HAJI MANARA AFUNGA NDOA, AONGEZA MKE WA PILI

Msemaji wa Klabu ya Yanga Haji Manara imeonekana akiwa amefunga ndoa na mwanamke mwingine ambaye hajafahamika ni nani

Kupitia katika Ukurasa wa Instagram wa Haji Manara ameweka chapisho likiwa limeonesha anafungishwa Ndoa

Kwenye Chapisho hilo Manara aliandika “Alhamdulillah”

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *