4,758 | 726,268,000 | 0 | 3,660,000 | 54,076,375 | 0 | 784,004,375 | |||
92. | Kilosa | 109 | 6,324 | 922,142,000 | 0 | 9,000,000 | 80,275,530 | 0 | 85 | 453,426,000 | 1,464,843,530 | |
93. | Malinyi DC | 32 | 3,294 | 492,564,000 | 0 | 2,400,000 | 57,031,105 | 0 | 551,995,105 | |||
94. | Morogoro | 136 | 14,477 | 2,354,322,000 | 0 | 11,220,000 | 96,130,000 | 0 | 1 | 190,593,000 | 2,652,265,000 | |
95. | Morogoro MC | 260 | 3,660 | 672,132,020 | 0 | 20,070,000 | 63,902,715 | 0 | 756,104,735 | |||
96. | Mvomero | 139 | 9,457 | 1,491,126,000 | 0 | 10,890,000 | 71,560,815 | 0 | 1,573,576,815 | |||
97. | Ulanga | 59 | 4,924 | 783,464,000 | 0 | 4,500,000 | 63,608,215 | 0 | 851,572,215 | |||
Jumla Ndogo | 911 | 61,256 | 9,872,698,830 | 0 | 71,250,000 | 569,511,440 | 0 | 86 | 190,593,000 | 453,426,000 | 11,157,479,270 | |
Mtwara | ||||||||||||
98. | Masasi | 103 | 9,538 | 1,162,303,736 | 0 | 8,880,000 | 58,792,330 | 0 | 101 | 362,355,000 | 1,592,331,066 | |
99. | Masasi TC | 88 | 5,743 | 734,007,662 | 0 | 6,480,000 | 43,307,415 | 0 | 39 | 122,412,000 | 906,207,077 | |
100. | Mtwara DC | 94 | 7,717 | 749,799,965 | 0 | 5,880,000 | 43,996,745 | 0 | 62 | 335,217,000 | 1,134,893,710 | |
101. | Mtwara MC | 69 | 1,186 | 152,207,781 | 0 | 3,630,000 | 21,526,099 | 0 | 35 | 55,188,000 | 232,551,880 | |
102. | Nanyamba | 70 | 5,848 | 541,723,464 | 0 | 4,500,000 | 37,455,090 | 0 | 42 | 241,293,000 | 824,971,554 | |
103. | Nanyumbu | 58 | 6,371 | 752,374,000 | 0 | 5,100,000 | 47,392,165 | 0 | 56 | 503,160,000 | 1,308,026,165 |
104. | ENEO LA UTEKELEZAJI | IDADI YA VIJIJI/ MITAA/ SHEHIA | IDADI YA KAYA | MALIPO KWA WALENGWA | MALIPO YA USIMAMIZ I NGAZI | MALIPO YA USIMAMIZI NGAZI YA MKOA 5,010,000 | MALIPO YA USIMAMIZI NGAZI YA WILAYA NA KATA | IDADI YA MIRADI | THAMANI YA MIRADI YA MIUNDOMBINU NA AJIRA ZA MUDA | JUMLA YA FEDHA KILA HALMASHAURI 499,548,460 | ||
Newala | 57 | 2,384 | 303,156,555 | 0 | 39,392,905 | 0 | 56 | 151,989,000 | ||||
105. | Newala TC | 45 | 2,173 | 288,023,691 | 0 | 3,870,000 | 33,536,025 | 0 | 43 | 159,894,000 | 485,323,716 | |
106. | Tandahimba | 157 | 10,221 | 1,204,684,545 | 0 | 12,060,000 | 66,428,640 | 0 | 90 | 414,558,000 | 1,697,731,185 | |
Jumla Ndogo | 741 | 51,181 | 5,888,281,399 | 0 | 55,410,000 | 391,827,414 | 0 | 524 | – | 2,346,066,000 | 8,681,584,813 | |
Mwanza | ||||||||||||
107. | Buchosa | 81 | 8,323 | 1,630,224,999 | 0 | 6,840,000 | 56,760,135 | 0 | 5 | 435,382,841 | 2,129,207,975 | |
108. | Ilemela MC | 193 | 5,865 | 1,131,132,684 | 0 | 14,550,000 | 71,874,025 | 0 | 5 | 324,113,863 | 1,541,670,572 | |
109. | Kwimba | 120 | 11,492 | 2,285,501,441 | 0 | 9,780,000 | 60,546,970 | 0 | 5 | 444,875,284 | 2,800,703,695 | |
110. | Magu | 104 | 7,157 | 1,396,849,913 | 0 | 7,980,000 | 50,404,150 | 0 | 5 | 411,591,401 | 1,866,825,464 | |
111. | Misungwi | 90 | 8,125 | 1,438,040,135 | 0 | 7,170,000 | 49,589,845 | 0 | 58 | 475,934,659 | 499,398,000 | 2,470,132,639 |
112. | Mwanza CC | 170 | 7,238 | 1,354,561,800 | 0 | 12,540,000 | 64,356,065 | 0 | 5 | 418,125,558 | 1,849,583,423 | |
113. | Sengerema | 98 | 10,126 | 1,955,645,281 | 0 | 7,440,000 | 63,398,935 | 0 | 5 | 413,429,999 | 2,439,914,215 | |
114. | Ukerewe | 96 | 8,878 | 1,657,894,650 | 0 | 7,410,000 | 46,460,540 | 0 | 5 | 423,591,115 | 2,135,356,305 | |
Jumla Ndogo | 952 | 67,204 | 12,849,850,903 | 0 | 73,710,000 | 463,390,665 | 0 | 93 | 3,347,044,720 | 499,398,000 | 17,233,394,288 | |
Njombe | ||||||||||||
115. | Ludewa | 77 | 4,446 | 697,160,000 | 0 | 6,240,000 | 46,952,932 | 0 | 7 | 429,745,795 | 1,180,098,727 | |
116. | Makambako TC | 38 | 1,948 | 323,303,459 | 0 | 3,270,000 | 29,433,470 | 0 | 5 | 437,463,711 | 793,470,640 | |
117. | Makete | 100 | 4,703 | 697,062,000 | 0 | 8,040,000 | 55,691,780 | 0 | 5 | 446,757,841 | 1,207,551,621 | |
118. | Njombe | 45 | 4,147 | 651,136,000 | 0 | 4,020,000 | 39,825,640 | 0 | 5 | 414,443,183 | 1,109,424,823 | |
119. | Njombe Mji | 72 | 4,115 | 664,874,289 | 0 | 5,640,000 | 45,958,810 | 0 | 7 | 744,871,716 | 1,461,344,815 | |
120. | Wang’ing’om be | 109 | 6,489 | 882,486,000 | 0 | 8,520,000 | 56,309,200 | 0 | 5 | 437,992,458 | 1,385,307,658 | |
Jumla Ndogo | 441 | 25,848 | 3,916,021,748 | 0 | 35,730,000 | 274,171,832 | 0 | 34 | 2,911,274,704 | 0 | 7,137,198,284 |
ENEO LA UTEKELEZAJI | IDADI YA VIJIJI/ MITAA/ SHEHIA | IDADI YA KAYA | MALIPO KWA WALENGWA | MALIPO YA USIMAMIZ I NGAZI | MALIPO YA USIMAMIZI NGAZI YA MKOA | MALIPO YA USIMAMIZI NGAZI YA WILAYA NA KATA | IDADI YA MIRADI | THAMANI YA MIRADI YA MIUNDOMBINU NA AJIRA ZA MUDA | JUMLA YA FEDHA KILA HALMASHAURI | |||
Pwani | ||||||||||||
121. | Bagamoyo | 19 | 2,515 | 354,244,041 | 0 | 1,350,000 | 24,891,975 | 0 | 33 | 29,385,000 | 409,871,016 | |
122. | Chalinze DC | 58 | 6,527 | 824,179,816 | 0 | 4,890,000 | 52,456,310 | 0 | 53 | 35,957,326 | 316,203,000 | 1,233,686,452 |
123. | Kibaha | 47 | 3,855 | 516,750,689 | 0 | 4,140,000 | 36,266,610 | 0 | 47 | 256,095,000 | 813,252,299 | |
124. | Kibaha TC | 61 | 2,579 | 479,025,254 | 0 | 4,800,000 | 37,050,830 | 0 | 2 | 206,000,000 | 726,876,084 | |
125. | Kibiti DC | 61 | 4,691 | 794,842,000 | 0 | 4,590,000 | 42,749,970 | 0 | 0 | – | 842,181,970 | |
126. | Kisarawe | 77 | 3,300 | 505,053,488 | 0 | 6,060,000 | 37,508,611 | 0 | 37 | 66,693,000 | 615,315,099 | |
127. | Mafia | 23 | 1,432 | 282,731,000 | 0 | 2,070,000 | 24,392,200 | 0 | 0 | – | 309,193,200 | |
128. | Mkuranga | 124 | 5,646 | 995,502,005 | 0 | 9,690,000 | 59,078,500 | 0 | 0 | – | 1,064,270,505 | |
129. | Rufiji | 54 | 4,451 | 743,814,000 | 0 | 4,020,000 | 52,231,675 | 0 | 1 | 75,000,000 | 875,065,675 | |
Jumla Ndogo | 524 | 34,996 | 5,496,142,293 | 0 | 41,610,000 | 366,626,681 | 0 | 173 | 316,957,326 | 668,376,000 | 6,889,712,300 | |
Rukwa | ||||||||||||
130. | Kalambo | 115 | 8,934 | 1,407,438,000 | 0 | 8,880,000 | 62,024,845 | 0 | 1,478,342,845 | |||
131. | Nkasi | 115 | 10,876 | 1,818,912,000 | 0 | 8,490,000 | 69,318,320 | 0 | 1,896,720,320 | |||
132. | Sumbawanga | 73 | 4,644 | 776,256,700 | 0 | 6,450,000 | 52,389,430 | 0 | 97 | 357,366,000 | 1,192,462,130 | |
133. | Sumbawanga MC | 186 | 7,788 | 1,535,518,368 | 0 | 13,950,000 | 71,881,095 | 0 | 1,621,349,463 | |||
Jumla Ndogo | 489 | 32,242 | 5,538,125,068 | 0 | 37,770,000 | 255,613,690 | 0 | 97 | – | 357,366,000 | 6,188,874,758 | |
Ruvuma | ||||||||||||
134. | Madaba DC | 18 | 1,691 | 217,777,543 | 0 | 1,560,000 | 23,720,000 | 0 | 21 | 53,235,000 | 296,292,543 | |
135. | Mbinga | 117 | 8,672 | 1,573,524,000 | 0 | 9,480,000 | 62,706,200 | 0 | 1,645,710,200 | |||
136. | Mbinga TC | 78 | 3,400 | 613,328,000 | 0 | 6,270,000 | 40,990,000 | 0 | 660,588,000 | |||
137. | Namtumbo | 76 | 11,566 | 1,827,454,000 | 0 | 5,820,000 | 84,067,075 | 0 | 1,917,341,075 | |||
138. | Nyasa | 85 | 8,243 | 1,551,412,000 | 0 | 6,690,000 | 50,051,300 | 0 | 1,608,153,300 |
139. | ENEO LA UTEKELEZAJI | IDADI YA VIJIJI/ MITAA/ SHEHIA | IDADI YA KAYA | MALIPO KWA WALENGWA | MALIPO YA USIMAMIZ I NGAZI | MALIPO YA USIMAMIZI NGAZI YA MKOA 2,910,000 | MALIPO YA USIMAMIZI NGAZI YA WILAYA NA KATA | IDADI YA MIRADI | THAMANI YA MIRADI YA MIUNDOMBINU NA AJIRA ZA MUDA | JUMLA YA FEDHA KILA HALMASHAURI 909,789,200 | ||
Songea | 33 | 3,739 | 533,203,715 | 0 | 57,495,485 | 0 | 73 | 151,000,000 | 165,180,000 | |||
140. | Songea MC | 84 | 5,712 | 1,022,836,163 | 0 | 6,600,000 | 43,424,780 | 0 | 1,072,860,943 | |||
141. | Tunduru | 96 | 12,763 | 1,655,597,047 | 0 | 7,590,000 | 83,670,770 | 0 | 149 | 1,170,705,000 | 2,917,562,817 | |
Jumla Ndogo | 587 | 55,786 | 8,995,132,468 | 0 | 46,920,000 | 446,125,610 | 0 | 243 | 151,000,000 | 1,389,120,000 | 11,028,298,078 | |
Shinyanga | ||||||||||||
142. | Kahama TC | 60 | 3,363 | 653,884,989 | 0 | 4,440,000 | 37,080,965 | 0 | 40 | 247,404,000 | 942,809,954 | |
143. | Kishapu | 125 | 7,477 | 1,386,944,000 | 0 | 9,840,000 | 62,674,010 | 0 | 1,459,458,010 | |||
144. | Msalala | 93 | 6,491 | 1,247,500,033 | 0 | 7,530,000 | 51,024,925 | 0 | 1,306,054,958 | |||
145. | Shinyanga DC | 126 | 11,080 | 2,041,461,422 | 0 | 10,020,000 | 62,072,240 | 0 | 2,113,553,662 | |||
146. | Shinyanga MC | 73 | 4,300 | 968,546,510 | 0 | 5,700,000 | 40,040,525 | 0 | 1,014,287,035 | |||
147. | Ushetu | 112 | 9,272 | 1,501,490,000 | 0 | 8,250,000 | 59,164,105 | 0 | 1,568,904,105 | |||
Jumla Ndogo | 589 | 41,983 | 7,799,826,954 | 0 | 45,780,000 | 312,056,770 | 0 | 40 | – | 247,404,000 | 8,405,067,724 | |
Simiyu | ||||||||||||
148. | Bariadi DC | 84 | 9,655 | 1,969,994,742 | 0 | 6,510,000 | 41,870,000 | 0 | 5 | 425,813,636 | 2,444,188,378 | |
149. | Bariadi TC | 99 | 4,686 | 894,337,188 | 0 | 7,830,000 | 46,710,000 | 0 | 5 | 438,268,404 | 1,387,145,592 | |
150. | Busega | 59 | 4,843 | 922,506,525 | 0 | 4,680,000 | 37,856,160 | 0 | 5 | 396,664,769 | 1,361,707,454 | |
151. | Itilima | 102 | 8,593 | 1,486,046,000 | 0 | 8,100,000 | 57,337,950 | 0 | 63 | 396,664,769 | 515,649,000 | 2,463,797,719 |
152. | Maswa | 128 | 12,512 | 2,519,093,376 | 0 | 9,990,000 | 62,163,630 | 0 | 5 | 392,453,034 | 2,983,700,040 | |
153. | Meatu | 108 | 5,915 | 1,137,282,000 | 0 | 8,550,000 | 67,879,935 | 0 | 5 | 435,640,272 | 1,649,352,207 | |
Jumla Ndogo | 580 | 46,204 | 8,929,259,831 | 0 | 45,660,000 | 313,817,675 | 0 | 88 | 2,485,504,884 | 515,649,000 | 12,289,891,390 | |
Singida | ||||||||||||
154. | Ikungi | 101 | 12,510 | 2,151,157,424 | 0 | 7,770,000 | 64,699,355 | 0 | 2,223,626,779 |
155. | ENEO LA UTEKELEZAJI | IDADI YA VIJIJI/ MITAA/ SHEHIA | IDADI YA KAYA | MALIPO KWA WALENGWA | MALIPO YA USIMAMIZ I NGAZI | MALIPO YA USIMAMIZI NGAZI YA MKOA 4,830,000 | MALIPO YA USIMAMIZI NGAZI YA WILAYA NA KATA | IDADI YA MIRADI | THAMANI YA MIRADI YA MIUNDOMBINU NA AJIRA ZA MUDA | JUMLA YA FEDHA KILA HALMASHAURI 1,043,641,785 | ||
Iramba | 54 | 5,166 | 655,760,000 | 0 | 44,930,785 | 0 | 51 | 338,121,000 | ||||
156. | Itigi | 39 | 3,366 | 635,448,154 | 0 | 3,300,000 | 30,100,000 | 0 | 668,848,154 | |||
157. | Manyoni | 68 | 10,311 | 1,628,372,200 | 0 | 5,010,000 | 95,829,370 | 0 | 1,729,211,570 | |||
158. | Mkalama | 75 | 7,243 | 1,010,802,534 | 0 | 5,880,000 | 45,973,655 | 0 | 46 | 385,965,000 | 1,448,621,189 | |
159. | Singida | 49 | 7,211 | 1,092,596,000 | 0 | 3,870,000 | 37,122,000 | 0 | 72 | 647,040,000 | 1,780,628,000 | |
160. | Singida MC | 53 | 2,524 | 444,905,252 | 0 | 3,210,000 | 31,249,600 | 0 | 30 | 166,539,000 | 645,903,852 | |
Jumla Ndogo | 439 | 48,331 | 7,619,041,564 | 0 | 33,870,000 | 349,904,765 | 0 | 199 | – | 1,537,665,000 | 9,540,481,329 | |
Songwe | ||||||||||||
161. | Ileje | 71 | 5,145 | 788,150,000 | 0 | 5,760,000 | 45,038,400 | 0 | 838,948,400 | |||
162. | Mbozi | 127 | 11,508 | 1,878,127,037 | 0 | 9,930,000 | 62,338,190 | 0 | 1,950,395,227 | |||
163. | Momba | 72 | 5,883 | 883,848,000 | 0 | 5,700,000 | 50,855,990 | 0 | 940,403,990 | |||
164. | Songwe | 42 | 4,583 | 728,506,668 | 0 | 3,420,000 | 63,563,850 | 0 | 795,490,518 | |||
165. | Tunduma | 68 | 1,700 | 301,460,000 | 0 | 5,670,000 | 38,790,000 | 0 | 345,920,000 | |||
Jumla Ndogo | 380 | 28,819 | 4,580,091,705 | 0 | 30,480,000 | 260,586,430 | 0 | 0 | – | 0 | 4,871,158,135 | |
Tabora | ||||||||||||
166. | Igunga | 127 | 10,606 | 1,729,386,000 | 0 | 9,240,000 | 66,396,520 | 0 | 1,805,022,520 | |||
167. | Kaliua | 100 | 9,566 | 1,620,776,000 | 0 | 7,950,000 | 78,889,475 | 0 | 1,707,615,475 | |||
168. | Nzega | 158 | 9,470 | 1,599,793,994 | 0 | 12,210,000 | 75,595,255 | 0 | 1,687,599,249 | |||
169. | Nzega TC | 36 | 1,906 | 311,906,023 | 0 | 2,820,000 | 29,819,600 | 0 | 344,545,623 | |||
170. | Sikonge | 65 | 4,868 | 910,700,000 | 0 | 5,250,000 | 73,597,920 | 0 | 989,547,920 | |||
171. | Tabora MC | 163 | 4,580 | 961,653,508 | 0 | 13,200,000 | 66,400,000 | 0 | 1,041,253,508 | |||
172. | Urambo | 63 | 5,912 | 1,106,480,196 | 0 | 5,100,000 | 47,827,825 | 0 | 1,159,408,021 | |||
173. | Uyui | 79 | 4,718 | 730,026,000 | 0 | 6,750,000 | 67,342,185 | 0 | 66 | 292,623,000 | 1,096,741,185 |
ENEO LA UTEKELEZAJI | IDADI YA VIJIJI/ MITAA/ SHEHIA | IDADI YA KAYA | MALIPO KWA WALENGWA | MALIPO YA USIMAMIZ I NGAZI | MALIPO YA USIMAMIZI NGAZI YA MKOA 62,520,000 | MALIPO YA USIMAMIZI NGAZI YA WILAYA NA KATA | IDADI YA MIRADI | THAMANI YA MIRADI YA MIUNDOMBINU NA AJIRA ZA MUDA | JUMLA YA FEDHA KILA HALMASHAURI 9,831,733,501 | |||
Jumla Ndogo | 791 | 51,626 | 8,970,721,721 | 0 | 505,868,780 | 0 | 66 | – | 292,623,000 | |||
Tanga | ||||||||||||
174. | Bumbuli DC | 85 | 4,857 | 732,869,650 | 0 | 6,720,000 | 42,640,000 | 0 | 782,229,650 | |||
175. | Handeni | 91 | 10,577 | 1,480,413,760 | 0 | 7,080,000 | 57,377,095 | 0 | 52 | 129,393,000 | 1,674,263,855 | |
176. | Handeni TC | 60 | 4,101 | 760,469,862 | 0 | 4,800,000 | 37,574,855 | 0 | 802,844,717 | |||
177. | Kilindi | 102 | 9,879 | 1,784,747,600 | 0 | 8,130,000 | 61,050,365 | 0 | 1,853,927,965 | |||
178. | Korogwe | 122 | 8,647 | 1,533,898,298 | 0 | 9,720,000 | 60,222,165 | 0 | 1,603,840,463 | |||
179. | Korogwe TC | 29 | 2,670 | 504,308,452 | 0 | 2,460,000 | 27,576,905 | 0 | 534,345,357 | |||
180. | Lushoto | 140 | 8,085 | 1,350,701,196 | 0 | 11,280,000 | 81,089,060 | 0 | 1,443,070,256 | |||
181. | Mkinga | 85 | 6,270 | 1,003,756,000 | 0 | 6,810,000 | 48,543,160 | 0 | 1,059,109,160 | |||
182. | Muheza | 140 | 8,347 | 1,447,572,693 | 0 | 11,130,000 | 61,888,390 | 0 | 1,520,591,083 | |||
183. | Pangani | 35 | 3,336 | 644,988,000 | 0 | 3,150,000 | 33,158,580 | 0 | 681,296,580 | |||
184. | Tanga | 170 | 5,436 | 1,038,171,083 | 0 | 13,110,000 | 67,389,310 | 0 | 1,118,670,393 | |||
Jumla Ndogo | 1,059 | 72,205 | 12,281,896,594 | 0 | 84,390,000 | 578,509,885 | 0 | 52 | – | 129,393,000 | 13,074,189,479 | |
Zanzibar | ||||||||||||
185. | Pemba | 137 | 22,661 | 3,622,604,135 | 0 | 3,570,000 | 99,467,120 | 0 | 74 | 600,000,000 | 1,064,757,000 | 5,390,398,255 |
186. | Unguja | 230 | 19,580 | 3,163,710,782 | 0 | 6,240,000 | 147,834,840 | 0 | 112 | 709,716,000 | 4,027,501,622 | |
Jumla Ndogo | 367 | 42,241 | 6,786,314,917 | 0 | 9,810,000 | 247,301,960 | 0 | 186 | 600,000,000 | 1,774,473,000 | 9,417,899,877 | |
Jumla Kuu | 16,420 | 1,286,576 | 213,246,579,127 | 0 | 1,262,250,000 | 9,854,818,997 | 0 | 3224 | 16,022,429,327 | 16,141,878,000 | 256,527,955,451 |
KIAMBATISHO NA. 3
MAMLAKA YA SERIKALI MTANDAO (e-GA)
TAASISI 604 ZILIZOUNGANISHWA KATIKA MFUMO WA BARUA PEPE SERIKALINI (GMS)
NA. | JINA LA TAASISI |
1 | Accountant General |
2 | Agency for The Development of Educational Management |
3 | Ministry of Health |
4 | The Office of Attorney General |
5 | Agricultural Inputs Trust Fund |
6 | Arusha International Conference Centre |
7 | Airports |
8 | Air Tanzania |
9 | Public Service Recruitment Secretariat |
10 | Amana Hospital |
11 | Architects and Quantity Surveyors Registration Board |
12 | Wizara Ya Ardhi |
13 | Ardhi Institute Morogoro |
14 | Ardhi Institute Tabora |
15 | Ardhi University |
16 | Arusha Region |
17 | Arusha City Council |
18 | Arusha District Council |
19 | Agricultural Seed Agency |
20 | Arusha Technical College |
21 | Arusha Urban Water Supply and Sanitation Authority |
22 | Babati District Council |
23 | Babati Town Council |
24 | Bagamoyo District Council |
25 | Bahi District Council |
26 | Baraza La Kiswahili Tanzania |
27 | Bariadi District Council |
29 | Bariadi Town Council |
30 | Bariadi Urban Water Supply and Sanitation Authority |
31 | Baraza La Sanaa La Taifa |
32 | Babati Urban Water Supply and Sanitation Authority |
33 | Biharamulo District Council Website |
34 | Bugando Medical Centre |
NA. | JINA LA TAASISI |
35 | Benjamin Mkapa Hospital |
36 | Business Registrations and Licensing Agency |
37 | Buchosa District Council |
38 | Bugando Medical Centre |
39 | Buhigwe District Council |
40 | Bukoba District Council |
41 | Bukoba Municap Council |
42 | Bukombe District Council |
43 | Bumbuli District Council |
44 | Bunda District Council |
45 | Bunda Town Council |
46 | Mamlaka Ya Maji Bunda |
47 | Parliament of Tanzania |
48 | Busega Distict Council |
49 | Busega Water Supply and Sanitation Authority |
50 | Busekelo District Council |
51 | Butiama District Council |
52 | Bukoba Urban Water Supply and Sanitation Authority |
53 | Bunda Water Supply and Sanitation Authority |
54 | Cashewnut Board of Tanzania |
55 | College of Business Education |
56 | Capital Development Authority |
57 | Cereals and Other Produce Board |
58 | Chalinze District Council |
59 | Chamwino District Council |
60 | Chato District Council |
61 | Chato Zonal Refferal Hospital |
62 | Chato Water Supply and Sanitation Authority |
63 | Chemba District Council |
64 | Commision For Human Rights and Good Governance |
65 | Chunya District Council |
66 | Capital Market and Securities Authority |
67 | Co-Operative Audit and Supervision Corporation |
68 | Tanzania Coffee Board |
69 | Dar Es Salaam Institute of Technology |
70 | Copyright Society of Tanzania |
71 | Tanzania Commission for Science and Technology |
72 | Contractors Registration Board |
73 | Corporation Sole Works Superintendent |
NA. | JINA LA TAASISI |
74 | Dar Rapid Transit Agency |
75 | Dar-Es-Salaam Water Supply and Sanitation Authority |
76 | Dar Es Salaam City Council |
77 | Drug Control and Enforcement Authority |
78 | Drilling and Dam Construction Agency |
79 | Dar Es Salaam Institute of Technology |
80 | Dar Es Salaam Maritime College |
81 | Dodoma Region |
82 | Dodoma City Council |
83 | Dodoma Regional Referral Hospital |
84 | Deep Sea Fishing Authority |
85 | Dodoma Urban Water Supply and Sanitation |
86 | e-Government Authority |
87 | Export Processing Zones Authority |
88 | Engineers Registration Board |
89 | Eastern and Southern Africa Anti-Money Laundering Group |
90 | President’s Office – Ethics Secretariat |
91 | Energy and Water Utilities Regulatory Authority |
92 | Energy and Water Utilities Regulatory Authority Consumer Consultative Council |
93 | Fair Competition Commission |
94 | Tanzania Fertilizer Company Ltd |
95 | Fisheries Education and Training Agency |
96 | Tanzania Film Board |
97 | Forest Industries Training Institute |
98 | Ministry of Foreign Affairs and East African Cooperation |
99 | Fire and Rescue Force |
100 | Forestry Training Institute |
101 | Gairo District |
102 | Gairo District Council |
103 | Gaming Board of Tanzania |
104 | Government Chemist Laboratory Authority |
105 | Geita Region |
106 | Geita District Council |
107 | Geita Town Council |
108 | Geita Urban Water and Sanitation Authority |
109 | Government Procurement Services Agency |
110 | Geological Survey of Tanzania |
111 | Hai District Council |
NA. | JINA LA TAASISI |
112 | Hanang District Council |
113 | Handeni District Council |
114 | Handeni Town Council |
115 | Handeni Water Supply and Sanitation Authority |
116 | Ministry of Finance (Hazina) |
117 | Higher Education Students’ Loans Board |
118 | Information and Communication Technologies (Ict) Commission |
119 | Ifakara Town Council |
120 | Ifakara Water Supply and Sanitation Authority |
121 | Institute of Finance Management |
122 | Igunga District Council |
123 | Igunga Urban Water Supply and Sanitation Authority |
124 | Institute of Judicial Administration Lushoto |
125 | Ikungi District Council |
126 | Ikwiriri Water Supply and Sanitation Authority |
127 | Ilala |
128 | Ilala Municipal Council |
129 | Ileje District Council |
130 | Ilemela Municipal Council |
131 | Ilala Municipal Council |
132 | Tanzania Immigration Department |
133 | Prime Minister’s Office (Investment) |
134 | Iramba District Council |
135 | Iringa Region |
136 | Iringa District Council |
137 | Iringa Municipal Council |
138 | Iringa Water Supply And Sanitation Authority |
139 | Institute Of Social Work |
140 | Itigi District Council |
141 | Itilima District Council |
142 | Itumbai Songole Water Supply And Sanitation Authority |
143 | Ministry Of Community Development, Gender, Women And Special Groups |
144 | Joint Finance Commission |
145 | Jakaya Kikwete Cardiac Institute |
146 | Judical Service Commision |
147 | Judiciary |
148 | Kilimanjaro Airport Development Company |
149 | Kagera Region |
NA. | JINA LA TAASISI |
150 | Kahama Municipal Council |
151 | Kahama Town Council |
152 | Kakonko District Council |
153 | Kalambo District Council |
154 | Kaliua District |
155 | Kaliua District Council |
156 | Karagwe District Council |
157 | Karagwe Water Supply and Sanitation Authority |
158 | Karatu District Council |
159 | Shirika La Masoko Ya Kariakoo |
160 | Karatu Urban Water Supply and Sanitation Authority |
161 | Kahama Shinyanga Water Supply and Sanitation Authority |
162 | Kasulu District Council |
163 | Kasulu Town Council |
164 | Mamlaka Ya Maji Kasulu |
165 | Katavi Region |
166 | Katavi Regional Referal Hospital |
167 | Ministry of Labour, Youth, Employment And Persons With Disability |
168 | Kibaha Education Association |
169 | Kibaha District Council |
170 | Kibaha Town Council |
171 | Kibiti District Council |
172 | Kibondo District Council |
173 | Kibondo Urban Water Supply and Sanitation Authority |
174 | Kigamboni Municipal Council |
175 | Kigoma Region |
176 | Kigoma District Council |
177 | Kigoma Ujiji Municipal Council |
178 | Kilimanjaro Airport |
179 | Kilimanjaro Region |
180 | Ministry of Agriculture |
181 | Kilindi District Council |
182 | Kilindoni Water Supply and Sanitation Authority |
183 | Kilolo District Council |
184 | Kilolo District |
185 | Kilombero District |
186 | Kilombero District Council |
187 | Kilosa District |
NA. | JINA LA TAASISI |
188 | Kilosa District Council |
189 | Kilwa District Council |
190 | Kilwa Masoko Urban Water Supply and Sanitation Authority |
191 | Kinondoni Municipal Council |
192 | Kiomboi Water Supply and Sanitation Authority |
193 | Kisarawe District Council |
194 | Kishapu District Council |
195 | Kiteto District Council |
196 | Kishapu Water Supply and Sanitation Authority (Kiwassa) |
197 | Kilimanjaro International Leather Industries Co. Ltd |
198 | Kondoa District Council |
199 | Kondoa Town Council |
200 | Kondoa Urban Water Supply Authority |
201 | Kongwa District Council |
202 | Korogwe District Council |
203 | Korogwe Town Council |
204 | Korogwe Water Supply and Sanitation Authority |
205 | Kahama Urban Water Supply and Sanitation Authority |
206 | Kigoma Urban Water Supply and Sanitation Authority |
207 | Kwimba District Council |
208 | Kyela District Council |
209 | Kyerwa District Council |
210 | Ministry of Lands, Housing and Human Settlements Development |
211 | Ministry of Education |
212 | Land Transport Regulatory Authority |
213 | Land Transport Consumer Advisory Council |
214 | Local Government Training Institute |
215 | Lindi Region |
216 | Lindi District Council |
217 | Lindi Municipal Council |
218 | Livestock Training Agency |
219 | Liwale District Council |
220 | Loliondo Urban Water Supply and Sanitation Authority |
221 | Longido District Council |
222 | Law Reform Commission of Tanzania |
223 | Ludewa District Council |
224 | Lushoto District Council |
225 | Lindi Urban Water Supply and Sanitation Authority |
NA. | JINA LA TAASISI |
226 | Lushoto Water Supply and Sanitation Authority |
227 | Lake Victoria Basin Water Board |
228 | Madaba District Council |
229 | Ministry of Minerals |
230 | Mafia District Council |
231 | Mafinga Town Council |
232 | Mafinga Water Supply and Sanitation Authority |
233 | Maganzo Water Supply and Sanitation Authority (Magawassa) |
234 | Magu District Council |
235 | Mahenge Urban Water Supply and Sanitation Authority |
236 | Ministry of Water |
237 | Makambako Town Council |
238 | Makete District Council |
239 | Makete Water Supply and Sanitation Authority |
240 | Makambako Urban Water Supply and Sanitation Authority |
241 | Ministry of Natural Resources and Tourism |
242 | Malinyi District Council |
243 | Masasi Nachingwea Water Supply and Sanitation Authority |
244 | Manyara Region |
245 | Manyara Regional Referal Hospital |
246 | Manyoni District Council |
247 | Mara Region |
248 | Mikocheni Agricultural Research Institute |
249 | Marine Parks and Reserves Unit |
250 | Masasi District |
251 | Masasi District Council |
252 | Masasi Town Council |
253 | Maswa District Council |
254 | Maswa Water Supply and Sanitation Authority |
255 | Manyoni Urban Water Authority |
256 | Ministry of Information, Communication And Information Technology |
257 | Mawenzi Regional Referal Hospital |
258 | Mbarali District Council |
259 | Mbeya Region |
260 | Mbeya City Council |
261 | Mbeya District Council |
262 | Mbeya Regional Referal Hospital |
263 | Mamlaka Ya Majisafi Na Usafi Wa Mazingira Jiji La Mbeya |
NA. | JINA LA TAASISI |
264 | Mbinga District Council |
265 | Mbinga Town Council |
266 | Mbinga Urban Water Supply and Sanitation Authority |
267 | Mbogwe Distict Council |
268 | Mbozi Distict Council |
269 | Mbulu Distict Council |
270 | Mbulu Town Council |
271 | Medical Council of Tanganyika |
272 | Meatu Distict Council |
273 | Meru Distict Council |
274 | Tanzania Meteorological Authority |
275 | Maritime Education and Training Fund |
276 | Ministry of Natural Resources and Tourism Tanzania Forest Fund |
277 | Ministry of Culture Arts and Sports |
278 | Ministry of Livestock and Fisheries |
279 | Ministry of Livestock and Fisheries |
280 | Institute of Rural Development Planning |
281 | Missenyi Distict Council |
282 | Misungwi Distict Council |
283 | Ministry of Investment, Industry And Trade |
284 | Mwalimu Julius K.Nyerere University Of Agriculture And Technology |
285 | Mkalama Distict Council |
286 | Mkinga Distict Council |
287 | Mkulazi Holding Company Limited |
288 | Mpango Wa Kurasimisha Rasilimali Na Biashara Za Wanyonge Tanzania |
289 | Mkuranga Distict Council |
290 | Mlele Distict Council |
291 | Mlimba Distict Council |
292 | Muleba Urban Water Supply and Sanitation |
293 | The Mwalimu Nyerere Memorial Academy |
294 | Ministry of Natural Resources and Tourism |
295 | Moshi Co-Operative University |
296 | Ministry of Defence And National Service |
297 | Ministry of Education Science and Technology |
298 | Ministry of Finance |
299 | Ministry of Health |
NA. | JINA LA TAASISI |
300 | Ministry of Home Affairs |
301 | Muhimbili Orthopaedic Institute |
302 | Momba Distict Council |
303 | Monduli Distict Council |
304 | Morogoro Region |
305 | Morogoro Distict Council |
306 | Morogoro Municipal Council |
307 | Morogoro Regional Referal Hospital |
308 | Morogoro Town Council |
309 | Morogoro Water Supply and Sanitation Authority |
310 | Moshi Distict Council |
311 | Moshi Municipal Council |
312 | Ministry of Works, Transport and Communications |
313 | Mpanda Distict Council |
314 | Mpanda Municipal Council |
315 | Mpanda Water Supply and Sanitation Authority |
316 | Mpimbwe Distict Council |
317 | Mpwapwa Distict Council |
318 | Makonde Plateau Water Supply and Sanitation Authority |
319 | Mpwapwa Urban Water Supply and Sanitation Authority |
320 | Mineral Resources Institute |
321 | Msalala Distict Council |
322 | Marine-Service-Co-Ltd |
323 | Medical Stores Department |
324 | Ministry of Science And Technology |
325 | Mount Meru Regional Referal Hospital |
326 | Mtwara Water Supply and Sanitation Authority |
327 | Mtwara Region |
328 | Mtwara Distict Council |
329 | Mtwara Mikindani Municipal Council |
330 | Mufindi Distict Council |
331 | Muheza Distict Council |
332 | Muleba Distict Council |
333 | Musoma District Council |
334 | Musoma Municipal Council |
335 | Mbeya University of Science and Technology |
336 | Musoma Urban Water Supply and Sanitation Authority |
337 | Moshi Urban Water Supply and Sanitation Authority |
338 | Mvomero District |
NA. | JINA LA TAASISI |
339 | Mvomero District Council |
340 | Mwananyamala Regional Referal Hospital |
341 | Mwanga District Council |
342 | Mwanhuzi Urban Water Supply & Sewerage Authority |
343 | Mwanza Region |
344 | Mwanza City Council |
345 | Mwanza Urban Water Supply and Sanitation Authority |
346 | College of African Wildlife Management, Mweka |
347 | Ministry of Works And Transport |
348 | Nachingwea District Council |
349 | Namtumbo District Council |
350 | Nanyamba Town Council |
351 | Nanyumbu District Council |
352 | Nanyumbu District Council |
353 | National Audit Office |
354 | National Ranching Company |
355 | Unesco National Commission of The United Republic of Tanzania |
356 | National Museum of Tanzania |
357 | National Sports Council Of Tanzania |
358 | National Board Of Accountants And Auditors |
359 | National Bureau Of Statistics |
360 | Ngorongoro Conservation Area Authority |
361 | National Construction Council |
362 | National College Of Tourism |
363 | National Development Corporation |
364 | National Defence College |
365 | National Electoral Commission |
366 | National Examinations Council Of Tanzania |
367 | National Environment Management Council |
368 | Newala District Council |
369 | Newal Town Council |
370 | National Fish Quality Control Laboratory |
371 | National Food Reserve Agency |
372 | Ngara District Council |
373 | Ngara Water Supply And Sanitation Authority |
374 | Ngaramtoni_Urban_Water_Supply_And_Sanitation_Authority |
375 | Ngorongoro District Council |
376 | National Housing And Building Materials Research Agency |
NA. | JINA LA TAASISI |
377 | National Housing Corporation |
378 | National Health Insurance Fund |
379 | National Insurance Corporation |
380 | Mamlaka Ya Vitambulisho Vya Taifa |
381 | National Institute For Medical Research |
382 | National Irrigation Commission |
383 | Ministry Of Energy |
384 | National Institute Of Transport |
385 | Ministry Of Foreign Affairs And East African Cooperation |
386 | Njombe Region |
387 | Njombe District Council |
388 | Njombe Regional Referal Hospital |
389 | Njombe Town Council |
390 | Njombe Urban Water Supply And Sanitation Authority |
391 | Nkasi District Council |
392 | National Land Use Planning Commission |
393 | Nelson Mandela African Institution Of Science And Technology |
394 | The National Museum Of Tanzania |
395 | National Meteorological Training Centre |
396 | National Prosecutions Service |
397 | National Sugar Insitute |
398 | Nsimbo District Council |
399 | National Social Security Fund |
400 | Neglected Tropical Diseases Control Program |
401 | National Water Fund |
402 | Nyanghwale District Council |
403 | Records And Archives Management Department |
404 | Nyasa District Council |
405 | Nzega District Council |
406 | Nzega Urban Water Supply And Sanitation Authority |
407 | Tanzania Open Government Partnership |
408 | Ocean Road Cancer Institute |
409 | Orkesumet Urban Water Supply & Sewerage Authority. |
410 | Office Of Registrar Of Political Parties |
411 | The Office Of The Solicitor General |
412 | Occupational Health And Health Agency In The Workplace |
413 | Pangani Basin Water Board |
414 | Pangani District Council |
415 | Pan African Postal Union |
NA. | JINA LA TAASISI |
416 | Tanzania Pyrethrum Board |
417 | Parliament Of Tanzania |
418 | Institute Of Wildlife Sciences Pasiansi |
419 | Petroleum Bulk Procurement Agency |
420 | Pharmacy Council |
421 | Prevention And Combation Of Corruption Bureau (Pccb) |
422 | Office Of The Prime Minister |
423 | President’s Office, Regional Administration And Local Government |
424 | Tanzania Posts Corporation |
425 | Public Procurement Appeals Authority |
426 | Public Procurement Regulatory Authority |
427 | Tanzania Prisons |
428 | Public Service Commission |
429 | Procurement And Supplies Professionals And Technicians Board |
430 | Petroleum Upstream Regulatory Authority |
431 | Pwani Region |
432 | Registration Insolvency And Trusteeship Agency |
433 | Roads Fund Board |
434 | Rombo District Council |
435 | Rombo Water Supply And Sanitation Authority |
436 | Rorya District Council |
437 | Ruangwa District Council |
438 | Ruangwa Water Supply And Sanitation Authority |
439 | Rufiji Basin Water Board |
440 | Rufiji District Council |
441 | Rujewa Water Supply And Sanitation Authority |
442 | Rukwa Region |
443 | Rukwa Basin Water Board |
444 | Rungwe District Council |
445 | Ruvuma Region |
446 | Ruvuma Basin Water Board |
447 | Rural Water Supply And Sanitation Agency |
448 | Southern African Development Community Tanzania |
449 | Same District Council |
450 | Same Mwanga Water Supply And Sanitation Authority |
451 | Sugar Board Of Tanzania |
452 | Self Microfinance Fund |
NA. | JINA LA TAASISI |
453 | Sengerma District Council |
454 | Serengeti District Council |
455 | Sengerema Urban Water Supply And Sanitation Authority |
456 | Ministry Of Constitutional And Legal Affairs |
457 | Shinyanga Region |
458 | Shinyanga District Council |
459 | Shinyanga Municipa Council |
460 | Mamlaka Ya Majisafi Na Usafi Wa Mazingira Mjini Shinyanga |
461 | Small Industries Development Organization |
462 | Siha District Council |
463 | Sikonge District Council |
464 | Simanjiro District Council |
465 | Simiyu Region |
466 | Singida Region |
467 | Singida District Council |
468 | Singida Municipal C Ouncil |
469 | Sisal Board |
470 | Songea District Council |
471 | Songea Municipal Council |
472 | Songwe Region |
473 | Songwe District Council |
474 | Songea Urban Water Supply And Sanitation Authority |
475 | State Mining Corporation |
476 | Stamigold Company Limited |
477 | Sumbawanga District Council |
478 | Sumbawanga Municipa Council |
479 | Sumbawanga Regional Referal Hospital |
480 | Singida Urban Water And Sanitation Authority |
481 | Sumbawanga Urban Water Supply And Sanitation Authority |
482 | Tanzania Airports Authority |
483 | Tabora Region |
484 | Tabora Municipal Council |
485 | Tanzania Commission For Aids |
486 | Tanzania Agricultural Development Bank (Tadb) |
487 | Tanzania Atomic Energy Commission |
488 | Tanzania Forestry Research Institute |
489 | Tanzania Global Learning Agency |
490 | Tanzania Livestock Research Institute |
491 | President’s Office Regional Administration And Local |
NA. | JINA LA TAASISI |
Government | |
492 | Tandahimba District Council |
493 | Tanga Region |
494 | Tanga City Council |
495 | Tanganyika District Council |
496 | Tanga Urban Water Supply And Sanitation Authority |
497 | Tanrail Investment Limited |
498 | Tanzania National Roads Agency |
499 | Tanzania Trade Development Authority |
500 | Tanzania Government Portal |
501 | Tanzania High Commission |
502 | Tanzania National Park |
503 | Tanzania Tourist Board |
504 | Tanzania Tourist Board |
505 | Tanzania Agricultural Research Institute |
506 | Tarime District Council |
507 | Tarime Town Council |
508 | Tarime Water Supply And Sanitation Authority |
509 | Tanzania Rural And Urban Roads Agency |
510 | Tanzania Shipping Agencies Corporation |
511 | Tanzania Social Action Fund |
512 | Taasisi Ya Sanaa Na Utamaduni Bagamoyo |
513 | Tanzania Wildlife Management Authority |
514 | Tanzania Wildlife Research Institute |
515 | Tanzania Zambia Railway |
516 | Tanzania Buildings Agency |
517 | Tanzanian Broadcasting Corporation |
518 | Tanzania Bureau of Standards |
519 | Tanzania Civil Aviation Authority |
520 | Tanzania Civil Aviation Authority-Consumer Consultative Council |
521 | Tanzania Cotton Board |
522 | Tanzania Communications Regulatory Authority (TCRA) |
523 | Tanzania Communications Regulatory Authority Consumer Consultative Council |
524 | Tanzania Commission for Universities |
525 | Tanzania Milk Board |
526 | Tanzania Education Authority |
527 | Tea Board of Tanzania |
528 | Tanzania Extractive Industries Transparency Initiatives |
NA. | JINA LA TAASISI |
529 | Tanzania Engineering and Manufacturing Design Organization |
530 | Temeke Municipal Council |
531 | Tanzania Electrical, Mechanical and Electronics Services Agency |
532 | Tanzania Food and Drugs Authority |
533 | Tanzania Food and Nutrition Centre |
534 | Tanzania Fertilizer Regulatory Authority |
535 | Tanzania Forest Service Agency |
536 | Tanzania Gemmological Centre |
537 | Tanzania Geothermal Development Company |
538 | Tanzania Government Flight Agency |
539 | Tanzania Institute of Accountancy |
540 | Tanzania Investment Centre |
541 | Tengeru Institute of Community Development |
542 | Tanzania Institute of Education |
543 | Tanzania Insurance Ombudsman |
544 | Tanzania Insurance Regulatory Authority |
545 | Tanzania Industrial Research and Development Organization |
546 | Tanzania Library Services Board |
547 | Tanzania Meat Board |
548 | Tanzania Medicines and Medical Devices Authority |
549 | Tanzania Mercantile Exchange |
550 | National Business Council |
551 | Tanzania Nursing & Midwifery Council |
552 | Tanzania Tobacco Board |
553 | Tobacco Research Institute of Tanzania |
554 | Tanzania Official Seed Certification Institute |
555 | Tanzania Ports Authority |
556 | Tanzania Petroleum Development Corporation |
557 | Tanzania People’s Defense Forces |
558 | Tanzania Police Force |
559 | Town Planners Registration Board |
560 | Tropical Pesticides Research Institute |
561 | Tanzania Public Service College |
562 | Tanzania Railways Corporation |
563 | Office of Treasury Registrar |
564 | Teachers’ Service Commission |
565 | Tanzania Telecommunication Corporation |
566 | Tanzania Tree Seed Agency |
NA. | JINA LA TAASISI |
567 | Mining Commission |
568 | Tunduma Town Council |
569 | Tunduma Water Supply and Sanitation Authority |
570 | Tunduru District Council |
571 | Turiani Urban Water Supply and Sanitation Authority |
572 | Tunduru Urban Water Supply and Sanitation Authority |
573 | Tabora Urban Water Supply and Sanitation Authority |
574 | Tukuyu Water Supply and Sanitation Authority |
575 | Tanzania Veterinary Laboratory Agency |
576 | Ubungo Municipal Council |
577 | Ministry of Works and Transport |
578 | Communication Fund for All |
579 | University of Dodoma |
580 | University of Dar Es Salaam |
581 | Ukerewe District Council |
582 | Ulanga District Council |
583 | Uongozi Institute |
584 | Ubungo Plaza Limited |
585 | Urambo District Council |
586 | Ushetu District Council |
587 | Tume Ya Maendeleo ya Ushirika |
588 | Ushirombo Water Supply and Sanitation Authority |
589 | Ofisi Ya Rais – Menejimenti Ya Utumishi Wa Umma Na Utawala Bora |
590 | Uvinza District Council |
591 | Wizara Ya Uvuvi |
592 | National Economic Empowerment Council |
593 | Uyui District Council |
594 | Vocational Education and Training Authority |
595 | Vice President’s Office |
596 | Valuers Registration Board |
597 | Wangingombe District Council |
598 | Wanging’ombe Water Supply and Sanitation Authority |
599 | Water Institute |
600 | Workers Compensation Fund |
601 | Water Development and Management Institute |
602 | Watumishi Housing Company |
603 | Weights and Measures Agency |
604 | Warehouse Receipt Regulatory Board |
KIAMBATISHO NA. 4
MAMLAKA YA SERIKALI MTANDAO (e-GA)
TAASISI 172 ZILIZOUNGANISHWA KWENYE MFUMO WA OFISI MTANDAO-e-OFFICE
S/N | JINA LA TAASISI |
1 | Prime Minister’s Office Investment |
2 | National Health Insurance Fund (NHIF) |
3 | Tanzania Social Action Fund – TASAF |
4 | Co-Operative Audit and Supervision Corporation (COASCO) |
5 | National Identification Authority (NIDA) |
6 | Tanzania Tourist Board (TTB) |
7 | College of African Wildlife Management, Mweka |
8 | Songwe Regional Administrative Secretariat Office (Songwe Ras) |
9 | Tanzania Airports Authority – TAA |
10 | Tanzania Tobacco Board |
11 | Air Tanzania Company Limited – ATCL |
12 | Higher Education Students’ Loans Board (HESLB) |
13 | Town Planners Registration Board (TPRB) |
14 | Arusha City Council |
15 | Tanzania Film Board |
16 | Dar Es Salaam Water and Sewerage Authority (DAWASA) |
17 | Prevention and Combation Of Corruption Bureau (PCCB) |
18 | Tanzania Posts Corporation |
19 | Tanzania Trade Development Authority (TANTRADE) |
20 | Tanzania Government Flight Agency |
21 | Commission for Human Rights and Good Governance |
22 | Cereals and Other Produce Board of Tanzania |
23 | Land Transport Regulatory Authority (LATRA) |
24 | Institute of Judicial Administration (IJA) |
25 | Architects and Quantity Surveyors Registration Board (AQRB) |
26 | Medical Stores Department (MSD) |
27 | Benjamin Mkapa Hospital |
28 | Law Reform Commission of Tanzania |
29 | College of Business Education (CBE) |
S/N | JINA LA TAASISI |
30 | National Audit Office of Tanzania (NAOT) |
31 | Judicial Service Commission |
32 | Nelson Mandela African Institution of Science and Technology |
33 | Tanzania Revenue Authority (TRA) |
34 | Ngorongoro Conservation Area Authority (NCAA) |
35 | National Water Fund |
36 | The University of Dodoma |
37 | Tanzania Agricultural Development Bank (Tadb) |
38 | The Geological Survey of Tanzania |
39 | Tanzania Institute of Education |
40 | Tanzania Bureau of Standards (TBS) |
41 | Tanzania Communications Regulatory Authority (TCRA) |
42 | Tanzania Ports Authority (TPA) |
43 | National Electoral Commission-NEC |
44 | Tanzania Wildlife Authority – TAWA |
45 | The Clerk National Assembly of Tanzania |
46 | National Museum of Tanzania |
47 | Mbeya Regional Administrative Secretariat Office |
48 | Rukwa Region |
49 | Lindi Regional Administrative Secretariat |
50 | The Office of Attorney General |
51 | Judiciary of Tanzania |
52 | Mkulazi Holding Company – Mkulazi |
53 | Institute of Finance Management (IFM) |
54 | State Mining Corporation (STAMICO) |
55 | Universal Communications Service Access Fund (UCSAF) |
56 | Tanzania National Parks (TANAPA) |
57 | Workers Compensation Fundd (WCF) |
58 | Agricultural Inputs Trust Fund (AGITF) |
59 | Fair Competition Tribunal |
60 | National Examinations Council of Tanzania (NECTA) |
61 | Dodoma Region |
62 | Warehouse Receipt Regulatory Board (WRRB) |
63 | Local Government Training Institute (LGTI) |
64 | Tanzania Commission for Universities (TCU) |
S/N | JINA LA TAASISI |
65 | Roads Fund Board |
66 | Moshi Urban Water Supply and Sanitation Authority |
67 | Ethics Secretariat |
68 | Tanzania Food and Nutrition Centre |
69 | Tanzania Meat Board |
70 | Joint Finance Commission |
71 | National Bureau of Statistics |
72 | Njombe Ragional Administrative Secretariat |
73 | Ikungi District Council |
74 | Tanzania Veterinary Laboratory Agency |
75 | Drug Control and Enforcement Authority (DCEA) |
76 | Petroleum Upstream Regulatory Authority (PURA) |
77 | Tume Ya Madini |
78 | Mbeya University of Science and Technology |
79 | Uongozi Institute |
80 | Jeshi La Magereza Tanzania |
81 | Public Procurement Appeal Authority (PPAA) |
82 | Marine Services Company Limited (MSCL) |
83 | Ministry Of Home Affairs |
84 | Office of Registrar of Political Parties (ORPP) |
85 | Dar es Salaam Maritime Institute |
86 | Morogoro Regional Administrative Secretariat |
87 | Kilimanjaro Airport Development Company (KADCO) |
88 | Tanzania Fertilizer Regulatory Authority (TFRA) |
89 | Livestock Training Agency (LITA) |
90 | Rural Water Supply and Sanitation Agency (RUWASA) |
91 | Tanzania Civil Aviation Authority (TCAA) |
92 | Singida Regional Administrative Secretariat |
93 | Mwanza Regional Administrative Secretairet |
94 | Mtwara Ragional Administrative Secretariat |
95 | Tanzania Insurance Regulatory Authority (TIRA) |
96 | Tanga Water Supply and Sanitation Authority |
97 | Dar es Salaam Regional Administrative Secretariat |
98 | Tabora Regional Administrative Secretariat |
99 | National Development Corporation – NDC |
S/N | JINA LA TAASISI |
100 | National Environment Management Council – NEMC |
101 | Tanzania Education Authority |
102 | Tanzania Investment Centre (TIC) |
103 | Iringa Regional Administrative Secretariat |
104 | Kilimanjaro Regional Administrative Secretariat |
105 | Tanzania Forest Service Agency |
106 | Fair Competition Commission (FCC) |
107 | Tanzania Wildlife Research Institute (TAWIRI) |
108 | Arusha Regional Administrative Secretariat |
109 | Ministry of Livestock and Fisheries – Fisheries Sector |
110 | Tanzania Cooperative Development Commission (TCDC) |
111 | Property and Business Formalization Programme (MKURABITA) |
112 | Tanga Regional Administrative Secretariat |
113 | Kigoma Regional Administrative Secretariat |
114 | Manyara Regional Administrative Secretariat |
115 | Public Procurement Regulatory Authority (PPRA) |
116 | Ministry of Livestock and Fisheries (Livestock) |
117 | Tanzania Broadcasting Corporation (TBC) |
118 | National Insurance Corporation (NIC) |
119 | Gaming Board of Tanzania (GBT) |
120 | Business Registrations and Licensing Agency (BRELA) |
121 | Tanzania Railways Corporation (TRC) |
122 | Occupational Safety and Health Authority (OSHA) |
123 | The Office of Treasury Registrar |
124 | Procurement and Supplies Professionals and Technicians Board (PSPTB) |
125 | Public Service Recruitment Secretariat (PSRS) |
126 | Weights and Measures Agency (WMA) |
127 | Tanzania Commission for Science and Technology (COSTECH) |
128 | Ministry of Health Community Development, Gender, Elderly and Children |
129 | Government Chemist Laboratory Authority (GCLA) |
130 | National Institute of Transport (NIT) |
131 | Tanzania Building Agency (TBA) |
132 | Pharmacy Council – Tanzania |
S/N | JINA LA TAASISI |
133 | Tanzania Institute of Accountancy (TIA) |
134 | The Office of The Solicitor General (OSG) |
135 | Tanzania Medicines and Medical Devices Authority (TMDA) |
136 | Engineers Registration Board (ERB) |
137 | National Food Reserve Agency (NFRA) |
138 | National Board of Accountants and Auditors (NBAA) |
139 | Ministry of Natural Resources and Tourism |
140 | Prime Minister’s Office, Labour, Youth, Employment and Persons with Disability |
141 | Teachers’ Service Commission |
142 | Ministry of Water |
143 | Ministry of Finance |
144 | Wizara ya Nishati |
145 | Wizara ya Madini |
146 | Tanzania Electrical, Mechanical and Electronics Services Agency (TEMESA) |
147 | Wizara ya Elimu, Sayansi Na Teknolojia |
148 | Tanzania Rural and Urban Roads Agency (TARURA) |
149 | Government Procurement Services Agency (GPSA) |
150 | National Housing and Building Research Agency (NHBRA) |
151 | Tanzania Meteorological Agency (TMA) |
152 | Ministry of Health |
153 | Ministry of Agriculture |
154 | Wizara Ya Ujenzi |
155 | Tamisemi |
156 | Vice President’s Office |
157 | Ministry of Information, Culture, Arts and Sports |
158 | Wizara ya Viwanda, Biashara Na Uwekezaji |
159 | Wizara ya Katiba na Sheria |
160 | Dar Rapid Transit (DART) |
161 | Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi |
162 | Tanzania Global Learning Agency (TAGLA) |
163 | Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa |
164 | Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki |
165 | Tanzania Public Service College (TPSC) |
S/N | JINA LA TAASISI |
166 | Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi – Uchukuzi |
167 | Public Service Commision |
168 | Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari |
169 | Prime Minister’s Office |
170 | Ofisi ya Rais -Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora |
171 | Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa. |
172 | e-Government Authority (e-GA) |
KIAMBATISHO NA. 5
MAMLAKA YA SERIKALI MTANDAO (e-GA)
TAASISI 236 ZILIZOUNGANISHWA KATIKA MFUMO WA KUTOA
HUDUMA KWA NJIA YA SIMU ZA MKONONI (GOVERNMENT
MOBILE PLATFORM SYSTEM)
NA. | JINA LA TAASISI |
1 | Ministry of Finance |
2 | Dar es salaam Water and Sewerage Corporation |
3 | Tanzania Revenue Authority |
4 | National Health Insurance Fund – NHIF |
5 | Arusha Urban Water Supply and Sanitation Authority (AUWSA) |
6 | Dodoma Urban Water Supply and Sewerage Authority |
7 | Tanzania Livestock Research Institute (TALIRI) |
8 | National Electoral Commission – NEC |
9 | Mwanza Urban Water and Sewerage Authority |
10 | Tanga Urban Water Supply and Sewerage Authority |
11 | Iringa Urban Water Supply and Sewerage Authority |
12 | Tanzania Rural and Urban Roads Agency-TARURA |
13 | Shinyanga Urban Water Supply and Sanitation Authority |
14 | Mbeya Urban Water supply and Sewerage Authority |
15 | Tabora Urban Water Supply and Sewerage Authority |
16 | Kahama Urban Water Supply and Sanitation Authority-Kahama UWASA |
17 | Singida Urban Water and Sanitation Authority |
18 | Workers Compensation Fund |
19 | Bank of Tanzania – BOT |
20 | National Council for Technical Education-NACTE |
21 | Public Service Pensions Fund – PSPF |
22 | Energy and Water Utilities Regulatory Authorities – EWURA |
23 | Ministry of Agriculture, Food Security and Co-operatives |
24 | Nationa Social Security Fund – NSSF |
25 | Moshi Urban Water Supply and Sewerage Authority |
26 | Morogoro Urban Water Supply and Sanitation Authority |
27 | National Housing Corporation – NHC |
28 | Sumbawanga Urban Water Supply and Sewerage Authority |
NA. | JINA LA TAASISI |
29 | Nzega Urban Water Supply and Sanitation Authority |
30 | Geita Urban Water Supply and Sanitation Authority (GEUWASA) |
31 | Ministry of Lands, Housing and Human Settlements Developments |
32 | Mtwara Urban Water Supply and Sewerage Authority |
33 | The Judiciary of Tanzania |
34 | Musoma Urban Water and Sewerage Authority |
35 | Masasi-Nachingwea Water Supply and Sanitation Authority |
36 | Babati Urban Water Supply and Sewerage Authority |
37 | Tanzania Railways corporation |
38 | Bukoba Urban Water Supply and Sewerage Authority |
39 | Bunda Urban Water Supply and Sanitation Authority (BUWSSA) |
40 | Tanzania Electrical Supply Company Limited – TANESCO (Dodoma) |
41 | Ministry of Regional Administration and Local Government (TAMISEMI) |
42 | Songea Urban Water and Sewerage Authority |
43 | Ethics Secretariate |
44 | Njombe Urban Water Supply and Sanitation Authority |
45 | Kigoma Urban Water Supply and Sewerage Authority |
46 | Tanzania Commission for Universities – TCU |
47 | Tanzania Atomic Energy Commission – TAEC |
48 | Sengerema Water Supply and Sanitation Authority (SEUWASA) |
49 | e-Government Authority |
50 | Lindi Urban Water Supply and Sewerage Authority |
51 | Chalinze Water Supply and Sanitation Authority-CHALIWASA |
52 | Surface and Marine Transport Authority – SUMATRA |
53 | Contractors Registration Board – CRB |
54 | Igunga Urban Water Supply and Sanitation Authority – IGUWASA |
55 | Medical Store Department |
56 | Mbinga water supply and sanitation authority(mbingawssa) |
57 | e-Government Zanzibar |
58 | Kibaigwa water supply and sanitation authority |
59 | Ministry of Health and Social Welfare |
60 | JAKAYA KIKWETE CARDIAC INSTITUTE (JKCI) |
61 | Ardhi University |
NA. | JINA LA TAASISI |
62 | Occupational Health and Safety Authority – OSHA |
63 | Tanzania Broadcasting Corporation – TBC |
64 | Vocational Education and Training Authority – VETA |
65 | Parastatals Pension Fund – PPF |
66 | LAMADI WATER PROJECT(LAWAP) |
67 | Mpanda Water Supply and Sanitation |
68 | Tanzania Electrical Supply Company Limite – TANESCO (HQ) |
69 | Makambako Urban Water Supply and Sanitation Authority (MAKUWASA) |
70 | TUKUYU URBAN WATER SUPPLY AND SANITATION AUTHORITY |
71 | Fire Rescue Force (FRF) |
72 | Public Service Recruitment Secretariate – PSRS |
73 | Mzumbe University |
74 | National Examination Council of Tanzania – NECTA |
75 | Pharmacy Council Tanzania |
76 | National Insurance Corporation (NIC) |
77 | Tanzania Communications Regulatory Authority – TCRA |
78 | Tanzania Buildings Agency – TBA |
79 | Korogwe water supply and sanitation authority |
80 | Tanzania Electric Supply Company Mwanza Region |
81 | Handeni Trunk Main Water Supply and Sanitation Authority |
82 | Procurement and Supplies Professionals and Technicians Board (PSPTB) |
83 | Chato Water Supply and Sanitation Authority |
84 | Tanzania Electric Supply Company Limited Kinondoni North Region |
85 | Mafinga Urban Water Supply and Saniration Authority (MAUWASA) |
86 | Maswa water supply and sanitation authority |
87 | University of Dodoma |
88 | Manyoni Water Supply and Sanitation Authority |
89 | Wanging’ombe Water Supply and Sanitation Authority |
90 | Tanzania Shipping Agencies Corporation (TASAC) |
91 | Tanzania Insurance Regulatory Authority – TIRA |
92 | The Parliament of Tanzania |
NA. | JINA LA TAASISI |
93 | Eastern Africa Statistical Training Centre – EASTC |
94 | Tanzania Electric Supply Company Limited Shinyanga Region |
95 | Tanzania Trade Development Authority – TANTRADE |
96 | Tanzania Electric Supply Company Limited Geita Region |
97 | Tanzania Ports Authority – TPA |
98 | Kinondoni Municipal Council |
99 | Muleba Water Supply and Sanitation Authority … |
100 | Mwanhuzi Urban Water Supply and Sanitation Authority (MWANHUZI UWSSA) |
101 | Institute of Accountancy Arusha |
102 | Sokoine University of Agriculture – SUA |
103 | Mugumu Urban Water Supply and Sanitation Authority |
104 | Bariadi urban water supply and sanitation authority |
105 | Architects and Quantity Surveyors Registration Board |
106 | NGARA URBAN WATER SUPPLY AND SANITATION AUTHORITY(NGUWASA)) |
107 | College of Business Education (CBE) |
108 | Local Authority Pensions Fund – LAPF |
109 | Kishapu Water Supply and Sanitation Authority |
110 | Ministry of Natural Resources and Tourism |
111 | Tanzania electric supply company limited tabora region |
112 | Same mwanga water supply and sanitation authority (samwasa) |
113 | BIHARAMULO WATER SUPPLY AND SANITATION AUTHORITY |
114 | Kilwa Urban Water Supply and Sanitation Authority |
115 | Mamlaka ya Maji Kondoa (KONDOA WSSA) |
116 | Tanzania Social Action Fund – TASAF |
117 | Mpwapwa Water Supply and Sanitation Authority |
118 | Arusha City Council |
119 | Makonde Plateau Water Supply and Saniation Authority |
120 | Vwawa-mlowo water supply and sanitation authority |
121 | Tanzania National Parks – TANAPA |
122 | Tanzania electric supply cooperation temeke region |
123 | Ministry of Livestock and Fisheries (Livestock Sector) |
124 | Tanzania Bureau of Standards – TBS |
125 | Bank of tanzania training institute |
NA. | JINA LA TAASISI |
126 | Institute of Rural Development Planning IRDP |
127 | Maganzo Water Supply and Sanitation Authority |
128 | National Audit Office |
129 | Public Procurement Regulatory Authority – PPRA |
130 | Ministry of Water |
131 | Tanzania Electric Supply Company Limited Kilimanjaro Region |
132 | Tanzania Electric Supply Company Limited Rukwa Region |
133 | Benjamin Mkapa Hospital |
134 | Tanzania Electric Supply Company Limited Arusha Region |
135 | Institute of Finance Management (IFM) |
136 | Dar es Salaam Rapit Transit Agency – DART |
137 | Loliondo urban water supply and sanitation authority (loluwasa) |
138 | Medical Council of Tanganyika |
139 | Makete Urban Water Supply and Sanitation Authority- Makete – WSSA |
140 | Tanzania electric supply company songwe |
141 | Ngorongoro Conservation Area Authority – NCAA |
142 | Tanzania Nurses and Midwives Council |
143 | Dar es Salaam Stock Exchange-DSE |
144 | Mugango/kiabakari water and supply authority |
145 | Tanzania National Roads Agency – TANROADS |
146 | Kasulu Water Supply and Sanitation Authority- Kasulu WSSA |
147 | Government Procurement Service Agency – GPSA |
148 | Tanzania Meat Board (TMB) |
149 | National Environment Management Council |
150 | Kibondo Water Supply and Sanitation Authority- Kibondo UWSSA |
151 | Ministry of Minerals |
152 | Tanzania Electric Company Limited Kagera |
153 | Ministry of Works |
154 | Muhimbili Orthopaedic Institute |
155 | Karatu Water Supply and Sanitation Authority – Karatu-WSSA |
156 | Tanzania Forest Services Agency – TFS |
157 | Zanzibar housing corporation (zhc) |
158 | ICT Commission (ICTC) |
159 | Ifakara urban water supply and sanitation authority |
NA. | JINA LA TAASISI |
160 | Tarime urban water supply and sanitation authority (taruwasa) |
161 | Mbulu Water Supply and Sanitation Authority |
162 | President’s Office, Public Service Management and Good Governance (UTUMISHI) |
163 | Engineers Registration Board (ERB) |
164 | Tanzania wildlife authority |
165 | Roads Fund Board (RFB) |
166 | Temeke Municipal Council |
167 | Tanzania Electric Supply Company Limited-kigoma Region |
168 | WATUMISHI HOUSING COMPANY |
169 | Arusha Technical College-ATC |
170 | Rufiji basin water board |
171 | Tunduru Water Supply and Sanitation Authority- Tunduru WSSA |
172 | Lindi Municipal Council |
173 | College of African Wildlife Management, Mweka |
174 | Tanzania Electric Supply Company Limited Mororogoro |
175 | Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Dae es Salaam |
176 | Orkesumet urban water supply and sanitation authority (ouwasa) |
177 | Ministry of of Constitution and Legal Affairs |
178 | Kahama Shinyanga Water Supply and Sanitation Authority |
179 | Pangani Basin Water Board |
180 | SUMA JKT |
181 | Karagwe WSSA |
182 | Open University of Tanzania |
183 | Kinondoni Hospital |
184 | Lake victoria basin water board |
185 | Kibaya water supply and sanitation authority |
186 | National Kiswahili Council of Tanzania |
187 | Gaming Board of Tanzania |
188 | Arusha Regional Commisioner |
189 | National Housing Building Research Agency – NHBRA |
190 | The National Economic Empowerment Council-NEEC |
191 | Commission for Human Rights and Good Governance |
192 | President office, Revolutionary Council |
193 | Tanzania Electric Supply Company Limited Katavi |
NA. | JINA LA TAASISI |
194 | Tanzania Electric Supply Company Limited Mara Region |
195 | Wami Ruvu Basin |
196 | Rural Water Supply and Sanitation Authority |
197 | Katavi Regiona |
198 | Meru District Council |
199 | Tanzania Airports Authority |
200 | High Court of Tanzania-labour Division |
201 | Korogwe Town Council |
202 | Kilimanjaro Airports Development Company (KADCO) |
203 | THE TANZANIA COOPERATIVE DEVELOPMENT COMMISSION |
204 | Tanzania Film Board |
205 | Mwanza City Council |
206 | Tanzania Public Service College – TPSC |
207 | National Kiswahili Council (BAKITA) |
208 | Prime Minister’s Office, Labour, Youth Employment and Persons with Disability |
209 | Kigoma Ujiji Municipal Council |
210 | Kigoma Region |
211 | Ruangwa Water Supply and Sanitation Authority- Ruangwa WSSA |
212 | zanzibar disaster management commission |
213 | Lake Rukwa Basin Water Board |
214 | Ministry of Trade and Industry Zanzibar |
215 | University of Dar es Salaam (UDSM) |
216 | Ilala Municipal Council |
217 | Agency for the Development of Educational Management – ADEM |
218 | Water Development Management Institute – WDMI |
219 | State Mining Corporation – STAMICO |
220 | Misungwi District Council |
221 | Marine Services Company Limited – MSCL |
222 | Dar es Salaam City Council (DCC) |
223 | EWURA Consumer Consultative Council |
224 | RAS-MOROGORO |
225 | Social Security Regulatory Authority – SSRA |
226 | Export Processing Zones Authority – EPZA |
NA. | JINA LA TAASISI |
227 | Police Force |
228 | Business Registrations and Licensing Agency – BRELA |
229 | Tanzania Food and Drugs Authority – TFDA |
230 | Tanzania Government Chemistry Laboratory Agency – GCLA |
231 | Tanzania Meteorological Agency – TMA |
232 | RAS-IRINGA |
233 | Registration, Insolvency and Trusteeship Agency – RITA |
234 | Tanzania Investment Center – TIC |
235 | Immigration |
236 | Tanzania Tourist Board |
KIAMBATISHO NA. 6
MAMLAKA YA SERIKALI MTANDAO (e-GA)
TAASISI 610 ZINAZOTUMIA MFUMO WA VIBALI VYA KUSAFIRIA
NJE YA NCHI (e-VIBALI SYSTEM)
Na | JINA LA TAASISI |
1. | Agency for the Development of Educational Management (ADEM) |
2. | Agricultural Seed Agency (ASA) |
3. | Agriculture Inputs Trust Fund – AGITF |
4. | Air Tanzania Company Limited |
5. | Amana Regional Referral Hospital |
6. | Appropriate Technology Training Institute – ATTI |
7. | Architects and Quantity Surveyors Registration Board – AQSRB |
8. | Ardhi Institute Morogoro |
9. | Ardhi Institute Tabora |
10. | Ardhi University – ARU |
11. | Arnautoglu Folk Development College |
12. | Arusha City Council |
13. | Arusha District Council |
14. | Arusha International Conference Centre |
15. | Arusha Regional |
16. | Arusha Technical College |
17. | Arusha Urban Water Supply and Sewerage Authority |
18. | Babati District Council |
19. | Babati Town Council |
20. | Babati Urban Water Supply and Sanitation Authority |
21. | Bagamoyo District Council |
22. | Bahi District Council |
23. | Bank of Tanzania – BOT |
24. | Baraza la Kiswahili la Taifa – BAKITA |
25. | Baraza la Michezo Tanzania – BMT |
26. | Baraza la Sanaa la Taifa – BASATA |
27. | Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) |
28. | Baraza la Taifa la Mitihani (NECTA) |
29. | Baraza la ushauri la watumiaji wa huduma za Nishati na Maji |
Na | JINA LA TAASISI |
(EWURA CCC) | |
30. | Baraza la Uwezeshaji wananchi Kiuchumi |
31. | Bariadi District Council |
32. | Bariadi Town Council |
33. | Benjamin Mkapa Hospital |
34. | Bigwa Folk Development College |
35. | Biharamulo District Council |
36. | Bodi ya Filamu Tanzania – TFB |
37. | Buchosa District Council |
38. | Bugando Medical Centre |
39. | BUHANGIJA FDC |
40. | Buhigwe District Council |
41. | Bukoba District Council |
42. | Bukoba Municipal Council |
43. | Bukoba Urban Water Supply and Sanitation Authority (BUWASA) |
44. | Bukombe District Council |
45. | Bumbuli District Council |
46. | Bunda District Council |
47. | Bunda Town Council |
48. | Busega District Council |
49. | Busokelo DC |
50. | BUSTANI TC |
51. | Butiama District Council |
52. | BUTIMBA TC |
53. | Capital Markets and Securities Authority (CMSA) |
54. | Cashewnut Board Of Tanzania |
55. | CENTRE FOR AGRICULTURAL MECHANIZATION AND RURAL TECHNOLOGY (CAMARTEC) |
56. | CEREALS AND OTHER PRODUCE BOARD |
57. | CHALA FDC |
58. | Chalinze District Council |
59. | Chamwino District Council |
60. | Chato District Council |
61. | Chato District Council |
62. | Chemba District Council |
Na | JINA LA TAASISI |
63. | Chisalu fdc |
64. | CHUO CHA DIPLOMASIA |
65. | Chuo cha Ualimu Bunda |
66. | CHUO CHA UALIMU KATOKE |
67. | Chuo cha Ualimu Kitangali |
68. | CHUO CHA UALIMU KOROGWE |
69. | Chuo cha Ualimu Mamire |
70. | CHUO CHA UALIMU MOROGORO |
71. | Chuo cha ualimu Mpuguso |
72. | CHUO CHA UALIMU MURUTUNGURU |
73. | Chuo cha Ualimu Nachingwea |
74. | Chuo Cha Ualimu Ndala |
75. | Chuo cha Ualimu Shinyanga (SHYCOM) |
76. | Chuo cha Ualimu Sumbawanga |
77. | CHUO CHA UALIMU TUKUYU |
78. | Chuo cha ualimu Ufundi Mtwara |
79. | Co-operative Audit and Supervision Corporation (COASCO) |
80. | College of African Wildlife Management (MWEKA) |
81. | College of Business Education – CBE |
82. | Contractors Registration Board – CRB |
83. | Copyright Society of Tanzania -COSOTA |
84. | Dakawa Tc |
85. | Dar Es Salaam City Council |
86. | Dar es Salaam Maritime Institute – DMI |
87. | Dar es Salaam RAS |
88. | Dar es Salaam Stock Exchange PLC |
89. | Dar es Salaam University College of Education (DUCE) |
90. | Dar es Salaam Water and Sewerage Authority (DAWASA) |
91. | Dar Rapid Transit (DART) |
92. | Dar-es-Salaam Institute of Technology (DIT) |
93. | Dodoma City Council |
94. | Dodoma Regional Referral Hospital |
95. | Dodoma Urban Water and Sanitation (DUWASA) |
96. | Dodoma Urban Water Supply and Sanitation Authority |
97. | e-Government Authority – eGA |
Na | JINA LA TAASISI |
98. | Eastern Africa Statistical Training Centre |
99. | Energy and Water Utilities Regulatory Authority (EWURA) |
100. | Engineers Registration Board – ERB |
101. | Ethics Secretariat |
102. | Export Processing Zones Authority – EPZA |
103. | Fair Competition Commission – FCC |
104. | Fair Competition Tribunal – FCT |
105. | Financial Intelligence Unit |
106. | FISHERIES EDUCATION AND TRAINING AGENCY – FETA |
107. | Gaming Board of Tanzania |
108. | GEITA DISTRICT COUNCIL |
109. | Geita Region |
110. | Geita Town Council |
111. | Geological Survey of Tanzania |
112. | GEPF Retirement Benefits Fund |
113. | GERA FDC |
114. | Government Chemist Laboratory Authority – GCLA |
115. | Government Procurement Services Agency – GPSA |
116. | HAI DISTRICT COUNCIL |
117. | HAITUMIKI – Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) |
118. | Halmashauri ya Mji Ifakara |
119. | Halmashauri ya Mji wa Korogwe |
120. | Halmashauri ya Walaya ya Lushoto |
121. | Halmashauri ya Wilaya Kilwa |
122. | Halmashauri ya Wilaya Misungwi |
123. | Halmashauri ya Wilaya ya Gairo |
124. | Halmashauri ya Wilaya ya Kilindi |
125. | Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero |
126. | Halmashauri ya Wilaya ya Mkinga |
127. | Halmashauri ya Wilaya ya Muheza |
128. | Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo |
129. | Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga |
130. | Hanang District Council |
131. | HANDENI DISTRICT COUNCIL |
132. | HANDENI FDC |
Na | JINA LA TAASISI |
133. | HANDENI TOWN COUNCIL |
134. | Hifadhi ya Bahari na Maeneo Tengefu |
135. | Higher Education Student’s Loans Board(HESLB) |
136. | IFAKARA FDC |
137. | Igunga District Council |
138. | Ikungi District Council |
139. | IKWIRIRI FDC |
140. | Ilala Municipal Council |
141. | Ileje District Council |
142. | Ilemela Municipal Council |
143. | ILONGA TC |
144. | Ilula Folk Development College |
145. | IMMIGRATION |
146. | Immigration Services Department – ISD |
147. | Information and Communication Technology (ICT) Commission |
148. | INSTITUTE OF ACCOUNTANCY ARUSHA |
149. | Institute of Adult Education (IAE) |
150. | Institute of Judicial Administration Lushoto |
151. | Institute of Rural Development Planning |
152. | Institute of Social Work |
153. | IRAMBA DISTRICT COUNCIL (IRAMBA DC) |
154. | Iringa District Council |
155. | Iringa Municipal Council |
156. | IRINGA RAS |
157. | Iringa Water Supply and Sanitation Authority |
158. | Itigi District Council |
159. | Itilima District Council |
160. | Jakaya Kikwete Cardiac Institute – JKCI |
161. | Jeshi la Magereza Tanzania |
162. | Jeshi la Polisi Tanzania – TPF |
163. | Jeshi la Zimamoto na Uokoaji |
164. | Joint Finance Commission – JFC |
165. | Julius Nyerere International Airport – JNIA |
166. | Kabanga TC |
167. | KAGERA REGIONAL |
Na | JINA LA TAASISI |
168. | Kahama Shinyanga Water Supply and Sanitation Authority |
169. | Kahama Town Council |
170. | Kahama Urban Water Supply and Sanitation Authority |
171. | Kakonko District Council |
172. | Kalambo District Council |
173. | Kaliua District Council |
174. | Kanda ya Nyanda za Juu Kusini |
175. | KARAGWE DISTRICT COUNCIL |
176. | KARATU DISTRICT COUNCIL |
177. | KASULU DISTRICT COUNCIL (KASULU DC) |
178. | KASULU FDC |
179. | Kasulu Teachers’ College |
180. | Kasulu Town Council |
181. | Katavi Regional Referral Hospital |
182. | Katumba FDC |
183. | KIBAHA DISTRICT COUNCIL |
184. | Kibaha Education Centre |
185. | Kibaha Town Council |
186. | KIBITI DISTRICT COUNCIL |
187. | KIBONDO DISTRICT COUNCIL |
188. | KIBONDO FDC |
189. | Kibongoto Hospital |
190. | Kigamboni Municipal Council |
191. | Kigoma District Council |
192. | KIGOMA REGION |
193. | Kigoma Ujiji Municipal Council |
194. | KIHINGA FDC |
195. | Kilimanjaro Airport Development Company Limited – KADCO |
196. | Kilimanjaro RAS |
197. | Kilolo DC |
198. | KILOSA DISTRICT COUNCIL |
199. | Kilwa Masoko FDC |
200. | KINAMPANDA |
201. | Kinondoni Municipal Council |
202. | KISANGWA FDC |
Na | JINA LA TAASISI |
203. | Kisarawe District Council |
204. | Kisarawe Folk College Development |
205. | Kishapu District Council |
206. | KITETO DISTRICT COUNCIL |
207. | KIWANDA F.D.C |
208. | Klerruu TC |
209. | KONDOA DC |
210. | KONDOA TOWN COUNCIL |
211. | Kongwa District Council |
212. | Korogwe District Council |
213. | Kwimba Disrtrict Council |
214. | KYELA DISTRICT COUNCIL |
215. | Kyerwa District Council |
216. | Ligula Regional Referral Hospital |
217. | Lindi District Council (Lindi DC) |
218. | Lindi Municipal Council |
219. | Lindi Region |
220. | LINDI URBAN WATER SUPPLY AND SANITATION AUTHORITY (LUWASA) |
221. | LIVESTOCK TRAINING AGENCY |
222. | Liwale District Council |
223. | Local Government Training Institute – LGTI |
224. | Longido District Council |
225. | Ludewa District Council |
226. | MADABA DISTRICT COUNCIL |
227. | Mafia DC |
228. | Mafinga Town Council |
229. | Magu District Council |
230. | MAHAKAMA YA TANZANIA |
231. | MAKAMBAKO TOWN COUNCIL |
232. | MAKETE DISTRICT COUNCIL |
233. | MALINYI DC |
234. | Malya Folk Development College |
235. | Mamlaka ya Hifadhi za Taifa (TANAPA) |
236. | Mamlaka ya Kudhibiti Kupambana na Dawa za Kulevya |
Na | JINA LA TAASISI |
237. | Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) |
238. | Mamlaka ya Usimamizi na udhibiti wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii (SSRA) |
239. | Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) |
240. | MAMTUKUNA FDC |
241. | Mandaka Tc |
242. | Manyara Regional |
243. | Manyara Regional Referral Hospital |
244. | Manyoni District Council |
245. | MARA REGION |
246. | Marangu Teacher College |
247. | MARINE SERVICES COMPANY LIMITED (MSCL) |
248. | Masasi District Council |
249. | MASASI FDC |
250. | Masasi Town Council |
251. | MASWA DISTRICT COUNCIL |
252. | Maweni Regional Referral Hospital |
253. | MBARALI DISTRICT COUNCIL |
254. | Mbeya City Council |
255. | Mbeya District Council |
256. | Mbeya Region |
257. | Mbeya Regional Referral Hospital |
258. | Mbeya University of Science and Technology |
259. | MBEYA WATER SUPPLY AND SANITATION AUTHORITY |
260. | Mbeya Zonal Referral Hospital |
261. | Mbinga District Council |
262. | Mbinga Town Council |
263. | MBOGWE DISTRICT COUNCIL |
264. | Mbozi District Council |
265. | MBULU DISTRICT COUNCIL |
266. | MBULU TOWN COUNCIL |
267. | MEATU DISTRICT COUNCIL |
268. | Medical Stores Department – MSD |
269. | Meru District Council |
270. | Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) |
Na | JINA LA TAASISI |
271. | Mhonda chuo cha Ualimu |
272. | Mineral Resources Institute |
273. | Mining Commission |
274. | Mirembe Mental Health Hospital -MMHH |
275. | MISSENYI DISTRICT COUNCIL |
276. | MKALAMA DISTRICT COUNCIL |
277. | Mkoa wa Dodoma |
278. | Mkoa wa Katavi |
279. | Mkulazi Holding Company Limited |
280. | Mkuranga District Council |
281. | Mkwawa University College of Education – MUCE |
282. | Momba District Council |
283. | Monduli District Council |
284. | Monduli Teachers College |
285. | Morogoro District Concil |
286. | Morogoro Municipal Council |
287. | Morogoro RAS |
288. | Morogoro Regional Referral Hospital |
289. | Morogoro Urban Water Supply and Sanitation Authority |
290. | Morogoro Works Training Institute – MWTI |
291. | Moshi Co-operative University |
292. | MOSHI DISTRICT COUNCIL |
293. | Moshi Municipal Council |
294. | Mount Meru Regional Referral Hospital |
295. | MPANDA DISTRICT COUNCIL |
296. | MPANDA MUNICIPAL COUNCIL |
297. | MPIMBWE DISTRICT COUNCIL |
298. | MPWAPWA DISTRICT COUNCIL |
299. | Mpwapwa Tc |
300. | MSINGA FDC |
301. | MTO WA MBU FDC |
302. | MTWARA DISTRICT COUNCIL |
303. | Mtwara Mikindani Municipal Council |
304. | Mtwara Region |
305. | Mtwara Teachers College |
Na | JINA LA TAASISI |
306. | Mufindi District Council |
307. | Muhimbili National Hospital – MNH |
308. | Muhimbili Orthopaedic Institute – MOI |
309. | Muhimbili University of Health and Allied Sciences (MUHAS) |
310. | Muleba District Council |
311. | Musoma District Council |
312. | MUSOMA FDC |
313. | Musoma Municipal Council |
314. | Musoma Regional Referral Hospital |
315. | Musoma Urban Water Supply and Sanitation Authority (MUWASA) |
316. | Mvomero District Council |
317. | Mwalimu Julius K. Nyerere University of Agriculture and Technology (MJNUAT)-Butiama |
318. | Mwalimu Nyerere Memorial Academy (MNMA) |
319. | Mwananyamala Regional Referral Hospital |
320. | MWANGA DISTRICT COUNCIL |
321. | MWANVA FDC |
322. | Mwanza City Council |
323. | Mwanza Regional |
324. | Mwanza Urban Water Supply and Sanitation Authority |
325. | Mzinga Corporation – MZC |
326. | Mzumbe University – MU |
327. | NACHINGWEA DISTRICT COUNCIL |
328. | NANDEMBO FOLK DEVELOPMENT COLLEGE |
329. | NANYAMBA TOWN COUNCIL |
330. | Nanyumbu District Council |
331. | National Aids Control Programme – NACP |
332. | National Audit Office |
333. | National Board of Accountants and Auditors |
334. | National Bureau of Statistics |
335. | NATIONAL COLLEGE OF TOURISM |
336. | National Construction Council – NCC |
337. | National Development Corporation – NDC |
338. | National Environment Management Council (NEMC) |
339. | NATIONAL FOOD RESERVE AGENCY (NFRA) |
Na | JINA LA TAASISI |
340. | National Housing Building Research Agency |
341. | National Housing Corporation |
342. | National Institute for Medical Research |
343. | National Institute for Productivity |
344. | National Institute of Transport (NIT) |
345. | National Insurance Corporation (T) Limited – NIC |
346. | National Irrigation Commission (nirc) |
347. | National Land Use Planning Commission |
348. | National Malaria Control Program |
349. | National Museums of Tanzania |
350. | NATIONAL RANCHING COMPANY LIMITED (NARCO) |
351. | National Social Security Fund (NSSF) |
352. | National Tuberculosis and Leprosy Programme |
353. | Neglected Tropical Diseases Control Programme |
354. | Nelson Mandela African Institute of Science and Technology – NMAIST |
355. | Newala District Councill |
356. | Newala Town Council |
357. | Ngara District Council |
358. | Ngorongoro Conservation Area Authority |
359. | Ngorongoro District Council |
360. | Njombe District Council |
361. | Njombe RAS |
362. | Njombe Regional Referral Hospital |
363. | NJOMBE TOWN COUNCIL |
364. | Nkasi District Council |
365. | Nsimbo District Council |
366. | Nyang’hwale District Council |
367. | Nyasa District Council |
368. | Nzega District Council |
369. | NZEGA TOWN COUNCIL |
370. | NZOVWE FDC |
371. | Occupational Safety and Health Authority – OSHA |
372. | Ocean Road Cancer Institute – ORCI |
373. | OFISI YA RAIS MENEJIMENTI YA UTUMISHI WA UMMA NA |
Na | JINA LA TAASISI |
UTAWALA BORA | |
374. | Ofisi ya Rais, Ikulu |
375. | Ofisi ya Bunge, Tanzania |
376. | Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira |
377. | Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa |
378. | Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali |
379. | Ofisi ya Rais, TAMISEMI |
380. | OFISI YA TAIFA YA MASHTAKA |
381. | Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali |
382. | Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge |
383. | Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu |
384. | Ofisi ya Waziri Mkuu-Uwekezaji |
385. | Open University of Tanzania (OUT) |
386. | PANGANI DISTRICT COUNCIL |
387. | Parastatal Pensions Fund |
388. | Patandi ttc kanda ya kaskazini |
389. | Petroleum Bulk Procurement Agency – PBPA |
390. | Petroleum Upstream Regulatory Authority – PURA |
391. | Pharmacy Council – Tanzania |
392. | Procurement and Supplies Professionals and Technicians Board |
393. | Public Procurement Appeals Authority – PPAA |
394. | Public Procurement Regulatory Authority (PPRA) |
395. | Public Service Comminision – PSC |
396. | Public Service Remuneration Board – PSRB |
397. | PUBLIC SERVICE SOCIAL SECURITY FUND (PSSSF) |
398. | Pwani RAS |
399. | RECORDS AND ARCHIVES MANAGEMENT DEPARTMENT |
400. | Records and Archives Management Department – RAMD |
401. | Road Fund Board – RFB |
402. | Rombo District |
403. | Rombo District Council |
404. | Rorya District Council |
405. | Ruangwa District Council |
406. | RUBONDO FDC |
407. | Rufiji District Council |
Na | JINA LA TAASISI |
408. | Rukwa RAS |
409. | Rungwe District Council |
410. | Rural Energy Agency – REA |
411. | Rural Water Supply and Sanitation Agency (RUWASA) |
412. | Ruvuma RAS |
413. | SAME DISTRICT COUNCIL |
414. | Sekou Toure Hospital |
415. | SEKRITARIET YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA UMMA |
416. | Self-Microfinance Fund |
417. | Sengerema District Council |
418. | Serengeti District Council |
419. | SHINYANGA DISTRICT COUNCIL |
420. | SHINYANGA MUNICIPAL COUNCIL |
421. | Shinyanga RAS |
422. | Shinyanga Regional Referral Hospital |
423. | Shinyanga Urban Water Supply and Sanitation Authority |
424. | Shirika la kuhudumia ya Viwanda Vidogo – SIDO |
425. | Shirika la Masoko ya Kariakoo |
426. | SIHA District Council |
427. | Sikonge District Council |
428. | SIMANJIRO DISTRICT COUNCIL |
429. | Simiyu RAS |
430. | Simiyu Regional Referral Hospital |
431. | SINGACHINI TC |
432. | Singida District Council |
433. | SINGIDA FDC |
434. | Singida Municipal Council |
435. | Singida Regional Referral Hospital |
436. | Singida Regional Secretariat |
437. | Singida Urban Water Suppy and Sewerage Authority |
438. | SOFI FDC |
439. | Sokoine Regional Referral Hospital |
440. | Sokoine University of Agriculture – SUA |
441. | SONGEA DISTRICT COUNCIL |
442. | Songea Municipal Council |
Na | JINA LA TAASISI |
443. | Songea Regional Referral Hospital |
444. | SONGEA URBAN WATER SUPPLY AND SANITATION AUTHORITY |
445. | SongeaTeachers’ College |
446. | SONGWE DISTRICT COUNCIL |
447. | Songwe RAS |
448. | Songwe Regional Referral Hospital |
449. | State Mining Corporation (STAMICO) |
450. | State University of Zanzibar |
451. | Sugar Board Tanzania – SBT |
452. | Sumatra Consumer Consultative Council – SUMATRACCC |
453. | SUMBAWANGA DISTRICT COUNCIL |
454. | SUMBAWANGA MUNICIPAL COUNCIL |
455. | Surface and Marine Transport Regulatory Authority – SUMATRA |
456. | Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) |
457. | Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo- TASUBA |
458. | TABORA MUNICIPAL COUNCIL |
459. | TABORA REGION |
460. | TABORA TEACHERS COLLEGE |
461. | Tabora Urban Water Supply and sanitation authority (TUWASA) |
462. | TANDAHIMBA DISTRICT COUNCIL |
463. | TANDALA TC |
464. | Tanga City Council |
465. | Tanga RAS |
466. | Tanga Regional Referral Hospital |
467. | Tanga Urban Water Supply and Sewerage Authority |
468. | TANGO FOLK DEVELOPMENT COLLEGE |
469. | Tanzania Agricultural Development Bank Limited |
470. | Tanzania Agriculture Research Institute |
471. | Tanzania Airport Authority – TAA |
472. | Tanzania Atomic Energy Commission – TAEC |
473. | Tanzania Automotive Technology Centre |
474. | Tanzania Broadcasting Corporation – TBC |
475. | Tanzania Buildings Agency – TBA |
476. | Tanzania Bureau of Standards – TBS |
Na | JINA LA TAASISI |
477. | Tanzania Civil Aviation Authority – TCAA |
478. | Tanzania Coffee Board |
479. | TANZANIA COMMISSION FOR AIDS |
480. | Tanzania Commission for Science and Technology (COSTECH) |
481. | Tanzania Cotton Board – TCB |
482. | TANZANIA DAIRY BOARD |
483. | Tanzania Education Authority (TEA) |
484. | Tanzania Electric Supply Company Limited – TANESCO |
485. | Tanzania Electrical,Mechanical and Electronics Services Agency (TEMESA) |
486. | Tanzania Engineering and Manufacturing Design Organization – TEMDO |
487. | Tanzania Fertilizer company – TFC |
488. | Tanzania Fertilizer Regulatory Authority (TFRA) |
489. | Tanzania Fisheries Research Institute (TAFIRI) |
490. | TANZANIA FOOD AND NUTRITION CENTRE – TFNC |
491. | Tanzania Forest Reseach Institute (TAFORI) |
492. | Tanzania Forestry Services Agency |
493. | Tanzania Gemological Centre – TGC |
494. | Tanzania Geothermal Development Company – TGDC |
495. | TANZANIA GLOBAL LEARNING AGENCY |
496. | Tanzania Global Learning Agency – TAGLA |
497. | Tanzania Government Flight Agency (TGFA) |
498. | Tanzania Industrial Research and Development Organization – TIRDO |
499. | Tanzania Institute of Accountancy |
500. | Tanzania Institute of Education (TIE) |
501. | Tanzania Insurance Regulatory Authority – TIRA |
502. | Tanzania Investment Centre (TIC) |
503. | TANZANIA LIBRARY SERVICES BOARD(TLSB) |
504. | TANZANIA LIVESTOCK RESEARCH INSTITUTE (TALIRI) |
505. | TANZANIA MEAT BOARD – TMB |
506. | Tanzania Medicines and Medical Devices |
507. | Tanzania Mercantile Exchange PLC |
508. | Tanzania Meteorological Agency – TMA |
509. | Tanzania National Business Council |
Na | JINA LA TAASISI |
510. | Tanzania National Road Agency (TANROADS) |
511. | Tanzania Official Seed Certification Institute – TOSCI |
512. | Tanzania Petroleum Development Corporation (TPDC) |
513. | Tanzania Ports Authority (TPA |
514. | Tanzania Postal Bank |
515. | Tanzania Postal Corporation – TPC |
516. | TANZANIA PUBLIC SERVICE COLLEGE |
517. | Tanzania Railway Corporation (TRC) |
518. | Tanzania Revenue Authority |
519. | Tanzania Shipping Agencies Corporation – TASAC |
520. | Tanzania Sisal Board |
521. | Tanzania Smallholders Tea Development Agency |
522. | Tanzania Social Action Fund – TASAF |
523. | TANZANIA SOCIAL SECURITY ASSOCIATION |
524. | Tanzania Standard (Newspapers) Limited -TSN |
525. | Tanzania Telecommunication Corporation – TTCL |
526. | Tanzania Tobacco Board – TTB |
527. | Tanzania Tourism Board |
528. | Tanzania Trade Development Authority – TANTRADE |
529. | Tanzania Veterinary Laboratory Agency – TVLA |
530. | TANZANIA WILDLIFE MANAGEMENT AUTHORITY (TAWA) |
531. | Tanzania Wildlife Research Institute |
532. | Tanzania Zambia Railway Authority – Tazara |
533. | TARIME DISTRICT COUNCIL |
534. | Tarime Teachers College |
535. | Tarime Town Council |
536. | TARURA |
537. | Tax Revenue Appeals Board |
538. | Tax Revenue Appeals Tribunal |
539. | TCAA – Consumer Consultative Council (TCAA-CCC) |
540. | Tea Board of Tanzania – TTB |
541. | Tea Research Institute of Tanzania (TRIT) |
542. | Temeke District |
543. | Temeke Municipal Council |
544. | Temeke Regional Referral Hospital |
Na | JINA LA TAASISI |
545. | Tengeru Institute of Community Development |
546. | The Institute of Finance Managment – IFM |
547. | The Land Transport Regulatory Authority (LATRA) |
548. | The Law School of Tanzania |
549. | TIB CORPORATE BANK LIMITED |
550. | TIB Development Bank Limited |
551. | Tobacco Research Institute of Tanzania |
552. | Town Planners Registration Board |
553. | Treasury Registrar – TR |
554. | Tropical Pesticides Research Institute (TPRI) |
555. | Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora |
556. | Tume ya Kurekebisha Sheria |
557. | TUME YA MAENDELEO YA USHIRIKA |
558. | Tume ya Taifa ya Uchaguzi |
559. | Tume ya usuluhuhishi na Uamuzi (CMA) |
560. | Tume ya Utumishi wa Waalimu |
561. | Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) |
562. | Tunduma Town Council |
563. | Tunduru District Council |
564. | Twiga Bancorp |
565. | Ubungo Municipal Council |
566. | Ukerewe District Council |
567. | UNESCO NATIONAL COMMISSION OF THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA |
568. | Unit Trust of Tanzania |
569. | Universal Communication Services Access Fund (UCSAF) |
570. | University of Dar es Salaam (UDSM) |
571. | University of Dodoma – UDOM |
572. | UONGOZI INSTITUTE |
573. | Urambo District Council |
574. | URAMBO FDC |
575. | Urban Water Supply and Sewerage Authority |
576. | Ushetu District Council |
577. | UTT Projects and Infrastructure Development Plc |
578. | UVINZA DISTRICT COUNCIL |
Na | JINA LA TAASISI |
579. | VIKINDU TEACHERS COLLEGE |
580. | Vocational Education and Training Authority – VETA |
581. | Vwawa-mlowo Water Supply and Sanitation Authority |
582. | Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini (RITA) |
583. | Wakala wa Usajili wa Biashara na leseni (BRELA) |
584. | Wakala wa Vipimo – WMA |
585. | Wanging’ombe DC |
586. | Warehouse Receipts Regulatory Board – WRRB |
587. | Water Institute |
588. | Watumishi Housing Company |
589. | Wizara ya Afya |
590. | Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi |
591. | Wizara ya Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi |
592. | Wizara ya Fedha na Mipango |
593. | Wizara ya Katiba na Sheria |
594. | WIZARA YA KILIMO |
595. | Wizara ya Madini |
596. | Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum |
597. | Wizara ya Maji |
598. | Wizara ya Maliasili na Utalii |
599. | Wizara ya Mambo ya Ndani- MOHA |
600. | Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki |
601. | Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari |
602. | Wizara ya Mifugo na Uvuvi (MIFUGO) |
603. | WIZARA YA MIFUGO NA UVUVI – (UVUVI) |
604. | Wizara ya Nishati |
605. | Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Uchukuzi) |
606. | Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Ujenzi) |
607. | Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa |
608. | Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo |
609. | Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara |
610. | Workers Compensation Fund (WCF) |
KIAMBATISHO NA. 7
MAMLAKA YA SERIKALI MTANDAO (e-GA)
TAASISI 277 ZINAZOTUMIA MFUMO WA KUSIMAMIA MIFUMO YA TEHAMA SERIKALINI (GISP)
NA | JINA LA TAASISI |
1 | Agency for The Development of Education Management |
2 | Air Tanzania Company Limited |
3 | Architects and Quantity Surveyors Registration Board (AQRB) |
4 | Ardhi Institute Morogoro |
5 | Arusha City Council |
6 | Arusha Urban Water Supply and Sanitation Authority (AUWSA) |
7 | Bagamoyo District Council |
8 | Bank of Tanzania |
9 | Bumbuli District Council |
10 | Bunda urban water supply and sanitation authority |
11 | Business Registrations and Licensing Agency (BRELA) |
12 | Capital Markets and Securities Authority |
13 | Cashewnut Board of Tanzania |
14 | Central medical store-zanzibar |
15 | Cereals and Other Produce Board of Tanzania (CPB) |
16 | Coastal Region |
17 | College of African Wildlife Management, Mweka |
18 | Commission For Human Rights and Good Governance |
19 | Contractors Registration Board |
20 | Copyright Society of Tanzania (COSOTA) |
21 | Dar es Salaam City Council |
22 | Dar es Salaam Institute of Technology |
23 | Dar es Salaam Maritime Institute |
24 | Dar es Salaam Reginal Administrative Secretariat |
25 | Dar es Salaam Stock Exchange-DSE |
26 | Dar es Salaam Water and Sewerage Authority (DAWASA) |
27 | Dar Rapid Transit (DART) |
28 | Dodoma Region |
NA | JINA LA TAASISI |
29 | Dodoma urban water supply and sanitation authority(duwasa) |
30 | Driling and Dam Construction Agency (DDCA) |
31 | Eastern africa statistical training centre (eastc) |
32 | E-government authority |
33 | e-Government Zanzibar |
34 | Energy and Water Utilities Regulatory Authority (EWURA) |
35 | Engineers Registration Board |
36 | Ethics Secretariat |
37 | Export Processing Zones Authority |
38 | Fair Competition Commission |
39 | Financial Intelligent Unit (FIU) |
40 | Fisheries Education and Training Agency |
41 | Gaming board of tanzania |
42 | Government Chemist Laboratory Authority |
43 | Government Procurement Services Agency (GPSA) |
44 | Handeni District Council |
45 | Higher education students’ loans board (heslb) |
46 | Igunga Urban Water Supply and Sanitation Authority – IGUWASA |
47 | Immigration Services Department |
48 | Institute of Finance Management (IFM) |
49 | Institute of Judicial Administration |
50 | Institute of Social Work (ISW) |
51 | Iringa water supply and sanitation authority(iruwasa) |
52 | Jakaya Kikwete Cardiac Institute |
53 | Kagera Region |
54 | Kahama Shinyanga Water Supply and Sanitation Authority |
55 | Kahama Urban Water Supply and Sanitation Authority – (KAHAMA UWASA) |
56 | Karagwe Water Sewarage and Sanitation Autority |
57 | Kasulu District Council |
58 | Katavi Regional |
59 | Kibong’oto Infectious Diseases Hospital (KIDH) |
60 | Kigoma regional administrative secretariat |
61 | Kigoma ujiji urban water supply and sanitation authority |
62 | Kilimanjaro Airports Development Company (KADCO) |
NA | JINA LA TAASISI |
63 | Korogwe Town Council |
64 | Kyerwa District Council |
65 | Land Transport Regulatory Authority |
66 | Law Reform Commission of Tanzania |
67 | Law School of Tanzania (LST) |
68 | Lindi Municipal Council |
69 | Lindi Region |
70 | Lindi Urban Water Supply and Sanitation Authority |
71 | Liwale District Council |
72 | Local Government Training Institute |
73 | Longido District Council |
74 | Lushoto Water Sewarage and Sanitation Autority |
75 | Makete Urban Water Supply and Sanitation Authority- Makete – WSSA |
76 | Marine Services Company Limited |
77 | Masasi-nachingwea water supply and Sanitation Authority (MANAWASA) |
78 | Mbeya City Council |
79 | Mbeya Regional Commissioner’s Office |
80 | Mbeya University of Science and Technology (MUST) |
81 | Mbeya Urban water supply and sanitation Authority |
82 | Mbozi District Council |
83 | Meatu District Council |
84 | Medical Council of Tanganyika |
85 | Medical Stores Department |
86 | Mining Commission |
87 | Ministry of Agriculture |
88 | Ministry of communication and information technology (mcit) |
89 | Ministry of Constitutional and Legal Affairs |
90 | Ministry of Defence and National Service |
91 | Ministry of education science and technology |
92 | Ministry of Energy |
93 | Ministry of Finance and Planning |
94 | Ministry of foreign affairs and east african cooperation |
95 | Ministry of Health,Community Development, Gender, Elderly and Children |
NA | JINA LA TAASISI |
96 | Ministry of health community development gender elderly children (community development) |
97 | Ministry of Home Affairs |
98 | Ministry of industry, trade and investment |
99 | Ministry of information, culture, arts and sports |
100 | Ministry of Lands, Housing and Human Settlements Development |
101 | Ministry of Livestock and Fisheries (Fisheries Sector) |
102 | Ministry of Livestock and Fisheries (Livestock Sector) |
103 | Ministry of Minerals |
104 | Ministry of natural resources and tourism (mnrt) |
105 | Ministry of water |
106 | Ministry of Works, Transport and Communications |
107 | Ministry Of Works, Transport And Communications (Communication Sector) |
108 | Ministry of Works,Transport and Communications (Works Sector) |
109 | Mkalama District Council |
110 | Mkoa wa kaskazini unguja |
111 | Mkulazi Holding Company |
112 | Momba District Council |
113 | Morogoro Municipal Council |
114 | Morogoro Regional Administrative Secretary |
115 | morogoro water supply and sanitation authority |
116 | Mpwapwa District Council |
117 | Mtwara Mikindani Municipal Council |
118 | Mtwara Region |
119 | Mtwara Urban Water Supply and Sewerage Authority |
120 | MUHIMBILI NATIONAL HOSPITAL-MLOGANZILA |
121 | Muhimbili National Hospital (MNH) |
122 | Muhimbili orthopedic institute |
123 | Muhimbili University College of Health and allied Sciences |
124 | Muleba District Council |
125 | Musoma Urban Water Supply and Sanitation Authority (MUWASA) |
126 | Mwanza City Council |
127 | Mwanza urban water and sanitation Authority |
128 | Mzumbe University |
NA | JINA LA TAASISI |
129 | National Audit Office of Tanzania |
130 | National board of accountants and auditors |
131 | National Bureau of Statistics |
132 | National College of Tourism |
133 | National Construction Council |
134 | National council for technical education (NACTE) |
135 | National Economic Empowerment Council |
136 | National Electoral Commission |
137 | National Environment Management Council (NEMC) |
138 | National Examinations Council of Tanzania (NECTA) |
139 | National food reserve agency (nfra) |
140 | National health insurance fund (nhif) |
141 | National Housing Corporation (NHC) |
142 | National Identification authority (NIDA) |
143 | National Institute for Medical Research |
144 | National insurance corporation (nic) |
145 | National Internet Data Center |
146 | National Irrigation Commission (Nic) |
147 | National Kiswahili Council (BAKITA) |
148 | National Museum of Tanzania |
149 | National Social Security Fund |
150 | National Sports Council |
151 | National water fund(nwf) |
152 | Newala Town Council |
153 | Ngorongoro Conservation Area Authority |
154 | Nsimbo District Council |
155 | Nyasa District Council |
156 | Occupational Safety and Health Authority |
157 | Ocean Road Cancer Institute |
158 | Office of Registrar of Political Parties (ORPP) |
159 | Ofisi ya mkuu wa mkoa mjini magharibi |
160 | Petroleum Bulk Procurement Agency (PBPA) |
161 | Pharmacy Council |
162 | President’s Office Public Service Management and Good Governance |
163 | President’s office regional administration and local |
NA | JINA LA TAASISI |
government(tamisemi) | |
164 | Prime minister office |
165 | Prime Minister’s Office, Labour, Youth Employment and Persons with Disability |
166 | Procurement and supplies professionals and technicians board (psptb) |
167 | Property and Business Formalization Programme (MKURABITA) |
168 | Public Procurement Appeals Authority |
169 | Public Procurement Regulatory Authority |
170 | Public Service Commission (PSC) |
171 | Public Service Recruitment Secretariat (PSRS) |
172 | PUBLIC SERVICE SOCIAL SECURITY FUND-(PSSSF) |
173 | RECORDS AND ARCHIVES MANAGEMENT DEPARTMENT |
174 | Registration Insolvency Trusteeship Agency |
175 | Roads Fund Board |
176 | Rural Water Supply and Sanitation Authority |
177 | Ruvuma Region |
178 | SELF Microfinance Fund |
179 | Sengerema Urban Water Supply and Sanitation Authority (SEUWASA) |
180 | Shinyanga Regional Administrative Secretariat |
181 | Shinyanga urban water supply and sanitation authority (SHUWASA) |
182 | Singida Region |
183 | Singida Urban Water Suppy and Sewerage Authority |
184 | Small industries development organization (SIDO) |
185 | Sokoine University of Agriculture (SUA) |
186 | Songea Urban Water Supply and Sanitation Authority |
187 | Songwe Region |
188 | State Mining Corporation (STAMICO) |
189 | Sugar board of tanzania |
190 | Sumbawanga Urban Water and Sewarage Authority |
191 | Tabora Urban Water Supply and Sanitation Aauthority |
192 | Tandahimba District Council |
193 | Tanganyika District Council |
194 | TANGA REGION |
195 | Tanga water supply and sanitation authority |
NA | JINA LA TAASISI |
196 | Tanzania Agricultural Development Bank (TADB) |
197 | Tanzania Agricultural Research Institute (TARI) |
198 | Tanzania Airports Authority |
199 | Tanzania Atomic Energy Commission |
200 | Tanzania broadcasting corporation |
201 | Tanzania Buildings Agency (TBA) |
202 | Tanzania Bureau of Standards (TBS) |
203 | Tanzania Commission for Aids |
204 | Tanzania Commission for Science and Technology |
205 | Tanzania Commission for Universities (TCU) |
206 | Tanzania communications regulatory authority (TCRA) |
207 | Tanzania cooperative development commission |
208 | Tanzania Drugs Enforcement Authority |
209 | Tanzania Education Authority |
210 | Tanzania Electrical, Mechanical and Electronics Services Agency (TEMESA MT DEPOT) |
211 | Tanzania Employment Services Agency |
212 | Tanzania Engineering and Manufacturing Design Organisation |
213 | Tanzania Fertilizers Regulatory Authority |
214 | Tanzania Fisheries Research Institute |
215 | Tanzania Food and Nutrition Centre |
216 | Tanzania Forest Research Institute (TAFORI) |
217 | Tanzania Geothermal Development Company |
218 | Tanzania Global Learning Agency |
219 | Tanzania Institute of Accountancy |
220 | Tanzania Institute of Education |
221 | Tanzania Insurance Regulatory Authority |
222 | Tanzania Investment Centre (TIC) |
223 | Tanzania library services board |
224 | Tanzania medicines and medical devices authority |
225 | Tanzania Meteorogical Authority |
226 | Tanzania National business Council |
227 | Tanzania National Parks (TANAPA) |
228 | Tanzania National Roads Agency |
229 | Tanzania Official Seed Certification Institute |
NA | JINA LA TAASISI |
230 | Tanzania Petroleum Development Corporation (TPDC) |
231 | Tanzania Police Force |
232 | Tanzania Ports Authority (TPA) |
233 | Tanzania Postal Bank PLC |
234 | TANZANIA POSTS CORPORATION |
235 | Tanzania Prisons Service |
236 | Tanzania Public Service College |
237 | Tanzania railways corporation |
238 | Tanzania Regional Immigration Training Academy (TRITA) |
239 | Tanzania Revenue Authority |
240 | Tanzania Rural and Urban Roads Agency |
241 | Tanzania Shipping Agencies Corporation (TASAC) |
242 | Tanzania Social Action Fund |
243 | TANZANIA TELECOMMUNICATION CORPORATION |
244 | Tanzania Tobacco Board |
245 | Tanzania Tourist Board |
246 | Tanzania Trade Development Authority (TANTRADE) |
247 | Tanzania Veterinary Laboratory Agency |
248 | Tanzania wildlife authority |
249 | Tanzania Wildlife Research Institute |
250 | Tanzania Zambia Railway Authority-TAZARA |
251 | Tarime District Council |
252 | Tax Revenue Appeals Board (TRAB) |
253 | Tax Revenue Appeals Tribunal (TRAT) |
254 | Teachers’ Service Commission |
255 | Temeke Municipal Council |
256 | The Clerk National Assembly of Tanzania |
257 | The Geological Survey of Tanzania |
258 | The Office of Attorney General |
259 | The Open University Of Tanzania (OUT) |
260 | THE UNIVERSITY OF DODOMA |
261 | Tib development bank ltd |
262 | Treasury Registrar Office |
263 | Tunduma Water Supply and Sanitation Authority- Tunduma WSSA |
NA | JINA LA TAASISI |
264 | Tunduru Water Supply and Sanitation Authority- Tunduru WSSA |
265 | Universal Communications Service Access Fund (UCSAF) |
267 | University of Dar es Salaam (UDSM) |
268 | Uongozi Institute |
269 | Urambo District Council |
270 | Ushirombo urban water supply and sanitation authority- ushirombo wssa |
271 | Utt asset management and investor services (uttamis) |
272 | Vice President Office |
273 | Vocational Education and Training Authority (VETA) |
274 | Wanging’ombe Water Supply and Sanitation Authority |
275 | Water Institute (WI) |
276 | Watumishi Housing Company |
277 | Weights and Measures Agency |
KIAMBATISHO NA. 8
MAMLAKA YA SERIKALI MTANDAO (e-GA)
TAASISI 299 ZILIZOUNGANISHWA KWENYE MTANDAO WA
MAWASILIANO SERIKALINI (GOVERNMENT COMMUNICATION NETWORK -GOVNET)
NA | JINA LA TAASISI |
1 | Treasury Registrar (DSM,Mirambo-DSM,Dodoma) |
2 | TANZANIA RAILWAY COOPERATION (TRC)(DSM) |
3 | TACAIDS(DSM) |
4 | Business Registration and Licensing Agency (BRELA) (DSM, MAGEREZA) |
5 | Tanzania Government Flight Agency (TGFA) (DSM) |
6 | Public Service Commission (DSM) |
7 | Ministry of Home Affairs (DSM,UDOM-Dodoma,MtumbaDodoma) |
8 | Judicial Service Commission (DSM) |
9 | Vice President’s Office (Dodoma) |
10 | PSRS (Dodoma) |
11 | Ministry of Lands, Housing and Human Settlements (DSM,Dodoma,Udom-Dodoma) |
12 | Ministry of Community Development, Gender and Children (Dodoma,Mtumba-Dodoma) |
13 | Ministry of Education and Vocational Training (Dodoma,MtumbaDodoma) |
14 | Government Chemist Laboratory Agency (GCLA) (DSM) |
15 | Tanzania Public Service College (TPSC) (DSM) |
16 | Attorney General (DSM,Mtumba-Dodoma,Ipagala_dom) |
17 | eGA (DSM,Dodoma,Iringa,NOC-DSM,Research-Dodoma) |
18 | Human Rights & Good Governance Commission (DSM) |
19 | Prime Minister Office (Mlimwa-Dodoma,DSM) |
20 | Registrar of Political Parties (DSM,Dodoma) |
21 | National Assembly (DSM,Dodoma) |
22 | Tanzania Building Agency (TBA) (DSM) |
23 | Ministry of Finance (DSM,Dodoma,Mtumba-Dodoma,GepgDodoma) |
24 | Ministry of Foreign Affairs and International Relations (JKCI- DSM,DSM,Mtumba-Dodoma,Dodoma,Udom-Dodoma) |
NA | JINA LA TAASISI |
25 | Controller and Auditor General, National Audit Office (Dodoma) |
26 | Registrar Court of Appeal (DSM) |
27 | National Bureau of Statistics (NBS) (Dodoma) |
28 | Ethics Secretariat (Dodoma) |
29 | Ministry of Defence and National Service (MoDANS) (DSM,Mtumba-Dodoma,Msalato-Dodoma) |
30 | Registration Insolvency and Trusteeship Agency (RITA) (DSM) |
31 | Prevention and Combat of Corruption Beareu (PCCB) (DSM) |
32 | National Archive Office (Dodoma) |
33 | Ministry of Water and Irrigation (Dodoma) |
34 | Drilling and Dam Construction Agency (DDCA) (DSM) |
35 | Eastern Africa Statistical Training Centre (EASTC) (DSM) |
36 | TMDA (DSM) |
37 | Tanzania Meteorological Agency (TMA) (DSM) |
38 | Dar es Salaam Rapid Trans (DART) (DSM) |
39 | Water Development and Management Institute (WDMI) (DSM) |
40 | Tanzania National Housing Research Bureau (DSM) |
41 | Occupational Safety and Health Agency (OSHA) (DSM) |
42 | National ID Authority (NIDA) (DSM) |
43 | Ministry of Livestock Development and Fisheries (Dodoma,Mtumba-Dodoma) |
44 | Ministry of Agriculture, Food Security and Co-operatives (Dodoma,) |
45 | Ministry of Natural Resources and Tourism (Dodoma) |
46 | National Electoral Commission (NEC) (DSM,Dodoma) |
47 | National College of Tourism (NCT) (DSM) |
48 | Tanzania Electrical, Mechanical and Electronics Services Agency (TEMESA) (DSM,Dodoma,Magogoni-DSM)) |
49 | Tanzania Airport Authority (TAA) (DSM) |
50 | Tanzania Institute of Accountancy (TIA) (DSM) |
51 | National Food Reserve Agency (NFRA) (Dodoma) |
52 | Government Procurement Services Agency (GPSA) (DSM,Kurasini-DSM,Dodoma) |
53 | Medical Stores Department (Mabibo-DSM, DSM) |
54 | Weight and Measure Agency (DSM) |
55 | TAMISEMI (Dodoma) |
56 | Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo (TASUBA) |
NA | JINA LA TAASISI |
(Bagamoyo) | |
57 | Agency for Education Management (ADEM) (Bagamoyo) |
58 | Office of Solicitor General (OSG) (DSM) |
59 | State House (DSM,Dodoma) |
60 | Tanzania National Road Agency (TANROAD) (DSM, DSM) |
61 | President’s Office, Public Service Management (MtumbaDodoma,Udom-Dodoma) |
62 | Ministry of Information, Culture and Sports(MtumbaDodoma,Dodoma) |
63 | Ministry of Industries, Trade and Marketing (MtumbaDodoma,Dodoma) |
64 | Pharmacy Councilm (DSM,Dodoma) |
65 | Ministry of Health (Dodoma) |
66 | Ofisi ya Waziri Mkuu- Sera, Bunge na Uratibu (Mtumba-Dodoma) |
67 | National Land Information Center(Kinondoni-DSM,UbungoDSM,Kurasini-DSM,DSM) |
68 | Mfuko wa Maji(National Water Fund) (Dodoma) |
69 | MINISTRY OF WORKS AND TRANSPORT (MtumbaDodoma,Dodoma) |
70 | Ministry of Communication and Information Techology(Dodoma) |
71 | PRIME MINISTER’S OFFICE, LABOUR, YOUTH EMPLOYMENT AND PERSONS WITH DISABILITY(Dodoma,Mtumba-Dodoma) |
72 | National Prosecutions Service (Ofisi ya Mashitaka-DPP)(DSM,Dodoma) |
73 | Tanzania Rural and Urban Roads Agency(TARURA) (Dodoma) |
74 | Ofisi ya Magereza (Dodoma) |
75 | COSTECH (DSM) |
76 | NBAA (DSM,Bunju-DSM) |
77 | Ministry of Minerals (Mtumba-Dodoma,Dodoma) |
78 | Ministry of constitutional and Legal Affairs (MtumbaDodoma,Udom-Dodoma) |
79 | ERB (DSM,Dodoma) |
80 | Ministry of Energy (Mtumba-Dodoma,Dodoma) |
81 | High Court(DSM) |
82 | TUME YA MAENDELEO YA USHIRIKA (Dodoma) |
83 | Teachers Service Commission (Dodoma) |
84 | Benjamin William Mkappa Hosp-udom (Dodoma) |
NA | JINA LA TAASISI |
85 | Marine Services Company Limited (Mwanza) |
86 | TTCL (DSM) |
87 | SIDO (DSM) |
88 | PSPTB (DSM) |
89 | NIT (DSM) |
90 | RUWASA (Dodoma) |
91 | Drug Control and Enforcement Authority(DCEA) (DSM,Dodoma) |
92 | COASCO (Dodom) |
93 | National Development Corporation(NDC) (DSM) |
94 | Tanesco – GePG (eBGP) (DSM) |
95 | Gaming Board Tanzania (DSM,Dodoma) |
96 | Public Procurement Regulatory Authority (PPRA) (DSM,Dodoma) |
97 | NCC (DSM) |
98 | National Insurance Corporation (NIC) (DSM) |
99 | Tanzania-Zambia Railway Authority (TAZARA) (DSM) |
100 | Muhimbili Orthopaedic Institute (MOI) (DSM) |
101 | Muhimbili National Hospital (MNH) (DSM) |
102 | MKULAZI HOLDINGS (Morogoro) |
103 | Tanzania Vetinary Laboratory Agency (TVLA) (DSM) |
104 | LATRA (DSM) |
105 | Geological Survey of Tanzania (Dodoma) |
106 | Mkurabita (Dodoma) |
107 | FCC (DSM,Dodoma) |
108 | AcGEN (Dodoma) |
109 | UDOM (Dodoma) |
110 | MUHAS (DSM) |
111 | Tanzania Investment Centre (TIC) (DSM) |
112 | Tanzania Wildlife Management Authority (TAWA) (DSM) |
113 | TTB (DMS) |
114 | NEMC (DSM) |
115 | TEA (DSM) |
116 | TANGA UWASA (Tanga) |
117 | LAW REFORM (Dodoma) |
118 | Tanzania Broadcasting Corporation(TBC) (DSM) |
119 | UCSAF (Dodoma) |
NA | JINA LA TAASISI |
120 | TCAA (DSM) |
121 | TIRA (DSM) |
122 | Mbeya University of science and Tech(MUST) (Mbeya) |
123 | CHUO CHA DIPLOMASIA (CFR) (DSM) |
124 | KADCO (Kilimanjaro) |
125 | CBE (DSM) |
126 | TANZANIA FILM BOARD (DSM) |
127 | IRDP (Dodoma) |
128 | IVD (DSM) |
129 | SUGAR BOARD OF TANZANIA (DSM) |
130 | PBPA (DSM) |
131 | TPC (DSM) |
132 | TLSB (DSM) |
133 | AQRB (DSM) |
134 | ASA (Morogoro) |
135 | CHUO CHA MWEKA (Moshi) |
136 | TALIRI (Dodoma) |
137 | TAWIRI (Arusha) |
138 | SELF-MICROFINANCE (DSM) |
139 | WMA (DSM) |
140 | Road Fund Board(RFB) (Dodoma) |
141 | Tanzania Library Service Board(TLSB) (DSM) |
142 | Fair Competition Tribunal(FCT ) (Dodoma) |
143 | Tanzania Nursing and Midwifery Council(TNMC) (Dodoma) |
144 | Arusha Technical College(ATC)(Arusha) |
145 | Mifugo Uvuvi(Mwanza,Mwanza) |
146 | Tanzania Meat Board(TMB) |
147 | DIT(DSM) |
148 | TCRA |
149 | JKCI(DSM) |
150 | TFNC(DSM) |
151 | NATIONAL MUSEUM TANZANIA (NMT)(DSM) |
152 | CBE(DOM) |
153 | IFM(DSM) |
154 | Commission for human rights and good governance (DOM) |
NA | JINA LA TAASISI |
155 | MANAWASA(Masasi) |
156 | VETA(DOM) |
157 | Agricultural Inputs Trust Fund (AGITF) — Ministry of Agriculture(DODOMA) |
158 | IAA(ARUSHA) |
159 | LGTI_HOMBOLO(DOM) |
160 | MZUMBE(MOROGORO) |
161 | NHIF(DAR) |
162 | TANTRADE(DAR) |
163 | SUA(MOROGORO) |
164 | Moshi Urban WSSA(MOSHI) |
165 | CBE(MWANZA) |
166 | Institute Of Judicial Administration(LUSHOTO) |
167 | Ardhi University(DSM) |
168 | Law School(DSM) |
169 | Medical Council of Tanganyika(MCT)(DODOMA) |
170 | TAEC(ARUSHA) |
171 | BMT(DSM) |
172 | Instute of Social Works(DAR) |
173 | TBS(DAR) |
174 | Marine Park and Reserve Unit (MPRU)(DAR) |
175 | JFC(DAR) |
176 | COSOTA(DAR) |
177 | TIE(DAR) |
178 | BASATA(DAR) |
179 | CashewNut Board(Mtwara) |
180 | Fair Competition Tribunal(FCT ) (Dar es Salaam) |
181 | TEMDO(ARUSHA) |
182 | TAEC(DSM) |
183 | Ministry of Health(NHIF_Building)(Dodoma) |
184 | TNBC(Dar es Salamma) |
185 | Milembe Hospital(Dodoma) |
186 | TARI(DODOMA) |
187 | TACAIDS(DOM) |
188 | BODI YA TUMBAKU(TABORA) |
NA | JINA LA TAASISI |
189 | Cereals Board (Dodoma)(CPBT) |
190 | MOCU(Moshi) |
191 | HELSB(DSM) |
192 | MWANANYAMALA HOSPTAL |
193 | National Stadium(Dar es Salaam) |
194 | NBTS (Damu Salama)(Dar es Salaam) |
195 | TMB(Dodoma) |
196 | Digital Tanzania Office(Dodoma) |
197 | Nelson Mandela African Institution of Science and Technology (NM-AIST) (Arusha) |
198 | PSC(DODOMA) |
199 | Njombe RRH(Njombe) |
200 | TCB(Mwanza) |
201 | IRDP (Mwanza) |
202 | TCU(Dar es Salaam) |
203 | Uongozi Institute(Dar es Salaam) |
204 | RUFIJI WATER BASIN(Iringa) |
205 | NIMR (Dar es Salaam) |
206 | UTT AMIS (Dar es salaam ) |
207 | PSC-DODOMA |
208 | MBEYA ZONAL RRH(MBEYA) |
209 | NLUPC(DODOMA) |
210 | NPHL(DAR ES SALAAM) |
211 | CHATO RRH(GEITA) |
212 | TEMESA_DODOMA(DOM) |
213 | AUWSA(ARUSHA) |
214 | TRA(DSM) |
215 | Judical delivery service commission(DSM) |
216 | CAMARTEC(ARUSHA) |
217 | TASAC(DSM) |
218 | Nida(Zanzibar) |
219 | MWAUWASA (Mwanza) |
220 | MORUWASA (Morogoro) |
221 | Songwe RRH (Songea) |
222 | IMMIGRATION Kurasini (Dar es Salaam) |
NA | JINA LA TAASISI |
223 | Dodoma RS |
224 | Dodoma DC |
225 | Dodoma MC |
226 | Dodoma Regional Hospital |
227 | Dar es Salaam RS |
228 | Morogoro RS |
229 | Morogoro DC |
230 | Morogoro MC |
231 | Morogoro Regional Hospital |
232 | Lindi RS |
233 | Lindi DC |
234 | Lindi MC |
235 | Sokoine Hospital (Lindi) |
236 | Mtwara RS |
237 | Mtwara DC |
238 | Mtwara MC |
239 | Lugala Regional Hospital |
240 | Arusha RS |
241 | Arusha CC |
242 | Arusha DC |
243 | Mount Meru Regional Hospital |
244 | Kilimanjaro RS |
245 | Moshi MC |
246 | Moshi DC |
247 | Mawenzi Hospital |
248 | Tanga RS |
249 | Mkinga DC |
250 | Tanga CC |
251 | Bombo Hospital |
252 | Manyara RS |
253 | Batati DC |
254 | Babati TC |
255 | Manyara Regional Hospital |
256 | Songea MC |
258 | Songea DC |
NA | JINA LA TAASISI |
259 | Ruvuma RS |
260 | Ruvuma Regional Hospital |
261 | Iringa RS |
262 | Iringa MC |
263 | Iringa DC |
264 | Iringa Regional Hospital |
265 | Mbeya RS |
266 | Mbarali DC |
267 | Mbeya DC |
268 | Mbeya Regional Hospital |
269 | Shinyanga RS |
270 | Shinyanga MC |
271 | Shinyanga DC |
272 | Shinyanga Regional Hospital |
273 | Kagera RS |
274 | Bukoba MC |
275 | Bukoba DC |
276 | Kagera Regional Hospital |
277 | Mwanza RS |
278 | Mwanza CC |
279 | Ilemela MC |
280 | Sekoutoure Regional Hospital |
281 | Mara RS |
282 | Musoma MC |
283 | Musoma DC |
284 | Mara Regional Hospital |
285 | Tabora RS |
286 | Tabora MC |
287 | Tabora DC |
288 | Kitete Regional Hospital |
289 | Rukwa RS |
290 | Sumbawanga DC |
291 | Rukwa Regional Hospital |
292 | sumbawanga MC |
293 | Kigoma RS |
NA | JINA LA TAASISI |
294 | Kigoma DC |
295 | Kigoma MC |
296 | Maweni Regional Hospital |
297 | Singida RS |
298 | Singida DC |
299 | Singida MC |
KIAMBATISHO NA. 9
MAMLAKA YA SERIKALI MTANDAO (e-GA)
TAASISI 121 ZILIZOWEZESHWA KUHIFADHI MIFUMO KWENYE
VITUO VYA KUHIFADHIA TAARIFA NA MIFUMO YA SERIKALI
(GOVERNMENT DATA CENTRES)
NA. | JINA LA MFUMO | TAASISI |
1. | Government Mailing System (eGA) | e-Government Authority |
2. | Government Mobile Platform (mGOV) | e-Government Authority |
3. | Government ICT Service Portal (GISP) | e-Government Authority |
4. | Government Websites (GWS) | Government Websites |
5. | Enterprise Resource Planning (ERMS) | e-Government Authority |
6. | Helpdesk System, e-Mikutano, eProject, e-Board | e-Government Authority |
7. | e-Office Application | RAMD |
8. | e-Vibali System (PO) | Presidents Office |
9. | Government e_payment Gateway (MoF) | Ministry of Finance and Planning (MoFP) |
10. | Government Payment System (MUSE) | Ministry of Finance and Planning (MoFP) |
11. | Ajira portal (PSRS) | Public Services Recruitment Secretariat (PSRS) |
12. | Government Websites (GWF) | President Office – Regional Administration and Local Government Authority |
13. | e-Ticketing System (MSCL) | Marine Services Company Limited (MSCL) |
14. | Parliament Online Information System (BUNGE) | Parliament of Tanzania (BUNGE) |
15. | Hospital Management System (ORCI) | Ocean Road Cancer Institute |
16. | Judicial Statistical Dashboard System | Judiciary of Tanzania |
NA. | JINA LA MFUMO | TAASISI |
(Judiciary) | ||
17. | Case Inventory Management Information System | Office of Solicitor General (OSG) |
18. | Water Sector Development Programme Management Information System (MoWI) | Ministry of Water and Irrigation (MoWI) |
19. | Online Passport Application System (OPAS) | Immigration Department |
20. | Agriculture Trade Management Information System (ATMIS) (Ministry of Agriculture) | Ministry of Agriculture |
21. | Ardhi Management Information System (Ardhi Institute Tabora) | Ardhi Institute Tabora |
22. | Online Registration System (PSPTB) | PSPTB |
23. | PMO Dashboard System | PMO Dashboard System |
24. | Gaming Board of Tanzania (GMB) | Gaming Board Of Tanzania (GBT) |
25. | NBAA payment portal | NBAA Agency |
26. | Shipping Business Management System | Tanzania Shipping Agency Cooperation (TASAC) |
27. | Tanzania electronic Single Windows System (TeSWS) | TPA/TRA |
28. | Online booking System | Tanzania Railways Corporation (TRC) |
29. | e-Document Management System | Parliament of Tanzania |
30. | DSE mobile trading platform | Dar es Salaam Stock Exchange (DSE) |
31. | LATRA | LATRA |
32. | MAJI Information System (billing system) | Ministry of Water (MoW) |
33. | Dar City Navigator | DART |
34. | Judicial Statistical Dashboard System (Judiciary) | Judiciary of Tanzania (JUDICIARY) |
35. | Fertilizer Management System | Tanzania Fertilizer Regulatory Authority (TFRA) |
36. | Bakita Experts Database Registration Systems | BAKITA |
NA. | JINA LA MFUMO | TAASISI |
37. | Complain Management Information System | CHRAGG |
38. | Case Management System | Attorney Generals Office (AG) |
39. | Tarura e-Revenue Management Information System (TeRMIS) | TARURA |
40. | Government Portal | Ministry of Information, Culture, Arts and Sports |
41. | Mweka Management Information System | Mweka Wildlife College |
42. | Electronic Case Management System | Commission for Mediation and Arbitration (CMA) |
43. | Management Information System | Engineers Registration Board (ERB) |
44. | Human Resource Compliance Information System (HRCIS) | Public Service Commission (PSC) |
45. | Association and Accounting System | National Sports Council (NSC) |
46. | PLANREP | Office of Treasury Registrar (TRO) |
47. | WorkPlace Information Management System | OSHA |
48. | Mineral Market Management Information System | Minerals Commission |
49. | Billing System | Mafinga Urban Water Supply and Sanitation Authority (MAUWASA) |
50. | Billing System | Ngaramtoni Urban Water Supply and Sanitation Authority (NGUWASA) |
51. | Billing System (WACOMS) | Sengerema Urban Water Supply and Sanitation Authority (SEUWASA) |
52. | Billing System | TANTRADE |
53. | Billing System | Ngudu Water Supplies and Sanitation Authority |
NA. | JINA LA MFUMO | TAASISI |
54. | Students Information Management System | Bandari College (TPA) |
55. | E-Office Application | Tanzania Airport Authority (TAA) |
56. | Online RAC Application | Tanzania Atomic Energy Commission (TAEC) |
57. | Enterprise Resource Planning (ERP) | Cereal Board of Tanzania |
58. | Cotton Classification Information System | Tanzania Cotton Board (TCB) |
59. | OSIM | Dar es Salaam Institute of Technology (DIT) |
60. | Cloud Service | Dar es Salaam Maritime Institute (DMI) |
61. | TIRA Management Information System | Tanzania Insurance Regulatory Authority (TIRA) |
62. | Farmers Registration Management Information System | Cashewnut Board of Tanzania |
63. | Lawyers Database System | Ministry of Constitutional and Legal Affairs (MoCLA) |
64. | Fire Safety Inspection and Revenue Management System (FSIRMS) | Fire and Rescue Force (FRF) |
65. | Online Application System | Medical Council of Tanganyika (MCT) |
66. | Mineral Information System Portal | Minerals Commission |
67. | MoCLA Management Information System | MoCLA |
68. | Private Sector Integrated Surveillance System | MoHDCGEC |
69. | Registration of Society Management Information System | Ministry of Home Affairs (MoHA) |
70. | Online Madini Forum | Ministry of Minerals |
71. | Online Commodity Trading System | Tanzania Merchantile Exchange (TMX) |
72. | AQRB Management Information System | AQRB |
73. | Online Registration System | COSOTA |
74. | Laboratory Information Management System | Ministry of Water |
NA. | JINA LA MFUMO | TAASISI |
75. | Cap price system | Energy Water Utilities Regulatory Authority |
76. | Open Public Acess Catalog | Parliament of Tanzania (BUNGE) |
77. | e-Mrejesho | PoPSMGG |
78. | Automated Fare Collection System (AFCS) | DART |
79. | Voter Identification System (VIS) | NEC |
80. | Observers Management System (OMS) | NEC |
81. | Online Application System | University of Dodoma (UDOM) |
82. | WRRB License Application Management System | Warehouse Receipt Regulatory Board (WRRB) |
83. | SIDO Portal | SIDO |
84. | Coffee Marketing System | Tanzania Coffee Board (TCB) |
85. | TIC Billing System | Tanzania Investiment Center (TIC) |
86. | College of Information and Communication Technology (CoICT) | UDSM |
87. | VETA Online Application System | VETA |
88. | Electronic Appointment System (MoI) | MOI |
89. | Natural Gas Billing System | TPDC |
90. | TNMC Information System | TNMCIS |
91. | Registration and management of information for nurses and midwives in Tanzania | TNMCIS |
92. | TALIRI | TALIRI |
93. | Management Information System | NIC(LTD) |
94. | AMCOS Management System | AMCOS |
95. | Information Resource Center System | Ministry of Foreign Affairs |
96. | Ushirika Application | KINONDONI MC |
97. | RUWASA Service Delivery and Management System | RUWASA |
98. | Website | TBC |
99. | Online Application System | TBS |
100. | Billing System | Kishapu Water |
NA. | JINA LA MFUMO | TAASISI |
Supplies and Sanitation System | ||
101. | Water Use Management Information System | WRBWB |
102. | Birth and Death Registration System (RITA) | RITA |
103. | Tanzania National Business Portal (TNBP) | BRELA |
104. | Traffic Management System (TMS+ Mailing System | TPF |
105. | e-Procurement System (PPRA) | PPRA |
106. | Water Point Mapping (MoWI) | Ministry of Water and Irrigation (MoWI) |
107. | Mailing system for Tanzania Ports Authority/Other systems | Tanzania Ports Authority (TPA) |
108. | Disaster recovery for RFB core systems | Road Fund Board (RFB) |
109. | Disaster recovery for SSRA core systems | SSRA |
110. | Water Point Data Manager (MoWI) | Ministry of Water and Irrigation (MoWI) |
111. | Government Real Estate Management System (GRMS) | Tanzania Building Agency (TBA) |
112. | TCU Registration System | Tanzania Commission for Universities (TCU) |
113. | TASAF MIS application | TASAF |
114. | Integrated Financial Management System (GPSA) | GPSA |
115. | Integrated Financial Management Information System (WMA) | WMA |
116. | Workers Compensation Fund mailing system (DR) | WCF |
117. | Financial Management System (UVUVI) | Mifugo Uvuvi |
118. | Financial Port management system and other systems (TPA) | Tanzania Ports Authority (TPA) |
119. | Online Declaration System | Ethics Secretariat |
120. | Human Capital Management Information System (HCMIS) | PoPSMGG |
121. | Tanzania Instant Payment System (TIPS) | Bank of Tanzania (BoT) |
122. | Various Systems | National Health |
NA. | JINA LA MFUMO | TAASISI |
Insurance Fund (NHIF) | ||
123. | Various Systems | MSD |
124. | Various Systems | EWURA |
125. | TANePS | Public Procurement Regulatory Authority |
126. | Billing System | TEMESA |
127. | Various Systems | UCSAF |
128. | Various Systems | FCC |
129. | TERMIS | TARURA |
KIAMBATISHO NA. 10
MAMLAKA YA SERIKALI MTANDAO (e-GA)
TAASISI 28 ZINAZOTUMIA MFUMO WA ENTERPRISE RESOURCE
MANAGEMENT SUITE – ERMS
NA. | TAASISI |
1 | Tanzania Commission for Science and Technology |
2 | Kahama Urban Water Supply and Sanitation Authority – (KAHAMA UWASA) |
3 | Sugar board of Tanzania |
4 | National Food Reserve Agency (NFRA) |
5 | Iringa water supply and sanitation authority (IRUWASA) |
6 | Tanzania Civil Aviation Authority |
7 | Tanzania Library Services Board |
8 | TANZANIA TELECOMMUNICATION CORPORATION |
9 | Tanzania Railways Corporation |
10 | Tanzania cooperative development commission inspection and supervision fund |
11 | Procurement and supplies professionals and technicians board (PSPTB) |
12 | National insurance corporation (NIC) |
13 | e-Government Authority |
14 | Mkulazi Holding Company |
15 | Mtwara Urban Water Supply and Sewerage Authority |
16 | National Board of Accountants and Auditors |
17 | Small industries development organization (SIDO) |
18 | President’s Office Public Service Management and Good Governance |
19 | National Health Insurance Fund (NHIF) |
20 | Workers Compensation Fund (WCF) |
21 | Tanzania Telecommunication Regulatory Authority (TCRA) |
22 | Ministry of Health – IVD |
23 | Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera na Uratibu |
24 | Muhimbili Orthopedic Institute |
25 | Vice President’s Office |
26 | Tanzania Medicines and Medical Devices Authority |
27 | Fair Competition Commission |
28 | Tanzania Broadcasting Corporation |
KIAMBATISHO NA. 11
MAMLAKA YA SERIKALI MTANDAO (e-GA)
TAASISI 427 ZILIZOUNGANISHWA NA KUTUMIA DAWATI LA
HUDUMA KWA WATEJA (HELPDESK SYSTEM)
Na. | JINA LA TAASISI |
1. | Accountant General (ACGEN) |
2. | Authority for The Development of Educational Management (ADEM) |
3. | Agricultural Inputs Trust Fund (AGITF) |
4. | Air Tanzania Company Limited (ATCL) |
5. | Tanzania Fertilizer Regulatory Authority (Tfra) |
6. | Ardhi Institute Tabora (Arita) |
7. | Ardhi University (Aru) |
8. | Architect‘S And Quantity Surveyors Registration Board (Aqrb) |
9. | Arusha City Council |
10. | Arusha District Ouncil |
11. | Arusha Regional And Administrative Secretariat |
12. | Arusha Urban Supply And Sewerage Authority (Auwsa) |
13. | Attorney General‘S Chambers (Agc) |
14. | Babati District Council |
15. | Babati Town Council |
16. | Bagamoyo College Of Arts (Tasuba) |
17. | Bagamoyo District Council |
18. | Bahi District Council |
19. | Bariadi District Council |
20. | Bariadi Town Council |
21. | Biharamulo District Council |
22. | Bokoba Municipal Ouncil |
23. | Buhigwe District Council |
24. | Buchosa District Council |
25. | Bukoba District Council |
26. | Bumbuli District Council |
27. | Bunda District Council |
28. | Busega District Council |
29. | Business Registration And Licencing Authority (Brela) |
30. | Butiama District Council |
Na. | JINA LA TAASISI |
31. | Capital Market And Security Authority (Cmsa) |
32. | Centre For Agricultural Mechanization And Rural Technology (Camartec) |
33. | Cereals And Other Produce Board Of Tanzania (Cpb) |
34. | Commission For Human Rights And Good Governance (Chragg) |
35. | Cooperative Audit And Supervision Corporation (Coasco) |
36. | Dar Es Salaam Ras |
37. | Dar Es Salaam City Council |
38. | Dar Es Salaam Marine Institute (Dmi) |
39. | Dar Es Salaam Rapid Transport (Dart) |
40. | Dar Es Salaam University College Of Education (Duce) |
41. | Dar Es Salaam Water And Sewerage Cooperation (Dawasco) |
42. | Dar Es Salaam Water And Sewerege Authority (Dawasa) |
43. | Deep Sea Fishing Authority (Dfsa) |
44. | Dodoma Ras |
45. | Dodoma Urban Water Supply And Sewerege Athority (Duwasa) |
46. | Drilling And Dam Construction Authority (Ddca) |
47. | Drug Control And Enforcement Authority |
48. | East Africa Statistical Training Institute |
49. | Energy And Water Utilities Regulatory Authority (Ewura) |
50. | Engineering Registration Board |
51. | Ethics Secretariat |
52. | Export Processing Zones Authority (Epza) |
53. | Fire And Rescue Force (Frf) |
54. | Fisheries Education And Training Authority (Feta) |
55. | Gairo Regional And Administrative Secretariate |
56. | Gaming Board |
57. | Geita District Council |
58. | Geita Regional Administrative Secretariat |
59. | Geita Town Council |
60. | Geological Survey Of Tanzania |
61. | Government Chemist Laboratory Authority (Gcla) |
62. | Government Procurement Service Authority |
63. | Hanang District Council |
64. | Handeni District Council |
Na. | JINA LA TAASISI |
65. | Handeni Town Council |
66. | Higher Education Student‘S Loan Board (Heslb) |
67. | Chalinze District Council |
68. | Chalinze Water Supply And Sewerege Authority |
69. | Chamwino District Council |
70. | Chato District Council |
71. | Chemba District Council |
72. | Chunya District Council |
73. | Ict Commission |
74. | Ifakara Town Council |
75. | Igunga Council |
76. | Ikungi District Council |
77. | Ilala Municipal Council |
78. | Ilemela Municipal Council |
79. | Institute Of Accountancy Arusha |
80. | Institute Of Finance Management (Ifm) |
81. | Institute Of Judicl Administration |
82. | Iramba District Council |
83. | Iringa District Council |
84. | Iringa Regional And Administrative Secretary (Ras-Iringa) |
85. | Iringa Urban Water Supply And Sanitation Authority (Iruwasa) |
86. | Itilima District Council |
87. | Jakaya Kikwete Cardiac Institute (Jkci) |
88. | Judiciary Of Tanzania |
89. | Kagera Regional Administrative Secretariat |
90. | Kahama Shinyanga Water Supply And Sewerage Authority (Kashwasa) |
91. | Kalambo District Council |
92. | Kaliua District Council |
93. | Karagwe District Council |
94. | Karatu District Council |
95. | Kariakoo Markets Corporation |
96. | Kasulu District Council |
97. | Kasulu Town Council |
98. | Katavi Regional And Administrative Secretary (Ras Katav |
Na. | JINA LA TAASISI |
99. | Kibaha Education Centre (Kec) |
100. | Kibaha Town Council |
101. | Kibaha District Council |
102. | Kibondo District Council |
103. | Kigamboni Municipal Council |
104. | Kigoma District Council |
105. | Kigoma Regional And Administrative Secretary (Ras Kigoma) |
106. | Kigoma Ujiji Municipal Council |
107. | Kilimanjaro Ras |
108. | Kilindi District Council |
109. | Kilolo District Council |
110. | Kilombero District Council |
111. | Kilosa District Council |
112. | Kinondoni Municipal Council |
113. | Kisarawe District Council |
114. | Kishapu District Council |
115. | Kiteto District Council |
116. | Kondoa District Council |
117. | Kondoa Town Council |
118. | Kongwa District Council |
119. | Korogwe District Council |
120. | Kwimba District Council |
121. | Kyela District Council |
122. | Kyerwa District Council |
123. | Law Reform Commission |
124. | Lindi Municipal Council |
125. | Lindi Regional Administrative Secretary (Ras Lindi) |
126. | Liwale District Council |
127. | Longido District Council |
128. | Ludewa District Council |
129. | Lukwa Urban Water Supply And Sanitation Authority (Luwasa) |
130. | Madaba District Council |
131. | Mafia District Council |
132. | Magu District Council |
133. | Makambako Town Council |
Na. | JINA LA TAASISI |
134. | Makete District Council |
135. | Manyara Ras |
136. | Manyoni District Council |
137. | Mara Ras |
138. | Marine Parks And Reserves Unit |
139. | Masasi District Council |
140. | Masasi Ras |
141. | Masasi Town Council |
142. | Maswa District Council |
143. | Mbalali District Council |
144. | Mbeya City Council |
145. | Mbeya District Council |
146. | Mbeya Ras |
147. | Mbeya Regional Referral Hospital |
148. | Mbeya Urban Water Supply And Sanitation Authority |
149. | Mbinga Town Council |
150. | Mbogwe Disctrict Council |
151. | Mbozi District Council |
152. | Mbulu District Council |
153. | Mbulu Town Council |
154. | Meatu District Council |
155. | Medial Stores Department |
156. | Meru District Council |
157. | Mikocheni Agricultural Research Insitute (Mari) |
158. | Mikocheni Research Institute |
159. | Ministry Of Agriculture |
160. | Ministry Of Constitutional And Legal Affairs |
161. | Ministry Of Defence And National Service (Modans) |
162. | Ministry Of Foreign Affairs And East African Cooperation (East African Cooperation) |
163. | Ministry Of Education, Science And Technology |
164. | Ministry Of Energy |
165. | Ministry Of Foreign Affairs And East African Cooperation (Foreign Affairs) |
166. | Ministry Of Health, Community Development, Gender, Elderly And Children |
Na. | JINA LA TAASISI |
167. | Ministry Of Healthy, Community Development, Gender, Elderly And Children (Community Development) |
168. | Ministry Of Home Affairs |
169. | Immigration Service Department |
170. | Ministry Of Industry Trade And Investments |
171. | Ministry Of Information, Culture Arts And Sports |
172. | Ministry Of Lands, Housing And Human Settlement (Landtenure Support Program) |
173. | Ministry Of Lands, Housing And Human Settlement Development |
174. | Ministry Of Livestock And Fisheries |
175. | Ministry Of Minerals |
176. | Ministry Of Natural Resources And Tourism |
177. | Ministry Of Water |
178. | Ministry Of Work, Transport And Communications (Mwtc) |
179. | Ministry Of Works, Transport And Communications (Communication) |
180. | Ministry Of Works, Transport And Communications (Transport) |
181. | Ministy Of Finance And Planning |
182. | Missenyi District Council |
183. | Misungwi District Council |
184. | Mkalama District Council |
185. | Mkinga District Council |
186. | Mkurabita |
187. | Mkuranga District Council |
188. | Mlele District Council |
189. | Monduli District Council |
190. | Morogoro Municipal Council |
191. | Morogoro Ras |
192. | Morogoro Urban Water Supply And Sewerage Authority (Moruwasa) |
193. | Moshi District Council |
194. | Moshi Municipal Council |
195. | Mpanda District Council |
196. | Mpimbwe District Council |
197. | Mtwara District Council |
198. | Mtwara Mikindani Municipal Council |
Na. | JINA LA TAASISI |
199. | Mtwara Ras |
200. | Mtwara Urban Water And Sewerage Authority (Mtuwasa) |
201. | Mufindi District Council |
202. | Muheza District Council |
203. | Muhimbili National Hospital |
204. | Muhimbili Orthopaedic Institute (Moi) |
205. | Muhimbili University Of Health And Allied Science (Muhas) |
206. | Musoma District Council |
207. | Musoma Municipal Council |
208. | Mvomero Dostrict Council |
209. | Mwalimu Nyerere Memorial Academy |
210. | Mwanga District Council |
211. | Mwanza City Council |
212. | Mwanza Ras |
213. | Mwanza Urban Water Supply And Sewerage Authority (Mwauwasa) |
214. | Namtumbo District Council |
215. | Nanyamba Town Council |
216. | Nanyumbu District Council |
217. | National Arts Council Tanzania (Nact) |
218. | National Assembly Of Tanzania |
219. | National Audit Office |
220. | National Board Of Accountants And Auditors (Nbaa) |
221. | National Bureau Of Statistics (Nbs) |
222. | National College Of Tourism |
223. | National Collegiate Athletic Association (Ncaa) |
224. | National Construction Council (Ncc) |
225. | National Defense College (Ndc) |
226. | National Economic Empowerment Council (Neec) |
227. | National Electoral Commission (Nec) |
228. | National Environment Management Council (Nemc) |
229. | National Examinations Council Of Tanzania. (Necta) |
230. | National Fish Quality Control Laboratory (Nfqclab) |
231. | National Food Reserve Authority (Nfra) |
232. | National Health Insurance Fund (Nhif) |
Na. | JINA LA TAASISI |
233. | National Housing And Building Research Authority (Nhbra) |
234. | National Identification Authority (Nida) |
235. | National Institute For Medical Research (Nimr) |
236. | National Institute Of Transport (Nit) |
237. | National Irrigation Commission |
238. | National Land Use Planning Commision (Nlupc) |
239. | National Museum Of Tanzania (Nmt) |
240. | National Prosecution Service |
241. | National Records And Archives. Management Department |
242. | National Sports Council (Nsc) |
243. | Neglected Tropical Diseases Control Programme (Ntdcp) |
244. | Nelson Mandela African Institute Of Science And Technology (Nm-Aist) |
245. | Newala District Council |
246. | Newala Town Council |
247. | Ngara District Council |
248. | Ngorongoro Conservation Area Authority |
249. | Ngororngoro District Council |
250. | Njombe District Council |
251. | Njombe Regional Administrative Secretariat |
252. | Nkasi District Council |
253. | Nyanghwale Disctrict Council |
254. | Nyasa District Council |
255. | Nzega District Council |
256. | Nzega Town Council |
257. | Occupational Safety And Health Authority (Osha) |
258. | Ocean Road Cancer Institute (Orci) |
259. | Office Of Solicitor General |
260. | Office Of The Registrar Of Political Parties (Orpp) |
261. | Open University Of Tanzania |
262. | Pangani District Council |
263. | Petroleum Bulk Procurement Authority (Pbpa) |
264. | Pharmacy Council Of Tanzania |
265. | President‘S Office – Regional Administration And Local Government (Po-Ralg) |
Na. | JINA LA TAASISI |
266. | President’s Office – Public Services Management And Good Governance |
267. | President’s Office – Revolutionary Council |
268. | Prevention And Combating Of Corruption Bureau (Pccb) |
269. | Prime Minister‘S Office, Labour, Youth, Employment And Persons With Disability |
270. | Prime Minister’s Office (Pmo) |
271. | Prisons (Magereza) |
272. | Procurement And Supplies Professionals And Technicians Board (Psptb) |
273. | Public Service Pension Fund (Pspf) |
274. | Public Service Recruitment Secretariat (Psrs) |
275. | Public Service Remuneration Board (Psrb) |
276. | Public Service Social Security Fund (Psssf) |
277. | Public Sevirvice Commision (Psc) |
278. | Pwani Ras Pwani |
279. | Registration, Insolvency And Trusteeship Authority (Rita) |
280. | Rombo District Council |
281. | Ruangwa District Council |
282. | Rufiji District Council |
283. | Rukwa Regional Administrative Secretariat |
284. | Rural Water Supply And Sanitation |
285. | Ruvuma Regional And Administrative Secretary (Ras Ruvuma) |
286. | Same District Council |
287. | Self Micro-Finance Fund |
288. | Serengeti District Council |
289. | Shinyanga Municipal Council |
290. | Shinyanga Regional And Administrative Secretary (RasShinyanga) |
291. | Shinyanga Urban Water Supply And Sewerage Authority (Shuwasa) |
292. | Siha District Council |
293. | Sikonge District Council |
294. | Simiyu Regional And Administrative Secretary (Ras-Simiyu) |
295. | Singida District Council |
296. | Singida Municipal Council |
297. | Singida Ras |
Na. | JINA LA TAASISI |
298. | Small Industries Development Organization (Sido) |
299. | Songea District Council |
300. | Songea Municipal Council |
301. | Songea Urban Water Supply And Sewerage Authourity (Souwasa) |
302. | Songwe District Council |
303. | Songwe Ras |
304. | State Mining Corporation (Stamico) |
305. | Sugar Board Of Tanzania (Sbt) |
306. | Sumbawanga District Council |
307. | Sumbawanga Municipal Council |
308. | Suwasa Rukwa |
309. | Tabora District Council |
310. | Tabora Municipal Council |
311. | Tabora Regional And Administative Secretary (Ras Tabora) |
312. | Tabora Urban Water Supply And Sanitation Authority (Tuwasa) |
313. | Tandahimba District Council |
314. | Tanga City Council |
315. | Tanga Regional And Administrative Secretary (Ras Tanga) |
316. | Tanga Urban Water And Sewerage Authority (Tanga Uwasa) |
317. | Tanzania Agricultural Research Institute (Tari) |
318. | Tanzania Airports Authority (Taa) |
319. | Tanzania Atomic Energy Commission (Taec) |
320. | Tanzania Broadcasting Corporation (Tbc) |
321. | Tanzania Building Authority (Tba) |
322. | Tanzania Bureau Of Standards (Tbs) |
323. | Tanzania Civil Aviation Authority (Tcaa) |
324. | Tanzania Commission For Aids (Tacaids) |
325. | Tanzania Cooperative Development Commission (Tcdc) |
326. | Tanzania Dairy Board (Tdb) |
327. | Tanzania Drug Control Commission |
328. | Tanzania Education Authority |
329. | Tanzania Engineering And Manufaturing Design Organiation (Temdo) |
330. | Tanzania Fire And Rescue Force |
331. | Tanzania Food And Nutrition Ccentre (Tfnc) |
Na. | JINA LA TAASISI |
332. | Tanzania Forest Services Authority (Tfsa) |
333. | Tanzania Geothermal Development Company (Tgdc) |
334. | Tanzania Global Learning Authority (Tagla) |
335. | Tanzania Government Flight Authority (Tgfa) |
336. | Tanzania Industrial Research And Development Organization (Tirdo) |
337. | Tanzania Institute Of Accountancy (Tia) |
338. | Tanzania Institute Of Education (Tie) |
339. | Tanzania Insurance Ombudsman |
340. | Tanzania Investment Bank (Tib) |
341. | Tanzania Investment Centre (Tic) |
342. | Tanzania Library Services Board (Tlsb) |
343. | Tanzania Livestock Research Institute (Taliri) |
344. | Tanzania Meat Board |
345. | Tanzania Meteorological Authority (Tma) |
346. | Tanzania Mining Commission |
347. | Tanzania National Business Council |
348. | Tanzania National Parks (Tanapa) |
349. | Tanzania Official Seed Certication Institute (Tosci) |
350. | Tanzania People‘S Defence Force (Tpdf) |
351. | Tanzania Postal Bank (Tpb) |
352. | Tanzania Railways Corporation (Trc) |
353. | Tanzania Railways Limited (Trl) |
354. | Tanzania Regional Immigration Training Academy (Trita) |
355. | Tanzania Roads Agency (Tanroads) |
356. | Tanzania Roads Fund |
357. | Tanzania Rural And Urban Roads Authority (Tarura) |
358. | Tanzania Shiping Agencies Cooperation (Tasac) |
359. | Tanzania Sisal Board (Tsb) |
360. | Tanzania Social Action Fund (TASAF) |
361. | Tanzania Telecommunications Company Limited (Ttcl) |
362. | Tanzania Tobacco Board (Ttb) |
363. | Tanzania Trade Development Authority (Tantrade) |
364. | Tanzania Tree Seed Authority (Ttsa) |
365. | Tanzania Veterinary Laboratory Authority (Tvla) |
Na. | JINA LA TAASISI |
366. | Tanzania Wildlife Authority (TAWA) |
367. | Tanzania Wildlife Research Institute (Tawiri) |
368. | Tanzania Electrical, Mechanical And Electronics Services Authority (TEMESA) |
369. | Tarime District Council |
370. | Tarime Town Council |
371. | Teacher‘S Service Commision (Tsc) |
372. | Temeke Municipal Council |
373. | Treasury Registrar Office (Tro) |
374. | Tropical Pesticides Research Institute (Tpri) |
375. | Ubungo Municipal Council |
376. | Ukerewe District Council |
377. | Ulanga District Council |
378. | Unesco National Commission Of The United Republic Of Tanzania (NATCO) |
379. | Universal Communication Services Access Fund (UCSAF) |
380. | Uongozi Institte |
381. | Urambo Disctrict Council |
382. | Vocational Educational And Training Authority (VETA) |
383. | Waqf And Trust Commission (Wtc) |
384. | Wanging‘Ombe District Council |
385. | Water Development And Management Institute (WDMI) |
386. | Weights And Measures Authority (Wma) |
387. | Workers Compesation Fund (Wcf) |
388. | Zanzibar Business And Property Registration Authority |
389. | Marine Service Company Limited |
390. | Kahama Urban Water Supply And Sanitation Authority (Kuwasa) |
391. | Tanzania Insurance Reguratory Authority (Tira) |
392. | Shinyanga District Council |
393. | National Aids Control Program – Nacp.Go.Tz |
394. | Bukoba Urban Water Supply And Sanitation Authority (Buwasa) |
395. | Msalala District Council |
396. | Shinyanga District Council |
397. | Mwanhuzi Urban Water Supply And Sanitation Authority |
398. | Contractors Registration Board (Crb) |
Na. | JINA LA TAASISI |
399. | Tanzania Nursing&Midwifery Council (Tnmc) |
400. | Moshi Urban Water Supply&Sewerage Authority (Muwsa) |
401. | Tanzania Petroleum Development Corporation (Tpdc) |
402. | Tanzania Extractive Industries Transparency Initiative (Teiti) |
403. | Mpanda Municipal Council |
404. | Kilwa District Council |
405. | Mweka Wildlife |
406. | Tanzania Revenue Authority (Tra) |
407. | Geita Urban Water Supply And Sanitation Authority (Geuwasa) |
408. | Medical Council Tanzania |
409. | Mpanda Water Supply And Sanitation Authority (Mpandawasa) |
410. | Kishapu Urban Water Supply And Sanitation Authority (Kiwassa) |
411. | Rungwe Dc |
412. | Kibiti Dc |
413. | National Development Corporation (Ndc) |
414. | Tanzania Coffee Board |
415. | Tanganyika Dc |
416. | National Internet Data Center(Nidc) |
417. | Petroleum Upstream Regulatory Authority (Pura) |
418. | Local Government Training Institute (Lgti) |
419. | Mugumu Urban Water Supply And Sanitation Authority |
420. | Kilimanjaro Airport Development Company (Kadco) |
421. | Livestock Training Authority (Lita) |
422. | Mombo District Council |
423. | Tanzania Film Board |
424. | Mzinga Corporation |
425. | Zanzibar Higher Education Loan Board |
426. | Singida District Council |
427. | Public Procurement Appeals Court |
KIAMBATISHO NA. 12
IDARA YA KUMBUKUMBU NA NYARAKA ZA TAIFA
NYARAKA ZILIZOKUSANYWA ZILIZOKUSANYWA KUTOKA
KATIKA TAASISI MBALIMBALI
Na. | TAASISI/OFISI | NYARAKA ZA WAZI | NYARAKA ZA SIRI/SIRI SANA | JUMLA |
1. | Halmashauri ya Manispaa ya Bukoba | 51 | 99 | 150 |
2. | Halmashauri ya Wilaya ya Biharamulo | 32 | 6 | 38 |
3. | Halmashauri ya Wilaya ya Ngara | 51 | 50 | 101 |
4. | Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe | 125 | – | 125 |
5. | Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba Vijijini | 164 | 66 | 330 |
6. | Halmashauri ya Wilaya ya Magu | 4 | 3 | 7 |
7. | Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba | 7 | 6 | 13 |
8. | Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe | 127 | 44 | 171 |
9. | Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema | 31 | – | 31 |
10. | Halmashauri ya Wilaya ya Tarime Vijijini | 23 | 3 | 26 |
11. | Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti | 37 | 6 | 43 |
12. | Halmashauri ya Wilaya ya Meatu | 107 | 67 | 174 |
13. | Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga | 12 | 54 | 66 |
14. | Halmashauri ya Manispaa ya Kahama | 85 | 24 | 109 |
15. | Halmashauri ya Wilaya ya Igunga | – | 11 | 11 |
16. | Halmashauri ya Wilaya ya Iramba | 24 | 4 | 28 |
Na. | TAASISI/OFISI | NYARAKA ZA WAZI | NYARAKA ZA SIRI/SIRI SANA | JUMLA |
17. | Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni | 34 | 147 | 181 |
18. | Halmashauri ya Jiji la Dodoma (nyaraka za iliyokuwa Mamlaka ya Ustawishaji Makao Makuu Dodoma – CDA | 23 | 71 | 94 |
19. | TANAPA | 41 | 20 | 61 |
20. | Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) | 668 | 776 | 1,444 |
JUMLA KUU | 3,224 |
KIAMBATISHO NA. 13
IDARA YA KUMBUKUMBU NA NYARAKA ZA TAIFA
TAASISI ZA UMMA ZILIZOWEKEWA MFUMO WA MASIJALA MTANDAO (E-FILE MANAGEMENT SYSTEM)
NA | JINA LA TAASISI |
1 | Ofisi ya Rais – Ikulu, |
2 | Ofisi ya Waziri Mkuu – Uwekezaji, |
3 | Mahakama Kuu ya Tanzania, |
4 | Tume ya Utumishi wa Mahakama |
5 | Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali, |
6 | Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma, |
7 | Ofisi ya Katibu Tawala – Dar e Salaam |
8 | Wizara ya Maji |
9 | Taasisi ya Uongozi (Uongozi Institute), |
10 | Wakala wa Ndege za Serikali (TGFA), |
11 | Wakala wa Huduma za Mifugo (TVLA), |
12 | Wakala wa Lishe na Chakula |
13 | Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF) |
14 | Chuo cha Serikali za Mitaa Homboro |
15 | wakala wa mbolea Tanzania (AGITF) |
16 | Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB), |
17 | Mfuko wa Taifa wa Maji |
18 | Halmashauri ya Manispaa ya Arusha, |
19 | Hospitali ya Benjamini Mkapa |
20 | Wakala wa Jiolojia Tanzania (GST) |
21 | Mamlaka ya Usimamizi wa Mbolea (TFRA) |
22 | Shirika la Posta |
23 | Chuo cha Maendeleo ya Mifugo (LITA), |
24 | Bodi ya Usajili wa Wabunifu Majengo na Wakadiriaji Majenzi (AQRB,) |
KIAMBATISHO NA. 14
IDARA YA KUMBUKUMBU NA NYARAKA ZA TAIFA
TAASISI ZA UMMA ZILIZOWEKEWA MFUMO WA UTUNZAJI WA
KUMBUKUMBU ZA KIUTENDAJI (KEYWORD FILING SYSTEM)
NA | JINA LA TAASISI |
1 | Ofisi ya Rais – Ikulu, |
2 | Ofisi ya Waziri Mkuu – Uwekezaji, |
3 | Ofisi ya Rais,Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma, |
4 | Ofisi ya Mkuu wa Mkoa – Dar es Salaam |
5 | Ofisi ya Mkuu wa Mkoa –Singida |
6 | Ofisi ya Mkuu wa Wilaya – Serengeti |
7 | Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari |
8 | Wizara ya Maji |
9 | Mfuko wa Taifa wa Maji |
10 | Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF) |
11 | Chuo cha Serikali za Mitaa Homboro |
12 | Halmashauri ya Manispaa ya Arusha, |
13 | Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira – Arusha (AUWASA |
14 | Hospitali ya Benjamini Mkapa |
15 | Wakala wa Jiolojia Tanzania (GST) |
16 | Shirika la Viwango Tanzania (TBS) |
17 | Chuo cha Ustawi wa Jamii |
18 | Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere (MNMA) |
19 | Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) |
20 | Chuo cha Wanyamapori Mweka |
21 | Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) |
22 | Dhamana ya Uwekezaji Tanzania (UTT) |
23 | Hospitali ya Benjamin Mkapa, |
24 | Bodi ya Huduma za Maktaba Tanzani |
25 | Bodi ya Korosho Tanzania. |
26 | Bodi ya Nyama (TMB) |
27 | Bodi ya Maziwa (TDB) |
KIAMBATISHO NA. 15
IDARA YA KUMBUKUMBU NA NYARAKA ZA TAIFA
TAASISI ZA UMMA ZILIZOFANYIWA UKAGUZI WA HALI YA
UTUNZAJI WA KUMBUKUMBU
NA | JINA LA TAASISI |
1 | Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Simiyu |
2 | Ofisi ya Uhamiaji Wilaya ya Songwe |
3 | Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Bariadi |
4 | Halmashauri ya Manispaa ya Songea |
5 | Halmashauri ya Jiji la Tanga |
6 | Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) |
7 | Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA) |
8 | Wakala wa Uagizaji Mafuta kwa Pamoja (BPA) |
9 | Bodi ya Pamba |
19 | Shirika la Reli Tanzania (TRC) |
11 | Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) |
12 | Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania |
13 | Mamlaka ya Eneo Maalum la Uwekezaji wa Mauzo Nchini (EPZA), |
14 | Tume ya Usuluhishi na Uamuzi (CMA), |
15 | Shirika la Kuhudumia Viwanda Vidogovidogo (SIDO) |
16 | Shirika la Ukaguzi na Usimamizi wa Vyama vya Ushirika (COASCO) |
17 | Chuo Kikuu Kishiriki cha Elimu cha Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (DUCE) |
18 | Chuo cha Serikali za Mitaa (LGTI), |
19 | Taasisi ya Sanaa na Utamaduni (TASUBA |
20 | Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete, Shrika la Posta Tanzania (TPC), |
21 | Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo |
22 | Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero |
23 | Halmashauri ya Wilaya ya Ilala |
24 | Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba |
25 | Halmashauri ya Wilaya ya Magu |
26 | Hospitali ya Taifa ya Afya ya Akili Mirembe |
KIAMBATISHO NA. 16
IDARA YA KUMBUKUMBU NA NYARAKA ZA TAIFA
TAASISI ZA UMMA ZILIZOPATIWA MAFUNZO YA UTUNZAJI WA
KUMBUKUMBU
NA | JINA LA TAASISI |
1 | Ofisi ya Rais – Ikulu |
2 | Tume ya Utumishi wa Mahakama |
3 | Ofisi ya Katibu Tawala Mkoa wa Mwanza |
4 | Wizara ya Kilimo |
5 | Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania |
6 | Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Arusha (AUWASA) |
7 | Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) |
8 | TANESCO kanda ya Mwanza, |
9 | Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) |
10 | Chuo cha Uongozi wa Mahakama(IJA) – Lushoto |
11 | Chuo Kikuu cha Dar es salaam |
12 | Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF) |
13 | Mfuko wa Maendeleo ya Jamii ( TASAF) |
14 | Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) |
15 | Halmashauri ya jiji la Arusha |
16 | Halmashauri ya Jiji la Mwanza |