Waziri wa Kilimo Mhe.Hussein Bashe ameviagiza Vyama vya Ushirika nchini kurudisha fedha kwa wakulima
Bashe ametoa agizo hilo wakati akijibu hoja za Wabunge kwenye Mkutano wa Saba kikao cha sita Bunge la 12 linaloendelea Jijini Dodoma
Waziri wa Kilimo Mhe.Hussein Bashe ameviagiza Vyama vya Ushirika nchini kurudisha fedha kwa wakulima
Bashe ametoa agizo hilo wakati akijibu hoja za Wabunge kwenye Mkutano wa Saba kikao cha sita Bunge la 12 linaloendelea Jijini Dodoma