TANZANIA YAPANGWA KUNDI F KUFUZU AFCON 2023 NCHINI IVORY COAST

Timu ya Taifa ya Tanzania imepangwa Kundi F katika Kuwania Kufuzu Michuano ya Afcon 2023 itakayofanyika Nchini Ivory Coast

Kundi Hilo lina Timu za Algeria, Nigeria, Uganda, na Tanzania

Safari hii Tanzania haitoanzia Katika Hatua za Awali na kuanzia katika Makundi Moja kwa Moja

Ikumbukwe Kuwa Tanzania imeshiriki Michuano hiyo Mara mbili ambapo ni Mwaka 1980 na 2019

Je Tanzania Itafanikiwa Kufuzu?

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *