SPIKA DKT. TULIA ASHIRIKI ZOEZI LA UCHAGUZI MWENYEKITI NA WAJUMBE CCM MBEYA

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mbunge wa Mbeya Mjini, Mhe. Dkt. Tulia Ackson (Mb), leo Aprili 16, 2022 ameshiriki zoezi la uchaguzi wa Mwenyekiti na Wajumbe wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Kata ya Sisimba mtaa wa Uzunguni ‘A’ iliyopo Jijini humo.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *